UJUMBE WA SHEIKH MUHAMMAD BACHU MASJID SHEIKH NASOR MALINDI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024

Komentáře • 42

  • @abdulmwakubambanya9091
    @abdulmwakubambanya9091 Před rokem +1

    Barakh Allah fikh

  • @issicajosefu9681
    @issicajosefu9681 Před rokem +6

    Allah akuhifadhi ndugu yetu ktk imman

  • @MahmoudMohamed-yc6fr
    @MahmoudMohamed-yc6fr Před rokem +6

    Masha Allah Mungu akuhifadhi

  • @alimasiga8422
    @alimasiga8422 Před rokem +2

    Allah akuhifadhi na akuzidishie ilm, umri, subra, afya na imaan.

  • @UthmanKishki
    @UthmanKishki Před rokem

    Maaashaallah Allah akuhifadhi

  • @hamisibakarimwahundu4861

    Allah atuongoze sote InshaAllah.

  • @ramakaingu1902
    @ramakaingu1902 Před rokem +3

    Mashaallah sheikh wetu

  • @omarally6819
    @omarally6819 Před rokem +4

    Baaraka Allaahu fiik

  • @khamismaggy6484
    @khamismaggy6484 Před rokem

    Una maadui wengi lakini Allah atakuhifadhi. Usivunjike moyo tupo ktk zama mpya za giza. Wengine wanachukia umaarufu na umashuhuri wako. Ukiona wanalalamika ujue sindano imewaingia.

  • @medimisi6930
    @medimisi6930 Před rokem

    kuna mda sauti inafanana na baba yake, allah wote awape kheri nawapenda wote kwa ajili ya allah.

  • @yusufathman2478
    @yusufathman2478 Před rokem +1

    Maa shaa allah sheikh

  • @YussufSaid-ok4pu
    @YussufSaid-ok4pu Před rokem

    Mashaallah Baraka llahu fiyka

  • @jumu1964
    @jumu1964 Před rokem

    Kaisha wafikishia jukumu lenu kufuata haq

  • @khamisiiddi2470
    @khamisiiddi2470 Před rokem +1

    Acha ujba mdogo wetu

  • @khamisiiddi2470
    @khamisiiddi2470 Před rokem +1

    Kweli we umevurugwa

  • @Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh

    Tuna hamu sanaa na niqashi ni lini towa tarehe usikae kimya hatukuelewi

  • @omarally6819
    @omarally6819 Před rokem +3

    Neema kubwa kwetu hii

  • @khamisiiddi2470
    @khamisiiddi2470 Před rokem

    Njoo utubie kwa kumuambia mtume mshirika fanaudhubillaahi

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo7816 Před rokem

    Kijana ana juhudi kubwa sana kwa kutumia kielimu chake kiduchu alichopata kwa ajili ya kubishana na kufarakanisha waislamu.kwenye maulidi watu wanamswalia shetani au mtume? hii inadhihirisha ujinga na uchache wa elimu wa huyu kijana.mara tumswalie mtume mara tusikusanyike kwenye mihadhara ya maulidi kumswalia mtume.naomba asamehewe bado ni mchache wa elimu.

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 Před rokem +1

      bidaa zimekukamata acha, au nitajie bidaa moja ambayo ipo sasa maana kila kitu mnasema sio bidaa

  • @mohamedamiri4597
    @mohamedamiri4597 Před rokem

    Twasubiria mambrui kitakachotokea

  • @binumeir2873
    @binumeir2873 Před rokem

    Jamaa ana kanzu special ya kushindana😂😂

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 Před rokem +1

      Soften your heart brother and open your mind, fear Allah

  • @Marjeby
    @Marjeby Před rokem +1

    Wee mtoto unatakiwa ukasome aiseeee na jitahidi sana kuwa na kauli nzuri unapotoa mawaidha yako cz kila siku unazalisha maadui kuliko malengo ya mawaidha yako mie nakuelewa hilo linatokea kwa uchache wa elimu yako

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 Před rokem +1

      Akhi mbona hao mashehe wenu hata kunukuu aya hawajui na pia hadithi???

    • @niffonlinetz7214
      @niffonlinetz7214 Před rokem +1

      Asa maadui wajinga unawaogopea Nini acha wawe wengi TU

  • @chimbaboytv2937
    @chimbaboytv2937 Před rokem

    Hakika

  • @khamisiiddi2470
    @khamisiiddi2470 Před rokem

    Kumbe unajua hatuwez kuyapata yote sindio

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 Před rokem

    Eti ndiyo mtume mwenye moyo msafi kabisa huo ni UONGO MWINGINE, kama ni msafi Kwa nini mnswali na kumtakia rehema Kila siku?

  • @HassanSalum-pg9yu
    @HassanSalum-pg9yu Před rokem +2

    nyinyi wajinga said wamambrui hana kitu yule baradhuli

  • @abdulkhalfan8586
    @abdulkhalfan8586 Před rokem

    Usisahau kwenda Mambrui kijana anakusubiri akusomeshe

    • @SugowFarah-up3db
      @SugowFarah-up3db Před rokem +6

      Kumbe mnafuatilia mihadhara ya Sheikh!!! MashaAllah endeleeni kunufaika

    • @nassleydady5783
      @nassleydady5783 Před rokem +2

      Yule akafate mzee yusuf ndio wanaelewana dj na shekh munajadili nn

    • @alimasiga8422
      @alimasiga8422 Před rokem +3

      Alhamdulillah kama mnafatilia hizi darsa.

    • @user-bp6fb6wo5u
      @user-bp6fb6wo5u Před rokem +1

      ​@@nassleydady5783hhhhhhhhhhhhhhhh 😂😂😂😂😂😂😂 akafundishwe vizuri kupiga piano...😅😅😅😅

    • @abdurahimabdulkadir3926
      @abdurahimabdulkadir3926 Před rokem +1

      @abdulkhalfan8586 nakuona una moto na mjadala naona umekubal sabas kachemsha mpka chipukizi mwingine amejitokeza

  • @khamisiiddi2470
    @khamisiiddi2470 Před rokem

    Kwani iyo kanzu yako ina mikono mifupi au ndio usharobaro?

  • @khamisiiddi2470
    @khamisiiddi2470 Před rokem

    Wewe kwaiyo unachagua sunna za kufanya mbona hatukuoni itembee na bakora , mbona hna mke mmoja kama mama yako mzaz

    • @salafyhlmanhaj5179
      @salafyhlmanhaj5179 Před rokem +1

      We unajua ana wangapi huyo anao watatu mzee alaf pia sunna nyingine si za wajibu swaha mzee

    • @firdausswaleh5299
      @firdausswaleh5299 Před rokem

      Afadhali umwambie sio sawa kumtaja mmke ww unawake wangapi na ukiwa na zaidi ya 1 uko na uwadilifu

  • @jumu1964
    @jumu1964 Před rokem

    Kaisha wafikishia jukumu lenu kufuata haq