UNDANI WOTE: NDOA YA FETTY KITASA KUVUNJIKA, MUME AONGEZA MKE, LOKOLE ASHINDWA KUJIZUIA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 48

  • @EricaBizuru-jp9by
    @EricaBizuru-jp9by Před hodinou +1

    Juma kawa mdogo..,Dida ety"Kwa mie kuweza"😂😂😂

  • @Official83640
    @Official83640 Před 17 dny +10

    Juma anaogopa kupoteza kibarua kwa boss wake na ndy maana anaficha ficha lkn ndoa chali kweli nyodo zote zitamuisha Kitasa

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Před 17 dny +6

    Duh na mbwembwe zote zile nyie aaahhh me staki kuamini 😂😂😂😂 ila juma mnafiki ww et anasikitika 😂😂😂😂

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n Před 17 dny +6

    Upewe taarifa usipewe taarifa kuuma ndio kulekule😂😂😂😂😂sa akikwambia ndo nn

  • @LindaMbilinyi-n3n
    @LindaMbilinyi-n3n Před 16 dny +7

    Me sioni umuhimu wa kupewa taarifa et naenda kuoa,kwanza ndo naona km ananidharau kunipa taarifa ntamuua bure😢

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu Před 9 dny +1

    Sawa sawa dida una vyo Sema kweli

  • @mariyamgharib940
    @mariyamgharib940 Před 17 dny +11

    Mtoto wa mjini mbona mume kachukuliwa😳 wanaume mtu bora uwatizame tu ivoivo

  • @user-vy2bc6xg3i
    @user-vy2bc6xg3i Před 14 dny +5

    Fatty aliwahi kasema kuwa anafanya part kisa kamjua mwanamke aliyetembea na mumewe akaongeza tena kuwa yy mtoto wa mjini haachwi😂mwanamke kutwa mashughuli saa ngapi utayachezea mapumbu ya mumeo

  • @monicambarikiwa9532
    @monicambarikiwa9532 Před 17 dny +4

    Ila😂😂😂😂😂…… Da Dida

  • @zuberimohamedi5761
    @zuberimohamedi5761 Před 17 dny +2

    Eti waislam tena wanaume wanaanika mambo ya ndoa za watu adharan,dah kesho kwa muumbq mtajibu nn?

  • @rukiamziwanda7458
    @rukiamziwanda7458 Před 16 dny +1

    We dida unaweka we mwenyewe mbona ndoa zinakushinda

  • @mwanamvuaally3570
    @mwanamvuaally3570 Před 3 dny

    Hahahaaaa apo hakuna kusaidiana tena

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před 12 dny

    Ipo ivi kuoa mwanamke Zaid ya mmoja nisunna ndio lakini wanaume wengi wanaoa wake zaidi ya mmoja mala nyingi wanaume Hawaoi Kwa Sunna Bali wanaoa wake zaidi ya mmoja Ili tu kumkomesha mwanamke ndomana iyo Sunna ya wake wenza wanawake wengi hawampendi wanaona kama dharau vile Kwasababu wanaume wetu wengi wanachukulia ilo jambo kama fimbo dhidi yetu

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n Před 17 dny +2

    Ukewenza inataka moyo
    Vp hajali kitasa kujali anajal na inamuuma😂😂😂unazuga tu

  • @pengefeza2563
    @pengefeza2563 Před 17 dny +4

    Acheni kuchangia ngono ni
    uchafu mbele za Mungu.
    Aliumbwa mme mmoja na mke mmoja tu.
    Pupa na tamaa ya ngono.

    • @user-vy2bc6xg3i
      @user-vy2bc6xg3i Před 14 dny

      Kwenu ila kwetu sisi sunna

    • @pengefeza2563
      @pengefeza2563 Před 14 dny +1

      @@user-vy2bc6xg3i Uchafu.
      Mungu si Mungu wa tamaa ya ngono hawezi kamwe kumubaka binti wa myaka 9 kwa njia ya ndoa.
      Huyo si Mungu wa kweli. Alimuumba mke mmoja na mme mmoja.
      Acheni kusambaza magonjwa ya zinaa
      Uchafu mtupu.

    • @user-vy2bc6xg3i
      @user-vy2bc6xg3i Před 13 dny +1

      @@pengefeza2563 dada unajiongopea wachungaji wenyewe wanachepuka 😆 wake up

    • @pengefeza2563
      @pengefeza2563 Před 13 dny

      @@user-vy2bc6xg3i Na inajulikana kua dhambi.
      Watahukumiwa kwa makosa yao. Sio dini kuruhusu watu kuchangia ngono.
      Hata wenye wake wengi wasio muogopa Mungu bado wanazini tena.
      Nafikiri unao ushahidi mwenyewe.
      kama huna fanya utafiti utagundua.
      Mwenye pupa ya ngono hawezi kuridhika hata awe na wake wengi ni kazi za shetani.

    • @SalmaBinyaga
      @SalmaBinyaga Před 11 dny

      Hata usimjibu chini huyo ngono wanaijua hiyo tuuu lkn kuchepuka na wanawake nje kisa tuu mwili mmoja wa ushuzi

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 Před 6 dny +1

    😂😂😂😂😂😂😂jumaaaaaaaa

  • @zainabhussein5542
    @zainabhussein5542 Před 17 dny +2

    Mbona na wewe ulifurahia zari kuachana na mumewe hivi Juma una shida gani wewe

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 Před 6 dny +1

    Babu iddy kwann rukia lakin?😡😡😡

  • @ashurajuma2024
    @ashurajuma2024 Před 14 dny

    😂😂😂😂dida chukuwa mauwa Yako 🎉🎉🎉🎉

  • @MonadiNadi-j6s
    @MonadiNadi-j6s Před 17 dny +1

    Juma we kiboko 😂😂

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d Před 17 dny +3

    Wew shoga juma ulivyomuombea faima aachwe na reivani ulewe wew sio choko ili

  • @user-ew3zj8ig4n
    @user-ew3zj8ig4n Před 12 dny

    Juma mnafki khaaaaa😅😅

  • @user-lu1by6yp4t
    @user-lu1by6yp4t Před 13 dny

    😂😂😂 juma weeeeeh

  • @FatumaSaid-t4r
    @FatumaSaid-t4r Před 17 dny

    Wtt wa siku hizi.ss bibi zenu ,babu zenu walikuwa wanaoa na kuacha kila uchao bila taarifa
    .lkn steel tupo kinachotutenganisha umauti tu.

    • @x7hia
      @x7hia Před 17 dny +1

      Ndo zama hiO sio kwa sasa na huyo ni bibi yako wewe labda alokua hana pakwenda

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu Před 15 dny

    Dida mbona weee huwezi acha kujipen dekeza

  • @MwanaidiRulimbiye-y7q
    @MwanaidiRulimbiye-y7q Před 17 dny +2

    Ukewenza unauma nyinyi mnaongea tu wallah mtuache tu na ndoa zetu ila hapana afu hauzoeleki sasa tupo kweli ila mmmmh

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu Před 15 dny

    Juma mbona unaon gea kwakuogopa sa na vipi mbona meng ine unayashadadia ongea juma ongea

  • @evelynekaneza
    @evelynekaneza Před 13 dny

    😅😅

  • @AbbMotors-pc4rx
    @AbbMotors-pc4rx Před 17 dny

    Hivi vyombo vya habari kweli kwenye hii Tanzania ni aibu tu wanaume mnakaa kujadili talaka za watu kweli jmn toeni habari za kueleweka julisheni umma nn kinaendelea kahojini wabunge mawaziri mnaongea usenge tu

    • @barbiepixie92
      @barbiepixie92 Před 16 dny

      Subiri habari ya saa mbili ITV utapata hizo habari za muhimu unazotaka hapa tuache

  • @YahayaMnyepe
    @YahayaMnyepe Před 6 dny

    Duuh

  • @agynoel2846
    @agynoel2846 Před 17 dny

    Jiwe limetupwa kwa diva

  • @MsNajma-j7e
    @MsNajma-j7e Před 17 dny

    Yeye kaorewa na mpemba mitara razima,,na dida anasadadia kama yye kuweza