ISHMAEL AU ISAKA? MAZINGE NA WAISLAMU WAWEKWA WAZI NA MWALIMU YOHANA OMARY.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • Mdahalo uliofanyika Tanga Tarehe 2 Hadi 3 Feb. 2023.

Komentáře • 65

  • @JumanneSelemani-kh6kj
    @JumanneSelemani-kh6kj Před 5 měsíci

    Hakuna rafiki wa thamani kama yesu aliye yatoa maisha kwaajili yetu njooni wote tumsifu tumshukuru yeye kwani ndiye njia ya uzima❤❤❤❤❤ pongezi sana mwinjilist yohana

  • @JumanneSelemani-kh6kj
    @JumanneSelemani-kh6kj Před 5 měsíci

    Maneno hayo ❤ nimependa sana mwinjilist yohana kuwaambia watu ukweli

  • @allykijazy1557
    @allykijazy1557 Před rokem +2

    Mwalimu mwislamu kafundusha vizuri

  • @user-pg2pe6ye4i
    @user-pg2pe6ye4i Před 4 měsíci

    Waubirie ufalme wa mungu mpaka waujuwe ukweli hao ni wa noko sana

  • @suzanstephen2691
    @suzanstephen2691 Před rokem +5

    Daah! Kweli watu wangu wanaangamia kwakukosa maalifa. Waisilam kazi mnayo waalimu wenu hawajui chochote zaidi ya kufanya maigizo jukwaani. MUNGU awasaidie

  • @medardaloyce
    @medardaloyce Před rokem

    Waislamu, muombeni MUNGU awape mafundisho yaliyo ya kweli🙏🙏

  • @lisauroble31
    @lisauroble31 Před rokem

    ❤❤❤❤❤🎉🎉mwalimu bongo ungekuwakaribu wallhi umewafunźahawo waislamu wameshindwakupigatakbra😢😢😢

    • @hamisahtuman5595
      @hamisahtuman5595 Před rokem

      Mbona Mda unajua hautoshi tengen Mda wa kutosha tupate elim

  • @evanskengara1911
    @evanskengara1911 Před 9 měsíci +1

    Your presentation is wonderful
    be blessed.

  • @user-hp1im5ek4r
    @user-hp1im5ek4r Před 4 měsíci

    Kweli Ibrahim alizini kwani Uongo

  • @davidmghanga8502
    @davidmghanga8502 Před rokem

    Mwalimu Omar MUNGU akubariki sana

  • @JumanneSelemani-kh6kj
    @JumanneSelemani-kh6kj Před 5 měsíci

    Mohamed ni binadamu kama sisi ila waislaam hawamtambui mungu wa kweli ni yupi wanamuabudu binadamu aliye kufa kwasasa kaoza kweli mwinjilist unavyo waambia waislamu waelewe

  • @chemstry409
    @chemstry409 Před rokem +1

    Bint wa BABA YANGU NDIPO AKAWA MKE WANGU...DUUUHH SARA MKE WA IBRAHIM NI DADA YAKE BABA MMOJA MAMA MBALI MBALI....TUMEKUELEWA SHEIKH...

  • @user-ii4os8zl2l
    @user-ii4os8zl2l Před 5 měsíci

    Yohana enderea kuwaleta kwa yesu wote walio fumbwa kwa lgha yakiarabu

  • @Tonykatiko
    @Tonykatiko Před 2 měsíci

    wape neno. wataelewa tu

  • @abuaminmadi4480
    @abuaminmadi4480 Před rokem

    Hajui kusoma kabisaa

  • @innocentmsoka7805
    @innocentmsoka7805 Před 10 měsíci

    Yesu ndio njia na uzima tele

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Před 6 měsíci

    Iliyotangulia ni bibria bwana ila Mohamed alipokuja jamaa akaona niunde dini tofauti na ukristo akafanya kama ilivyo mara anakubari torati mara kistu anampinga hamuoni ujanjanja huko.namkubari kristo yesu

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish6346 Před 10 měsíci

    Hawa wakiristo ni mpaka mungu mwenyewe awaongoze lakini akili zao mbovu sana hawaelewi

  • @sharon-xw8vf
    @sharon-xw8vf Před 8 měsíci

    Waisilam waokoke awana jia ya kweli kabisa.

  • @jamesrasi-co4py
    @jamesrasi-co4py Před rokem +1

    Wasabato mkosawa na mm nimemkubali

  • @gracenjoroge5952
    @gracenjoroge5952 Před rokem +1

    Hoja sio Ibrahim alikuwa na wana wangapi,hoja ni nani katolewa sadaka??bibilia imesema mwana wa ahadi ni isaka

    • @classicvisiononline8334
      @classicvisiononline8334 Před rokem

      Kabla hujakurupuka kushangilia giza unatakiwa uelewe Biblia imetafsiliwa na nani na kutoka kwenye Lugha gani...Unatakiwa kujua Lugha Mama ya Ibrania kisha ufahamu nani aliye edit iyo tafsiri na kubadilisha maandiko....Kisha rudi hapa shangilia ila kama hakuna iyo lugha asili unasoma kiswahili au kingereza na sio yebrania basi elewaa kuna Editing ilifanyika kwa maslahi ya kupotosha watuuu ila Sababu Mungu alielewa haya yote na ufisadi uliofanyika kwenye vitabu vyake basi ndo maana akamleta mtume wawisho Muhammad na akaja na kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake (Qur'an) na mpaka dunia Italiaanse mwisho hakuna atakaeweza badilisha au kuongeza neno lolote katika Qur'an...Sasa anza kujitambua na soma kwanza kabla ya ushabiki ili uelewe....

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 Před 9 měsíci

    Duuu ! Kweli kuna mijitu iko gizani --- Bwana Yesu alisema " ile nuru iliyomo ndani yako ikiwa ni Giza si giza hilo " yaani ni giza totoro --- giza kweli kweli ---- jifarijini tu kwa ujinga,lakini hukumu iko pale pale Mdo 30 ---- 31.

  • @binseif2216
    @binseif2216 Před 8 měsíci

    Quran itabaki kuwa ya kweli,mliulizwa je ibrahim ni mzinifu?ili ismail awe mtt wa zinaa?hamkutoa jibu

  • @abidandastanmaliyatabu1373

    Huyu shekhe baada ya kwenda kwenye maada anapiga porojo tu hafu eti anapaniki duh hatari sana

  • @binseif2216
    @binseif2216 Před 8 měsíci

    Me nilikuwa mkristo nashukru nimeingia kwenye dini ya ukweli uislamu

  • @felixgitonga6783
    @felixgitonga6783 Před rokem

    Alisikia kilio ya mtoto wakati walikuwa jwangwani waislamu wote ni makafiri wapingaji mazingi

  • @unclejonah7350
    @unclejonah7350 Před 9 měsíci

    Kila aliyezaliwa na Adam ni mdhambi wa kuridhi.

  • @shabanabdul8979
    @shabanabdul8979 Před rokem +1

    Islam comedy

  • @josephshusha3436
    @josephshusha3436 Před rokem

    Mwalim mazinge mm sikielewi kabisa.maana kumbe wewe unabishana.hautaki kutuelewesha au kuwaelewesha.

  • @felixgitonga6783
    @felixgitonga6783 Před rokem +1

    Wewe tena sio muamini wewe ulisilumu tu waomini wako himeni na wewe uko Tanzania Dio kwasababu unasema ni simaili muongo uruke uiname ni isack Dio alikuwa kutoa kafara

  • @jeunajuatv817
    @jeunajuatv817 Před rokem

    kuna wapiga porojo na wafundishaji

  • @shizoshop2469
    @shizoshop2469 Před 10 měsíci

    Huyu shekhe hajui maana hajilii hakuwa mke wa ndoa maana aliambiwa amuingilie hajilii ili apate uzao . Full stop

  • @ibrahimngitu6072
    @ibrahimngitu6072 Před rokem

    Wakristo hamuielewi bible

  • @felixgitonga6783
    @felixgitonga6783 Před rokem

    Toka hapo kafiri bababu aliwafunguxa umezeka Sana mtoni

  • @shizoshop2469
    @shizoshop2469 Před 10 měsíci

    Mazinge anatoka nje ya mada . Maada ilikuwa isihaka na ishimail nani mtoto wa agano ?

  • @RICHARDWAUSA
    @RICHARDWAUSA Před 9 měsíci

    Yesu wangu ; naku shukuru kuni onyesha njia 😢

    • @JumanneSelemani-kh6kj
      @JumanneSelemani-kh6kj Před 5 měsíci

      Wakuabudiwa ni kristo aliye juu TU wala si shekhe wala mohamad nampongeza mwinjilist yohana omary kwakuwagumbua macho hao watu 😂😂😂😂😂😂😂 jamani wabatizwe

  • @binseif2216
    @binseif2216 Před 8 měsíci

    Wakristo kwanini mnapenda kupotezwa na wachungaji hata wakimtusi yesu nyie mtawapigia makofi

  • @isihakajarika2668
    @isihakajarika2668 Před rokem +2

    Wakristo hua wanasikiliza wachungaji wao alafu wanayabeba mafundisho Kama yalivyo lakini wislam wanafuatilia na kujifunza maandiko kiundani zaidi kwaio mie siwashangai

    • @felixgitonga6783
      @felixgitonga6783 Před rokem

      Anaunganiza mandiko bilia sio Quran

    • @suzanaagustinookelo4953
      @suzanaagustinookelo4953 Před rokem

      Unanipa moyo ndugu yangu

    • @jeunajuatv817
      @jeunajuatv817 Před rokem

      hahaha 😂 ukiwa na ujinga ni ujinga tu

    • @amankimaryo1809
      @amankimaryo1809 Před rokem

      Biblia ndio ya kwanza kabisa kuandikwa na inasadikika, Quran hicho kitabu Cha hadidhi n mahuburi ya mchungaji muhamadi aliyoyafanya uarabuni akihubiri Biblia Takatifu na nayo yakaandikwa mnamo Karne ya 7 yaani takribani miaka 100 baada ya kifo Cha Mtume huyo. Je ni maandiko yapi yaweza kua ni ya kughushi? Hiyo n historia ya dini na naiamini

    • @amankimaryo1809
      @amankimaryo1809 Před rokem

      Mazinge amwagiwe maji tu akubali kuokoka

  • @JumaLugendo-rk3rp
    @JumaLugendo-rk3rp Před 10 měsíci

    Isaka hajawahi kuwa Mtoto wa pekee maana alikuja kuzaliwa miaka 12 baada ya Ismail hivyo hajawahi kuwa pekee ila alikuwa na kaka yake Ismail lakini Ismail amekuwa Mwana wa pekee kabla ya kuzaliwa isaka

    • @mikgodnziku9438
      @mikgodnziku9438 Před 10 měsíci

      Neno (pekee)linamaana gan? Au linamaanisha nini

  • @singanoatanasi1994
    @singanoatanasi1994 Před rokem +1

    Safi Yohana omary yaani unafundisha vizuri afu vituko vyako vya akili lakini mazinge vituko vyake vya kijinga sana

  • @lisauroble31
    @lisauroble31 Před rokem

    Waziri kiislamu mbongo na mazinge waalimu munguatawalipa mema kirsto hamutuwekei wazi maandiko bali mnatumia njiua mkato muñgu mwema😊

  • @stanleytemu5373
    @stanleytemu5373 Před rokem +1

    Islam hadithi tu no original!!!

  • @classicvisiononline8334

    Kabla hujakurupuka kushangilia giza unatakiwa uelewe Biblia imetafsiliwa na nani na kutoka kwenye Lugha gani...Unatakiwa kujua Lugha Mama ya Ibrania kisha ufahamu nani aliye edit iyo tafsiri na kubadilisha maandiko....Kisha rudi hapa shangilia ila kama hakuna iyo lugha asili unasoma kiswahili au kingereza na sio yebrania basi elewaa kuna Editing ilifanyika kwa maslahi ya kupotosha watuuu ila Sababu Mungu alielewa haya yote na ufisadi uliofanyika kwenye vitabu vyake basi ndo maana akamleta mtume wawisho Muhammad na akaja na kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake (Qur'an) na mpaka dunia Italiaanse mwisho hakuna atakaeweza badilisha au kuongeza neno lolote katika Qur'an...Sasa anza kujitambua na soma kwanza kabla ya ushabiki ili uelewe....

    • @amankimaryo1809
      @amankimaryo1809 Před rokem

      Hata mm baada ya kuisoma Quran na Biblia kwa mapana, niligundua Quran n nukuu ya Biblia Takatifu nayo si timilifu kama biblia. Nikifuatilia historia ya dini pia inasadiki hayo

    • @amankimaryo1809
      @amankimaryo1809 Před rokem

      Mwana wa urithi wako wewe atakua Mwana wa mkeo wa kumuoa au wa mchepuko wako? Apo n akili za kawaida tu. Kumbe ndio maana waislum vita Yao yote n kumpigania Mungu wao kwa Njia ya jihadi, Mtume wenu n mpotofu Mungu hawezi kua dhaifu hivo

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish6346 Před 10 měsíci

    Naomba number ya mbogo tafadhali

  • @JumanneSelemani-kh6kj
    @JumanneSelemani-kh6kj Před 5 měsíci

    Hakuna rafiki wa thamani kama yesu aliye yatoa maisha kwaajili yetu njooni wote tumsifu tumshukuru yeye kwani ndiye njia ya uzima❤❤❤❤❤ pongezi sana mwinjilist yohana

  • @RICHARDWAUSA
    @RICHARDWAUSA Před 9 měsíci

    Yesu wangu ; naku shukuru kuni onyesha njia 😢