MANARA AMVAA AHMED ALLY - "NILIMUONYA HAKUSIKIA, AKASEMA NAJISHTUKIA, NIKAAMUA NIM'BUST"
Vložit
- čas přidán 25. 03. 2022
- MANARA AMVAA AHMED ALLY - "NILIMUONYA HAKUSIKIA, AKASEMA NAJISHTUKIA, NIKAAMUA NIM'BUST"
Afisa habari na msemaji wa Yanga Haji Manara amezungumza na waandishi wa habari kuelekea katika mchezo wao dhidi ya Azam fc mchezo utakaochezwa katika dimba la chamazi .
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline - Sport
Msukule Bwana. Achana na SIMBA 🦁💪
Wizard makolo kaeni kmy semaji lakimataifa anatoa neno tulieni dawa iwaingie timu yawahuni niyakwenu nasiyoyanga chefuuuuuuu
huna baya mr achana na wasio jielewaaaa ahamed ally alipo ata afanye nini awezi kufikia level akooo ko anajiridhisha kwakulitaj jina lakooo cool it broo
Mbona bumbuli hana Fuji na ndiyo boss wako, nenda shule wewe kilaza acha kuzionea wivu CV za Professional International Journalist Super Ahmed Ali
Unataka kuolewa ww fala
Kaka manara uko sahihi
Ahmed Ally ameingia juz tuu lkn keshafanya makubwa n anaendelea kufnya makubwa tuachie semaji letu pambana n hali yko huko UTOPOLO au husikiki sikuiz sasa unatafuta kiki kupitia yy km mjibuji kweli mguse MWIJAKU kiboko yko mbona unamuogopa
Sasa kwani hukusema?Wewe toka umetoka simba Akili yako bado haijawa nzuri.
Huyu manara mupimeni akili nahisi haziko sawa hamfikii Ahmed Ally hata kidogo unaona tu unajua. Ahmed yupo smart sana
Yan Ahmed Ally amzid manara?? Hahah
@@Yu-jr9uf KWANI HUJUWI???
Kamzidi kila kitu Kama hujui
Ampat kvp mbwa wew
Uyu zeruzeru akiri ana nampenda sana semaji ra cef Ahmed ally we ni msemaji bora sana
Weee jinga kweli kwahiyo ulitaka anavo mcrash akae kimya? Inatokea mi nakuchokoza wewe utaniacha? Nduguyenu ni mchokozi yule bwana mumshauri aache ugomvi
Haji muongo unataka kuabudiwa msukule wewe toka huko muqche Ahmed ally wetu
Kwani manara umefanya nini kwenye mpira! Manara tatizo anasumbuliwa na jinsi alivyo, wala sio kingine.
Unapenda sana kujipendekeza kama familia zako zimekushinda unadhani utaongoza timu gani ya wahuni
Hivi Manara kwa clips zile ndo wa kusema aliikataa Simba.? Kuna umuhimu wa kuweka akiba ya maneno
Acha ufalaaaa manara....tuachie Simba yetu....na msemaji wetu
We manara embu tafakar neno school na upoyoyo achana kubishana na msomiwewe poyoyo
Haji unaishi maisha ya filauni kabisaaa jitathmini kaka
Kizuri chajiuza kibaya Chajitembeza
Umemaliza
Safi Sana kaka
Hakuna kitu kibaya kama kuwa mnafiki. Ww ni mtu mbaya sana hata vitabu vinatueleza tuwakwepe watu wa namna hii, anapenda sana sifa mm namjua toka michezo yake wakati wa utoto inamuathiri, omba toba ww kwa uliyoyafanya ww una uwezo wowote ktk nchi hii. Uwezi kuwa juu ya sheria na uwe na mipaka ktk kuongea.
ACHA KUMTISHA KIJANA HUYO. LAZIMA UAMBIWE MBONA WEWE UNAWAAMBIA WENGINE WENGI TU.
ACHA ZAKO ZA KUTISHA WATU.
WW HUNA UKUBWA WOWOTE
KILA CKU SIMBA UNAIONGELEA HUNA MPYA
WAKO NI WIVU HUNA JIPYA KWENDA HATA SISI TUTAKUFYATUA.TUNAJUA ZAKO NYINGI TU.NIFUTE MM UONE KAZI
Wewe kiboko yako ni Babra tu. Ulimuongelea hakukujibu chochote mwisho wa siku ukasanda.
Tushakuzoea kama unaita press kwa ajili ya ng,ombe sembuse hli
Haji bana mkwara mkubwa wakati alipotimuliwa Simba alikuwa analia ktk Ile clip yake. Mganga njaa kweli acha kumtisha semaji la club Bingwa humuwezi Ahmed!
Club bingwa si Simba walitolewa
@@rucho7663 WALITOLEWA NA MAMAKO.
Ahmedi usimuogope haji .
Wewe ni msemaji kijana tena ktk timu kubwa. ASIKUTISHE HIYO ... WEWE FANYA KAXI YAKO USIMUOGOPE HAWEZI KUKUFANYA KITU.
WEWE NI ZAIDI YA YEYE.
USIOGOPE MITUSI YAKE SISI TUPO TUNAKULINDA.
KAMA ANAKUSUMBUA WEWE MSEME TU USIOGOPE .
Mpk mnamlindaaa..maanara🤣🤣🤣🤣🤣🤣 anajilinda mwenyewe na maneno yake...
Lazima tumlinde dhidi ya kichaa 😆😆
El buggati😁😁😁😁, yule mtt hata mpira haujui maskn!! UNDISPUTED EL BUGATT
Huyo haji mpira anaujua au kacremisha Sheria na kusoma historian wachezaji Tena ndio wanaoujua mpira kabwili
Acha upuuzi nguruwe pori we nani kasome kwanza acha upuuzi fala wewe umuonye nani
Mashabiki bora African
Aji ww mtukubwa wa wapi ww songa
Kwa jinsi unavyoongea hakika simba unaipenda sana
Na huyu anasumbuka sana na Simba.
Hakuwezi una nini ww filauni
Mm sikuona sababu ya kumjibu unajua kimya nalo jibu lakini ukaanza kujibu inaonekana nikweli vumilia ndio uyangauo babu tulia upewe
Toka hapa
WEWE MQNARA KENGE SI ULIANZA WEWE KUJISIFU NA KUSIFIA SUTI ZAKO SIJUWI ZINATOKA UFARANSA UBELGIJI KUMBE MITUMBA KAMA LILE KOTI LA NJANO UNAVAA NA JINZI MTUMBA OG. KWELI KICHWA CHAKO KIMEJAA MAJI MACHAFU HUNA AKILI.
Ni kweli unajistukia na usijifanye we mkubwa kwenye mpira. We hujui kitu kuhusu mpira unachojua ni kuimba taarabu
Nyie watangazaji hiyo ndio kazi? Kutafuta mambo ya fitna?
Mambo ya mpira yamekushinda umebakiza ushoga tu
Kweendraaa kuleeee,,,mganga njaaa weeeee
Fala kweli hili...
Mbona yeye anamattack Mo personally...
Hajielewi huyo.
Mbona we umewatukana sana yanga au umejisahaulisha kisa leo upo wananchi
Wew ashura umefanya nini kwenye mpira usitake sifa wew hujui kusema ni mropokaji tu wew semaji la caf anaweza kujibu msukule
Umefanya nn kweny mpira ,,,acha sifa za kijinga,subir wanampira wazungumze
Semaji retu ra simba achana na uyo chizi amefrri zeruxeru nakukubari sana semaji ra time yangu ya simba Ahmed ally
Nadhani waandishi wa habari hasa wale unaowahoga ndio wanakupa kichwa kubwa afu ni matope
Mwambie kweli hakuwezi maneno mengi vitendo vichache Simba mbeleko2
Wambie brow
Ni mdogo lakini anakuzidi akili na maalifa ww ni kenge kama kenge wengne
Umeisha wewe mpira ushakushinda unayoweza ni mipasho 😂😂😂
WE NGURUWE POLY TULIA SIMBA SC TULISHAKUPIGA CHINI
Hujui chochote wewe we ni msukule tu
we chizi Kwanza Simba tulipotea njia kukupa kazi mbugila wahed kafie mbele huko😮😮😮
Umefanyakitu gani bwanaa kweny mpr kikubw gan
Manara umewazidi kilakitu falatu huyo maisha hana huyo ahemedi wanaokutukana wote hawana maisha
Ila si mwanaume unaye lia lia au ?
Hivi kwani wanaume wanakuaga ushambenga?
Manara tako lako
Wew ni hela
Unaongea Sana wewe, huna jipya! Tuachie msemaji wetu, pambana na hali yako kk
Bora ulitupisha Simba maana sikuelew kabisa promo nyingi hamna kitu achana na Jembe letu lisije likakulima bure Hana shida na mtu kumchokoza Tu.
Huna jipya ww unajishtukia tuu
Muomgooooo
Unaga jipya aaaa aah
Nakuelewa Sana'a haji semaji la dunia
Hana lolote
Asimtishe kijana huyo.
ALIFIKIRI AKIONDOKA SIMBA HATOTOKEA MSEMAJI MWENGINE ?
USEMAJI NI KAZI , WATU wA KUFANYA KAZI WAPO asiwatishe.
Kuna nyakati kila mtu ana sema lililo moyon mwake bjnafsi namkubali haji sana sana kulingana na mm mwana yanga na siwezi ona uzuri wa Ahmed ally ata avae ngozi ya kondoo na muona choo
@@zuhuracassim2830 🤣🤣🤣🤣Ewaaaaa
@@zuhuracassim2830 choo,hata akili huna kumbe.Kama huna akili si kichwa kivimbe.
@@hildantandu5909we mwenye akili mpka sasa hauendi aja kubwa au haunyi au unaijua Siku yako ya kufa pamoja na akili zako
Matter core uyo
Nondo gani unazo Wewe nyani tu
Huna lolote mtt mdogo sana haji
Manara ni lidude likubwa ivi awakuwezi ata kidgo bugatiiiiiii 🙌🙌
yan ni lidudee hatariiii
Na nasikia anataka kuzaz nawe ili nawe uwe na zeruzeru safi sana Diana.
Ovyooooo
Manara elimu yenyewe du!! Fanya Kaz acha kujibu watu kujibujibu no uzaifu
Archana nae.bro uyo mshamba tu
Akuogope we nani mbwa wewe ni fara mmoja
Mlalamikaji org
Uyu ameshachetuka ni wakumsanehe tu nyau uyu😂😂
Ww chiz freshi huna maajabu
Oya kaswaki meno unanuka kaka maana sio kwa povu Hilo🤣🤣🤣🤣
Tunaomba utuambie unaukubwa gani mzee baba hunyi wewe au vipi bwana
Sasa hapa nan amekimbilia polisi
Huyu Manara ni shoga kiboko
Ukubwa wako uko wapi huna chako kwa Sasa kuwika kwako Simba ilikuwa iko vizuri huko ulipo mbona huna Cha kutamba ahmedi umuezi wewe mlopokaji mwenzio mzungungumzaji
Eti hajji n mkubwa sana 😂😂😂😂😂
Unajufagilia ndugu
Kiboko Yako babira TU msukule tangu ulivo pewa talaka na Simba akili zimehama hatukutaki kenge wee iroooo😜😜😜
Tuachie msemaji wetu tangu uondoke. Simba umekua kama hamnazo vile muache msemaji wetu ovyoo
Wewe nikama mchezaji tu,ukipita umepita tu,wew nani kwani umeku mtume,weweee
hloooo zeluzeu
Manara ukweli hujui soka,unajua kupiga kelele,kuzaliwa kwenye familia ya mpiira sio sababu ya ww kujua mpira,Linda jina lako staafu na Acha mboyoyo
Zai uyo mdogo nauyo wapili mbona wadogo akuogopi nguruwe
Kwendaaaaaaa we mwehu kama mamwehu wengine
Mzoga unalopoka,,,,ulishapoteza mvuto zeluzelu.
Kaka kaa utlie dawa ifanye kazi
Haji Manara ni mmoja tu Dunia nzima
KILA MTU NI M'MOJA DUNIA NZIMA SIO YY PEKE YAKE.
@@salimmalaka256 mimi nmesema Haji Manara ni mmoja tu Duniani
Kakwambia nani wapo wawili hata wewe Ni mmoja tuu haliwezi kuwa wawili
Mskule bhna 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Yaani we ndo unaharbu mpira wa Tanzania una laana ya wazaz wako
Thank you burgut, wewe ulaya unaenda kivyako mwuache huyo mpelekwa na timu.
FALA WEWE.
Wejamaa unaropoka ropoka Sana huenda unaitaka nafas nahaupat n,go
Kaka ulikuwa zamani sahizi dogo anakuzidi mbali alafu Kaka wewe nimkubwa lakini hujifunzi kitu mtu maarufu husifiwa na hajisifii .
Manara rud msmbaz kumenoga twakusamehe bure twajua tamaha tu zirkuponza
Unamuonya wewe ni nani? Mtu mwenyewe unahitaji maangalizi maalum.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👍👍👍
Ka haji manara .hakajui lolote.kanasaka tonge tu!
Muimba taarabu uyoooo😂😂o😂
Cd.4 zimeshuka wacha aweuke
Mbona una maneno kama mwanamke tushawapiga sana
Wewe umefungiwa achakihelehele mbona unashidwa kueshimu mamlaka ilio kufungia
Kwani wewe msemaji wa club ipi?