1. KUONDOA MAZUIO KATIKA MIFUMO YANAYOZUIA KUFANIKIWA KWAKO || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024
  • Semina ya neno la Mungu Singida || Day 1 || Tarehe 17 JULAI 2024
    .................................................................................................................
    Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
    M-PESA 0754 211 633
    0752 888 847
    TIGO-PESA 0715 511 633
    AIRTEL MONEY 0682 657 080
    HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
    WEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
    CRDB BANK
    ACC: 01J2032214400
    JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE

Komentáře • 118

  • @victoriaodhiambo6071
    @victoriaodhiambo6071 Před měsícem +7

    Bwana Yesu naomba uniondolee kila zuio katika kumiliki kwangu na uduma yangu. Na kila mazuio katika mazabau za ukoo zivunjike Katika jina la Yesu Amina.

  • @josephinesisso6598
    @josephinesisso6598 Před měsícem +4

    Mungu baba kaondoe Kila zuio ktk familia yetu ,vifungo vya kiuchumi,elimu,Afya,ndoa na kibali kutoka kwako baba Mungu naomba ukafungue nakuharibu madhabau chafu ktk Jina la Bwana wetu Yesu kristo naomba nikiamini🙏

  • @christinakiula3743
    @christinakiula3743 Před měsícem +6

    Mungu wape nguvu mpya watumishi wako wa MANA waendelee kuifanya kazi yako katka jina la Yesu. Damu ya Yesu inene mema juu yao.

  • @LucyGasper-df2uc
    @LucyGasper-df2uc Před měsícem +4

    Bwana ondoa zuio lililofanywa kwa njia ya matamko ,sadaka ili kuzuia mafanikia ya kiuchumi ,taaluma,ucha Mungu ktk watu wa nyumba ya baba zetu na mama zetu ktk kizazi hiki.Kwa jina la Yesu kristu wa Nazareti.Amen

  • @adventinahevaristo9558
    @adventinahevaristo9558 Před měsícem +5

    Mshahara wangu niliodhulumiwa kule mpunguzi naamn naenda kulipwa .... Sehem ya kumi nitakutolea Mungu 😢😢

  • @ulumbimtua8876
    @ulumbimtua8876 Před měsícem +15

    Asantee Jehova kwa kutuletea mwakasege,Mungu aendelee kukuinua zaidi❤

  • @lymsannouncement2321
    @lymsannouncement2321 Před měsícem +4

    Kila zuio kwenye mfumo wa ndoa, elimu,AFYA, kazi lililo kwenye familia yangu uzao wangu,kwa mume wangu Deusdedit na familia yake liondoke kwa jina la YESU KRISTO wa Nazareth Alie hai.
    Kika zuio kwenye mkutano huu liondoke kwa jina la YESU KRISTO wa Nazareth. Amen

  • @user-rh9uj3ye6x
    @user-rh9uj3ye6x Před měsícem +12

    Damu ya YESU iliyomwagika msarabani ikaondoe kila zuio ktk maishayangu kwa JINA LA YESU.am8na.

  • @AnitherFideri
    @AnitherFideri Před měsícem +2

    Kila zuio liondoke kwenye maisha yangu kwa jina la yesu

  • @anethsiame8789
    @anethsiame8789 Před 16 dny

    Asante kwa somo hili naamini Mungu anampango mzuri na Mimi kumfungua mifumo yangu

  • @DinnaRossana
    @DinnaRossana Před měsícem +1

    Mungu Baba wa mbinguni katika jina la Yesu ninaomba kila zuio lililoshika uchumi wa familia yangu Elimu shindwa kwa jina la yesu..

  • @AnthoniaMaji-zm9tf
    @AnthoniaMaji-zm9tf Před 9 dny

    Mungu akubariki sana. Mara nyingi neno langu hupitia kinywa chako😊

  • @angelbachuba9036
    @angelbachuba9036 Před měsícem +1

    Mungu wa Rehema naomba toba kwenye mifumo iliyofanya zuio kwenye uchumi wangu na tumbo la uzazi. Mungu naomba uniingize ndani yako. Amen

  • @MercyLaman
    @MercyLaman Před měsícem +5

    Mungu akubariki sana mtumishi

  • @christinakiula3743
    @christinakiula3743 Před měsícem +1

    Mungu ni mwema Singida tumefikiwa na semina. Kwa damu ya Yesu tukauone wokovu wake katika kila sehemu. Amen

  • @justicemollel4928
    @justicemollel4928 Před 15 dny

    Hallelujah! Hallelujah! Ubarikiwe sana babaetu mwl. Wewe ni chombo cha Bwana. Namuomba sana Mungu aweze kukulinda kukutunza na kukuimarisha katika kuwepo hapa duniani ili upate kulikamilisha kusudi la Mungu alilokupa

  • @user-gv7xo2ib8q
    @user-gv7xo2ib8q Před měsícem +1

    Mungu ni mwema NAMI anikumbuke na kuniondolea Kila zuio na kunipa mpenyo pamoja na familia yangu

  • @daudimhoha320
    @daudimhoha320 Před měsícem +2

    Kazi.nzuri.

  • @noelamboya5698
    @noelamboya5698 Před měsícem +2

    Hakika Mungu ni mwaminifu, asante kwa somo hili uliloachilia kwetu tukalisikia kama watumishi wako.

  • @petergasper7957
    @petergasper7957 Před měsícem +2

    Ubarikiwe sana unaetafsiri kwa ndugu zetu viziwi. Nao wanapata neno la mafundisho.

  • @salomengowi3383
    @salomengowi3383 Před měsícem +1

    Nifanye nini mimi zaidi ya kukuabudu na kukusifu mchana na usiku Ee Mungu, hakika Unajua kunipigania nisikate tamaaa, pamoja Na vita yoteeee lakini Bwana hunitia nguvu Na kunipa amani🙏🙏

  • @user-eg8yq7nf2m
    @user-eg8yq7nf2m Před měsícem +2

    Mungu uinuliwe katika yote uilinde madhabahu hii onyesha ukuu wako singida katika siku tano

  • @nuruelkeneth9940
    @nuruelkeneth9940 Před měsícem +1

    Amen 🙏 napokea miujiza ya kazi kila nilikotuma maombi yakazi nikaitwe kesho naamini kupitia mtumish wa Mungu milango itafunguka kwani nimechoka mazuio kwenye maendeleo yang 🙏🙏

  • @EvEmanuelSamson
    @EvEmanuelSamson Před měsícem +2

    Amen NAMI napokea furusa /milango ya mafanikio kwa uwepo huu mkuuu

  • @user-tv4fm7rf1p
    @user-tv4fm7rf1p Před měsícem +1

    Nakuomba Bwana wewe utuamue wewe na kurejesha mfumo wako katika huduma yetu., katika familia, katika biashara zetu. Katika kazi za watoto wangu. Na wanaotafuta kazi wafungulie mifumo. Bwana pigana na mifumo yote iliyofungwa ee Bwana. Nipe kukutumaini wewe.

  • @siahulomi1445
    @siahulomi1445 Před měsícem

    Mungu naomba umfungue mama yangu apate uponyaji kwa dam ya Yesu Kristo.naomben pia kila anaeomba amuombee mamangu apone stroke.

  • @ruthgreen3274
    @ruthgreen3274 Před měsícem +1

    Mungu Akutunze na kukubariki Mwl Kwa Utukufu wake, wewe na familia na team nzima!!

  • @LucyGasper-df2uc
    @LucyGasper-df2uc Před měsícem +1

    Hakuna wa kufananishwa na wewe Mungu wetu.Wewe huwarehemu watu wako wanaokulilia usiku na mchana

  • @priscaTweve-l2y
    @priscaTweve-l2y Před měsícem +3

    Amen Barikiwa Mwalimu

  • @NdeshiStephen
    @NdeshiStephen Před 29 dny

    Ahsante yesu kwa hii semina.mungu nakuomba tuondolee mifumo inayoleta audio la afya ,ndoa,elimu,uchumì.

  • @user-yd2zi9lo1f
    @user-yd2zi9lo1f Před měsícem +1

    Amen ubarikiwe napokea mamlaka ya kumrikii haki yangu

  • @EvEmanuelSamson
    @EvEmanuelSamson Před měsícem +1

    Naungana pamoja katika semina na maombez mungu anapobark nam nibarikiwe saa hii

  • @philipomollel4677
    @philipomollel4677 Před měsícem

    Mungu asinipite nijue mfumo mpya uliopo kwny maisha yangu

  • @marymessay2768
    @marymessay2768 Před měsícem

    Asante Yesu kwa ujumbe wa neno lako la uzima, mifumo yote ya hila inayozuia mafanikio yangu inaondoka kwa moto na kwa damu ya Yesu,

  • @MwaminiMuumbaji
    @MwaminiMuumbaji Před měsícem +1

    Ee YESU nirehemu

  • @reginalderasto5247
    @reginalderasto5247 Před měsícem +1

    Watu wa sound Mungu awasaidie

  • @furahangilangwa7904
    @furahangilangwa7904 Před 28 dny +1

    Namuombea mama angu apokee uponyaji wa miguu

  • @HadijaMwakaselema
    @HadijaMwakaselema Před měsícem +1

    Yesu kumbuka kazi za mikono yangu

  • @danielmamelafrokenya3816
    @danielmamelafrokenya3816 Před měsícem +3

    Haki ya ardhi ya baba yangu tuliodhulumiwa mungu aturudishiiii

  • @user-cr7te4bh7r
    @user-cr7te4bh7r Před měsícem +1

    mungu azidi kukueka wengi tunatengemea mafundisho yako

  • @lymsannouncement2321
    @lymsannouncement2321 Před měsícem +1

    Asante Yesu kwa upendo huu mkuu

  • @JescarMwakipesile
    @JescarMwakipesile Před měsícem

    Asante Mungu kwa elimu hii ni kubwa mno na yenye maelezo ya kina.Mbariki Mtumishi wako..

  • @wilfredjohn4829
    @wilfredjohn4829 Před měsícem +1

    Barikiwa Baba yangu Mungu akulinde na kukutunza Amen...

  • @EvelynRwegasira
    @EvelynRwegasira Před měsícem +1

    Killa zuio liondoke katka maisha yangu kwa neno la BWANA

  • @joelkimario42
    @joelkimario42 Před měsícem +2

    Damu ya agano jipya itufunike na kutufundisha neno lako

  • @user-yl6be8wx5x
    @user-yl6be8wx5x Před měsícem +1

    Yesu niko hapa usinipite mwokozi

  • @elizabethalex6138
    @elizabethalex6138 Před měsícem

    Yesu Napokea urejesho kwenye Maisha yangu katika Jina La Yesu Kristo

  • @user-pi1st6pj3w
    @user-pi1st6pj3w Před měsícem

    Asante sana MUNGU Baba wa Mbinguni Akubariki YESU ni mshindi nimepona

  • @MARTHAALEX-p6o
    @MARTHAALEX-p6o Před měsícem +1

    Yesu kumbuka maisha yangu Amen

  • @jullymosi9943
    @jullymosi9943 Před 23 dny

    Eeh! Mungu tupe maarifa ya kutosha ili kushughulikia ipasavyo udhalimu na ugandamizaji uliopo ktk mifumo ya maeneo mbalimbali kwenye familia na jamii yetu inayozuia mafanikio ya maisha yetu.

  • @ernestbutagalala
    @ernestbutagalala Před měsícem +3

    Jaman mafundi mitambo rekebisha kidogo tupate kuidanilodi jamn tunawaomba lakn

  • @fatnasaid4301
    @fatnasaid4301 Před měsícem +1

    Yesu nitetee na uwe nami kila siku

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola1754 Před měsícem +1

    Mungu azidi kukutunza na Familia yako na team nzima ya Mana 🙏

  • @jackeniibraimusenga2200
    @jackeniibraimusenga2200 Před měsícem

    mungu wa mbinguni asante kwa mwalimu christopher mwakasege juu ya neno hili. aminaaa

  • @stephanosospeter1709
    @stephanosospeter1709 Před měsícem +1

    Asante YESU KRISTO

  • @mwendwanoah5225
    @mwendwanoah5225 Před měsícem

    Haleluya utukufu kwa Bwana Yesu jidhihirishe katika mji wa singida

  • @smartmwakipesile3842
    @smartmwakipesile3842 Před měsícem +1

    Mbingu zikunenee mema mtumishi wa Mungu

  • @user-vz6lu3fd1m
    @user-vz6lu3fd1m Před 29 dny

    Asante mungu mwema kila wakat tunazid kumtukuza kila wakat wewe ni Ebenezer

  • @furahangilangwa7904
    @furahangilangwa7904 Před 28 dny

    Amen

  • @AllenMpeta
    @AllenMpeta Před 28 dny

    Amen! 2:57

  • @lydiaaruba6670
    @lydiaaruba6670 Před měsícem

    Asante Yesu kunisikizisha neno lako nchi ya utumwa 😊🇸🇦🇸🇦👋

  • @elizabethalex6138
    @elizabethalex6138 Před měsícem

    Bwana Yesu Kristo tenda Sawa Sawa na kusudio lako Ameen

  • @emmanuelelias7589
    @emmanuelelias7589 Před měsícem

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @user-ve1wl3jv6r
    @user-ve1wl3jv6r Před měsícem

    Mungu nimwema damu yako inenemema katika nyumbani kwangu mungu wasitahili bwana

  • @user-lj7oq5hp4f
    @user-lj7oq5hp4f Před měsícem

    Asante Baba Mungu kuniletea Neno

  • @HadijaMwakaselema
    @HadijaMwakaselema Před měsícem

    Ameni

  • @gracenashengena3366
    @gracenashengena3366 Před měsícem +19

    NAAMINI NYUMBA YANGU YA MERU NITAIPATA WALE WANAOTAKA KUNINYANGANYA MUTUMA NA WENZAKE EE YESU INGILIA KATI NIWEZE KUPATA ADUI WAPATE KUSHINDWA MHARIBU.ASHINDWE KTK DAMU YA YESU

  • @marynakei2621
    @marynakei2621 Před měsícem +1

    Yesu kumbuka biashara yangu

  • @user-cs8cl3ty8p
    @user-cs8cl3ty8p Před měsícem

    Amina ubarikiwe sana

  • @HopeMbise-k9n
    @HopeMbise-k9n Před měsícem

    Tunashukuru mungu amekuwa msaada kwa wengi

  • @benadethamlay3395
    @benadethamlay3395 Před měsícem

    Eeeh Yesu mwema nakutumainia

  • @user-kv3ng8jp5w
    @user-kv3ng8jp5w Před měsícem

    Amen❤❤❤❤😊

  • @AnitherFideri
    @AnitherFideri Před měsícem

    🎉🎉🎉

  • @user-sn9lh6gv7t
    @user-sn9lh6gv7t Před měsícem

    Amina kubwa ubarikiwe

  • @user-gv1op9qg3l
    @user-gv1op9qg3l Před měsícem

    🙏🏻🙏🏻

  • @dianamlowe1950
    @dianamlowe1950 Před měsícem

    Mungu nikumbuke kwenye uzO wa tumbo langu

  • @user-zz9fn8bv2n
    @user-zz9fn8bv2n Před měsícem

    Bwana yesu asifiweh.....kwa tv ni jina gani tu search

  • @MariaEnock
    @MariaEnock Před měsícem +1

    Watu wa singida msikose kwenda kwenye semina nawaomba

  • @Lovenessimon-zz8qg1jz6j
    @Lovenessimon-zz8qg1jz6j Před měsícem

    Asante asante

  • @EvaEzekiel
    @EvaEzekiel Před měsícem

    Asant Yesu

  • @furahangilangwa7904
    @furahangilangwa7904 Před 28 dny

    Navunja maagano yote yaliyofunga uchumi wa kaka yangu

  • @user-yl6be8wx5x
    @user-yl6be8wx5x Před měsícem

    YESU usinipite

  • @JoyceAmos-p2s
    @JoyceAmos-p2s Před měsícem

    Amen🙏

  • @PendMartinShalua
    @PendMartinShalua Před měsícem

    Asante sana naamini mfumo wangu umebadilika asante san mtumish wa MUNGU

  • @LinahRasia
    @LinahRasia Před měsícem

    🙏🏼 🙏🏼

  • @Emmylyimo
    @Emmylyimo Před měsícem

    Yesu ingilia kati mtoto wangu

  • @JoyceAmos-p2s
    @JoyceAmos-p2s Před měsícem

    Ameni🙏

  • @JoshuaHilgath
    @JoshuaHilgath Před měsícem

    Amina Amina

  • @user-kc5le8wi3z
    @user-kc5le8wi3z Před měsícem

    🙏🙏🙏

  • @marymfoi9349
    @marymfoi9349 Před měsícem

    🙏

  • @user-bt9uy5wn8y
    @user-bt9uy5wn8y Před měsícem

    Mbona me funga download jaman

  • @nancysimon4453
    @nancysimon4453 Před měsícem

    Kila zui Katika upataj riziki naifungua ktk jina la yesu nafungua kila mahali adui alipo funga magonjwa nakemea hapa sio mahala pake

  • @lydiamakenge5613
    @lydiamakenge5613 Před měsícem

    Najunganisha namaombi

  • @sarahboke9352
    @sarahboke9352 Před 7 dny

    A

  • @mamsaramamassawe.4797
    @mamsaramamassawe.4797 Před měsícem

    🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @happymaimu4330
    @happymaimu4330 Před měsícem

    MUNGU wa Mbinguni tufungue

  • @SalomeLyakurwa
    @SalomeLyakurwa Před měsícem

    Amen

  • @JoyceAmos-p2s
    @JoyceAmos-p2s Před měsícem

    Amen🙏

  • @markmassangya9247
    @markmassangya9247 Před měsícem

    Amen

  • @Lovenessimon-zz8qg1jz6j
    @Lovenessimon-zz8qg1jz6j Před měsícem

    Amen