Video není dostupné.
Omlouváme se.
Paul Clement - Mpango ( Official Video ) SMS Skiza 9841731 to 811
Vložit
- čas přidán 12. 05. 2023
- #paulclement #mpango
Artist & Song writter: Paul Clemnt
Audio Producer: GYDKYM
Video Director: Einxer
..........................................
WATCH NOW
Hemani video : • Paul Clement - Hemani ...
Anasikia maombi: • Paul Clement - Anasiki...
Ayee : • Paul Clement - Ayee ( ...
Kelele za ushind: • PAUL CLEMENT ft ZORAVO...
😢😢😢majaribu ni magumu buuut sitadumu hapa..asubui yangu yaja..more love from Kenya 🇰🇪..leten likes za Paul.. our hero❤❤
Hâta n'a mm sita dumu katika Machaut, ni naimani kubwa moyoni kwamba Mungu ataniondowa katika hali hii🙏✋✊🤷👉
Kwa kweli Mungu anao mpango mzuri...
May we continue trusting in Him.
Hii vile yanipenya kama shindano za dispensary za jeshi,,,😊😊,,,it's my morning song everyday,,,till my day comes ,,,kindly drop a like here,,
Kaka hii nyimbo imekuka wakati sana kwenye maisha yangu... I trust in God
This song is like a sign that God is about to say "Yes" in my life. I know He will never disappoint me. I'm just in a season of waiting..
Emen
Mungu hasemi uongo, sitadumu ktk hali hii Mungu anao mpango mzuri
Huyu jamaa kanisahaulisha bongo freva kabsa najikuta mteule wa Mungu nikiskilza hz song
Mungu anao mpango mzuri 😩
Sitaingojea kwa machozi😢 Nitaingijea kwa kuomba na furaha.. Aliyeniumba ni baba yangu😊
Sitadumu katika Hali hii 🙌 .. Mungu anao mpango mzuri🤭🔥.. be blessed Minister
Sitangojea muujiza wangu kwa machozi Mungu anao mpango mziri
Aisee huu wimbo ni wangu kabisa umenipa sababu ya kuendelea mbele.Thanks sir Paul clement wewe ni baraka katika kizazi hiki uzidi kubarikiwa kwa kufanyika baraka kwetu
This song remainds me a lot 😢😢❤❤❤❤ amen
Mungu ana mpango muzuri juu ya maisha yangu 👌👌😢
Ata jogoo asipowika....Asubuhi itafika...alieliumba jua...atakichomoza tena ❤ #kalamYaTaifa
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ nipe likes yangu
Miaka Minne katika Hali ngumu ya kiroho na mahusiano yangu kudumu katika makosa mengi, lakini Sasa Mungu kanipa mwenzi sahihi ni kama mbingu ndogo kwangu,hakika Hali ngumu hazidumu katika MUNGU kuna mpango mzuri thabiti kwaajili ya Maisha yetu..ni maombi yangu MUNGU akuonekanie na wewe
Nabarikiwa sana na mpakwa mafuta wa Bwana,anointed and blessed ❤️❤️❤️
Mungu anampango mzuri now Nina mapacha wa kiume baada ya kuambiwa kizazi kinashida Jamn akisema lazima atimize amenifuta machoz nimemona
Much love from KENYA ❤❤❤
waooo!!! nyimbo zinanibarikiga saana mmtumish wa MUNGU
Amen Amen 🙏 MUNGU atatenda
Amina Mungu ni mwema!.wimbo unanitia moyo sana ubarikiwe sana.
Awww!sitadumu katika Hali hii Mungu Ana mpango mzuri🙌🙌🙌
Indeed, He's faithful His word never go unfulfilled 🙏
I found this song to day while I was crying cause I failed all three subjects on ma CPA what I know God who have done me well before he will do the same tomorrow if not today “Mungu anaompango Mzuri”
Ujùmbe umèfik nimepokea barikiwa sana mañ of GOD
I don't get tired listening to this song,It has been a blessing and an encouraging song in this season of my life.❤may God lift you more brother Paul Clement.May His favor be upon you,❤❤❤❤
Kaka Paul Mungu akuweke kwa ajil yetu ...unajua, unajua na unajua Tena barikiwa Sana ..
Hakika Mungu anao mpango mzuri na sisi.
Anaimba vizuri sana jaman
Sio hawa wa singeli na mapiano 😂😂
Uendelee kuinuliwa viwango vinginee kazi nzuri Mungu ajawahi kushindwaa🙏
Miezi mitatu Niko hospitali, katika matibabu ya baba yangu mzazi, ICU tumekaa wiki tatu kasoro huku anapumulia machine, madaktari walikata tamaa kabisa juu ya uponyaji wake, baba yangu alikata tamaa ya kuishi na kuanza kutupa wosia wanawe juu ya Hali yake, lakini Leo Mungu ni mkuu sana, Sasa baba yangu amepona na anatembea vizuri Hali akiwa mzima kabisa...hakika Hali hazidumu Mungu anampango mzuri juu yetu,,
Ubarikiwe sana kaka Paul clement
Hello papa paul clement, mungu aku ongezeye nguvu kabisa, il baraka ni nyingi mwa wimbo
Hakika Mpango wa Mungu ni Mzuri , kuliko mipango yetu, Mpango wa Mungu hutimia ❤❤❤
Sitadumu kamwe katika hili jaribu ,,MUNGU naomba nioenekanie🙏🏽🙏🏽
Huu ni ushuhuda Mungu ana mpango ❤❤❤❤
Sita dumu katika hali hii
Mungu ana mpango mzuri kwangu 🙏🏼
Ubarikiwe san papa Paul clément
Nimeliona hili jaman ooh kwel Mungu anaweza
Bapokea mpango wa Mungu wa majira mapya
Yeremiah29 bwana anajua mawazo anayoniwazia ni mawazo ya amani...
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 hello Tanzania Paul Clement
Kwa kweli mungu ana mpango mzuri
Sitadumu katika Hali hii 😢 mungu atatokea sehemu yoyote 🥺🙏🏿
Ameen Ameen barikiwa sana Kwa wimbo wa faraja🙏🙏🙏🙏🙏
Mpango📢📢
Ameen ameen ..Mungu anampango wakunipa majira mapya. Sitadumu tena katka hali hiii❤😢 ..Mungu akubariki mtumishi wa Mungu!
Amen
hongera sana kaka paul nyimbo imenibariki🙌🙌🙌🙌
I love the song I know where I am today I won't be there tomorrow,am grateful to Hiy
Sitadumu katika hali hii hakika nitafika alikoniahidi mfalme Wa Aman,
Mungu ana mpango mzuri nami, Imani yangu inakua Kwa sababu kile amesema kuhusu Mimi lazima atimize. Mungu akubariki brother 🔥
Sitadumu katika hali hii... namuamini Mungu atabadilisha hali. Ako na mpango mwema🙏
No situation is permanent as long as God is building you...
For the vision is yet for an appointed time!
Though it tarries, it will still come
Hallelujah God is faithful 🙌🔥🙌🔥🙌🔥🙌🔥🙌📌💯🙌🔥🙌🔥🙌
Nyimbo inanipa nguvu na tumaini, nyiee Mungu wetu n mwema sanaa🙌🥰 asante kaka paul zidi kubarikiwa🥰❤
Sitadumu katika hali hii,am in season of waiting
Asante sana kwa wimbo mutumishi wa mungu Paul Clement nakupenda sana 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Nime barikiwa nilikuwa nilisha kata tamaa kweli
Usikariri Mungu atatokea kaskazini💪💪💪
kaka unajua sana mimi nicheza mlefi kwenya zawadi kisalawe sitoacha kukufatilia
Mungu anao Mpango mzuri 🙏🙏
Mungu ana mpango muzuri kwangu
Amen, Lord have mercy and grant me the desires of my heart, great song indeed, I need a testimony
Your songs are always a blessing. Ni wazi kuwa you spend time in the presence of God. Ubarikiwe Sana,,Mungu azidi kukutumia 🙏
Wimbo umenibariki sana pool barikiwa
What a beautiful message. Sitadumu katika hali hii cause mungu mpango wake ni muzuri kila leo
Hakika 🔥
Atanijulisha yajayo aliyonipangia😊❤
Kaka POA unanibarikigi Sana katika nikisikilizanga nyimbo zako huw nafika mbali kiroho mungu akupe maisha marefu pia Nani naimb nataman siku mmoja nami niwe kwenye viwango hivyo
May God continue your use you. Your songs have taken me through seasons where songs only spoke where words failed.... I hope to one day meet you Sir. God bless
my brother the best gospel singer in Tanzania to love her songs it's just my principal my wish one day I can meet him face to face to say how I appreciate him❤️❤️💐
Haja wahi niangusha 💪
His ways are not my ways
His thoughts are not my thoughts.
Ana mpango juu yangu ❤
I'll always trust in him and wait just on him.
He has never lost a battle.😊
Sitadumu katika hali hii, mungu ana mpango mzuri kwa ajili yangu
To us waiting on God, He will come through for us in appointed time
Mungu hasemi uongo wala hadanganyii🌹
Mungu nipe majira mazuri
Yeye si binadamu kusema uongo🙏🏾
Kweli MUNGU hatabiriki KABISA mipango yake inakuaga tofautitofauti Sana,
Can't get enough of this song....... I've been listening to it a hundred times 🇰🇪
Same here
nakubali bro mungu akuongoze vyema katika kazi yko
Hallelujah this song is prophetic to me🙏🙏🙏🙏 He never sleeps nor slumbers
This song is a prophecy of my life
Kaka unajua san God bless you kwa kila unachokifanya
Amina brother Mungu azidi kukutumia
Amen Paul,you are a blessing to this generation.Keep on soaring bro!
Paul Clement, your songs are amazing 💯🔥🇰🇪
Yes Lord plans may they happen for good this and coming years 🙏
Mipango na nyakati za Mungu maishani mwetu kwa hakika ni ya haki
Mungu hajawahi kusema uongo
Be blessed bro 🙏🙌❤💯💪
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
This song is dope🎉.Sitadumu katika hali hii..Mungu ana mpango mzuri❤
Wonderful song. Sasa tusaidie na Lyrics tuimbe kama tumefunga macho 😊
😂😂😂😂😂 Hatufungi macho bado. Tuna rehearse tu ndio tujue lyrics
@@a.h.pcollective3525 I tell you 😅
This😂😂😂😂
@@a.h.pcollective3525
Natumai ulijua wimbo sasa 😀
@@EWanjos 🤣🤣🤣🤣 tume sha jua lyrics kabisa
Hallelujah YESU ni Bwana🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Nyimbo ya Baraka sana hii, Hakika mawazo ya Mungu na mpango wa Mungu ni mwema kwetu,. Utukufu na heshima una yeye awezaye kuyasema yale atendayo. Yeye Ni Mwaminifu
Utukufu kwa Yesu. Mafuta na moto kama volcano ya amani inatiririka kwenye sauti yako Mtumishi,. Kazi nzuri sana. My Appreciation to the grace of God at work in your life and Ministry,.
#Much appreciation to the song Hemani pia it was Heavenly mysteries unveiled...
Kadosh Adonai, Hailed is the King of Glory Jesus Christ.
May the Lord lift you even higher in dimensions of His presence, so that your song become like ladder into Dimensions of Christ.
I pray that your grace multiplies, thousand folds. AMEN AMEN AMEN.
Yaani nmekuja tena huku kusikiliza tena, binafsi naona ni vema kutoa sadaka, kujiunganisha na ufunuo ulio nyuma ya wimbo...
Tujue kuna ufunuo mkubwa ndani ya kitu cha kiroho tukipokeacho na tudumu kuviombea hivi vyombo viteule katika siku hizi za mwisho...
Ubarikiwe sana❤
💯 mungu ana mpango mzuri , Amen .🙏 God bless you @paul clement
"SITADUMU KATIKA HALI HII! MUNGU ANAO MPANGO MZURI" Amen.🙏
Nitaungojea wakati kwa maombi🧡🙏
When I feel am down I just listen to this song
Sitadumuu katika halii hiii...
🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪♣️♣️The God who changes my story
BarikiwA sanaa by Joe from kahama