Soma Surah Mbili Hizi Ukirogwa Na Kuhusudiwa / Hasadi Ziko Namna Mbili /Sheikh Othman Micheal
Vložit
- čas přidán 27. 08. 2022
- Soma Surah Mbili Hizi Ukirogwa Na Kuhusudiwa / Hasadi Ziko Namna Mbili /Sheikh Othman Micheal
Mashaa Allah Sheikh Othman Michael akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Soma Surah Mbili Hizi Ukirogwa Na Kuhusudiwa / Hasadi Ziko Namna Mbili /Sheikh Othman Micheal
tizama mpaka mwisho usisahau kushare
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: /
► LIKE DARSA TV on Facebook: /
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
CZcams @Darsa tv
TikTok @Darsa tv - Zábava
Mimi nikisikiliza mawaiza najiisi mwepesi na mwenye fulaha nawapenda mashekh wetu wanafanya kazi kubwa ya Allah mungu awatie nguvu wazidi kutoa dawa
Mashaallah wallah shekhe nahisi kama utanipeleka peponi umeniweka karibu sana na Allah
ALLAH akujalie Kila lakheri Shekhe letu
manshaallah shekh wetu allah akulipe yenye kheri hakika tunapata yenye kheri kupitia kwako
MaashaAllah Allah akulipe kila lakheri
Shukran Sheik wetu tumedarasika
Shukran jazaka Allah gheri shekhe
Mashallah akupe kila la kher kwa kzazi chako hata mm pia kutokee mtoto wa elimu kama yako
jazak llahu kher
Allah akujarie Kila lililokuwa la heri
Assalam alykum wrhmatullah wbrktuh
shekhe yule kijana unasema hajapona muite au umfate kwa ajili ya Allah umtibu kwa ihesani yako
As Salaam alaykum shukran Allah akuzidishie elimu
Mashaa Allah
Inshas Allah
Shukran sheikh
Umenifundisha nyiradi kwa sasa naishi nazo lakin hapa nimepata mazingatio mengine Leo natafuta nguvu nije nifuate dawa na kisomo kisha niendelee na dhikri zangu nitakuwa nimejitibu dhikri za kila siku kwa ajili ya kujilinda na kujitakasa shukran
Walykumusalamu warahmatullah wabarakatu
Mashaallah mashaallah tabarak Rahman
Asante sana unaelimisha jamii
Dah!shekh unachoonge ni kweli kabisa.
Shukrani
Sawa.. lakin tusisahao kwamba baada Mtume kurogwa kuna process fulani ilifanyika ambaye ustaz angetilia mkazo kidogo..
Cha kwanza, Mtume hakujua kama amerogwa, ni Jibril ambaye alikuja kumjulisha..
Pili, ili kumtunza Mtume ilibidi Jibril awambie waislami nini kilifanyika na wapi hayo mafungo za nywele ya Mtume kwenye ilitupwa Yani kisimani, iende itolewe, iletwe na alafu badae mafungo yenyewe na Mtume wasomewe hizo sura mbili..
Mwisho Jibril ndo alimfanyia ruqya kwa kumsomea hizo sura mbili falaq na nass..
Kwa kifupi, inabidi na sisi tusisahao process hiyo wakati tuna tibu watu ao tunatafuta matibabu..
Watu wengi wamerogwa lakin hawana habari.. wengine wanajua wamerogwa lakin hawajui mchakato wakufata ili watibiwe...
Sura mbili falaq na nass nikinga kabla hujarogwa lakin mtu kisha rogwa sura hazisaidie vizur paka uchawi wenyewe ujulikane upo wap, na utolewe na usomewe pia.. kwani
Jibril alimwambia Mtume atume waislamu waende kwanza watafute na watowe uchawi kwenye ulitupwa kisimani alafu badae ndo alimfanyia ruqya ya hizo sura..🙏🏿