Brilliant! Uncomprising patriotism...quality leadership..showing dedication, passion and commitment to public service! Definitely Presidential material!
Nilikuwa nimesusa kusikiliza nakuangalia clouds kutokana na kipindi cha maandamano ya kwañza ya dar ilifafanua vitu visivyo eleweka, ila kwakuwa John anaongea imebidi nisikilize tu lkn clouds msiwe mnafafanua matukio ya upinzani kwa kuponda sio vizur.
Heche Akili Zake Hata Wabunge Wote Wa Ccm Hawana Watu Kama Hawa Ni Hazina Kwa Taifa Siyo Kujipendekeza Pendekeza Kwa Rais Wakati Mambo Yanaharibika Ukweli Usemwe Kama Ulivyo Namna Hii.
Katika top 5 ya wanasiasa bora na wazalendo nchini Heche yumo na yupo vzr sanaa na mwenye misimamo mikali haswaaa kwa kile anachokiamini hasa katika misimamo ya haki za wananchi
Nawasikiza kutoka Kilimanjaro. Clouds mko vizuri kwenye vyombo na ofisi maudhui ya kuhojiana. Sio wale wameweka viti vya plastic na mic ni moja! Huwa haipendezi. Hebu wasaidieni na waandishi wengine mawazo ya jinsi ya kuimarika kwenye mahojiano.
very smart person supposed to be in the parliament as the representative of people..ila chaajabu bungeni tunawatu ambao hawapaswi kuwa ata mabalozi wa nyumba kumi
Akili kubwa huyu mtu tatizo tz kama nchi na siasa zao siyo ccm wala vyama vingine hakuna akili ya kujitambua nchi yetu ijengwe vipi iache kuomba,misaada mikopo na umaskini.maadui aliowataja nyerere ujinga,maradhi na umaskini bado wapo.
Samahan hivi mfano mbunge msukuma hajasoma sana kua na Elimu kubwa ila Kuna wale kina luge malalira ambao walikua wamesema sana, hivi ikitokea umeambiwa kati Yao mchukue mtu akawakilishe wananchi utamchukua Nan!? Kiongoz na uwakilishi mwema wa wananchi ni karama Toka kwa Mwenyezi Mungu na hofu ya Mungu sio Elimu peke ake,.
Hawa ni aina ya viongozi tunaowahitaji kuongoza taifa letu. Uwaziri hata uraisi sio ubunge tu. Akili kubwa sana! Chadema ndio chimbo pekee utakutana na vichwa vya uhakika kama hivi!
Kwa maana ya anavyosema Mhe. Heche bunge la sasa hivi linaloongozwa na Tulia (sijui nitulie nifanywe nini..😂) siyo smart, halina uwezo wa kujadiliana kwa kina hadi kuibuka na hoja mujarabu kwa maslahi ya wananchi bali linasimamia maslahi yao wenyewe, wamegeuzwa vibogoyo upeo wao wa kuona mbali umevizwa kwa kulazimishwa kuongea sawa na anavyotaka Tulia
Kwanini wanasheria waandishi wa habari na wanainchi tuungane kudai Katiba ili wasione wahusika ni wanasiasa tu sisi wanainchi ndiyo tunaumizwa na Katiba hii ya sasa. Watu wote katika kila sehemu waliko wanaumizwa na hii Katiba. Ni vile wsmefugwa kitumwa kwa hiyo wengi hatujielewi. Lakini wanaojielewa wanajua kabisa kuwa wanaumizwa sana na katiba.
Bongo ukiwa na akili nyingi unawekwa pembeni then wanareplace aliye na akili ndogo see in iringa yule jamaa mchungaji ..cheki akina Humphreys polepole wamefichwa cuba huko ..its disgusting sometimes
Chadema mbona wanapenda kuitolea mfano Kenya wakat Kenya yenyew matatzo Yao yanafanana Tanzania na kama hawajui mbaka baadh ya nembo za kwenye fedha znafanana
Una Akili Mingi Sana John Heche Hongera Kwa Mh Mbowe Kwa Mapishi Mazuri Ya Hawa Viongozi Hakika Chadema Ni Zaidi Ya Chuo.
Big up Heche J... you are the best opposition leader god blessing
Kichwa kikubwa sana. Mungu akulinde brother Heche
Heche ni mmoja tu, hakunaga mwingine💯💯🔥🔥
Huyu jamaa namkubali sana kwenye wanasiasa wa nchi hii,he is very stricty🎉🎉🎉
Heche!!Wewe ni kiongozi tunae kuhitaji,Unangalia mbali sana!!Mungu akulinde.
Big brain
Salute sn MHE. HECHE
Namkubali heche
MH John heche akili kubwa sana ndani ya siasa za Taifa letu, Mungu amuongezeeee afya njema ktk Taifa letu
😮 I'm A on 47:20
Brilliant!
Uncomprising patriotism...quality leadership..showing dedication, passion and commitment to public service! Definitely Presidential material!
Anaitwa John Heche; lkn Mimi namuita A MAN OF THE PEOPLE
Heche actually I want to see you , because you make me happy
Watu tunaendelea kupata elimu ya uraia na kujitambua hongera kamanda
Mweshimiwa Heche Mungu akulinde
Huyu jamaa anaakili sana nipo Zanzibar ila namfatilia sana
Nilikuwa nimesusa kusikiliza nakuangalia clouds kutokana na kipindi cha maandamano ya kwañza ya dar ilifafanua vitu visivyo eleweka, ila kwakuwa John anaongea imebidi nisikilize tu lkn clouds msiwe mnafafanua matukio ya upinzani kwa kuponda sio vizur.
Waache Mambo Ya Hovyo Clouds.
Napenda sana misimamo yako na uimara wako Heche, navutiwa na haiba yako.
Heche Akili Zake Hata Wabunge Wote Wa Ccm Hawana Watu Kama Hawa Ni Hazina Kwa Taifa Siyo Kujipendekeza Pendekeza Kwa Rais Wakati Mambo Yanaharibika Ukweli Usemwe Kama Ulivyo Namna Hii.
Kamanda wangu huyo namkubali sana
Asanteh sn heche kwa elimu ya uraia wengi wao hawaelew umuhimu wa mamlaka yao
Big up sana kwa clouds media hii ni message moja kubwa sana kwetu sisi wananchi 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Safi sana tata heche,, mungu ni mwema utarudi mjengoni muda si mrefu.
Katika top 5 ya wanasiasa bora na wazalendo nchini Heche yumo na yupo vzr sanaa na mwenye misimamo mikali haswaaa kwa kile anachokiamini hasa katika misimamo ya haki za wananchi
Nawasikiza kutoka Kilimanjaro.
Clouds mko vizuri kwenye vyombo na ofisi maudhui ya kuhojiana.
Sio wale wameweka viti vya plastic na mic ni moja! Huwa haipendezi.
Hebu wasaidieni na waandishi wengine mawazo ya jinsi ya kuimarika kwenye mahojiano.
Safi sana kiongozi wangu natama sana humkahimu mbowe
Kamanda Heche uko vzr kwa hoja
KATIBA MPYA NI. SANA
Heche mungu Akupe maisha malefu Unaipenda Tanzania
hakika anaipigia kwa sura ya dhati kabisa
Mb zangu hazijapotea bure❤❤
Nakukubali mwamba wa tarime
heche akili kubwa sana nia hazina kubwa sana from Zanzibar nawakubali sana chadema
Stay blessed Mkuu John Heche
Pamoja sana mkuu heche
Heche anakili mno, hekima ya hali ya juu. Ukimpa Uwaziri huyu ni faida kubwa mno
Uwaziri kwasheriazipi?? Ubaya wa taifa latz nimfumo ambao hata Malaika anabadrika kuwa shetani akipewa uongozi,
Heche yuko vzuli sana kwenye kuchambua
Kaka yangu hechee MUNGU wangu wa mbinguni akupe maisha marefuuuuu naomba hii sala kutoka moyoni mwangu kabisaaaa
Nawapenda nawafuatilia nikiwa chanika dar jamaa yko sawa kbisa sikuhizi uchawa unanguvu zaidi nihatari By Nassib Doma
Clouds you are the best. Chombo cha Habari makini kinatoa airtime kwa mtu yoyote hakibagui
Nakupenda sana unatufungua vichwa
very smart person supposed to be in the parliament as the representative of people..ila chaajabu bungeni tunawatu ambao hawapaswi kuwa ata mabalozi wa nyumba kumi
Nawapongeza sana clouds
Mnafanya kazi nzuri,
Mnajua kutengeneza chemistry kwa watangazaji kwenye kipind
Heche is best
HECHEEEEEE👍👍👍
Nakubali sana
Tata Heche umeua Sana hii leo
Chadema Ina vichwa vyenye akili sana
Sana Kwakweli.
Saaf sana wewe ni hazina chadema🎉🎉🎉
Akili za huyu mwamba mmoja ni wote wa ccm akili kibwa
Cloudsmedia, Nialikeni na mimi ....
😊umetisha heche
Akili kubwa sana
Mungu tupe watu akili km hawa AKILI NA UPENDO mungu tusaidie tupate watu km hawa bungeni
KWANI INAKUWAJE VIGUUMU KUMWEELEWA MTU ANAEONGEA UKWELI KAMA MUHESHIMIWA HECHE
Duuu kumbe kuna vinyonga bungeni Mungu ingilia kati yanayofanyika TZ
Heche nakukubali sana sema Leo nimeona mwarabu ambae ni Msukuma kutoka Shinyanga😂😂😂😂
Mh.. heche ni bonge. La bright man. Na mzalendo yaani bila. Kumun'gunya maneno. Wewe ni good leader
Akili kubwa huyu mtu tatizo tz kama nchi na siasa zao siyo ccm wala vyama vingine hakuna akili ya kujitambua nchi yetu ijengwe vipi iache kuomba,misaada mikopo na umaskini.maadui aliowataja nyerere ujinga,maradhi na umaskini bado wapo.
Samahan hivi mfano mbunge msukuma hajasoma sana kua na Elimu kubwa ila Kuna wale kina luge malalira ambao walikua wamesema sana, hivi ikitokea umeambiwa kati Yao mchukue mtu akawakilishe wananchi utamchukua Nan!? Kiongoz na uwakilishi mwema wa wananchi ni karama Toka kwa Mwenyezi Mungu na hofu ya Mungu sio Elimu peke ake,.
Ukisema Tanzania ni sawa na Keya utakuwa umekosea pakubwa sana
Kamanda
Mtu wa maana kbsa huyu.
Huyu jamaaaa heche akili nyingi saaaanaaa
Tunasikiliza hadi unawaza tuko wapi tunaenda wapi
BORA HATA WAKOLONI MAANA WALIHESHIMU SHERIA
Hawa ni aina ya viongozi tunaowahitaji kuongoza taifa letu. Uwaziri hata uraisi sio ubunge tu. Akili kubwa sana! Chadema ndio chimbo pekee utakutana na vichwa vya uhakika kama hivi!
Waoooooooo
Nyeupe nyeupe nyeusi nyeusi hajawahi pindisha mh heche
Heche anaongea kwa utulivu sana kwa kuelimisha
Hivi ndivyo inavyotakiwa.
Kamanda nakubali hoja zako xana endelea kuximamia kwel na taifa letu lilipofikia halipendi ukwel kwao ni dhambi
CHADEMA HAKUNA Kiongozi Mbovu Wanajua Kutuletea Viongozi Wazr Ndomaana Wakitoka Chadema Kwenda Ccm Nimoja Kwamoja Wanakuwa Viongozi Kama Vile Ccm Ilikuwa Haina Viongozi
Inasikitisha sana kuona headmasters eti wanamchukulia form rais
Heche uko vzri
👊👍✌.
Kwa maana ya anavyosema Mhe. Heche bunge la sasa hivi linaloongozwa na Tulia (sijui nitulie nifanywe nini..😂) siyo smart, halina uwezo wa kujadiliana kwa kina hadi kuibuka na hoja mujarabu kwa maslahi ya wananchi bali linasimamia maslahi yao wenyewe, wamegeuzwa vibogoyo upeo wao wa kuona mbali umevizwa kwa kulazimishwa kuongea sawa na anavyotaka Tulia
Kwanini wanasheria waandishi wa habari na wanainchi tuungane kudai Katiba ili wasione wahusika ni wanasiasa tu sisi wanainchi ndiyo tunaumizwa na Katiba hii ya sasa. Watu wote katika kila sehemu waliko wanaumizwa na hii Katiba. Ni vile wsmefugwa kitumwa kwa hiyo wengi hatujielewi. Lakini wanaojielewa wanajua kabisa kuwa wanaumizwa sana na katiba.
Tuliisha maliza kwa jaji warioba,hivyo watu wanaelewa.
uchaguzi ndo kila kitu ukikosea. uchaguzi utalia mpaka mwisho
Philosophy heche
craus fm mukojuu nawapendsa
Wachawi wanchihii niccm kwasabbu hakuna Chamachochote kilichowahi kutawala nchihii zaidi yawapuuzi mashetani wanchihii maccm,
Bongo ukiwa na akili nyingi unawekwa pembeni then wanareplace aliye na akili ndogo see in iringa yule jamaa mchungaji ..cheki akina Humphreys polepole wamefichwa cuba huko ..its disgusting sometimes
Heche akili kubwa
Hakuna clouds tena maana ameondoka nayo Ruge, pumzika kwa amani legend Ruge
Hujui kinachozungumzwa hapo wewe Bata.Ruge katoka wapi kwenye mahojiano hayo?.Acha kukurupuka
Chadema mbona wanapenda kuitolea mfano Kenya wakat Kenya yenyew matatzo Yao yanafanana Tanzania na kama hawajui mbaka baadh ya nembo za kwenye fedha znafanana
Wew Kenya wametuzidi mbali sana niulize Mimi nimelala miaka 15hujui kitu
Kaangalie GDP ya Kenya, Export ya Kenya, income per Capita, currency, Then Uje hapa
Kenya is far better than Tz in terms of democracy and freedom of speech!
CDM ina majembe!
😂😂😂
Acha uongo wewe heche ,unaingilia hata taaluma usiyoijua,
Lau kwamba chadema wasinge wapa mademu zao zile nafasi maalum za ubunge mwaka 2015 wangekuwa wako sawa.
Q
Akili Kubwa.
Kamanda
Waooooooooo
Sàwa kàkà