GB 64 ALIPUKA USAJILI WA YUSUPH KAGOMA, SIMBA YA MSIMU UJAO NI TISHIO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 07. 2024
  • usajili wa simba
  • Sport

Komentáře • 60

  • @ZakariaSimon-gp1gr
    @ZakariaSimon-gp1gr Před 11 dny +1

    Tunakuja simba ❤ watajificha uto

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Před 11 dny +2

    mungu wabariki wachezaji wetu wasitupiwe majini

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 Před 11 dny

      Hiyo kazi inafanyagwa na shomari kapombe na Zimbwe Ili kulinda namba zao

    • @othmanali5799
      @othmanali5799 Před 11 dny

      Hiooo Kaz anafanya Mgunda maana akipewa timuu yy inafanya vizuri badae wanampokonya ndipooo anaenda kuwalogaa

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 Před 11 dny

    Napenda sana confidence ya team zote mbili naona msimu ujao ukiwa msimu bora sana.
    Wachezaji wazee ni Chama na Dube sajili zengine zilizobaki ni U25 rekebisha kauli yako ndugu. Kwa Dube bado akina Musonda na Mzize wapo.

  • @DavidLucas-cb1hx
    @DavidLucas-cb1hx Před 11 dny

    ❤❤❤❤❤mm kama mwanasimba apo kichapo 2

  • @user-mg1yl2rl8s
    @user-mg1yl2rl8s Před 11 dny +1

    Hii timu kuja kuwa seriius sijuwi lini asee hadi naogopa. Huyu si ndo alikua analia na kushindia pombe mwezi mzima kisa matokeo ya timu ambayo imefika hadi robo fainali. Sasa subiri ligi ianze sijuwi watabadirikaje asee😂😂😂😂😂😂

  • @user-pn8ux8of7f
    @user-pn8ux8of7f Před 8 dny

    Mnge msaji mayelle salum fei toto ningewaamini lakini aaa

  • @petermkinga3566
    @petermkinga3566 Před 11 dny

    GB umenifurahisha kwenye kazi na umri!

  • @AsumaniMkumba
    @AsumaniMkumba Před 10 dny

    Wew acha ushamb

  • @zakayomosha13
    @zakayomosha13 Před 11 dny +1

    Tajiri ameamua mazima!

  • @bahatimshali2731
    @bahatimshali2731 Před 11 dny

    Eti NSSF Team.
    Bro wasije kukushambulia😂

  • @lumistarboy8499
    @lumistarboy8499 Před 11 dny

    Kati kati ya msimu msije mtukana Mangungu 😅

  • @essaumapunda5766
    @essaumapunda5766 Před 11 dny +1

    Mo Dwj big up

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 Před 11 dny

      Team ikiyumba pia mumtaje Mo Dwj msimtaje Mangungu hata siku moja.

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u Před 11 dny

    Boss huna baya ila tu walindwe hao wachezaji umesajil watu Bora kabisa nakupa maua yako 🌹

  • @EliaNelson-l6c
    @EliaNelson-l6c Před 10 dny

    ❤❤❤❤

  • @maidafrancis45
    @maidafrancis45 Před 11 dny

    wadaiwa sugu fc wanakoloma utopolo

  • @user-yu2hh7kh8o
    @user-yu2hh7kh8o Před 11 dny

    wivu uo

  • @user-mg1yl2rl8s
    @user-mg1yl2rl8s Před 11 dny

    Eti ndugu yake Aziz Ki yaani ndo sifa😅😅😅😅😅😅. Yanga wamewashika pabaya sana utopolo wa mo dewji

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u Před 11 dny

    Gb 64 tuko pamoja boss Hana baya chakusema mim walindwe tu bas

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA Před 11 dny +2

    Je mnajua kwanini SIMBA IMESAJILI WACHEZAJI ambao walikuwa wachezaji bura KATIKA TIMU WALIZOTOKA ? JIBU: NI KWASABABU SIMBA NI TAIFA KUBWA

    • @user-mg1yl2rl8s
      @user-mg1yl2rl8s Před 11 dny

      Wachezaji wa bukubuku watawahusu sana tu na hivi mnapenda kulialia mtalia sana. Wachezaji wa maana hamuwezi kusajiri tajiri hana hela😂

  • @user-fd6ct9tv7q
    @user-fd6ct9tv7q Před 11 dny +1

  • @HussainIgayo
    @HussainIgayo Před 11 dny

    Wambie! Ngoja nicheze kwanz😂😂😂

  • @EmanweljahazEmanweljahaz

    Ninaaminin Sana simbo nguvu moja

  • @EmmanuelMsika
    @EmmanuelMsika Před 11 dny

    Pamoja

  • @juliascherehani2330
    @juliascherehani2330 Před 11 dny

    Simba pesa ipo

  • @PeterWillypnk
    @PeterWillypnk Před 11 dny

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🤝

  • @simonndunguru1629
    @simonndunguru1629 Před 11 dny

    Makolo Mazuzu watakuja kulia. Vijana Walio Nao ni Mapambo
    Huyu atageuza tu ila Mangungu wasimseme nafasi ya 5 inawahusu Thimbaa Chakavu

  • @user-mg1yl2rl8s
    @user-mg1yl2rl8s Před 11 dny

    Yaani kagoma ndo tegemeo la kutengeneza timu kweli!?😂😂😂😂😂😂

  • @nabiljumaothman5912
    @nabiljumaothman5912 Před 11 dny +5

    Wachezaji wa buku buku kibao 😂😂😂

    • @IlhamKhalid-mt3jp
      @IlhamKhalid-mt3jp Před 11 dny +2

      Mpumbavu wewee

    • @user-yq7dm4gw6j
      @user-yq7dm4gw6j Před 11 dny

      Au cyo

    • @user-yq7dm4gw6j
      @user-yq7dm4gw6j Před 11 dny

      Buku we unalo hlo buku kasajil na wewe

    • @SwaumuMalau-jh1hb
      @SwaumuMalau-jh1hb Před 11 dny +1

      Bora ule chakula Cha buku kuliko walichoachia wenzio

    • @jitihadaharuna9448
      @jitihadaharuna9448 Před 11 dny +2

      we ndio kuku kweli hujui kitu hujui hichi kikosi kinagharama kubwa kuliko timu yeyote tanzania. mchezaji wa umri chini 25 anagharama kubwa sio chini ya $300 350 unafikiria ni mchezo

  • @alhajimohamed1909
    @alhajimohamed1909 Před 11 dny

    Kaka nitumie number yako nikutumie hata ya vocha umenifurahixha sana NSSF

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 Před 11 dny

    Kwausajili huu wa simba nafasi ya tatu iko palepale

  • @user-mg1yl2rl8s
    @user-mg1yl2rl8s Před 11 dny

    Acha uongo Dube ni msumali wa moto kwa simba keshawafunga katika mechi zote 4 mlizokutana na Azam. kibu kawafunga Yanga mara 2. Halafu kuna Aziz Ki ambaye anajipigiaga tu simba tangu akiwa Asec😂

  • @emalema7423
    @emalema7423 Před 11 dny

    Hunakula hunavyo jiweza

  • @RashidiMkongewa
    @RashidiMkongewa Před 11 dny

    KIKULACHO KIKO KIKO KINGUONI MWAKO MNALOGANA WENYEWE SHOMAL NA SHABALALA NDIO WANAOLOGA WACHEZAJI WENU

  • @hamisimsosi6237
    @hamisimsosi6237 Před 11 dny

    Upande wa pili ni wazee fc😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @RashidiMkongewa
    @RashidiMkongewa Před 11 dny +1

    Nafasi ya 4 msimu huu inawahusu nimekaa pale😊

  • @user-mg1yl2rl8s
    @user-mg1yl2rl8s Před 11 dny

    Sawa huku NSSF kule wodi ya watoto halafu tuone ligi ikianza...usianze tu kula mataputapu yako na kwenda jela😂😂😂😂

  • @AsumaniMkumba
    @AsumaniMkumba Před 10 dny

    Mechi nne zip wewe

  • @RashidiMkongewa
    @RashidiMkongewa Před 11 dny

    Shomali nazimbwe ndio wanawaloga wenzao wapate namba siyo yanga

  • @user-ys4zk3hx4f
    @user-ys4zk3hx4f Před 11 dny

    𝙈𝙤 𝙠𝙞𝙡𝙞𝙤 𝙘𝙝𝙖𝙣𝙜𝙪 𝙣𝙞 𝙛𝙚𝙞 𝙣𝙖𝙟𝙪𝙖 𝙩𝙪𝙢𝙚𝙨𝙖𝙟𝙞𝙡 𝙬𝙖𝙘𝙝𝙚𝙯𝙖𝙟 𝙬𝙖𝙯𝙪𝙧 𝙞𝙡𝙖 𝙥𝙡𝙚𝙖𝙨𝙚 𝙣𝙖𝙢𝙪𝙤𝙢𝙗 𝙎𝙪𝙛𝙞

  • @DavidLucas-cb1hx
    @DavidLucas-cb1hx Před 11 dny

    ❤❤❤❤❤mm kama mwanasimba apo kichapo 2

  • @DavidLucas-cb1hx
    @DavidLucas-cb1hx Před 11 dny

    ❤❤❤❤❤mm kama mwanasimba apo kichapo 2

  • @DavidLucas-cb1hx
    @DavidLucas-cb1hx Před 11 dny

    ❤❤❤❤❤mm kama mwanasimba apo kichapo 2