LOUI V: AMESIMULIA MWANZO MWISHO KUHUSU BIFU LAKE NA HARMONIZE |HASA YA MILLION 26

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • Facebook: / earadio
    Twitter: / earadiofm
    Subscribes: / @eastafricaradio

Komentáře • 8

  • @mvullamanase
    @mvullamanase Před 2 měsíci

    Hakukosea , nikweli Loi Hauko serious ... Unamambo mengi sana Mdogo angu...
    Umetoboa wapi watu hatukujui...
    Unajikweza Sana.

  • @erickabel6201
    @erickabel6201 Před 2 měsíci +3

    Uyu jamaa ni hatareee kwenye afrobeat

  • @Deanie1k
    @Deanie1k Před 2 měsíci +3

    Uyu jamaa bado underground than wana mdanganya kawa msanii hennecy no kwel hit kaimba nini ajitafute kwanza bado

  • @issahpaul4510
    @issahpaul4510 Před 2 měsíci +3

    I think this guy ego inamsumbua...ego yake inamfanya aonekane anakiburi. He should stop talking too much, bado ni mchanga kwenye mziki. Kujisifu sana kunaweza sababisha hata wasanii wakubwa kutotoa ushirikiano kwake.. my opinion.

  • @Pure-life255
    @Pure-life255 Před 2 měsíci +2

    Ni loi

  • @directormafelingz2956
    @directormafelingz2956 Před 2 měsíci +1

    hawa wasanii kinachowasumbua ego. We unafanya video na Harmonize yupo kwenye pick then unaanza usumbufu wa verse sijui🤔. Ile video ingekuingizia hela na nyimbo inge trend vilevile na sio verse yako hiyo

    • @macdee_tv7622
      @macdee_tv7622 Před 2 měsíci +1

      Unachokisema sio kweli..siku izi sio lazima ueke tumaini kwa msanii mkubwa akutoe

  • @The_boe_king
    @The_boe_king Před 2 měsíci

    Mshamba wewe