Soma Surah Mbili Hizi Ukirogwa Na Kuhusudiwa / Hasadi Ziko Namna Mbili /Sheikh Othman Micheal

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2022
  • Soma Surah Mbili Hizi Ukirogwa Na Kuhusudiwa / Hasadi Ziko Namna Mbili /Sheikh Othman Micheal
    Mashaa Allah Sheikh Othman Michael akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Soma Surah Mbili Hizi Ukirogwa Na Kuhusudiwa / Hasadi Ziko Namna Mbili /Sheikh Othman Micheal
    tizama mpaka mwisho usisahau kushare
    usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
    Support us DARSA TV
    M-PESA +255 765100906
    Paypal 👇👇👇👇
    paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
    Get MORE of DARSA TV:
    ► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
    ► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
    ► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
    Subscribe
    Comment
    Like
    And
    Thanks
    Tu follow katika social media zetu
    Facebook @Darsa tv
    Instagram @Darsatv
    CZcams @Darsa tv
    TikTok @Darsa tv
  • Zábava

Komentáře • 22

  • @user-zz7ep5of2m
    @user-zz7ep5of2m Před 7 měsíci +1

    Mimi nikisikiliza mawaiza najiisi mwepesi na mwenye fulaha nawapenda mashekh wetu wanafanya kazi kubwa ya Allah mungu awatie nguvu wazidi kutoa dawa

  • @user-dq1lm2be2u
    @user-dq1lm2be2u Před 4 měsíci

    Mashaallah wallah shekhe nahisi kama utanipeleka peponi umeniweka karibu sana na Allah

  • @issachuwa6413
    @issachuwa6413 Před rokem +2

    ALLAH akujalie Kila lakheri Shekhe letu

  • @taybahnasoro6049
    @taybahnasoro6049 Před rokem +3

    manshaallah shekh wetu allah akulipe yenye kheri hakika tunapata yenye kheri kupitia kwako

  • @hawayussuf9244
    @hawayussuf9244 Před rokem +4

    MaashaAllah Allah akulipe kila lakheri

  • @TijosHaba-xi8vy
    @TijosHaba-xi8vy Před 4 měsíci

    Shukran Sheik wetu tumedarasika

  • @mbarouksalim1568
    @mbarouksalim1568 Před rokem +1

    Shukran jazaka Allah gheri shekhe

  • @buhitexmohamed4785
    @buhitexmohamed4785 Před rokem +1

    Mashallah akupe kila la kher kwa kzazi chako hata mm pia kutokee mtoto wa elimu kama yako

  • @hamidamohammed9589
    @hamidamohammed9589 Před 10 měsíci

    jazak llahu kher

  • @maimunamsakamali9152
    @maimunamsakamali9152 Před rokem

    Allah akujarie Kila lililokuwa la heri

  • @reyreshey9443
    @reyreshey9443 Před rokem

    Assalam alykum wrhmatullah wbrktuh
    shekhe yule kijana unasema hajapona muite au umfate kwa ajili ya Allah umtibu kwa ihesani yako

  • @mozaalsinani5009
    @mozaalsinani5009 Před rokem +2

    As Salaam alaykum shukran Allah akuzidishie elimu

  • @mbarouksalim1568
    @mbarouksalim1568 Před rokem +1

    Mashaa Allah

  • @mbarouksalim1568
    @mbarouksalim1568 Před rokem +1

    Inshas Allah

  • @kadiffneyy8469
    @kadiffneyy8469 Před rokem +1

    Shukran sheikh

  • @mbarouksalim1568
    @mbarouksalim1568 Před rokem +1

    Umenifundisha nyiradi kwa sasa naishi nazo lakin hapa nimepata mazingatio mengine Leo natafuta nguvu nije nifuate dawa na kisomo kisha niendelee na dhikri zangu nitakuwa nimejitibu dhikri za kila siku kwa ajili ya kujilinda na kujitakasa shukran

  • @zaitunisinamenye1799
    @zaitunisinamenye1799 Před rokem +2

    Walykumusalamu warahmatullah wabarakatu

  • @welcomeorange7357
    @welcomeorange7357 Před rokem +2

    Mashaallah mashaallah tabarak Rahman

  • @hidayabumbo8929
    @hidayabumbo8929 Před rokem +2

    Dah!shekh unachoonge ni kweli kabisa.

  • @setiseti5281
    @setiseti5281 Před rokem

    Shukrani

  • @comicocommunauteislamiquee6241

    Sawa.. lakin tusisahao kwamba baada Mtume kurogwa kuna process fulani ilifanyika ambaye ustaz angetilia mkazo kidogo..
    Cha kwanza, Mtume hakujua kama amerogwa, ni Jibril ambaye alikuja kumjulisha..
    Pili, ili kumtunza Mtume ilibidi Jibril awambie waislami nini kilifanyika na wapi hayo mafungo za nywele ya Mtume kwenye ilitupwa Yani kisimani, iende itolewe, iletwe na alafu badae mafungo yenyewe na Mtume wasomewe hizo sura mbili..
    Mwisho Jibril ndo alimfanyia ruqya kwa kumsomea hizo sura mbili falaq na nass..
    Kwa kifupi, inabidi na sisi tusisahao process hiyo wakati tuna tibu watu ao tunatafuta matibabu..
    Watu wengi wamerogwa lakin hawana habari.. wengine wanajua wamerogwa lakin hawajui mchakato wakufata ili watibiwe...
    Sura mbili falaq na nass nikinga kabla hujarogwa lakin mtu kisha rogwa sura hazisaidie vizur paka uchawi wenyewe ujulikane upo wap, na utolewe na usomewe pia.. kwani
    Jibril alimwambia Mtume atume waislamu waende kwanza watafute na watowe uchawi kwenye ulitupwa kisimani alafu badae ndo alimfanyia ruqya ya hizo sura..🙏🏿