PB: John Heche Amwaga Mchele I Ataja Sifa za Viongozi I Awashangaa Wasengenyaji, Chawa na Wanafki

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 03. 2024
  • #CloudsDigital tumekuwekea mahojiano ya kipindi cha #PowerBreakfast na John Heche kutoka chama cha CHADEMA
  • Sport

Komentáře • 105

  • @qonquererqanquerer1781
    @qonquererqanquerer1781 Před 3 měsíci +10

    Una Akili Mingi Sana John Heche Hongera Kwa Mh Mbowe Kwa Mapishi Mazuri Ya Hawa Viongozi Hakika Chadema Ni Zaidi Ya Chuo.

  • @bakarimmbaga2344
    @bakarimmbaga2344 Před 3 měsíci +9

    Big up Heche J... you are the best opposition leader god blessing

  • @user-eb2el9kw6m
    @user-eb2el9kw6m Před 3 měsíci +8

    Kichwa kikubwa sana. Mungu akulinde brother Heche

  • @MrMwinyi
    @MrMwinyi Před 3 měsíci +7

    Heche ni mmoja tu, hakunaga mwingine💯💯🔥🔥

  • @user-uw5oh5yy5m
    @user-uw5oh5yy5m Před 3 měsíci +6

    Huyu jamaa namkubali sana kwenye wanasiasa wa nchi hii,he is very stricty🎉🎉🎉

  • @johnfrancis656
    @johnfrancis656 Před 3 měsíci +3

    Heche!!Wewe ni kiongozi tunae kuhitaji,Unangalia mbali sana!!Mungu akulinde.

  • @RamaHRIzmaelov
    @RamaHRIzmaelov Před 3 měsíci +10

    Big brain

  • @husseynzooh1979
    @husseynzooh1979 Před 3 měsíci +7

    Salute sn MHE. HECHE

  • @mussaomari8022
    @mussaomari8022 Před 3 měsíci +13

    Namkubali heche

  • @prospermalala6636
    @prospermalala6636 Před 3 měsíci +7

    MH John heche akili kubwa sana ndani ya siasa za Taifa letu, Mungu amuongezeeee afya njema ktk Taifa letu

  • @albertkamala6843
    @albertkamala6843 Před 3 měsíci +4

    Brilliant!
    Uncomprising patriotism...quality leadership..showing dedication, passion and commitment to public service! Definitely Presidential material!

  • @user-xd7hs1ri5i
    @user-xd7hs1ri5i Před 3 měsíci +3

    Anaitwa John Heche; lkn Mimi namuita A MAN OF THE PEOPLE

  • @deogratiusmaila676
    @deogratiusmaila676 Před 3 měsíci +5

    Heche actually I want to see you , because you make me happy

  • @user-zm3rp8to7w
    @user-zm3rp8to7w Před 3 měsíci +6

    Watu tunaendelea kupata elimu ya uraia na kujitambua hongera kamanda

  • @user-yy5oi9zp2h
    @user-yy5oi9zp2h Před 3 měsíci +3

    Mweshimiwa Heche Mungu akulinde

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh Před 3 měsíci +12

    Huyu jamaa anaakili sana nipo Zanzibar ila namfatilia sana

  • @aloycemisigalo3983
    @aloycemisigalo3983 Před 3 měsíci +13

    Nilikuwa nimesusa kusikiliza nakuangalia clouds kutokana na kipindi cha maandamano ya kwañza ya dar ilifafanua vitu visivyo eleweka, ila kwakuwa John anaongea imebidi nisikilize tu lkn clouds msiwe mnafafanua matukio ya upinzani kwa kuponda sio vizur.

  • @faridmnyamike556
    @faridmnyamike556 Před 3 měsíci +12

    Napenda sana misimamo yako na uimara wako Heche, navutiwa na haiba yako.

    • @qonquererqanquerer1781
      @qonquererqanquerer1781 Před 3 měsíci

      Heche Akili Zake Hata Wabunge Wote Wa Ccm Hawana Watu Kama Hawa Ni Hazina Kwa Taifa Siyo Kujipendekeza Pendekeza Kwa Rais Wakati Mambo Yanaharibika Ukweli Usemwe Kama Ulivyo Namna Hii.

  • @user-xf7tl8jq9v
    @user-xf7tl8jq9v Před 3 měsíci +5

    Kamanda wangu huyo namkubali sana

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 Před 3 měsíci +1

    Asanteh sn heche kwa elimu ya uraia wengi wao hawaelew umuhimu wa mamlaka yao

  • @itsrumi99
    @itsrumi99 Před 3 měsíci +1

    Big up sana kwa clouds media hii ni message moja kubwa sana kwetu sisi wananchi 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @maniakihengu4941
    @maniakihengu4941 Před 3 měsíci

    Safi sana tata heche,, mungu ni mwema utarudi mjengoni muda si mrefu.

  • @ivanrobert3071
    @ivanrobert3071 Před 3 měsíci +1

    Katika top 5 ya wanasiasa bora na wazalendo nchini Heche yumo na yupo vzr sanaa na mwenye misimamo mikali haswaaa kwa kile anachokiamini hasa katika misimamo ya haki za wananchi

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575 Před 3 měsíci +2

    Nawasikiza kutoka Kilimanjaro.
    Clouds mko vizuri kwenye vyombo na ofisi maudhui ya kuhojiana.
    Sio wale wameweka viti vya plastic na mic ni moja! Huwa haipendezi.
    Hebu wasaidieni na waandishi wengine mawazo ya jinsi ya kuimarika kwenye mahojiano.

  • @user-fe8tx5bo2f
    @user-fe8tx5bo2f Před 3 měsíci +1

    Safi sana kiongozi wangu natama sana humkahimu mbowe

  • @WilliamMwangwa
    @WilliamMwangwa Před 3 měsíci +2

    Kamanda Heche uko vzr kwa hoja

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před 3 měsíci +2

    KATIBA MPYA NI. SANA

  • @user-kg8dn6qr8o
    @user-kg8dn6qr8o Před 3 měsíci +3

    Heche mungu Akupe maisha malefu Unaipenda Tanzania

  • @user-xh6cb8mp6c
    @user-xh6cb8mp6c Před 3 měsíci +1

    Mb zangu hazijapotea bure❤❤

  • @fabianmainchanyangachika5017
    @fabianmainchanyangachika5017 Před 3 měsíci +1

    Nakukubali mwamba wa tarime

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 Před 2 měsíci

    heche akili kubwa sana nia hazina kubwa sana from Zanzibar nawakubali sana chadema

  • @user-so9fo5tv3j
    @user-so9fo5tv3j Před 3 měsíci

    Stay blessed Mkuu John Heche

  • @anordiobadia.nycsong8123
    @anordiobadia.nycsong8123 Před 3 měsíci +1

    Pamoja sana mkuu heche

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 Před 3 měsíci +6

    Heche anakili mno, hekima ya hali ya juu. Ukimpa Uwaziri huyu ni faida kubwa mno

    • @josephmakutano7067
      @josephmakutano7067 Před 3 měsíci

      Uwaziri kwasheriazipi?? Ubaya wa taifa latz nimfumo ambao hata Malaika anabadrika kuwa shetani akipewa uongozi,

  • @leonardmartine662
    @leonardmartine662 Před 3 měsíci +2

    Heche yuko vzuli sana kwenye kuchambua

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js Před 3 měsíci

    Kaka yangu hechee MUNGU wangu wa mbinguni akupe maisha marefuuuuu naomba hii sala kutoka moyoni mwangu kabisaaaa

  • @nassibdoma5408
    @nassibdoma5408 Před 3 měsíci +3

    Nawapenda nawafuatilia nikiwa chanika dar jamaa yko sawa kbisa sikuhizi uchawa unanguvu zaidi nihatari By Nassib Doma

  • @ibrahimkingfaith9283
    @ibrahimkingfaith9283 Před 3 měsíci

    Clouds you are the best. Chombo cha Habari makini kinatoa airtime kwa mtu yoyote hakibagui

  • @user-pz2kp2ej5e
    @user-pz2kp2ej5e Před 3 měsíci

    Nakupenda sana unatufungua vichwa

  • @user-bq5yi6mk5r
    @user-bq5yi6mk5r Před 3 měsíci

    very smart person supposed to be in the parliament as the representative of people..ila chaajabu bungeni tunawatu ambao hawapaswi kuwa ata mabalozi wa nyumba kumi

  • @easymapetv
    @easymapetv Před 3 měsíci +1

    Nawapongeza sana clouds
    Mnafanya kazi nzuri,
    Mnajua kutengeneza chemistry kwa watangazaji kwenye kipind

  • @kakafadhili4472
    @kakafadhili4472 Před 3 měsíci +1

    Heche is best

  • @deusdeditsimba4452
    @deusdeditsimba4452 Před 3 měsíci +1

    HECHEEEEEE👍👍👍

  • @user-or5hm7nl7q
    @user-or5hm7nl7q Před 3 měsíci

    Nakubali sana

  • @sylivanusbernard3325
    @sylivanusbernard3325 Před 3 měsíci

    Tata Heche umeua Sana hii leo

  • @denisnjaila2182
    @denisnjaila2182 Před 3 měsíci +6

    Chadema Ina vichwa vyenye akili sana

  • @calvinlema6107
    @calvinlema6107 Před 3 měsíci

    Saaf sana wewe ni hazina chadema🎉🎉🎉

  • @hashimuuhehwa4252
    @hashimuuhehwa4252 Před 3 měsíci +4

    Akili za huyu mwamba mmoja ni wote wa ccm akili kibwa

  • @samsonpaschal5044
    @samsonpaschal5044 Před 3 měsíci

    Cloudsmedia, Nialikeni na mimi ....

  • @naseebmussa2111
    @naseebmussa2111 Před 3 měsíci

    😊umetisha heche

  • @mkorinto7629
    @mkorinto7629 Před 3 měsíci

    Akili kubwa sana

  • @yisambimbomatanzaniadaress8531

    Mungu tupe watu akili km hawa AKILI NA UPENDO mungu tusaidie tupate watu km hawa bungeni

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před 3 měsíci +1

    KWANI INAKUWAJE VIGUUMU KUMWEELEWA MTU ANAEONGEA UKWELI KAMA MUHESHIMIWA HECHE

  • @sophiamalinga18
    @sophiamalinga18 Před 3 měsíci

    Duuu kumbe kuna vinyonga bungeni Mungu ingilia kati yanayofanyika TZ

  • @JoshuaGodifreyJoshua
    @JoshuaGodifreyJoshua Před 2 měsíci

    Heche nakukubali sana sema Leo nimeona mwarabu ambae ni Msukuma kutoka Shinyanga😂😂😂😂

  • @hadijamkieti1751
    @hadijamkieti1751 Před 3 měsíci

    Mh.. heche ni bonge. La bright man. Na mzalendo yaani bila. Kumun'gunya maneno. Wewe ni good leader

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 Před 3 měsíci

      Akili kubwa huyu mtu tatizo tz kama nchi na siasa zao siyo ccm wala vyama vingine hakuna akili ya kujitambua nchi yetu ijengwe vipi iache kuomba,misaada mikopo na umaskini.maadui aliowataja nyerere ujinga,maradhi na umaskini bado wapo.

  • @user-ex7bh1np4t
    @user-ex7bh1np4t Před 3 měsíci

    Samahan hivi mfano mbunge msukuma hajasoma sana kua na Elimu kubwa ila Kuna wale kina luge malalira ambao walikua wamesema sana, hivi ikitokea umeambiwa kati Yao mchukue mtu akawakilishe wananchi utamchukua Nan!? Kiongoz na uwakilishi mwema wa wananchi ni karama Toka kwa Mwenyezi Mungu na hofu ya Mungu sio Elimu peke ake,.

  • @carlosmsigwa9516
    @carlosmsigwa9516 Před 3 měsíci +1

    Ukisema Tanzania ni sawa na Keya utakuwa umekosea pakubwa sana

  • @user-br9ld8km8h
    @user-br9ld8km8h Před 3 měsíci

    Kamanda

  • @johmshana5665
    @johmshana5665 Před 3 měsíci +3

    Mtu wa maana kbsa huyu.

  • @ObadiaNikodem
    @ObadiaNikodem Před 3 měsíci

    Huyu jamaaaa heche akili nyingi saaaanaaa

  • @amosmangura
    @amosmangura Před 3 měsíci +1

    Tunasikiliza hadi unawaza tuko wapi tunaenda wapi

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před 3 měsíci +1

    BORA HATA WAKOLONI MAANA WALIHESHIMU SHERIA

  • @Flaviosafari
    @Flaviosafari Před 3 měsíci +1

    Hawa ni aina ya viongozi tunaowahitaji kuongoza taifa letu. Uwaziri hata uraisi sio ubunge tu. Akili kubwa sana! Chadema ndio chimbo pekee utakutana na vichwa vya uhakika kama hivi!

  • @mangenyanyondo8691
    @mangenyanyondo8691 Před 3 měsíci +1

    Nyeupe nyeupe nyeusi nyeusi hajawahi pindisha mh heche

  • @inumbuboyinumbuboy2580
    @inumbuboyinumbuboy2580 Před 3 měsíci

    Heche anaongea kwa utulivu sana kwa kuelimisha
    Hivi ndivyo inavyotakiwa.

  • @user-ej5dk6wm2z
    @user-ej5dk6wm2z Před 3 měsíci

    Kamanda nakubali hoja zako xana endelea kuximamia kwel na taifa letu lilipofikia halipendi ukwel kwao ni dhambi

  • @YohanaPetro-xv9tp
    @YohanaPetro-xv9tp Před 2 měsíci

    CHADEMA HAKUNA Kiongozi Mbovu Wanajua Kutuletea Viongozi Wazr Ndomaana Wakitoka Chadema Kwenda Ccm Nimoja Kwamoja Wanakuwa Viongozi Kama Vile Ccm Ilikuwa Haina Viongozi

  • @daudimaembe3360
    @daudimaembe3360 Před 3 měsíci

    Inasikitisha sana kuona headmasters eti wanamchukulia form rais

  • @user-bg8zz5vw5v
    @user-bg8zz5vw5v Před 3 měsíci +1

    Heche uko vzri

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 3 měsíci

    👊👍✌.

  • @festokemibala5832
    @festokemibala5832 Před 3 měsíci

    Kwa maana ya anavyosema Mhe. Heche bunge la sasa hivi linaloongozwa na Tulia (sijui nitulie nifanywe nini..😂) siyo smart, halina uwezo wa kujadiliana kwa kina hadi kuibuka na hoja mujarabu kwa maslahi ya wananchi bali linasimamia maslahi yao wenyewe, wamegeuzwa vibogoyo upeo wao wa kuona mbali umevizwa kwa kulazimishwa kuongea sawa na anavyotaka Tulia

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 3 měsíci

    Kwanini wanasheria waandishi wa habari na wanainchi tuungane kudai Katiba ili wasione wahusika ni wanasiasa tu sisi wanainchi ndiyo tunaumizwa na Katiba hii ya sasa. Watu wote katika kila sehemu waliko wanaumizwa na hii Katiba. Ni vile wsmefugwa kitumwa kwa hiyo wengi hatujielewi. Lakini wanaojielewa wanajua kabisa kuwa wanaumizwa sana na katiba.

  • @rwakyenderajulius3861
    @rwakyenderajulius3861 Před 3 měsíci +1

    Tuliisha maliza kwa jaji warioba,hivyo watu wanaelewa.

  • @revocatusvedastus8893
    @revocatusvedastus8893 Před 3 měsíci

    uchaguzi ndo kila kitu ukikosea. uchaguzi utalia mpaka mwisho

  • @jumayussuf6786
    @jumayussuf6786 Před 3 měsíci

    Philosophy heche

  • @user-dg4ye6eu4g
    @user-dg4ye6eu4g Před 3 měsíci

    craus fm mukojuu nawapendsa

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 Před 3 měsíci

    Wachawi wanchihii niccm kwasabbu hakuna Chamachochote kilichowahi kutawala nchihii zaidi yawapuuzi mashetani wanchihii maccm,

  • @ngasikajoel9576
    @ngasikajoel9576 Před 3 měsíci

    Bongo ukiwa na akili nyingi unawekwa pembeni then wanareplace aliye na akili ndogo see in iringa yule jamaa mchungaji ..cheki akina Humphreys polepole wamefichwa cuba huko ..its disgusting sometimes

  • @ramsomathew6668
    @ramsomathew6668 Před 3 měsíci

    Heche akili kubwa

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 Před 3 měsíci +1

    Hakuna clouds tena maana ameondoka nayo Ruge, pumzika kwa amani legend Ruge

    • @jeremiahngoka4980
      @jeremiahngoka4980 Před 3 měsíci

      Hujui kinachozungumzwa hapo wewe Bata.Ruge katoka wapi kwenye mahojiano hayo?.Acha kukurupuka

  • @ChancellorFelix-vm5yp
    @ChancellorFelix-vm5yp Před 3 měsíci

    Chadema mbona wanapenda kuitolea mfano Kenya wakat Kenya yenyew matatzo Yao yanafanana Tanzania na kama hawajui mbaka baadh ya nembo za kwenye fedha znafanana

    • @Mwitabenson_tz
      @Mwitabenson_tz Před 3 měsíci

      Wew Kenya wametuzidi mbali sana niulize Mimi nimelala miaka 15hujui kitu

    • @eladiuspeter586
      @eladiuspeter586 Před 3 měsíci

      Kaangalie GDP ya Kenya, Export ya Kenya, income per Capita, currency, Then Uje hapa

    • @dismasmtui729
      @dismasmtui729 Před 3 měsíci

      Kenya is far better than Tz in terms of democracy and freedom of speech!

  • @dismasmtui729
    @dismasmtui729 Před 3 měsíci

    CDM ina majembe!

  • @user-jh3fd5yt9i
    @user-jh3fd5yt9i Před 3 měsíci +1

    😂😂😂

  • @user-kw6pg7nb1w
    @user-kw6pg7nb1w Před 3 měsíci

    Acha uongo wewe heche ,unaingilia hata taaluma usiyoijua,

  • @abuukarata9653
    @abuukarata9653 Před 3 měsíci

    Lau kwamba chadema wasinge wapa mademu zao zile nafasi maalum za ubunge mwaka 2015 wangekuwa wako sawa.

  • @user-yw5ix9gg4d
    @user-yw5ix9gg4d Před 3 měsíci

    Q

  • @cypriannchangwe3884
    @cypriannchangwe3884 Před 3 měsíci

    Akili Kubwa.

  • @ndingolivin-qy6xk
    @ndingolivin-qy6xk Před 3 měsíci

    Kamanda