2 KUONDOA MAZUIO KATIKA MIFUMO YANAYOZUIA KUFANIKIWA KWAKO || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE || Singida

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • Semina ya neno la Mungu Singida || Day 2 || Tarehe 18 JULAI 2024
    .................................................................................................................
    Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
    M-PESA 0754 211 633
    0752 888 847
    TIGO-PESA 0715 511 633
    AIRTEL MONEY 0682 657 080
    HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
    WEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
    CRDB BANK
    ACC: 01J2032214400
    JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE

Komentáře • 43

  • @EliazeliAbely
    @EliazeliAbely Před měsícem +24

    Eeee Mungu tunakushukuru kwa kumleta Mwakasege wetu, endelea kumtunza na kumtengenezea mrithi wa huduma,, ili huduma ya MANA isiwe na kikokomo mpka kuja kwake Kristo

  • @ruthhamisi2902
    @ruthhamisi2902 Před měsícem +6

    Yesu nakushukuru kwa ajili ya somo hili,naomba unikumbuke juu ya mifumo mibaya katika maisha yangu,biashara,ndoa,uchumi,familia nitoe katika nyavu walizofunga miguu yangu ili nisivuke kwa damu yako yesu ya agano jibya nisaidie yesu nakuamini,wakumbuke watoto wangu,mime wangu,ndugu zangu,ukoo wa baba na mama.ameeee!! asante yesu kwa msaada wake kwutu,ameeen!

  • @rachelpeter87
    @rachelpeter87 Před měsícem +4

    Eee Baba nipe ufahamu wako
    Asante kwa neno lako Bwana, asante kwa mtumishi wako Bwana. Mtie nguvu zako Bwana. Mlinde kwa Damu ya Yesu❤

  • @NguseloJacquline
    @NguseloJacquline Před měsícem +4

    Somo nzuri Sana barikiwa mtumishi was Mungu

  • @AnnoyedPrayingMantis-bp2qf
    @AnnoyedPrayingMantis-bp2qf Před měsícem +1

    Eeh mwenyezi mungu bariki kila moja wetu kwa nafasi yake

  • @juzika_online
    @juzika_online Před měsícem +3

    amen

  • @GloryMakundi-m6z
    @GloryMakundi-m6z Před 24 dny

    Yakima umenisamehe na kunitendea mema. Asante Mungu

  • @user-xk3qk5fx5e
    @user-xk3qk5fx5e Před měsícem +2

    Mungu akutunze mtumishi wa mung amen

  • @Magrethw-xp4ru
    @Magrethw-xp4ru Před měsícem +3

    Nimda wa Maduio baba naomba nielewe kimoja hadi kingine😢😢Mifumo ya familia yangu baba ingilia kati 😢😢🙇‍♂️📌📌🇦🇪

  • @user-fc9jq2hh1c
    @user-fc9jq2hh1c Před měsícem +2

    Asante mungu cwez kueleza naamin nitafunguliwa naogopa mate ndo Yako kwel mungu akupe maisha marefu kupitia ww mtumishi wake tunapokea uponyaji

  • @ruthhamisi2902
    @ruthhamisi2902 Před měsícem +2

    Yesu nitetee,maana naamini upo nami hujawahi kuniacha

  • @user-ts5ce9ps7q
    @user-ts5ce9ps7q Před měsícem +2

    Nisaidie YESU jinsi ya kusimamia maono yangu

  • @lightnesslaizer-fy4ff
    @lightnesslaizer-fy4ff Před měsícem +2

    MUNGU ninakutukuza kwa kwa somo xiri.Halelluyaa

  • @waithirahnaomy1573
    @waithirahnaomy1573 Před 4 dny

    Asante mungu

  • @user-jp1js4xm5r
    @user-jp1js4xm5r Před měsícem +2

    Huu ni wakati wangu asante mungu

  • @Lovenessimon-zz8qg1jz6j
    @Lovenessimon-zz8qg1jz6j Před měsícem

    Amen Amen Amen 🙏

  • @victoriadaniely
    @victoriadaniely Před měsícem +1

    Eeeée mungu ufalme wak ukae kwenye mifumo yang

  • @tereziamwashiuya8682
    @tereziamwashiuya8682 Před měsícem

    Barikiwa sana mtumishi

  • @benadethamlay3395
    @benadethamlay3395 Před měsícem +1

    Eeh Mungu usinipite

  • @stephanosospeter1709
    @stephanosospeter1709 Před měsícem +1

    Ameen

  • @judmerus7400
    @judmerus7400 Před měsícem +2

    Ameeeen

  • @anethsiame8789
    @anethsiame8789 Před 26 dny

    We are blessed 🎉be blessed Teacher

  • @EliaMhile
    @EliaMhile Před měsícem +1

    Barikiwa sana mwalimu, Mungu akutunze.

  • @daudimhoha320
    @daudimhoha320 Před měsícem +1

    Ameni.hakika.mbingu.ziendelee.kufunguka.haleluya

  • @moseskapola552
    @moseskapola552 Před měsícem +1

    Neno lako na liwe Halisi kwangu kama lilivyo nifunguliwe kila ninapoliskia mifumi isizuie lolote au chochote kwenye Maisha yetu Mapenzi yako Eee Bwana Yesu kristo yatimizwe kwangu😢❤

  • @EdsonJoseph-zl8vv
    @EdsonJoseph-zl8vv Před měsícem +1

    Barikiwa mnooooooo Mungu awatunze pia kuiendeleza huduma ya MANA.

    • @JimmyJoyce-bh3jv
      @JimmyJoyce-bh3jv Před měsícem

      MUNGU NISAIDIE NAOMBENI MAOMBI Mungu aniweze kupata watoto wakiume mapacha

  • @yustermunga557
    @yustermunga557 Před měsícem

    Eee Mungu unikumbuke

  • @yustersimkwai6140
    @yustersimkwai6140 Před měsícem

    Eeeh Mungu wangu nijakuhitaji, nihurumie na unitete katika kazi yangu.

  • @stephensaro2657
    @stephensaro2657 Před měsícem +1

    Mungu azidi kukupa mafunuo ya kuwaokoa wanadamu

  • @marthaswai1185
    @marthaswai1185 Před měsícem

    Hakika Mungu ameikumbuka Tanzania kwa jinsi ya ajabu.Ngazi ya familia,huduma Taifa .Utukufu kwa Bwana.

  • @dorismfalamagoha3119
    @dorismfalamagoha3119 Před měsícem +1

    Germany

  • @ArestidaKonyani
    @ArestidaKonyani Před měsícem

    Nimebarikiwa kutoka bahama

  • @dddiii2330
    @dddiii2330 Před měsícem

    YESU niponye miguu

  • @MarthaMollel-jc5kf
    @MarthaMollel-jc5kf Před měsícem +3

    Ee Bwan bila ww ss atuwez jamb lolote

  • @rehemamwamundela2717
    @rehemamwamundela2717 Před měsícem +1

    Amen