MAZITO YA MCHUNGAJI MWASUMBI/ AFUNGUKA MAGUMU ALIYOPITIA KISA WOKOVU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 03. 2024
  • Karibu sehemu ya kwanza ya Kuelekea Yeriko ya Mchg. Mwasumbi

Komentáře • 8

  • @user-im7ql7wo2r
    @user-im7ql7wo2r Před měsícem

    Yaani kakaangu ushuhuda huu ni kweli hao walitutangulia katika Imani, tulikuwa tunashiriki nao Yersalemu temple Mbeya mjini. Yaani barikiwa umetutia moyo sana, BWANA Mungu amekupigania kwa mengi, Nawakumbuka sana hata Emmanuel Mwasota, Sisi na akina David tulikuwa wadogo. Mungu azidi kukutunza na mama, mwanamke wa kweli na jasiri sana.

  • @WebyNgogo-nj3fx
    @WebyNgogo-nj3fx Před 4 měsíci +1

    Namkumbuka sana baba Mwasumbi kwa nyimbo zake pendwa nikiwa nasoma shule ya msingi miaka ya 1990 Mungu akutunze baba

  • @lusajomwakalinga5813
    @lusajomwakalinga5813 Před 3 měsíci

    Hazeeki huyu mzee

  • @aidaraphael1956
    @aidaraphael1956 Před 4 měsíci

    Haleluyaa MUNGU Akupe.maisha marefu baba na mama.

  • @SophiaSameul
    @SophiaSameul Před 21 dnem

    Kweli nakumbuka mwa 90 mbeya walikua wana jaa mkutono wake

  • @samjosh12
    @samjosh12 Před 4 měsíci

    Yupo taratibu lakini anaongea kwa uhakika zaidi. Ubarikiwe sana Mchungaji Mwasumbi

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md Před 4 měsíci

    Du mwasimbi Baba ubalikiwe na nimekukumbuka Baba

  • @upendotemu6617
    @upendotemu6617 Před 4 měsíci

    Habari Upendo TV....tunaomba Ibada ya morning glory ya Leo ijumaa tarehe 22/3 CZcams... asante, japo na ya Alhamisi mliweka nusu