Huyu jamaa ni chizy. Na kuna mtu anaamini😂😂 jamaa ako mboka. Huyu atafanya traders waanza kupigwa taxes zingine mwenda na Ruto. Wakianziwa na huyu jamaa.
Mpaka njonjo inabidi a drive mwenyewe juu hataki balaa na mwenye shoo room koz anajua ni kipindi tu.Alf wewe tumbili uache kutuonyesha utoto tunadai vitu za ukweli hapa.
Congrats prince. Keep soaring higher! Enjoy the fruits of your labor.
All the best.
"Na mumepiga uniform" musijifanye hamjaskia iyo😂😂😂😂😂
Tumesikia lakini huwezi cheka ka unakuls chapo beans
Kenyan prince facial expressions are a reflection of a traumatized childhood. I bet He's sad when alone.😂
Wacha kua hater
Unakula mahindi chemsho ndani ya Gwagon😂😂😂😂😂
Wee mbona unakula pizza kwa nyumba ya mabati🤨
inaitwa corn ukiwa kwa G-wagon
@@bast_ed pizaa ni chakula ya watu maskini
Vijana wako njaa😂😂si wanunue multi vitamin za elfu mbili wanone😂😂
Alafu wakinono Nini ifanyike
@@piusnyaboga903 tuwapeleke butchery
@@BOILINGPOINT_KE 😂😂😂
😂😂😂
@@BOILINGPOINT_KE😂😂😂
😂😂😂kukuwa mshambaa n ki2 ingine mbaya sanaaa ii nairobi
exactly
Hawa ni njaa tu the way he's eating that maize can tell.
This just flout even 2mbili knows.
🤣🤣🤣ulikuwa unataka akule pizza...
We don't know flaut 😂😂😂 tunajua clout 😉
Hiyo G-wagon ikijaribu iguswe tu kidogo hivi! Kidogo tu!!!!!
Na mumekonda kube pesa haipendi mafuta mingi😂😂😂😂
mbona mmesahau kutuonyesha logbooks na transaction..? mpige picha na magari ya wenyewe afu by end of the day mrudishe kwa showroom
😂😂anaruka bei ya G wagon na ni yeye amenunua... enyewe ushamba ni mbaya
Pesa Haina kelele 😂😂💔
Aint nothing as exciting as New Money, Young Money... beating the system
Mbona hawasemi bei😂😂😂kiki hii
Wivu iko hapa comments section 😂😂😂wadau mta make it kweli
Na wakimake it hawaezi taka wengine wawe na wivu
Hakuna wivu hapa. Hii yote ni uwongo. Lazima pia tumbili atafute content. Na lazima ukue fala uingie box ya hii uwongo yote
Lakini tumbili,was kukula vitu za Atenza ndani ya G Wagon really necessary 😂😂😂😂
Gari mzee😂😂
"Yani unakula mahindi ndani ya Gwagon na hufeel kitu"🤣🤣🤣
The other is very quiet real ones move in silence ama anaogopa kufuatiliwa😂
Wenye pesa they don't go round mouthing like wamamaa
Wueh! Yaani kijana ametulia but anamake moves hatari😂😂enyewe wenye pesa hawana kelele
Translation 😅😅😅
Translation is deadly deadly 😅😅😅
AI hapa imeuma nje 😂
Labda he meant huyo mwenye ametulia sio Prince😂. Ama nimeuma nje
Ni kama mwenyewe amedrive😂😂😂
Ndio huyo mwenyewe amekujia gari arudishe kwa shop.. 😂
Mnatupigisha kipindi hapa, shiet😂😂
ati hizi sio viatu za kuingia g wagon
HII NI GARI YA SERIKALI😂😂😂
Akili ni nywele wadau,,,wisdom matters a lot in this world,,showing off itaua watu,,,,
Wa watu walikua wamekodisha hio gari for 2hrs.
this guy very funny 😂
Funny pesa hakuna kelele
Huyu jamaa ni chizy. Na kuna mtu anaamini😂😂 jamaa ako mboka. Huyu atafanya traders waanza kupigwa taxes zingine mwenda na Ruto. Wakianziwa na huyu jamaa.
Tumbili ndio anaskia mzurii hapa😂😂😂anatengeneza brand anaenda huku anachukua maneno anapeleka huku😂😂
😂😂😂😂
Huyu adi anamshtua kenyan prince jamani😂😂😂
How can you be car dealer na hujui bei ya GW wacheni ujinga
Basss😂😂tulipangwa..kila mtu alihepa hiyo story banaa
"Mnakaa wafungua wako off"😅
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Tuko wapi Sahii!!!😄
This story ni za ufala sasa,man with money never show
unaongea nini bladifuckin
kenyan music lovers 🥰
Uyo jamaa mwenye Gwagon anaitwa MJ ni tajiri mbaya
Anado kazi gani
Huyu boy huniboo tu.
Hahaaa na kwani iko na tag ya subaru
G,wagon iko na whooffer😂😂😂 ama hamjaskia iyo🎉🎉🎉
Utajua aje ni mkisii .... anakula egetuma 😅
Najua inauna to see a young man acquire what you can't give them their flowers
Ubishow tu!😂😂😂
Umeskia vile that beared guy amesema..."ati mlisema 2hrs" watu wanalipa ndio wa flaunt na gari.Enyewe fake it until you make it..😂😂😂😂😂😂
Unwell wa hii dunia venye to Joel M Kariuki husema pale TikTok ndio hit
Wanunue Private Jet sasa hii vita ya magari wametoka Draw...
Meaning si yake umesikia hapo Kwa 2027 amesema hii ndio naomba nifanyie campaign 😅😅😅😅
Yake ni GLE,hii hakujiidentify nayo,elewa mambo😂😂
Manze mahater mko wengi😂😂.., si mmake it hadi nyinyi
eti wafungwa wako off😂
Hii si yao wanatafuta macoments😂😂😂😂😂😂😂
2 mbili umekula fiews.
Wafungwa wako off😂
this guy is crazy
Oh yeah he is crazy 😮😮😮😮😮
Wapi documents
iko wapi mazda atenza tuone mwenyewe😂😂
kama ata kenyan prince amekubali hana doo enye nkama huo msee akona doo
Red flag😂😂😂😂
Uyo twin wake ameva socks za 30 bob
WAKISII WAWILI NA VEST ZA FIFTY FIFTY
mtu aki hire gari one day
this guy is worried guys😮😮😮😢ama amelewa😮he is suspicious somehow kuna kitu atushow pesa si legit...hi 2060 i was here on 2024❤
wakenya huu nu wongo
Mahnn naisha aki
I think the guy prince claming to be hiz bro has helped prince to get the gle money wise
Used. Mwaka gani? Check those tyres..mzee😂
G_wagon inakuaga 4600 CC 😂😂 they can't even fuel it for 10kms 😂,unakuala mahindi chemsha kwa G_wagon si hio kurogwa😂
Wafungwa wako off😂😂
enda ukule kwanza
Eti yaani unakula mahindi chemsha ndani ya g wagon na haufeel kitu 😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 2mbili nawe mnatusumbua na G63 ya 1990s hatupumui town screen enyewe nikaa TV ya black and white zile enzi za Kenyatta majanga
eish 😂😂😂
Kipindiree
Ask for a 100 fleet of nice machines.uache kutuonyesha tugari tu dudu tukitolewa showroom to another
weeh ni fala buda😅
Hzo tyre sio za gari imetoka show room inakaa imekua barabarani,
Mbona mwili inakataa kukaa na hiyo gari waaah ..sisi hamuezi tuua na fake lifestyles 😂😂😂😂..enda kwanza mpewe vitamins 😂😂😂
Is there anybody here who looks like he can afford even a mortor bike
Mtu ako na G wagon na anamiliki simu ya infinix
Confused farmboys
Tumbili bana si ungewanunulia hata lunch manze wanakaa wako njaa😢,,,
Kipindi kali sanaa kwa anayeelewa!.
Hii G-wagon ni old version its not a new model na hizo rims zake zinakaa ovyo sana
The point is Its still a G Wagon 😂😂
😂😂😂tumepangika
We umaemua kutupima
Hehe.. 2011
Hawa vijana ni mabroker
Unakula mahindi ndani ya G wagon kua serious
Hii ni chuma😂😂
hii ni how many ha kisii
Tumbili achanga uwongo. Hii ni upuzi tupu
G-wagon ilimshind akaenda gle ama mimi kuna hawa watu wawili.
eti tufeel suspension..buanaa mtatumaliza
Aty wanakaa wafungwa wako off😂
number plate ya GAVA
Mpaka njonjo inabidi a drive mwenyewe juu hataki balaa na mwenye shoo room koz anajua ni kipindi tu.Alf wewe tumbili uache kutuonyesha utoto tunadai vitu za ukweli hapa.
Watu hawajawai amini mtu anaeza achieve sth big😅hata kupata A utaskia tu uliibia mtihani💀
Vipindiree
I ulete interview za maana bana
Hahaha dealer amechoma,ati mliomba awapee 2hrs.
Nimeskia😂😂
Hii n kipindi tu ju Sammy boy alibuy Audi TT.huyu msee hawezi afford G wagon.ile Benz ingine ilivutwa.ameenda showroom akachukua Gari apige kipindi