🔴

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • 🔴#LIVE: PIGO KWA MBOWE, VIONGOZI Wake WENGINE WAJIONDOA CHADEMA, Wamlipua - "Ni Waoga Sana"
    BAADHI ya viongozi wa Chama cha demokrasia na maendeleo Chadema, wametangaza kujiondoa katika chama hicho leo Mei 28....
    Na Felista Massae
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com....
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Komentáře • 242

  • @stanslausangelus8714
    @stanslausangelus8714 Před 4 lety +26

    Kazi bado sana Mbowe na kampuni yake safari hawaponi.

  • @jamesmtambo6252
    @jamesmtambo6252 Před 4 lety +15

    Hujachelewa, karibu CCM

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 Před 4 lety +1

    Mwenyezi mungu amekubariki sana baba mbatia kwa siasa zako za kiungwana nakweli kuvuna matunda haya hongera sana.

  • @asalasaad7568
    @asalasaad7568 Před 4 lety +29

    Kama unamjua rais wa Rwanda gonga like hapo😀😀😀😀

    • @josephclement3650
      @josephclement3650 Před 4 lety

      yani utafikiri ni mtu na mdg wake😂😂😂😁😁😁😁😁😀😀😀

    • @mahamudually357
      @mahamudually357 Před 4 lety

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @michaelmusa7250
    @michaelmusa7250 Před 4 lety +29

    Kama umeona NCCR-mageuzi kumenoga gonga like hapa👇😁

  • @alloycewilbert8848
    @alloycewilbert8848 Před 4 lety +11

    Karibu CCM mkubwa ,

  • @ghulamjuma2883
    @ghulamjuma2883 Před 4 lety +8

    Chadema jiangalieni sana

  • @richardodoyo7511
    @richardodoyo7511 Před 4 lety +12

    Tatizo la mbowe anakula ruzuku za wanachama wa chadema mwenyewe karibu ccm. Tuwanyoweh

  • @tz7976
    @tz7976 Před 4 lety +22

    MBowe usirogwe kugombea ubunge mwaka huu utakufa na presha maana sizani kama utapata kura umejitahidi sana labda kura 2🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @lucky9285
      @lucky9285 Před 4 lety

      Vipi umepanga ukamng"oe kwenye jimbo lake ??au ni mpambe wa wanamme wengine

    • @gabrielbahat9107
      @gabrielbahat9107 Před 4 lety

      Kabisa aisee kwa Dar sidhani chadema kama watapata mbunge hata mmoja! Akishinda mmoja tu ni ushindi mkubwa kwao!

  • @johnboscohava7340
    @johnboscohava7340 Před 4 lety +14

    KILIVUTIA UOGOZI WA KIKWETE SIO KWA RAIS HUYU KAJITOSHEREZA HADI KEROO😂😂😂😂😂

    • @hamisimussa2228
      @hamisimussa2228 Před 4 lety

      Kipindi nchi imejaa mafisadi lazima ccm waachie ngazi mnafiki mkubwa

  • @ramlasalim4906
    @ramlasalim4906 Před 4 lety +33

    Mbowe kajimaliza mwenyewe huwezi kua kiongozi dikteta na mbabe kwa watu ambao wao ndio source ya wewe kuwepo

  • @boazsebastian358
    @boazsebastian358 Před 4 lety +12

    Mbowe anapiga pesa pale hakuna chama

  • @AbdalahKileo
    @AbdalahKileo Před 4 lety +4

    Hongera Mhandisi Mustafa Muro kwa maamuzi yako ya busara.

  • @conasmalale1073
    @conasmalale1073 Před 4 lety +13

    Mbowe atakula bata sn kama munamwachia mapene yote mumpeleke mahakamani arudishe hela za umma kama anamatumizi mabaya ya ruzuku

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 Před 4 lety +19

    Chama kwishaaaaa mboe achia ngazi uwe raia tu maana huwezi kupokelewa popote

    • @husseinyusuph5458
      @husseinyusuph5458 Před 4 lety

      Wee watu hatufanani ila ote wangekuwa Kama Mimi mbowe akiitisha mkutano mnaweka viti vizuri alafu kila kiti mnaweka jiwe alafu mnaondoka akija hakuti mtu

  • @sarahasajile1271
    @sarahasajile1271 Před 4 lety +3

    Karibu ccm

  • @hindisaidi5097
    @hindisaidi5097 Před 4 lety +14

    Wale wanaopata makombo hufunua midomo yao "wananunuliwa "sasa kuna mengi tutayaona kwani msimu umefika. Tumbo la chura lilipasuka kwa kushindana na ng'ombe...
    CCM DAIMAA.

    • @alihu3752
      @alihu3752 Před 4 lety

      Anasema ukweli huyoo hakuna mjinga sie jua hali ilivyo chadema

  • @keifatuke99
    @keifatuke99 Před 4 lety +11

    Sasa naweza amini sasa "Chadema" wanamjua nani alimpiga risasi "Lisu" kwa mwenendo huu

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 Před 4 lety

      Lissu alipigwa Risasi na utawala wa Magufuli hakuna mwingine anaweza ondoa walinzi kwy majengo na kwenda kufanya shambulio la mauaji

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 Před 4 lety

      Safari njema kuelekea NCCR MAGEUZI

  • @mwandymussa6180
    @mwandymussa6180 Před 4 lety +7

    Umewapa mawazo mazuri sana ila wanajifanya wajuaji wakati vilaza umeongea vizuri tatizo wachumia tumbo

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 Před 4 lety +20

    Mtu na akili zako unamchagua mwanamke sampuli ya Halima Mdee, Ester Bulaya kuwa mwakilishi wako bungeni! Watu wa Dar na Mara mnakosea wapi?!

  • @jackmabirangacharles9398
    @jackmabirangacharles9398 Před 4 lety +1

    Pole sana kwasafari ndefu ya kisiasa

  • @bwerumaster6691
    @bwerumaster6691 Před 4 lety +9

    Pipoooooozi Pwaaaaa!

  • @everlastthebad4441
    @everlastthebad4441 Před 4 lety +13

    lijualikali ndio mjenga sera

  • @allymohamed8658
    @allymohamed8658 Před 4 lety +26

    JPM NI BABALAO, MAJALIWA NI BABALAO, MAKONDA NI BABALAO, WELCOME TO CCM

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 Před 4 lety

      😁😁😂😁😁

    • @lameckmichaelmagazi6345
      @lameckmichaelmagazi6345 Před 4 lety

      🤣🤣🤣🤣🤣

    • @daudmakolo5244
      @daudmakolo5244 Před 4 lety

      Haya ni mambo ya kawaida sana,yaani sana.lengo kubwa la vyama vya kiimla kama vile ccm ni kuhakikisha kwa gharama yoyote wanaendelea kutawala na sii kuongoza,ili kuficha dhambi na makosa mengi waliyoyafanya,huku wakiendelea kujificha ktk andiko kuwa hakuna mamlaka isiyotokana na Mungu.ccm wanataka kutuaminisha kuwa tz hii hakuna tatizo lolote isipokuwa tatizo ni mbowe na chadema.mbona hatusikii mrema akifuatiliwa naye ni mwenyekiti wa kudumu wa tlp.ujue huyo ameingizwa na kuukubaki mfumo.kwa watu wenye mawazo mapana kama mbowe lissu myika,hawatakiwi kabisa.bahati mbaya watz wengi ni fuata upepo,hawana misimamo.tutayumbishwa sana.nchi inamatatizo lukuki lakini tunaelekezwa kuwa tatizo ni mbowe na chadema!!!!Mungu tukumbuke watz tunahitaji msaada wako baba.

  • @phabianstephano8279
    @phabianstephano8279 Před 4 lety +1

    Short and clear

  • @evelina9621
    @evelina9621 Před 3 měsíci

    Wakati
    Una
    Me,ngi.

  • @deisdediterkomba6369
    @deisdediterkomba6369 Před 4 lety +1

    Hongera kujua combo ulichopanda sio. Shuka wahi kwenye chombo imara

  • @kijubakidiza5181
    @kijubakidiza5181 Před 4 lety +5

    Hekima busara na unyenyekevu ndo sifa ya uongozi sema kwa mwaka huu tutayajua mengi mamaaaaaa kweli siku ukiona mgoni anasifiwa ujue mwenye mke kaharibu zaidi

  • @alphoncemwilolezi9131
    @alphoncemwilolezi9131 Před 4 lety +11

    Acha waisome no

  • @danielshauri6390
    @danielshauri6390 Před 4 lety +6

    CCM 1

  • @gloriamichael3698
    @gloriamichael3698 Před 4 lety

    Pole sana ndiyo siasa

  • @jafabanda6382
    @jafabanda6382 Před 4 lety +2

    Muache jembe JPM amepima papaya kimebabi 2020 kupima chadema corona tupu. Kweli JPM hapingani na mtu yoyote hapa duniani zawadi tumepewa na mungu. Kama Yusuf wa misiri myaka yile. Viva JPM God bless JPM God bless Tanzania 🇹🇿.

  • @JOHN16verse33
    @JOHN16verse33 Před 4 lety

    Duh Mwamba kiboko!

  • @calvinkitaly9376
    @calvinkitaly9376 Před 4 lety +6

    Kumbe bado umebaki ukawa , bora mngeenda ccm

  • @katarinawilliam9960
    @katarinawilliam9960 Před 4 lety +10

    N.C.C.R.MAGEUZI GO BACK TO NOMAL LIKE 1994..🙏🙏🙏🙏

    • @polloz77
      @polloz77 Před 4 lety +2

      NCCR ni chama cha upinzani Tanzania next election

  • @michaeltarimo2241
    @michaeltarimo2241 Před 4 lety +16

    Namshuri Mwamba Mbowe ajiuzulu uwenyekiti akinusuru Chama, laa sivyo atabaki yeye na familia take. Magufuli hoyeeeeeee

  • @michaelmakori7324
    @michaelmakori7324 Před 4 lety +9

    CCM no 1

  • @omarmchoya9285
    @omarmchoya9285 Před 4 lety +6

    wazo lang laleo nahs hata tundu liss mbowe ndoalihuska ili ajinafas kwenye kula ruzuku za wenzake Ccm oyeeeeee maguful jembe

    • @maimlelwa7894
      @maimlelwa7894 Před 4 lety

      Kwa hao wanavyo tafuta sababu hapo ndio wangepenya ila mmechelewa sana

  • @shadymbuki87
    @shadymbuki87 Před 4 lety +10

    Meli inazidi kuzama.

  • @hamadali9159
    @hamadali9159 Před 4 lety +5

    Kulewa sifa umegusa sehemu sawa

  • @tozzaalexandar4905
    @tozzaalexandar4905 Před 4 lety +1

    Kweri baba safii kabisa

  • @davidlucas5445
    @davidlucas5445 Před 4 lety

    Etwa chadema

  • @suleimanbakar1271
    @suleimanbakar1271 Před 4 lety

    tanzania upinzani hawendi mbele kwa unafiki maisha mtatawaliwa na ccm kwa ujinga wenu

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 Před 4 lety +1

    Chadema wamepata laana kumbeza mzee sumaye .

  • @christiankiponda4639
    @christiankiponda4639 Před 4 lety +5

    Freeman Aikaeli Mbowe, ni Mtu wa Dhuluma, na Tamaa, hasa Upande wa fedha, huyu freeman Mbowe ni Mhuni, wa Mjini, hafai hata kumkabidhi, Ukuu wa Wilaya, pia Anapenda sana Uchi, hapo kaka Uliingilia, Mapenzi ya Watu, huyu Freema amemdhulumu, Dj Gerald, Kiinua Mgogo chake, alichafanyia kazi pale kwa Miaka Mingi, dhulumu jadi yake, Na kwa nini hataki Mtu achukue kiti chake, anacho ogopa kutoka kwenye kiti, ni yale Madudu, aliyofanya, ameiba pesa nyingi za Chama.

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 Před 4 lety

      Ameiba pesa serikali yako ya ccm kwanini haijamkamata hadi leo toka 2004 acha upuuzi wewe

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 Před 4 lety

    Pole sana

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 Před 4 lety

    Asante bola ulivyoondoka ccm na atukutaki nenda ukouko ccm tuachie wenyewe

  • @nelsonshillah6618
    @nelsonshillah6618 Před 4 lety +2

    Kwann mnafanya hayo sasa?

  • @jafabanda6382
    @jafabanda6382 Před 4 lety +2

    Hilo genge kabisa lakini watu wakiwa zaidi ya wa3 anatakiwa ashitakiwe. Kingine mutuambie story ya Tundu lisu chadema munajuwa %85.

  • @stephenchelele5704
    @stephenchelele5704 Před 4 lety +1

    Mwenyekit km unaitaji chama kiwe hai tunaomba ujiudhuru

  • @emmanuelurassa4852
    @emmanuelurassa4852 Před 4 lety

    Chadema hatuoni shida sna Kwanza jiwe alishasema atahakikisha mpk mwaka 2020 hakutakuwa na upinzani tz kwa hyo his no njama tu

  • @khneesajumaa2052
    @khneesajumaa2052 Před 4 lety +2

    Tutasikia mengi

  • @husnahassan6289
    @husnahassan6289 Před 4 lety +4

    Maskeen MBOWE SO SAD WALLAH

  • @isaacvtv547
    @isaacvtv547 Před 4 lety

    Jamaa kuna waikato anasound kama Lowasa.

  • @hadijaalpha7547
    @hadijaalpha7547 Před 4 lety +8

    2015 mawaziri wakuu walio jiunga na chadomo walikuwa tayari mafisadi!stupid!yote tunayajua na tulikuwa tunayajua!watanzania sio wajinga kihivyo 🇹🇿

  • @gabrielaniseti1537
    @gabrielaniseti1537 Před 4 lety +1

    UNAFAA KUWA MBUNGE,UNA UWEZO WA KUJENGA HOJA.

  • @gastordominic410
    @gastordominic410 Před 4 lety +1

    Chama bado kipo imara sana.....mnaondoka siyo kama dr slaha au lowasa.....
    Chama ni watu wa chini siyo juu

  • @justuswaziri5691
    @justuswaziri5691 Před 4 lety

    Pole sana, ila akili ya kuambiwa pia ongeza na ya kwako

  • @khadijacharles2433
    @khadijacharles2433 Před 4 lety +2

    Sasa hivi nimekuelewa baba

  • @mbonireamina6497
    @mbonireamina6497 Před 4 lety +4

    Mtahama sana lakini hamtakuwa salama atakayekuwa salama ni yule atakayehamia CCM. Nia ya Magufuli iko pale pale kuvimaliza vyama vya upinzani. Ameanza na CHADEMA kitafuatia NCCR maana kitakuwa na nguvu kisha vingine vitafuatia. Hata Mbatia anapoteza mda wake labda afaidi Ruzuku. Magufuli akishammaliza MBOWE anafuatia MBATIA.

    • @lameckadusso7601
      @lameckadusso7601 Před 4 lety

      Ninyi mnatetea ugali viongozi wasaliti ni ninyi Tena nawaombea mbaki msichaguliwe

    • @benedictokazimoto5187
      @benedictokazimoto5187 Před 4 lety +6

      Raisi wetu sio kwamba anamaliza upinzani si kweli ila wamepoteana wao kwa wao kwa kucheza na team bora kama Raisi Magufuli. Usitegemee team ya ndanda ikamshinda barcelona never na bado watahangaika sana kama wasipoungana na raisi na wananchi kwa ujumla . Rais Wetu endelea kuinyoosha nchi bado inapindapinda kidogo

    • @rogermomodesty3568
      @rogermomodesty3568 Před 4 lety +1

      Umeongea pumba tu Magufuli unaemtaja ushawai kumsikia akiwaongelea upinzani hata siku moja Rais yeye anapiga Kaz tu, lakin nyinyi hamuishi kumtaja taja ndicho kinachowaua mbwa nyie

    • @Jastus100
      @Jastus100 Před 4 lety +1

      Rais hana mambo ya kuongelea chama, na huwa anasema analeta maendeleo kwa watz wote sio ccm tu

    • @benedictokazimoto5187
      @benedictokazimoto5187 Před 4 lety +2

      Sisi tunaomuelewa rais wetu tunamuombea mazur kwa Mungu azidi kutuongoza vizur na kuipeleka nchi yetu mahali pazur zaid hii nchi ni yakwetu sote inatakiwa tumuunge mkono

  • @honestmrema5190
    @honestmrema5190 Před 4 lety +1

    Njaa mbaya sana

    • @aminahassan561
      @aminahassan561 Před 4 lety

      Angebaki chadema asingekuwa na njaa

    • @mathewtwimanye92
      @mathewtwimanye92 Před 4 lety

      Unasema kweli mkuu matusi ni moja ya sera zao hata Wanachoma wake wameambukizwa hicho soma tu comments zao ni matusi tu utajua tu huyu ni chadomo wakifungua midomo yao utashangaa

  • @gabrielaniseti1537
    @gabrielaniseti1537 Před 4 lety +3

    KICHWA CHA NYOKA HAKIWEZI KUBEBA MZIGO, DUU FAFANUA,.
    WAOGA WA DEMOKRASIA, DEMOPHOBIA

    • @jovinusrwegoshora3206
      @jovinusrwegoshora3206 Před 4 lety

      Watu muwe waelewa mtu kapata ziro form 6..hataogoza watu litoeni limbowe ndo linavulug

  • @chrisiasbrown2208
    @chrisiasbrown2208 Před 4 lety +2

    Naona wanamsafishia tu njia magufuli.. Uchanguzi huu Hawa wapinzani huenda wakaambulia patupu...

  • @nasserrostom6340
    @nasserrostom6340 Před 4 lety +6

    Saccos kwaeri byee ntakumis kwa vituko vyako

  • @chescomolla5557
    @chescomolla5557 Před 4 lety +1

    Hameni woooooteee Mimi nabaki chadema , chadema kubwa la maadui. Watakufa sanaaaaa mwaka huu!

  • @swaleheally8134
    @swaleheally8134 Před 4 lety

    Piga kelele kwa ccm yake mtaisoma namba

  • @freebeguronu5948
    @freebeguronu5948 Před 4 lety

    Wewe ni mwongo wal ali ndogo

  • @gracejohn886
    @gracejohn886 Před 4 lety

    Kwa hiyo kila mkivamiwa ni ccm chunguzen kwanza Kwan magufur ana plesha gani kwa mfano adi apige miguu ya mbowe jaman au kateguka kwenye vigae

  • @francisbuya8357
    @francisbuya8357 Před 4 lety +1

    Kwa jinsi unavyoeleza kaka nimeaminimi kweli CHADEMA ni chaka la wahuni na watekaji. Yawezekana wanatekana wao kusingizia serikali achana na hao wahuni ndugu watakuua

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 Před 4 lety +1

    Mbowe anatakiwa afungwe. Ni muhimu, ni mwizi na mudanganyifu. Kawaibia Watanzania kodi zao. Kakaa kwenye jengo la serikali kwa miaka mingi bila ya kodi kwa mabilioni kakichukuwa chama cha Chadema kama mali yake binafsi. Wakati Dr Slaa alikuwa ni kiongozi chama hiki kilikuwa na chama cha kuheshimika. Sasa kashikikia madaraka MWIZI namba moja.

  • @japhetjoseph1772
    @japhetjoseph1772 Před 4 lety

    ukiama chadema unakuwa yuda chapu Neno kuu chadema usaliti

  • @watwegopnina6480
    @watwegopnina6480 Před 4 lety +1

    Wacha waisome namba eee CCM MBELE KWA MBELE. COM MBELE KWA MBELE 🤣🤣🤣

  • @DavidMutiba-hr3vo
    @DavidMutiba-hr3vo Před měsícem

    NCCR MAGEUZI MBONA PIA PANAWAKA MOTO?? AU MNAENDA CCM? ILA MNAZUNGUKAZUNGUKA TU?

  • @francisbuya8357
    @francisbuya8357 Před 4 lety

    Kagame umesomeka vizuri

  • @swaleheally8134
    @swaleheally8134 Před 4 lety

    Mangu baba lao tuliwambia mta elewatu Ila mtachelewa

  • @vumiliareonard4718
    @vumiliareonard4718 Před 4 lety

    Mɓwowe uriƙosea ƙuchuƙua mahamuzi ƙaɓula ujayashiriƙisha wenzaƙo jua unapo ƙua ƙiongozi jua unawaongoza wanao ƙuzinɗi ata Erimu

  • @meryjohn7120
    @meryjohn7120 Před 3 lety

    Siuwende bhana usitupigie kelele

  • @juliananguma8981
    @juliananguma8981 Před 4 lety +1

    Tulishazoea sana

  • @lauriankajugusi3971
    @lauriankajugusi3971 Před 4 lety +2

    Chama ni kama dhehebu. Kasisi akikùudhi hutohama dhehebu, kwani huwi dhehebuni kumuabudu kasisi hiyo, Bali Muumba.Kama isingekuwa mwanasiasa malachi, usingemkimbia Mbowe, Bali ungesimamia haki zinazopokwa na mababe hao wachache,ikizingatiwa kuwa hata wao hawakuihasisi chadema. Punguzeni woga km kweli mmeamua kuwa wanasiasa.

    • @issamasimba9813
      @issamasimba9813 Před 4 lety

      Wewe ni mwehu umenunuliwa ukaambiwa nenda cuf ili usijionyeshe ccm utaenda badae mbwa wewe

  • @anuaryally6177
    @anuaryally6177 Před 4 lety

    Nakuaminia kutomung'unya maneno

  • @swaleheally8134
    @swaleheally8134 Před 4 lety

    Mta lopoka yote mwaka huu ccm ipo juu

  • @nassoromagali5789
    @nassoromagali5789 Před 4 lety +3

    Mbowe ooooooyeeeeeeh

  • @mngwaliallykizangwa5888
    @mngwaliallykizangwa5888 Před 4 lety +1

    Ukosefu was adabu,hilo umenena.

  • @amanirashid9011
    @amanirashid9011 Před 4 lety +1

    nasema nabado

  • @jumamaguya622
    @jumamaguya622 Před 4 lety

    Kuna pipoooooooz hapo tena nashauli mbowe ajiudhuru kwa mapenzi ukiona watu wako wanakudharau wanakukimbia je Kama kiongoz unaona unakimbiwa jitambue kuwa sera au umalufu wako umekwisha sasa soma nyakati ondoka taratibu chama kimekushinda ila kwa kuwa upo hapo kwa masilai utapuuza haya

  • @mossymtwana6422
    @mossymtwana6422 Před 4 lety +1

    Tuvushe Babaa tumechoka tuvushe 🤣🤣🤣🤣

  • @benedictoshadrack2573
    @benedictoshadrack2573 Před 4 lety

    Nilifikiri kinachozungumzwa kina maana kumbe pumba tupu aise pole sana

  • @hindisaidi5097
    @hindisaidi5097 Před 4 lety +1

    Unakwepa ngumi kwa kufumba macho 🙈🙈

  • @peternkohi8830
    @peternkohi8830 Před 4 lety

    Hapo hakuna kitu

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 Před 4 lety +1

    Ila angalieni na huko mnakohamia; ni mangis wale wale. Catrevi!

  • @kenethmwangoka981
    @kenethmwangoka981 Před 4 lety +5

    vyama vya kihuni havina utaribu wa kinidhamu wanatumia lugha za stend

  • @yohanantunga9657
    @yohanantunga9657 Před 4 lety +1

    Mbowe ni hazina kubwa sana ya tz ningumu kuwa na kiongozi mzalendo kama huyu. Chandema tunawaelewa sana wakiwa bungeni. Wanatutetea wananchi ccm wanaitetea sana serikar

  • @samuelminja1084
    @samuelminja1084 Před 4 lety +3

    Mbowe na lipumba ni zena na betina wajinga sana😂😂😂😂😂😂😂 kwisha kazi yao

  • @ayoubhussein6625
    @ayoubhussein6625 Před 4 lety +4

    Likes 1000 kwa mwamba mbowe tafadhali

  • @kirifuwiliam1061
    @kirifuwiliam1061 Před 4 lety

    Hacha kutapatapa

  • @benedictoshadrack2573
    @benedictoshadrack2573 Před 3 lety

    Haka kajamaa naona kama kanabwabwaja bwabwaja tu hata hakaeleweki hakuna mtu wa kukuambia vitu kama hivyo kuwa eti usichangamane na watu hayo ni maneno yako

  • @tariqmussa8099
    @tariqmussa8099 Před 4 lety +1

    Waache wakaze shingo kama farao watapotea wote

  • @teonasijoseph3212
    @teonasijoseph3212 Před 4 lety

    ila ninyi wanasiasa wote mnapigania matumbo yenu hakuna chama kilicho safi TZ.. kwa ninyi viongozi mlio kwenye hii press why hamkuondoka before mwaka wa uchaguzi, kulikua kuna mwaka jana, mwaka juzii...ACHENI NJAA

  • @vumiliareonard4718
    @vumiliareonard4718 Před 4 lety

    Mɓowe naƙushauri acha ƙutia nia ƴa ƙugomɓea ƙaa pepeni uƙaturie ƙwanza vinginevƴo utaoofiƙa sana

  • @hamisimuhunzi7916
    @hamisimuhunzi7916 Před 4 lety

    Ukitoka Chadema mtu mdogo kama Diwani Muro anatumia dakika 20 kumshambulia Mbowe ujue huyo mtu amenunuliwa na CCM maana ndio target yao. Muro umekaa cdm miaka 5 leo hii ghafla ndio unagundua cdm kuna tatizo na dawa yake ni kuhama haraka haraka. Ungebaki cdm upambane mumo kwa mumo.