EX wa HAMISA MOBETTO Ashindwa KUJIZUIA/Amuandikia UJUMBE Huu/HAMISA AMKAUSHIA MAZIMA....
Vložit
- čas přidán 13. 09. 2024
- Kuachana sio ugomvi, hiki ndio anachokionyesha aliyekuwa mpenzi wa mrembo @hamisamobetto @kevinsowax kwa kupita kwenye post ya Hamisa na kuacha comment yake.
Huenda Kevin amemmiss Hamisa na anaona hakuna haja ya kujificha wakati ni kitu cha kawaida kabisa na ndio maana ameacha comment kwenye post hiyo ya Hamissa aliyokuwa akiwajuza mashabiki zake kuwa yuko Nchini Marekani.
_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe CZcams channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
❤❤❤❤