God Is Great An Willing. We must remember that there is no joy in victory if we don't test the risks of setbacks. The future is very bright and Simba soon back on its era
Matola hapo wa Nini sasa jamani ni Bora angekuwa mgunda hapo yupo vizur Kwa amasa Kwa wachezaji lakini matola sijaona anachokifanya mpeleken kwenye timu ya vijana kule atupandishie vijana huku.
mungu awe pamoja nanyiii all the best simba sports club❤❤❤❤🎉🎉
mwenzenu hii timu nimeipenda mpaka nimepitiliza daa najisikia fulaha sana kuiona tim yangu
Mungu awatangulie simba nguvu moja
Kila la her myamaa❤❤❤
Mungu awatagulie
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤All the best my simba safari njemaaa
All the best👍💯👍💯👍💯👍💯👍💯👍💯👍💯
SIMBA NGUVU MOJA KILA LAKHERI CHAMALANGU
Mashaallah my Simba sport club.
God Is Great An Willing. We must remember that there is no joy in victory if we don't test the risks of setbacks. The future is very bright and Simba soon back on its era
Naamini mungu yupo watafika
Allah awatunze na kuwaepisha na husda za walimwengu
Nguvu moja
❤❤❤safal yakher
Simba nguvu moja❤❤❤❤❤
Naipenda simba sports club ila wasemaji mtandaon wamekua wengi sana
SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Duwa zote njema Kwa ajili ya slmba ❤❤❤❤love simba napend sana chama
Mungu awatangulie wore amina
mungu aijalie time yangu ya simba
Mungu awajarie unyama mwingiiiii
P1 Sana ❤❤❤
Jamani Mimi ni Mzee ila napenda sana Simba yaani naiombea mungu sana wakawe washindi kote waendako
Ila jamaa mcheshi sana na naamin hata waandishi wa habar mna enjoy kumu hoji mwamba sema changa moto ya matokeo mabovu ya simba yalimnyon'gonyesha
Dah cmbaa yangu
🎉 salute
Mgunda vipi Ahmedy
Kila la kheri
Safari hii upande wa pili waangalie Sana Simba ya safari hii ni moto Kuna viberenge ni hatari
Simba kama kawa
Safali hii ni unyama. Unyama tu huruma imekufa muda Sana mwendo wa dozi mwanzo mwisho😅😅😅😅😅😅😅😅
Mungu awatangulie awe nanyi awaepushe na husda za wale wasioitakia Simba mema
Matola hapo wa Nini sasa jamani ni Bora angekuwa mgunda hapo yupo vizur Kwa amasa Kwa wachezaji lakini matola sijaona anachokifanya mpeleken kwenye timu ya vijana kule atupandishie vijana huku.
Akuna lawi akuna mpanzu akuna feitoto
Bariki safari yao hawana ubaya mtu🌴
Uyo bodyguard Wako Mwenye Jezi 😂
Awesu Awesu vipi
Yao Jean Charles vipi kwenye transfer market aliandika baada ya muda mfupi akafuta.
Ila mwaka huu mmejua kutufurahisha😂😂😂😂
Kila lakher mnyama simba
MUNGU AWABARIKI WACHEZAJI WA SIMBA NA UONGOZI WOTE. NA SEMAJI LA CAF
Kila la kher mnyama
❤❤❤❤❤❤❤❤simba nguvu moja
woyooooo hatimae tunaenda kuumiza watu sasa nasisi tunatamba
Usisahau kuwa mna shomar kapombe
Kila lakheli achaneni na team ya NSSF
Wasimloge tu maana tabia yao mbaya
Mpanzu vp mbona kimya nipe taarifa kama yulo
Da kanuti nimzuri jaman mbona hivo simba jaman
Yaan huchoki kumsikiliza huyu mwamba haboi hata kidogo
Matola alitakiwa na yy apishe kweny benchi akabaki mguda
Simba nguvu moj
❤❤❤❤❤❤
Simba 💪💪moja
Munqu yupo kule kukejeliw kutafika mwisho
Kila laheli
hh😂😂😂 ngoma kasha jua kiswahili eti fateni new plays
Jibu Denis Yuko wapi?
She Malone 🎉🎉🎉
😅buggy
Kibu Denis Yuko wapi?
simba nguvu moja 😊😅
Pmj
Mbn sij muona kibu denidi apo
Kramo vipi?
Nyie nendeni sisi mashabiki wa simba tunabaki kwa ajili ya kuthibiti vibwengo vya utopolo hakuna kuwapata wachezaji wetu
😂😂😂😂😂😂😂😂 eti vibwengo
Utopwinyo wachawi san
Kuna Mzee Hapo Nyuma😂😂😂😂
Hata ingekuwa mavuzi FC inakuhusu? Toa ushenzi wako utopwax wewe
Marast fc
Wivu fc
HUNA NGUVU WALA MALI FISI FC WEWE
Kwani Mihogo FC wanasemaje😂😂😂😂😂
Nguvu moja