MANARA AMVAA AHMED ALLY - "NILIMUONYA HAKUSIKIA, AKASEMA NAJISHTUKIA, NIKAAMUA NIM'BUST"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 03. 2022
  • MANARA AMVAA AHMED ALLY - "NILIMUONYA HAKUSIKIA, AKASEMA NAJISHTUKIA, NIKAAMUA NIM'BUST"
    Afisa habari na msemaji wa Yanga Haji Manara amezungumza na waandishi wa habari kuelekea katika mchezo wao dhidi ya Azam fc mchezo utakaochezwa katika dimba la chamazi .
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
  • Sport

Komentáře • 286

  • @009biafra8
    @009biafra8 Před 2 lety +7

    Msukule Bwana. Achana na SIMBA 🦁💪

    • @roseminja1920
      @roseminja1920 Před 2 lety

      Wizard makolo kaeni kmy semaji lakimataifa anatoa neno tulieni dawa iwaingie timu yawahuni niyakwenu nasiyoyanga chefuuuuuuu

  • @evidarink
    @evidarink Před 2 měsíci +1

    huna baya mr achana na wasio jielewaaaa ahamed ally alipo ata afanye nini awezi kufikia level akooo ko anajiridhisha kwakulitaj jina lakooo cool it broo

  • @elijahsolomon3260
    @elijahsolomon3260 Před 2 lety +7

    Mbona bumbuli hana Fuji na ndiyo boss wako, nenda shule wewe kilaza acha kuzionea wivu CV za Professional International Journalist Super Ahmed Ali

  • @user-xm5zc3sh5n
    @user-xm5zc3sh5n Před 8 měsíci +2

    Kaka manara uko sahihi

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 Před 2 lety +2

    Ahmed Ally ameingia juz tuu lkn keshafanya makubwa n anaendelea kufnya makubwa tuachie semaji letu pambana n hali yko huko UTOPOLO au husikiki sikuiz sasa unatafuta kiki kupitia yy km mjibuji kweli mguse MWIJAKU kiboko yko mbona unamuogopa

  • @samiraahmed8966
    @samiraahmed8966 Před 2 lety +9

    Sasa kwani hukusema?Wewe toka umetoka simba Akili yako bado haijawa nzuri.

  • @abdallahesika8407
    @abdallahesika8407 Před 2 lety +3

    Huyu manara mupimeni akili nahisi haziko sawa hamfikii Ahmed Ally hata kidogo unaona tu unajua. Ahmed yupo smart sana

  • @veredianavenance2901
    @veredianavenance2901 Před rokem

    Uyu zeruzeru akiri ana nampenda sana semaji ra cef Ahmed ally we ni msemaji bora sana

    • @frankhoffa8356
      @frankhoffa8356 Před 4 měsíci

      Weee jinga kweli kwahiyo ulitaka anavo mcrash akae kimya? Inatokea mi nakuchokoza wewe utaniacha? Nduguyenu ni mchokozi yule bwana mumshauri aache ugomvi

  • @magrethsanga942
    @magrethsanga942 Před 2 lety +5

    Haji muongo unataka kuabudiwa msukule wewe toka huko muqche Ahmed ally wetu

  • @issackchalahani1235
    @issackchalahani1235 Před 2 lety +5

    Kwani manara umefanya nini kwenye mpira! Manara tatizo anasumbuliwa na jinsi alivyo, wala sio kingine.

  • @mashalahwajimwaga1012
    @mashalahwajimwaga1012 Před 2 lety +3

    Unapenda sana kujipendekeza kama familia zako zimekushinda unadhani utaongoza timu gani ya wahuni

  • @nastyb7405
    @nastyb7405 Před 2 lety +11

    Hivi Manara kwa clips zile ndo wa kusema aliikataa Simba.? Kuna umuhimu wa kuweka akiba ya maneno

  • @eliasmushi6792
    @eliasmushi6792 Před 2 lety +2

    Acha ufalaaaa manara....tuachie Simba yetu....na msemaji wetu

  • @billsmgashe1917
    @billsmgashe1917 Před 2 lety +2

    We manara embu tafakar neno school na upoyoyo achana kubishana na msomiwewe poyoyo

  • @salumumsei3942
    @salumumsei3942 Před 2 lety +13

    Haji unaishi maisha ya filauni kabisaaa jitathmini kaka

  • @jaribiwarungwe1925
    @jaribiwarungwe1925 Před 2 lety +4

    Kizuri chajiuza kibaya Chajitembeza

  • @wardakangezi6942
    @wardakangezi6942 Před 7 měsíci

    Safi Sana kaka

  • @user-ck6lf9gg6v
    @user-ck6lf9gg6v Před 6 měsíci

    Hakuna kitu kibaya kama kuwa mnafiki. Ww ni mtu mbaya sana hata vitabu vinatueleza tuwakwepe watu wa namna hii, anapenda sana sifa mm namjua toka michezo yake wakati wa utoto inamuathiri, omba toba ww kwa uliyoyafanya ww una uwezo wowote ktk nchi hii. Uwezi kuwa juu ya sheria na uwe na mipaka ktk kuongea.

  • @mombasa0076
    @mombasa0076 Před 2 lety +9

    ACHA KUMTISHA KIJANA HUYO. LAZIMA UAMBIWE MBONA WEWE UNAWAAMBIA WENGINE WENGI TU.
    ACHA ZAKO ZA KUTISHA WATU.

  • @saidothmani7522
    @saidothmani7522 Před 2 lety +2

    WW HUNA UKUBWA WOWOTE
    KILA CKU SIMBA UNAIONGELEA HUNA MPYA
    WAKO NI WIVU HUNA JIPYA KWENDA HATA SISI TUTAKUFYATUA.TUNAJUA ZAKO NYINGI TU.NIFUTE MM UONE KAZI

  • @roberttagaya9098
    @roberttagaya9098 Před 2 lety +5

    Wewe kiboko yako ni Babra tu. Ulimuongelea hakukujibu chochote mwisho wa siku ukasanda.

  • @amiriamri654
    @amiriamri654 Před 2 lety +3

    Tushakuzoea kama unaita press kwa ajili ya ng,ombe sembuse hli

  • @florianmodest6215
    @florianmodest6215 Před 2 lety +4

    Haji bana mkwara mkubwa wakati alipotimuliwa Simba alikuwa analia ktk Ile clip yake. Mganga njaa kweli acha kumtisha semaji la club Bingwa humuwezi Ahmed!

  • @mombasa0076
    @mombasa0076 Před 2 lety +7

    Ahmedi usimuogope haji .
    Wewe ni msemaji kijana tena ktk timu kubwa. ASIKUTISHE HIYO ... WEWE FANYA KAXI YAKO USIMUOGOPE HAWEZI KUKUFANYA KITU.
    WEWE NI ZAIDI YA YEYE.
    USIOGOPE MITUSI YAKE SISI TUPO TUNAKULINDA.
    KAMA ANAKUSUMBUA WEWE MSEME TU USIOGOPE .

    • @salim02tv24
      @salim02tv24 Před 2 lety

      Mpk mnamlindaaa..maanara🤣🤣🤣🤣🤣🤣 anajilinda mwenyewe na maneno yake...

    • @jescakiria6883
      @jescakiria6883 Před 2 lety

      Lazima tumlinde dhidi ya kichaa 😆😆

  • @Yu-jr9uf
    @Yu-jr9uf Před 2 lety +2

    El buggati😁😁😁😁, yule mtt hata mpira haujui maskn!! UNDISPUTED EL BUGATT

    • @jescakiria6883
      @jescakiria6883 Před 2 lety

      Huyo haji mpira anaujua au kacremisha Sheria na kusoma historian wachezaji Tena ndio wanaoujua mpira kabwili

  • @audifacejosephat7071
    @audifacejosephat7071 Před 2 lety +2

    Acha upuuzi nguruwe pori we nani kasome kwanza acha upuuzi fala wewe umuonye nani

  • @user-yn6yu9zl1p
    @user-yn6yu9zl1p Před 3 měsíci +1

    Mashabiki bora African

  • @khalifamaliki4179
    @khalifamaliki4179 Před 3 měsíci +1

    Aji ww mtukubwa wa wapi ww songa

  • @luthermbio7581
    @luthermbio7581 Před 2 lety +12

    Kwa jinsi unavyoongea hakika simba unaipenda sana

  • @rosekweka47
    @rosekweka47 Před 2 lety +1

    Mm sikuona sababu ya kumjibu unajua kimya nalo jibu lakini ukaanza kujibu inaonekana nikweli vumilia ndio uyangauo babu tulia upewe

  • @Princewaweru
    @Princewaweru Před 2 lety +1

    Toka hapa

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Před 2 lety +1

    WEWE MQNARA KENGE SI ULIANZA WEWE KUJISIFU NA KUSIFIA SUTI ZAKO SIJUWI ZINATOKA UFARANSA UBELGIJI KUMBE MITUMBA KAMA LILE KOTI LA NJANO UNAVAA NA JINZI MTUMBA OG. KWELI KICHWA CHAKO KIMEJAA MAJI MACHAFU HUNA AKILI.

  • @mohamedjuma8348
    @mohamedjuma8348 Před rokem

    Ni kweli unajistukia na usijifanye we mkubwa kwenye mpira. We hujui kitu kuhusu mpira unachojua ni kuimba taarabu

  • @mohamedjeizan5929
    @mohamedjeizan5929 Před 2 lety +6

    Nyie watangazaji hiyo ndio kazi? Kutafuta mambo ya fitna?
    Mambo ya mpira yamekushinda umebakiza ushoga tu

  • @kitambimwana4974
    @kitambimwana4974 Před 2 lety +3

    Kweendraaa kuleeee,,,mganga njaaa weeeee

  • @ghost_worker01undetectable63

    Fala kweli hili...
    Mbona yeye anamattack Mo personally...

  • @mikamwalimu9324
    @mikamwalimu9324 Před 2 lety

    Mbona we umewatukana sana yanga au umejisahaulisha kisa leo upo wananchi

  • @AhmedSaid-mk7qs
    @AhmedSaid-mk7qs Před 5 měsíci

    Wew ashura umefanya nini kwenye mpira usitake sifa wew hujui kusema ni mropokaji tu wew semaji la caf anaweza kujibu msukule

  • @sakaramasenzamasenza4165
    @sakaramasenzamasenza4165 Před 2 lety +7

    Umefanya nn kweny mpira ,,,acha sifa za kijinga,subir wanampira wazungumze

  • @veredianavenance2901
    @veredianavenance2901 Před rokem

    Semaji retu ra simba achana na uyo chizi amefrri zeruxeru nakukubari sana semaji ra time yangu ya simba Ahmed ally

  • @mohamedjuma8348
    @mohamedjuma8348 Před rokem

    Nadhani waandishi wa habari hasa wale unaowahoga ndio wanakupa kichwa kubwa afu ni matope

  • @user-yp4gc5zc2i
    @user-yp4gc5zc2i Před 5 měsíci

    Mwambie kweli hakuwezi maneno mengi vitendo vichache Simba mbeleko2

  • @user-pl7sx4mx5w
    @user-pl7sx4mx5w Před 4 měsíci

    Wambie brow

  • @paulalphonce2488
    @paulalphonce2488 Před 2 lety +2

    Ni mdogo lakini anakuzidi akili na maalifa ww ni kenge kama kenge wengne

  • @AminiMsellem-gk3yy
    @AminiMsellem-gk3yy Před 3 měsíci

    Umeisha wewe mpira ushakushinda unayoweza ni mipasho 😂😂😂

  • @user-tv9zu6kv6l
    @user-tv9zu6kv6l Před 4 měsíci

    WE NGURUWE POLY TULIA SIMBA SC TULISHAKUPIGA CHINI

  • @amankayinga3475
    @amankayinga3475 Před 2 lety +2

    Hujui chochote wewe we ni msukule tu

  • @teddymhagama611
    @teddymhagama611 Před 8 měsíci

    we chizi Kwanza Simba tulipotea njia kukupa kazi mbugila wahed kafie mbele huko😮😮😮

  • @kulwahemedi1110
    @kulwahemedi1110 Před měsícem

    Umefanyakitu gani bwanaa kweny mpr kikubw gan

  • @mariamemadoshi5540
    @mariamemadoshi5540 Před 8 měsíci

    Manara umewazidi kilakitu falatu huyo maisha hana huyo ahemedi wanaokutukana wote hawana maisha

  • @michaelhadram416
    @michaelhadram416 Před 2 lety +2

    Ila si mwanaume unaye lia lia au ?

  • @geraldlyimo2859
    @geraldlyimo2859 Před 2 lety +2

    Hivi kwani wanaume wanakuaga ushambenga?

  • @meshackumoja
    @meshackumoja Před 8 měsíci

    Manara tako lako

  • @user-ux5hj3qi9e
    @user-ux5hj3qi9e Před 4 měsíci

    Wew ni hela

  • @dafrosadeus5203
    @dafrosadeus5203 Před 2 lety +5

    Unaongea Sana wewe, huna jipya! Tuachie msemaji wetu, pambana na hali yako kk

  • @suzypaul4559
    @suzypaul4559 Před 2 lety

    Bora ulitupisha Simba maana sikuelew kabisa promo nyingi hamna kitu achana na Jembe letu lisije likakulima bure Hana shida na mtu kumchokoza Tu.

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před 2 lety +2

    Huna jipya ww unajishtukia tuu

  • @rehemamejja8342
    @rehemamejja8342 Před 8 měsíci

    Muomgooooo

  • @farajakunyanja2521
    @farajakunyanja2521 Před 2 lety

    Unaga jipya aaaa aah

  • @zuhuracassim2830
    @zuhuracassim2830 Před 2 lety +3

    Nakuelewa Sana'a haji semaji la dunia

    • @mombasa0076
      @mombasa0076 Před 2 lety +3

      Hana lolote
      Asimtishe kijana huyo.
      ALIFIKIRI AKIONDOKA SIMBA HATOTOKEA MSEMAJI MWENGINE ?
      USEMAJI NI KAZI , WATU wA KUFANYA KAZI WAPO asiwatishe.

    • @zuhuracassim2830
      @zuhuracassim2830 Před 2 lety +1

      Kuna nyakati kila mtu ana sema lililo moyon mwake bjnafsi namkubali haji sana sana kulingana na mm mwana yanga na siwezi ona uzuri wa Ahmed ally ata avae ngozi ya kondoo na muona choo

    • @prriya507
      @prriya507 Před 2 lety +1

      @@zuhuracassim2830 🤣🤣🤣🤣Ewaaaaa

    • @hildantandu5909
      @hildantandu5909 Před 2 lety +1

      @@zuhuracassim2830 choo,hata akili huna kumbe.Kama huna akili si kichwa kivimbe.

    • @zuhuracassim2830
      @zuhuracassim2830 Před 2 lety

      @@hildantandu5909we mwenye akili mpka sasa hauendi aja kubwa au haunyi au unaijua Siku yako ya kufa pamoja na akili zako

  • @paskalinaawaki4398
    @paskalinaawaki4398 Před 2 lety

    Matter core uyo

  • @seifsungura6936
    @seifsungura6936 Před 2 lety +2

    Nondo gani unazo Wewe nyani tu

  • @bashiruathumanichambo5144

    Huna lolote mtt mdogo sana haji

  • @dianajeremiah5662
    @dianajeremiah5662 Před 2 lety

    Manara ni lidude likubwa ivi awakuwezi ata kidgo bugatiiiiiii 🙌🙌

    • @mamamerry5359
      @mamamerry5359 Před 2 lety

      yan ni lidudee hatariiii

    • @juliuswandwi3421
      @juliuswandwi3421 Před 2 lety +1

      Na nasikia anataka kuzaz nawe ili nawe uwe na zeruzeru safi sana Diana.

  • @ufugajiwetu7782
    @ufugajiwetu7782 Před 2 lety +3

    Ovyooooo

    • @isackdaniel3656
      @isackdaniel3656 Před 2 lety

      Manara elimu yenyewe du!! Fanya Kaz acha kujibu watu kujibujibu no uzaifu

  • @user-bf7rp2pu5h
    @user-bf7rp2pu5h Před 2 měsíci

    Archana nae.bro uyo mshamba tu

  • @josephatanazi1005
    @josephatanazi1005 Před 2 lety +2

    Akuogope we nani mbwa wewe ni fara mmoja

  • @tellyandrew7030
    @tellyandrew7030 Před 2 lety +1

    Mlalamikaji org

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa Před 3 měsíci

    Uyu ameshachetuka ni wakumsanehe tu nyau uyu😂😂

  • @user-cj2bp9os1i
    @user-cj2bp9os1i Před 5 měsíci

    Ww chiz freshi huna maajabu

  • @enockboidy7829
    @enockboidy7829 Před 2 lety

    Oya kaswaki meno unanuka kaka maana sio kwa povu Hilo🤣🤣🤣🤣

  • @festomlowegypsum8214
    @festomlowegypsum8214 Před rokem

    Tunaomba utuambie unaukubwa gani mzee baba hunyi wewe au vipi bwana

  • @yunusmhenga1397
    @yunusmhenga1397 Před 3 měsíci

    Sasa hapa nan amekimbilia polisi

  • @adam-saffi211
    @adam-saffi211 Před 2 lety +2

    Huyu Manara ni shoga kiboko

  • @abdallahsaidi932
    @abdallahsaidi932 Před 2 lety

    Ukubwa wako uko wapi huna chako kwa Sasa kuwika kwako Simba ilikuwa iko vizuri huko ulipo mbona huna Cha kutamba ahmedi umuezi wewe mlopokaji mwenzio mzungungumzaji

  • @albertsaatatu6552
    @albertsaatatu6552 Před 2 lety

    Eti hajji n mkubwa sana 😂😂😂😂😂

  • @shabanimungazija7272
    @shabanimungazija7272 Před rokem

    Unajufagilia ndugu

  • @hamisbakary6133
    @hamisbakary6133 Před 2 lety

    Kiboko Yako babira TU msukule tangu ulivo pewa talaka na Simba akili zimehama hatukutaki kenge wee iroooo😜😜😜

  • @ashamikidadi4164
    @ashamikidadi4164 Před 2 lety

    Tuachie msemaji wetu tangu uondoke. Simba umekua kama hamnazo vile muache msemaji wetu ovyoo

  • @raymonadsaliboko3068
    @raymonadsaliboko3068 Před 2 lety

    Wewe nikama mchezaji tu,ukipita umepita tu,wew nani kwani umeku mtume,weweee

  • @saidizuber8831
    @saidizuber8831 Před 11 měsíci

    hloooo zeluzeu

  • @johnymathew5697
    @johnymathew5697 Před 8 měsíci

    Manara ukweli hujui soka,unajua kupiga kelele,kuzaliwa kwenye familia ya mpiira sio sababu ya ww kujua mpira,Linda jina lako staafu na Acha mboyoyo

  • @cettyamandus2929
    @cettyamandus2929 Před 5 měsíci

    Zai uyo mdogo nauyo wapili mbona wadogo akuogopi nguruwe

  • @kassimmachela4735
    @kassimmachela4735 Před 2 lety

    Kwendaaaaaaa we mwehu kama mamwehu wengine

  • @justinefelis8772
    @justinefelis8772 Před 2 lety +3

    Mzoga unalopoka,,,,ulishapoteza mvuto zeluzelu.

  • @user-px4nt4sv8g
    @user-px4nt4sv8g Před 6 měsíci

    Kaka kaa utlie dawa ifanye kazi

  • @irenekisanga1761
    @irenekisanga1761 Před 2 lety

    Haji Manara ni mmoja tu Dunia nzima

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 2 lety +1

      KILA MTU NI M'MOJA DUNIA NZIMA SIO YY PEKE YAKE.

    • @irenekisanga1761
      @irenekisanga1761 Před 2 lety

      @@salimmalaka256 mimi nmesema Haji Manara ni mmoja tu Duniani

    • @jescakiria6883
      @jescakiria6883 Před 2 lety

      Kakwambia nani wapo wawili hata wewe Ni mmoja tuu haliwezi kuwa wawili

  • @albertsaatatu6552
    @albertsaatatu6552 Před 2 lety

    Mskule bhna 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @AyubuHamisi-sh2fg
    @AyubuHamisi-sh2fg Před rokem

    Yaani we ndo unaharbu mpira wa Tanzania una laana ya wazaz wako

  • @jumamustapha944
    @jumamustapha944 Před 2 lety +1

    Thank you burgut, wewe ulaya unaenda kivyako mwuache huyo mpelekwa na timu.

  • @user-xz8bt4xz3q
    @user-xz8bt4xz3q Před 6 měsíci

    Wejamaa unaropoka ropoka Sana huenda unaitaka nafas nahaupat n,go

  • @alexmakanta5845
    @alexmakanta5845 Před 2 lety

    Kaka ulikuwa zamani sahizi dogo anakuzidi mbali alafu Kaka wewe nimkubwa lakini hujifunzi kitu mtu maarufu husifiwa na hajisifii .

  • @LindaNgongi-pn9tf
    @LindaNgongi-pn9tf Před 5 měsíci

    Manara rud msmbaz kumenoga twakusamehe bure twajua tamaha tu zirkuponza

  • @tellyandrew7030
    @tellyandrew7030 Před 2 lety +1

    Unamuonya wewe ni nani? Mtu mwenyewe unahitaji maangalizi maalum.

  • @augustinendowa340
    @augustinendowa340 Před 2 lety +2

    Ka haji manara .hakajui lolote.kanasaka tonge tu!

  • @SalminiMussa
    @SalminiMussa Před 3 dny

    Muimba taarabu uyoooo😂😂o😂

  • @siwonikewiliam5104
    @siwonikewiliam5104 Před 2 lety

    Cd.4 zimeshuka wacha aweuke

  • @FrancisDaka-pe3xd
    @FrancisDaka-pe3xd Před 7 měsíci

    Mbona una maneno kama mwanamke tushawapiga sana

  • @user-oc9zo3bo6y
    @user-oc9zo3bo6y Před 6 měsíci

    Wewe umefungiwa achakihelehele mbona unashidwa kueshimu mamlaka ilio kufungia

  • @ClementKonda-uj1nj
    @ClementKonda-uj1nj Před 3 měsíci

    Kwani wewe msemaji wa club ipi?