Nitayainua Macho yangu ~ Dar Gifted Voices | Mtunzi: Robyson Mrema
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- Karibu kutazama na kutafakari wimbo mzuri wa injili, Zaburi ya 121- Nitayainua macho yangu niitazame milima ulioimbwa na Dar Gifted Voices (DGV) - Mtunzi Robyson Mrema.
Kwa mawasiliano (DGV) - 0765 875 459 / 0688 611 835.
KARIBU SANA
Honger San kaka I'ma tupo pamoja mungu abarik Kaz yko
Mungu awabariki Wimbo mzuri
Amina sana kaka karibu tena
Hongereni saaana kwa nyimbo zenu nabarikiwa
Amen barikiwa sana mtumishi 🎉🎉🎉
Hongera mwandishi na timu yote kwa ujumla.Utume uendelee.
Amina sana Mwalimu @petermkumbo5094 ubarikiwe sana 🙏
Mungu awajalie sana...pambaneni Mungu yu nanyi
Amina sana kaka na tunashukru san karibu tena
Huduma yenu ni njema Mungu azidi kuwainua
Amina sana my dear 🎉🎉endelea kubarikiwa
Waooooowaooooowaooooo❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Barikiwa sana mtumishi
Kazi nzuri sana mbarikiwe
Ameni barikiwa sana🎉🎉
Amen
Nimefurai Sanaaaa.ongereni kwa uduma hakika mtafika mbali sanaaa
Asante sana mdogo wetu
Hongereni sana
Asante sana na barikiwa 🎉🎉
Barikiwa sana🙏
Amina sana
Mbarikiwe
Amina sana🎉🎉 parikiwa pia
Hongereni sana kwa uimbaji mzuri uliotukuka na kweli hii imekuwa surprise sikuwahi dhania kama huu utakuja rekodiwa mbarikiwe sana
Amina sana mwalimu na umerikiwe wewe uliyepewa karama ya utunzi. Ikimpendeza mungu karibu ututembelee
Mko Dar sehemu gani siku nikija huko niwatembelee maana Mimi napatikana Arusha
Tupo Mbezi Beach Jogoo na tunatokea parokia ya Mt. Dominico Mbezi Juu Mwalimu @@robysonmrema5720 Karibu saaaaaana ndugu
Tupo mbezi juu ndumbwi Parokia Mtakatifu Dominico
Kazi imesimama msaada wangu utatoka ktk bwana🙏
Amina sana na barikiwa sana
👏👏👏
Barikiwa sanaaa best
Hongereni Sana ndugu zangu kwa kazi nzuri, Mungu aendelee kuwainua tena na tena katika huduma yenu ya uinjilishaji 🙏
Amina sanaaa mtumishi
Amina sana ndugu tubarikiwe sote🙏
Hongera sana
Amina sana
👏👏👏🙏🙏
Barikiwa sana❤
Hongereni sana
Amina Sana na barikiwa pia
Barikiwa sanaa 🙏🙏
Kazi nzuri mbarikiwe sana
Amen barikiwa sana🎉