Fatty aliwahi kasema kuwa anafanya part kisa kamjua mwanamke aliyetembea na mumewe akaongeza tena kuwa yy mtoto wa mjini haachwi😂mwanamke kutwa mashughuli saa ngapi utayachezea mapumbu ya mumeo
Ipo ivi kuoa mwanamke Zaid ya mmoja nisunna ndio lakini wanaume wengi wanaoa wake zaidi ya mmoja mala nyingi wanaume Hawaoi Kwa Sunna Bali wanaoa wake zaidi ya mmoja Ili tu kumkomesha mwanamke ndomana iyo Sunna ya wake wenza wanawake wengi hawampendi wanaona kama dharau vile Kwasababu wanaume wetu wengi wanachukulia ilo jambo kama fimbo dhidi yetu
@@user-vy2bc6xg3i Uchafu. Mungu si Mungu wa tamaa ya ngono hawezi kamwe kumubaka binti wa myaka 9 kwa njia ya ndoa. Huyo si Mungu wa kweli. Alimuumba mke mmoja na mme mmoja. Acheni kusambaza magonjwa ya zinaa Uchafu mtupu.
@@user-vy2bc6xg3i Na inajulikana kua dhambi. Watahukumiwa kwa makosa yao. Sio dini kuruhusu watu kuchangia ngono. Hata wenye wake wengi wasio muogopa Mungu bado wanazini tena. Nafikiri unao ushahidi mwenyewe. kama huna fanya utafiti utagundua. Mwenye pupa ya ngono hawezi kuridhika hata awe na wake wengi ni kazi za shetani.
Hivi vyombo vya habari kweli kwenye hii Tanzania ni aibu tu wanaume mnakaa kujadili talaka za watu kweli jmn toeni habari za kueleweka julisheni umma nn kinaendelea kahojini wabunge mawaziri mnaongea usenge tu
Juma kawa mdogo..,Dida ety"Kwa mie kuweza"😂😂😂
Juma anaogopa kupoteza kibarua kwa boss wake na ndy maana anaficha ficha lkn ndoa chali kweli nyodo zote zitamuisha Kitasa
Duh na mbwembwe zote zile nyie aaahhh me staki kuamini 😂😂😂😂 ila juma mnafiki ww et anasikitika 😂😂😂😂
Upewe taarifa usipewe taarifa kuuma ndio kulekule😂😂😂😂😂sa akikwambia ndo nn
Me sioni umuhimu wa kupewa taarifa et naenda kuoa,kwanza ndo naona km ananidharau kunipa taarifa ntamuua bure😢
🙄
Sawa sawa dida una vyo Sema kweli
Mtoto wa mjini mbona mume kachukuliwa😳 wanaume mtu bora uwatizame tu ivoivo
Kabca😂
Fatty aliwahi kasema kuwa anafanya part kisa kamjua mwanamke aliyetembea na mumewe akaongeza tena kuwa yy mtoto wa mjini haachwi😂mwanamke kutwa mashughuli saa ngapi utayachezea mapumbu ya mumeo
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Ila😂😂😂😂😂…… Da Dida
Eti waislam tena wanaume wanaanika mambo ya ndoa za watu adharan,dah kesho kwa muumbq mtajibu nn?
We dida unaweka we mwenyewe mbona ndoa zinakushinda
Hahahaaaa apo hakuna kusaidiana tena
Ipo ivi kuoa mwanamke Zaid ya mmoja nisunna ndio lakini wanaume wengi wanaoa wake zaidi ya mmoja mala nyingi wanaume Hawaoi Kwa Sunna Bali wanaoa wake zaidi ya mmoja Ili tu kumkomesha mwanamke ndomana iyo Sunna ya wake wenza wanawake wengi hawampendi wanaona kama dharau vile Kwasababu wanaume wetu wengi wanachukulia ilo jambo kama fimbo dhidi yetu
Ukewenza inataka moyo
Vp hajali kitasa kujali anajal na inamuuma😂😂😂unazuga tu
Acheni kuchangia ngono ni
uchafu mbele za Mungu.
Aliumbwa mme mmoja na mke mmoja tu.
Pupa na tamaa ya ngono.
Kwenu ila kwetu sisi sunna
@@user-vy2bc6xg3i Uchafu.
Mungu si Mungu wa tamaa ya ngono hawezi kamwe kumubaka binti wa myaka 9 kwa njia ya ndoa.
Huyo si Mungu wa kweli. Alimuumba mke mmoja na mme mmoja.
Acheni kusambaza magonjwa ya zinaa
Uchafu mtupu.
@@pengefeza2563 dada unajiongopea wachungaji wenyewe wanachepuka 😆 wake up
@@user-vy2bc6xg3i Na inajulikana kua dhambi.
Watahukumiwa kwa makosa yao. Sio dini kuruhusu watu kuchangia ngono.
Hata wenye wake wengi wasio muogopa Mungu bado wanazini tena.
Nafikiri unao ushahidi mwenyewe.
kama huna fanya utafiti utagundua.
Mwenye pupa ya ngono hawezi kuridhika hata awe na wake wengi ni kazi za shetani.
Hata usimjibu chini huyo ngono wanaijua hiyo tuuu lkn kuchepuka na wanawake nje kisa tuu mwili mmoja wa ushuzi
😂😂😂😂😂😂😂jumaaaaaaaa
Mbona na wewe ulifurahia zari kuachana na mumewe hivi Juma una shida gani wewe
Babu iddy kwann rukia lakin?😡😡😡
😂😂😂😂dida chukuwa mauwa Yako 🎉🎉🎉🎉
Juma we kiboko 😂😂
Wew shoga juma ulivyomuombea faima aachwe na reivani ulewe wew sio choko ili
Juma mnafki khaaaaa😅😅
😂😂😂 juma weeeeeh
Wtt wa siku hizi.ss bibi zenu ,babu zenu walikuwa wanaoa na kuacha kila uchao bila taarifa
.lkn steel tupo kinachotutenganisha umauti tu.
Ndo zama hiO sio kwa sasa na huyo ni bibi yako wewe labda alokua hana pakwenda
Dida mbona weee huwezi acha kujipen dekeza
Ukewenza unauma nyinyi mnaongea tu wallah mtuache tu na ndoa zetu ila hapana afu hauzoeleki sasa tupo kweli ila mmmmh
Juma mbona unaon gea kwakuogopa sa na vipi mbona meng ine unayashadadia ongea juma ongea
Rafiki yake 😂😂😂
😅😅
Hivi vyombo vya habari kweli kwenye hii Tanzania ni aibu tu wanaume mnakaa kujadili talaka za watu kweli jmn toeni habari za kueleweka julisheni umma nn kinaendelea kahojini wabunge mawaziri mnaongea usenge tu
Subiri habari ya saa mbili ITV utapata hizo habari za muhimu unazotaka hapa tuache
Duuh
Jiwe limetupwa kwa diva
Umeona eeeeeeh 😂😂😂
Yeye kaorewa na mpemba mitara razima,,na dida anasadadia kama yye kuweza