Una maadui wengi lakini Allah atakuhifadhi. Usivunjike moyo tupo ktk zama mpya za giza. Wengine wanachukia umaarufu na umashuhuri wako. Ukiona wanalalamika ujue sindano imewaingia.
Kijana ana juhudi kubwa sana kwa kutumia kielimu chake kiduchu alichopata kwa ajili ya kubishana na kufarakanisha waislamu.kwenye maulidi watu wanamswalia shetani au mtume? hii inadhihirisha ujinga na uchache wa elimu wa huyu kijana.mara tumswalie mtume mara tusikusanyike kwenye mihadhara ya maulidi kumswalia mtume.naomba asamehewe bado ni mchache wa elimu.
Wee mtoto unatakiwa ukasome aiseeee na jitahidi sana kuwa na kauli nzuri unapotoa mawaidha yako cz kila siku unazalisha maadui kuliko malengo ya mawaidha yako mie nakuelewa hilo linatokea kwa uchache wa elimu yako
Barakh Allah fikh
Allah akuhifadhi ndugu yetu ktk imman
Masha Allah Mungu akuhifadhi
Allah akuhifadhi na akuzidishie ilm, umri, subra, afya na imaan.
Maaashaallah Allah akuhifadhi
Allah atuongoze sote InshaAllah.
Mashaallah sheikh wetu
Baaraka Allaahu fiik
Una maadui wengi lakini Allah atakuhifadhi. Usivunjike moyo tupo ktk zama mpya za giza. Wengine wanachukia umaarufu na umashuhuri wako. Ukiona wanalalamika ujue sindano imewaingia.
kuna mda sauti inafanana na baba yake, allah wote awape kheri nawapenda wote kwa ajili ya allah.
Maa shaa allah sheikh
Mashaallah Baraka llahu fiyka
Kaisha wafikishia jukumu lenu kufuata haq
Acha ujba mdogo wetu
Kweli we umevurugwa
Tuna hamu sanaa na niqashi ni lini towa tarehe usikae kimya hatukuelewi
Neema kubwa kwetu hii
Njoo utubie kwa kumuambia mtume mshirika fanaudhubillaahi
Kijana ana juhudi kubwa sana kwa kutumia kielimu chake kiduchu alichopata kwa ajili ya kubishana na kufarakanisha waislamu.kwenye maulidi watu wanamswalia shetani au mtume? hii inadhihirisha ujinga na uchache wa elimu wa huyu kijana.mara tumswalie mtume mara tusikusanyike kwenye mihadhara ya maulidi kumswalia mtume.naomba asamehewe bado ni mchache wa elimu.
bidaa zimekukamata acha, au nitajie bidaa moja ambayo ipo sasa maana kila kitu mnasema sio bidaa
Twasubiria mambrui kitakachotokea
Jamaa ana kanzu special ya kushindana😂😂
Soften your heart brother and open your mind, fear Allah
Wee mtoto unatakiwa ukasome aiseeee na jitahidi sana kuwa na kauli nzuri unapotoa mawaidha yako cz kila siku unazalisha maadui kuliko malengo ya mawaidha yako mie nakuelewa hilo linatokea kwa uchache wa elimu yako
Akhi mbona hao mashehe wenu hata kunukuu aya hawajui na pia hadithi???
Asa maadui wajinga unawaogopea Nini acha wawe wengi TU
Hakika
Kumbe unajua hatuwez kuyapata yote sindio
Eti ndiyo mtume mwenye moyo msafi kabisa huo ni UONGO MWINGINE, kama ni msafi Kwa nini mnswali na kumtakia rehema Kila siku?
nyinyi wajinga said wamambrui hana kitu yule baradhuli
Usisahau kwenda Mambrui kijana anakusubiri akusomeshe
Kumbe mnafuatilia mihadhara ya Sheikh!!! MashaAllah endeleeni kunufaika
Yule akafate mzee yusuf ndio wanaelewana dj na shekh munajadili nn
Alhamdulillah kama mnafatilia hizi darsa.
@@nassleydady5783hhhhhhhhhhhhhhhh 😂😂😂😂😂😂😂 akafundishwe vizuri kupiga piano...😅😅😅😅
@abdulkhalfan8586 nakuona una moto na mjadala naona umekubal sabas kachemsha mpka chipukizi mwingine amejitokeza
Kwani iyo kanzu yako ina mikono mifupi au ndio usharobaro?
Wewe kwaiyo unachagua sunna za kufanya mbona hatukuoni itembee na bakora , mbona hna mke mmoja kama mama yako mzaz
We unajua ana wangapi huyo anao watatu mzee alaf pia sunna nyingine si za wajibu swaha mzee
Afadhali umwambie sio sawa kumtaja mmke ww unawake wangapi na ukiwa na zaidi ya 1 uko na uwadilifu
Kaisha wafikishia jukumu lenu kufuata haq