Zawaki frani zikasome mi naamikua kuna wasanii wadodo wadogo wanafanya vizuli kuliko hawa ukubwa wao ni kuimba matusi2 hawawezi kuimba nyimbo yenye hisia kali katika jamii ambayo inaweza kukaa wenye fikra za watu kama hili songs unahisi hiii nyimbo imegusa wachache ? Ndomaisha halisia hayo ❤❤❤❤🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Mashairi yenye uhalisia, majibizano yenye hisia, ngoma kubwa zaidi kwenye hii tasnia and NO sio kutoka Tanzania bali ngoma kali toka Kenya imepenya na kwenye chati imeingia. Congratulations Ally Mahaba, Akeelah and Shirko for making Mombasa Music Great again. "Inatosha" ~ Mzazi Willy Tuva = Mseto East Africa
The song is on point but the problem with us Kenyans is that we adore so much of tanzanian music than our own music here. Surely, it deserved more than a million views . Mbona tuna ngebe na miziki yetu hapa? Nimeupenda Sana. Mwanzo sikupenda kuutizama maana nlidhani ni muziki wa Tanzania. Niliposikia ni wakenya wenzangu walouimba, sasa hivi mimi huutizama kila wakati niamkapo na niendapo kulala. Jameni wakenya wenzangu tuiinue miziki yetu hapa haswa miziki inayoleta hadhi kama huu.
Nimependa natural video hasa huyu dada hana makorokoro i see like hawa watu ni wa mombasani hivi naskia tone za sudi boy flan wana madrasa kwa mbaali hivi nice song haki vile ❤💕🤝
Dah hii nyimbo inanipeleka mbali na kunifanya nitie bidii zaidi Hadi mtoto wakike analalamika tujitumeni wanaume dah hongera bro Ally na siz akeelah mumetufanya pia tuthamini nchi yetu sio uarabuni eti ndio kwenye maisha hata kwetu yapo zamu yako ikifika utafanikiwa God bless you mumetufunza kitu hapa hizi ndio nyimbo tunafaa kuzingatia Kama wasanii nyimbo Zenye maadili na Zenye kutia moyo kitu unaskiliza kinakupa moyo na mafunzo ndani yake....hongera pia kwa producer shirko unawezo mku bwa sana wa kupanga kazi yako mungu pia akuweke zaidi Kaka maana Kaka Ally aliangaika sana na tangu uje ww tumeuona uwezo wake wa kazi na bidii yake hongera kwako...hongera pia kwa boss Matoo kwa kujitolea kwa moyo na kuwekeza kwa ndugu yetu Ally pia na wengine amemwaamini na kumsimamia Hadi tunaone level amemfikisha si rahisi mungu mkubwa mungu azidi kukupa moyo huohuo boss matoo. Hongera kwako amour pia mungu akuweke zaidi. Na hongera kwa wote wanaosupport mziki mzuri.
Who else is here in 2024?❤🔥🔥
Am here
Mimi hapa
Mimi hapa
ngoma kali sanaaaa kama na ww unarudiaga mara kwa mara hii ngoma gonga like za kutoshaaa
Fire 🔥 ita zima Moto 🚒
How many are from tiktok🤣🤣🤣
Uyu dada anaimba kama sai kenya kama umeliona hilo gonga like
kama unamini hii ngoma ni kali nipee like zako plz.
Mncbzjmm
Zawaki frani zikasome mi naamikua kuna wasanii wadodo wadogo wanafanya vizuli kuliko hawa ukubwa wao ni kuimba matusi2 hawawezi kuimba nyimbo yenye hisia kali katika jamii ambayo inaweza kukaa wenye fikra za watu kama hili songs unahisi hiii nyimbo imegusa wachache ? Ndomaisha halisia hayo ❤❤❤❤🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Iko sawa aendelee mbele uko juu sana
Cjawahi jutia kuuckilza huu wimbo aisee ni mzr pia unakakitu flani cha funzo
@@jumannekhalifa7761 upu7u7< 7 to u878u
Naomba like kwa wanaoikubali hii song kua ni hatari🔥
Hatari Kaka
PITIA LINK HII UTOJUTIA
czcams.com/video/xGxs8Micpw8/video.html
hatari
Saf
ALLY MAHABA umenifanya ile bidi yangu niongeze zaid alaf hii ngoma lazima wife wangu aisikize ndio maana nmebonyeza download button
Usisemee hivyoooo...usinifanye hivyoooo.....kuipataka kazi sio rahisi mke wangu....
The most underrated artist in Kenya now..please Kenyans..let's support our own talent
Say what? Are they not Tanzanians😳
@@millisseintbarraza5953 our own Kenyans
👏👏👏👏👍👍👍❤️❤️❤️❤️❤️❤️🤦🤨😌
Are they 🇰🇪 for real but the guy can sing
True
Uko akuna lolote pamoja na miangaiko yao yte,na ujanja wao wote pesa wanazimaliza madam zote
Mwanaume unapenda ushindani Nami nfanyeje mtoto wakike 🔥🔥🔥🔥🔥🔥duuh
Qali sana
Brother ngoma kaliiii
Umesema hii ngoma umewaza na kuwazua ukatoa kitu iliyo makinika Hongera Ally Mahaba.
@@irenedzame752 Asante sana 🔥🔥🔥💪
Alieangalia hii video zaidi ya mala 10 na aijamchosha Kama mm naomba like kazi nzuri aichoshi
Thank you
@@nakshibeiby5597 F
Siwezi kuchoka kusikiza huu wimbo kabla nilale naupenda💖💖
Kazi nzuri hakika.
Hatar
Huyu mwanmke anafanya kazi safi kwanza hatukani na hatoi sentesi tata za matusi ila basata hawamuoni huyu dada yupo sawa
Qatar 🇶🇦favorite wapi likes 👍
Huyu mwanadada yani.... Mashairi yake yamefika chuo kikuu. yuwajua kazi yake. Kama munakubaliana nami nipeni LIKES zake
Kama wamini hawa watakuja kuwa super star wakubwa ngonga likes zako
Mpaka tuwasurport
this song should be a collabo of the year
Sana kakaaaa,
Nimeanza kuisikliza sa 12 mpaka sa 3 usk narudia kila saa big up
Kama uko uarabuni kubahatisha riziki gonga like hapa😂😂
Hahahhaha
Hehee niko Emirates
Hatar
😋😋😋😋
Mashairi yenye uhalisia, majibizano yenye hisia, ngoma kubwa zaidi kwenye hii tasnia and NO sio kutoka Tanzania bali ngoma kali toka Kenya imepenya na kwenye chati imeingia. Congratulations Ally Mahaba, Akeelah and Shirko for making Mombasa Music Great again.
"Inatosha"
~ Mzazi Willy Tuva = Mseto East Africa
Shukran Sana citizen redio na tv kw ujumla Kaka mzazi Tuva Allah akujaalie neema uweze kusapot wadgo zako
Shukran sana mzazi inshallah tutazidi kutia bidii
Noma sana
Vipaji vya kueleweka
Imeweza sana
💯💯💯🇰🇪🔥🔥🙌🏾
Asante Sana Kaka mkbwa
Najikaza nifikishe 1million views pekeangu jaman nsaidieni hata kwakulike nijue tuko pamoja
Usijal kakang kila Jambo litakuwa sawa
Tuko hapa ...itafika
No nudity
No alcohol content
No bad language
100% pure talent
Asante sana
Hahahah
Nomaa sana
@@davidnyerere2016 a
@@davidnyerere2016 ❤a❤aaa❤❤❤❤❤❤1❤❤❤❤❤❤❤❤a😮 asap the same
Ally jitume💖💖
Asnte Sana make up artist wng
Hello
Watu wa arabuni like zenu hapa 😂
Tumeipenda hiyo Ally big up
Ajitume aende uarabuni 😂😂😂😂
@@bshsjzhzhz1019 haha huku hamna kitu
Kila Niki watch hii nyimbo naona kama ilitoka tu jana 🔥🔥🔥
kama unamini hi nymbo umejifinza weka like hapa twende sawa
Safii
Mwili wanisisimka Kwa hii nyimbo nzur
Waooo 💃💃
Daa kweli imetosha hii inanihusu kabisaa
Binafsi
Naona Huyo demu kamfunika Mbali Ally
Kama Na Ww Upo ka meme gonga like
Kenya we are blessed lets support these talent
Indeed we have to support them
True indeed let's support our artists
I just lov🥰 this song
Good
Yes we are blessed
Jameni Tiktok imenileta huku, the song is 🔥🔥🔥
Noma sana
Asante sana
Same to me
Pia mimi
Hongera sana
Tuliokuja huku
kupata nyimbo full,
toka tiktok tujuane
Came here because of Akeelah❤❤❤🔥🔥🔥🔥 Msichana si una sauti🙌🙌🙌🙌
babyyy girl I told you Allah got you love💝...Ma Shaa Allah
Ntamuoa
@@jimmycarter84 inakubalika pia😂
Hadi rahaa...
Ye she so 🔥🔥🔥🔥🔥
#UJITUME kazi ilioenda..ina hadhi na uwezo wa kipekee sauty za kipwani...SUPPORT ALLY MAHABA X AKEELAH..... Moto sanaaah
Shukran sana kw kutuelekeza njia kila Mara utuchoki wadgo zko
Iko.poa tuu sana. Naipenda💗💗
Ata kama nimechelewa naombeni likes za Ally🔥🔥🔥🔥u Never disappoint
Wangapi wamerudia hii nyimbo mara 10 tugongeni like tupeleke nyimbo kwa 1 million this week
Nomaa sana..... Sijapoteza bundles zangu na time yangu.....big up shirko!!!
Shukran Sana dada mlezi kw mda wako ulochukua kuwasapot wadogo zako
Shinizooo
Yani tupate shanniz kama kumi hapa coast chipukizzy wataenuka tu kwa uwe wa mungu.
Yeiyoo love kwa sana
Aminiaaa.....Shanny....ATL ndo kusema...SM salute kwakooo
Omggg i love uuu🥺❤️❤️💕💕💕😭😭😭🥺🥺❤️💕💕💕✨✨
Dah ngoma kali san weka like yako hapa kama unaikubla ngoma hi
The song is on point but the problem with us Kenyans is that we adore so much of tanzanian music than our own music here. Surely, it deserved more than a million views . Mbona tuna ngebe na miziki yetu hapa? Nimeupenda Sana. Mwanzo sikupenda kuutizama maana nlidhani ni muziki wa Tanzania. Niliposikia ni wakenya wenzangu walouimba, sasa hivi mimi huutizama kila wakati niamkapo na niendapo kulala. Jameni wakenya wenzangu tuiinue miziki yetu hapa haswa miziki inayoleta hadhi kama huu.
Asante sana ndgu yng shukran sana
Lucky Zamu ndio mimi
@Ally Mahaba 🔥🔥🔥
@Akeelah official 🔥🔥🔥
Hatar
Kali
Jitumeeeee🔥🔥🔥🔥
Asanteni Jimbo tv
2023 and I'm still here..pure talent
Kama ww nishabiki sugu gonga like apo isonge mbele hii song 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
Thanks Mombasa for the massive massive support.
The launch was superb 👌🙌👌
Chacha the don
Tuva the mzazi.
Nyota ndogo
Chapatizzo
Kama ulikua gonga like
Imetufuraisha na kutujenga zaid
thanks
Sikua lakini nimegonga like ....song hatari hii
MARTIN MUITHYA in
Wowww
Congratulations @AllyMahaba nice song yenye mafunzo kwa jamii #ujitume
Asnte Sana
Finally he hits 1 mill views
Mwenyewe nimewaelewa. Big up bro❤️❤️❤️💕🇹🇿🇹🇿
wa kwanza ku-comment
bonge la goma nipeni like za kumwaga
Asnte Sana
kazi kali sana broo
Nimeipendaaa sanaaaa pia naomba like hii ngoma hatari sanaa
Kazi nzuri bro💛🧡♥️♥️🙏🙏👏🙏👏
Safi
Second woman I can support after nyota ndogo ...uko juu sis akeelah na inshaallah utazid kua juu
Hii ngoma ingekua bongo ingekua na 1m views but guess what tuko Kenya nchi yenye mdomo mrefu wa siasa kuliko music.
Hawakuezi mwana
Kali sana🔥
Nimependa huwa naskiza karibu 20 tyms a day ❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Ngoma inazidi kuwa kubwa kila siku 😂. Masha Allah
Soom mumeweza snaa wallahy hilo goma hiko juuuh
Nimependa natural video hasa huyu dada hana makorokoro i see like hawa watu ni wa mombasani hivi naskia tone za sudi boy flan wana madrasa kwa mbaali hivi nice song haki vile ❤💕🤝
Asante sana
Jaman nyimbo nzur Sana
Wow lovely song again ally mahaba napenda nyimbo zako uko poa my bro keep it up
Dah hii nyimbo inanipeleka mbali na kunifanya nitie bidii zaidi Hadi mtoto wakike analalamika tujitumeni wanaume dah hongera bro Ally na siz akeelah mumetufanya pia tuthamini nchi yetu sio uarabuni eti ndio kwenye maisha hata kwetu yapo zamu yako ikifika utafanikiwa God bless you mumetufunza kitu hapa hizi ndio nyimbo tunafaa kuzingatia Kama wasanii nyimbo Zenye maadili na Zenye kutia moyo kitu unaskiliza kinakupa moyo na mafunzo ndani yake....hongera pia kwa producer shirko unawezo mku bwa sana wa kupanga kazi yako mungu pia akuweke zaidi Kaka maana Kaka Ally aliangaika sana na tangu uje ww tumeuona uwezo wake wa kazi na bidii yake hongera kwako...hongera pia kwa boss Matoo kwa kujitolea kwa moyo na kuwekeza kwa ndugu yetu Ally pia na wengine amemwaamini na kumsimamia Hadi tunaone level amemfikisha si rahisi mungu mkubwa mungu azidi kukupa moyo huohuo boss matoo. Hongera kwako amour pia mungu akuweke zaidi. Na hongera kwa wote wanaosupport mziki mzuri.
Shukran sana
Bigdaddyhahaz nikweli jamani tujitahidini
Wameiinua mombasani
Talent 💯..
Mzazi Tuva..brought me here 🙌
karibu
Mzazi wa vipaji
safi sanaa kaka ally good work bro niceee wimbo huu umfikie kipenz changu tina john popote alipo,,,
💣🔥🔥🔥
🥰🥰i finally got It woow
Mambo kila kukicha yanazidi kuwa mazuri mubarikiwe nyimbo nzuri yakupambana na maisha. 🙌🙌🙌🙌
Hiiii kaliiii kazi kubwaaa sanaaa big up sanaaaa
Nikiwa na stress za life naskiliza hii ngoma kazi nzur kwenu
Lazima nicheze huu wimbo mara kama nne asubuhi bfo niende job...naiiipenda
Asante sana
Hio hatari
001 🔥🔥🔥🔥
Oo1 ontop
Akeelah am proud of u♥♥
Hii ngoma itambe ifikishe 10m views guys
Asante
Who's still here 2024?❤❤❤
Hivi kama waniunga mkono kwa hii ngoma kiboko nipe like twende sawa.
Nipo na wewe nyuma yko mpka kieleweke.piga kelele kwa ALLY MAHABA
Hizi ndo nyimbo za busara sio wale Wakina team fulani na fulani
Ala! these Are kenyans? Thought they were Tanzanians! Woow! Keep on going guys.. wowo
Ally mahabba 💘 sijui nikupe zawadi gani
Yyte ntafuraia
Yeiyooo
Jiji la pwani like wapi kwa Ally
hii ngoma iko juu🔥
Ally hongera msalim nadada yakila nampenda
Big up sana Shirko best producer
Nomaaa
Baba lao 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 ujitume
Hupitwi mama😂😂😂
@@dullahenzi2582 🤣😂😂namba moja
Wee ulikua no.1
@@martinmuithya2343 nakwambia nlikesha kwa yu Tube nkiisubiria
Shabiki wa nguvu
My G 🇰🇪🇹🇿💥 vipi kama kolabo ikitokea mkali
Why's this musician so underrated?this is a masterpiece 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
Ngoma kali sana wanamuzkii wetu...mistari yenye ufundi. Afu shirkomedia uko🔥🔥🔥💥
#shirkomedia
#allymahaba
#akeelah
#atlmusic
#armoury
#001
Asnte Sana
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
I like the conversation mulifanya
Akheella ni madini adim na ghali sokoni ana brighter future
Safi sana jomba💪💪💪
Aminia
Tumefika 1M 💕💕
Jamani ii ngoma tusukumeni ifike ata Millioni kadhaa..
Massage yake kali sana
na imagine radio wamekataa kuiplay
Yani wajua kama mimi ninakukubali sana ALLY MAHABA
Asnte Sana kw upendo wko shukran Sana dadang
Pmoja sana broo
Akeela uko juuu
Wakali wa hizi kazi......shairi limekubalika kaka
My favorite song,,,,,, 🔥
INATOSHAAAA
Hatar
Big up bro.
So sweet,,, I mean nice song. Nawaombea baraka kutoka kwa mwenyezi mungu
This lady tho,,am inspired.. biggup to both
BigyTune.. Keep moving my Bro
Hapo sawa nakubali
Ngoma kwa jumla imekubalika east africa 💥💥💥💥💥💥💥🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
The girl is real, wooow shes real hakuna madoido
Dope kaka nyimbo kaliii
Kali ya mwaka hongera sana Ally mahaba na Akeelah kwa kazi safiii
Asnte sana
Enyewe Kenya twafaa tusupport ngoma zetu
Alieirudia hii ngoma tujuane hapa big up akeelah 💞💞🎼🎵🎼