🔴
Vložit
- čas přidán 28. 04. 2024
- CATCH US BONGO FM 📻
90.0 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 89.7 DODOMA 📻 | 89.9 ARUSHA 📻 | 104.9 MBEYA 📻 | 90.0 MWANZA 📻 | SHINYANGA 89.9 📻 | KIGOMA 89.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: bongo_fmtz
TWITTER: https: BONGO FM
FACEBOOK: BONGO FM
#rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #micheZo #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #manara #teamindia #nguvumonukuu
#kondegang #singidafountaingate #wcb #yangatv #yangasc #diamond #simbatv #live #simbasc #kingmusicofficial #simbatv #diamond #yangasc #wcb #singidafountaingate #kondegang #wcb #yangatv #diamond #simbatv #live #simbasc #kingmusicofficial #simbasc #live #simbatv #diamond #diamond #yangatv #yangasc #yangatv #wcb #singidafountaingate #kondegang #singidafountaingate #wcb #yangatv #yangasc #diamond #simbatv #live #simbasc #simbatv #diamond #yangatv #wcb #singidafountaingate #kondegang
Transcript - Sport
ONE OF THE BEST INTERVIEW EVER...SAF SANA BONGO FM KWA MASWAL MAZUR NA KONGOLE KWA INJINIA KWA KUJIBU MASWAL VZR WW NI MFANO WA VIJANA WENGI
Yes wamefanya interview nzuri sana no kudandia hoja wanapeana nafasi ya kuongea yaani best of the best interview
KAZI nzury sana rais Eng hongera bongo FM
Eng wewe ni mtu wa kazi sana tutalipa ada zetu mkuu tuko nyuma ysko kaka usijali
Very proud of Mr hersi said 👏 🙌
Hakika tunampenda saaaaaaaaana kiongozi wetu Raisi wetu kipenzi chetu injinia helis said. Mungu amuongoze kwa kila lilo mbere yake (Amina)
Akili nyingi mnoo
Safi sana raisi wetu 💚✅✅🔰🟢
watani mnachakujifunza hapa Kwa financial value nimemuelewa eng Hersi wananchi tuzidi kujisajili na kununua majezi yetu
Daima mbele nyuma mwiko💛💚💛💚
Interview bora sana hii
Hongera Rais wa Yanga na M/Kiti wa African Football Clubs na M/Chama wa CAF Board. Uhave displayed ur leadership agility na a tireless fighter. Utakua very fit kugombania nafasi ya M/Kiti wa CAF soon.
Interview bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania kwasasa labda ije nyingine ipite hii big up sana Bongo fm
Hersi ni moto❤❤
Yanga 🔥🔥
Uyujamaa anajua sana
@@user-ui5xc6sb5m sio kidogo iyo n level nyingne
Kiongozi makini mitano tena
jamaa ana madini vibaya...sasa makolo viongozi wao km waganga wa KIENYEJI😂😂😂
Daaa nice lov it live it
Akili kubwa sana big up
Hii redio 🙌🏽 ina wanahabari wanajua fulsa ya kuuliza maswali ya mzingi sana.. ila kule kwa wengine ni wachamee
Kiukweli hata sisi wamanyema ni mwiko mwanume kupika hata iwe je 😂
💚💛
@peterkujuo1640 kwani wewe umetafsiri nini hilo neno?je yule mtangazaji anayesema bao la jioooooooni huwa ni kosa pia?yawezekana ni utohoaji wa kiswahili
Hiki kichwa mmh🙌🙌🙌
Best interview 🔥🔥🔥
Huyu kweli kiongozi, anapoint na anashawishi kumpa nafasi, hatakuongezi huoni anapokosea ana kila sababu ya kuwa raisi hata wa nchi
engine hers ulisoma combi gani wew sio kwa akili hyo bana mungu akupe afya njema kiongoz umeupiga mwingi nchi.
Mangungu na Jaribu tena wanachukua notes
Ubaya wa hii akili ya eng. Hersi haiigwi huyu kazaliwa anajua sasa huyu ngunguzi na wenzake hakuna mtu anaweza kufanya mambo kama haya
Aisee!!
Big IQ president
Hujamaa kichwa sana yani sanaaaaaaa
😂😂😂ali kamwe kumbe na yey alikuwepo
vp kuhusu ujenzi wa kiwanja pongezi kwa rais hersi kwa kazi nzuri daima mbele nyuma mwiko taburere rrraaaaaaaah
Laaaaaàaaaaaaah
Tulipenii ada ,
Tununue jezi na bidhaa club
Tuendeni viwanjani
In shaa allah ... Tukijaliwa atalifanikisha tukiungana pamoja
Akili kubwa sn hii
Huyu raisi ana akili sana very intelligent
Sawaa
Sema kuita kipindi Bao la asbuh sidhan kama imekaa sawa
kwani bao la asubhi ni nini?
Kwangu fresh ❤😂😂
😂😂😂😂 sio baya labda kama umeenda beyond the box ......
Nyinyi kweli mmeenda shule
Uyu jamaa anajua sana kama ikiwezekana apewe urais TFF jamani atatupeleka Nchi ya aadi
Hao tff walivyokuw hawaipend yanga mmh