Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Waoooo!!!! So amazing...every now and then l keep playing this song🎻🎻🎻🎺🎺🎺
Nice song..mbarikiwe sana
Huu wimbo mmeimba kwakweli unanibariki sanaaaaaaaaaaaaa.umetimia idara zote.mbarikiwe sana
Mungu awaabariki sana pamoja na mwalimuwenu kuimba ni kusali Mara mbili
Mungu awabariki saan kwa wimbo mzurii
Waoooh nimewapenda Mungu awabariki sana
Wasikiza kutoka jamuhuri international show ground Ngong Rd Nairobi Kenya. Blessed.
Mnanibariki mnoo Jaman Mungubawatunze na kuwabariki
J amani kwaya yetu mungu awabariki maana nyimbo nzuri sana hongereni kwa hatua mlioifikia mwenyenzi mungu azidi KUWAINUA kwa viwango vya juu zaidi
Hello, naomba unisaidie nipate nyimbo zao
Huu wimbo nimeusakaaaa! Mzurii
Safi sana mungu awatie nguvu
Jamani nimewasikia fountain radio nimewapenda sana mnaimba vizuri sana kulikoo hongereni sana, Mungu azidi kuwainua kiwango cha juu zaidi
Mnaimba kama kwaya moja kutoka Magutu Tanzania, Kule Sirare.?. Mbarikiwe sana. Kutoka Nairobi Kenya.
Mbarikiwe wana na binti za Mungu... Wimbo mzuri sana
MUNGU awabariki Sana mpovizuri sana
Nmeupenda sana huu wimbo
My day and night song and i feel blessed though this song
Wimbo mzuri sana kwa kweli
Nice song wow
Nzuri sana
Have are Good song God bless
I really love this song they sing like Sda!!!stay blessed
I like it
mungu awabaliki sana
Safi sana ujumbe nimeupata
Wimbo ni mzuri sana mbarikiwe
Yaani huu wimbo unanibariki sana siku ya kwanza kuusikia niliurudia km Mara zote maana nikisema niihesabu ni Mara nyingi sana mmbarikiwe wana na binti za Mungu.
Muzid kubarikiwa nanyimbo zur mnoo
Nice song .....be blessed🙏🏾🙏🏾
mubalikiwe sana
Insipiring!
Yaani song ilitoka 5 months ago eti leo ndio naisikia kwa status ya mtu.
Nabarikiwa
Wow! Good job.. AS IF SDA CHOIR . BE BLESSED!
Mbona mumepost nyimbo chache
Hakika Bwana Mungu ameongea na watu wake kupitia vinywa vya waimbaji hawa.
Wimbo mzuri sana. Nilidhani SDA kumbe KKKT. I like it.
Mi pia nilidhan ni sda mtam hatari
can't get enough of this song,,,
Jaman mbarkiwe sanaaaa video yake haijatoka
It is amazing song🥰
I wnt tu see my lord jesus
Iv mpaka Leo video hazijatoka kweli
I desire to see, am blessed with this song
Tamu saanaaa
Nauhitaji huu wimbo plz
Amazing song
🙏🙏🙏
Nimesikiliza huu Wimbo nikahisi kama nipo mbinguni daa MUNGU awabaliki
I love the the choir since the time of Aoko salvinas
Huu wimbo nimeutafuta saaaana nashkru Leo nmeupata ntapataje album ??? Npo Tz
Nikita kuudaurod naandikaje mpendwa
Nenda kwny Vidmate andika jina la huo wimbo then download
Glory to God
Hakika ujumbe umefika
Nakupenda mama yangu jenifa mush kwakweli umejitaidi sana zaidi ya sana
Nikitaka kuudaurod naandikaje
Waoooo!!!! So amazing...every now and then l keep playing this song🎻🎻🎻🎺🎺🎺
Nice song..mbarikiwe sana
Huu wimbo mmeimba kwakweli unanibariki sanaaaaaaaaaaaaa.umetimia idara zote.mbarikiwe sana
Mungu awaabariki sana pamoja na mwalimu
wenu kuimba ni kusali Mara mbili
Mungu awabariki saan kwa wimbo mzurii
Waoooh nimewapenda Mungu awabariki sana
Wasikiza kutoka jamuhuri international show ground Ngong Rd Nairobi Kenya. Blessed.
Mnanibariki mnoo Jaman Mungubawatunze na kuwabariki
J amani kwaya yetu mungu awabariki maana nyimbo nzuri sana hongereni kwa hatua mlioifikia mwenyenzi mungu azidi KUWAINUA kwa viwango vya juu zaidi
Hello, naomba unisaidie nipate nyimbo zao
Huu wimbo nimeusakaaaa! Mzurii
Safi sana mungu awatie nguvu
Jamani nimewasikia fountain radio nimewapenda sana mnaimba vizuri sana kulikoo hongereni sana, Mungu azidi kuwainua kiwango cha juu zaidi
Mnaimba kama kwaya moja kutoka Magutu Tanzania, Kule Sirare.?. Mbarikiwe sana. Kutoka Nairobi Kenya.
Mbarikiwe wana na binti za Mungu... Wimbo mzuri sana
MUNGU awabariki Sana mpovizuri sana
Nmeupenda sana huu wimbo
My day and night song and i feel blessed though this song
Wimbo mzuri sana kwa kweli
Nice song wow
Nzuri sana
Have are Good song God bless
I really love this song they sing like Sda!!!stay blessed
I like it
mungu awabaliki sana
Safi sana ujumbe nimeupata
Wimbo ni mzuri sana mbarikiwe
Yaani huu wimbo unanibariki sana siku ya kwanza kuusikia niliurudia km Mara zote maana nikisema niihesabu ni Mara nyingi sana mmbarikiwe wana na binti za Mungu.
Muzid kubarikiwa nanyimbo zur mnoo
Nice song .....be blessed🙏🏾🙏🏾
mubalikiwe sana
Insipiring!
Yaani song ilitoka 5 months ago eti leo ndio naisikia kwa status ya mtu.
Nabarikiwa
Wow! Good job.. AS IF SDA CHOIR . BE BLESSED!
Mbona mumepost nyimbo chache
Hakika Bwana Mungu ameongea na watu wake kupitia vinywa vya waimbaji hawa.
Wimbo mzuri sana. Nilidhani SDA kumbe KKKT. I like it.
Mi pia nilidhan ni sda mtam hatari
can't get enough of this song,,,
Jaman mbarkiwe sanaaaa video yake haijatoka
It is amazing song🥰
I wnt tu see my lord jesus
Iv mpaka Leo video hazijatoka kweli
I desire to see, am blessed with this song
Tamu saanaaa
Nauhitaji huu wimbo plz
Amazing song
🙏🙏🙏
Nimesikiliza huu Wimbo nikahisi kama nipo mbinguni daa MUNGU awabaliki
I love the the choir since the time of Aoko salvinas
Huu wimbo nimeutafuta saaaana nashkru Leo nmeupata ntapataje album ??? Npo Tz
Nikita kuudaurod naandikaje mpendwa
Nenda kwny Vidmate andika jina la huo wimbo then download
Glory to God
Hakika ujumbe umefika
Mbarikiwe wana na binti za Mungu... Wimbo mzuri sana
Nakupenda mama yangu jenifa mush kwakweli umejitaidi sana zaidi ya sana
Nikitaka kuudaurod naandikaje