Yaani kakaangu ushuhuda huu ni kweli hao walitutangulia katika Imani, tulikuwa tunashiriki nao Yersalemu temple Mbeya mjini. Yaani barikiwa umetutia moyo sana, BWANA Mungu amekupigania kwa mengi, Nawakumbuka sana hata Emmanuel Mwasota, Sisi na akina David tulikuwa wadogo. Mungu azidi kukutunza na mama, mwanamke wa kweli na jasiri sana.
Yaani kakaangu ushuhuda huu ni kweli hao walitutangulia katika Imani, tulikuwa tunashiriki nao Yersalemu temple Mbeya mjini. Yaani barikiwa umetutia moyo sana, BWANA Mungu amekupigania kwa mengi, Nawakumbuka sana hata Emmanuel Mwasota, Sisi na akina David tulikuwa wadogo. Mungu azidi kukutunza na mama, mwanamke wa kweli na jasiri sana.
Namkumbuka sana baba Mwasumbi kwa nyimbo zake pendwa nikiwa nasoma shule ya msingi miaka ya 1990 Mungu akutunze baba
Hazeeki huyu mzee
Haleluyaa MUNGU Akupe.maisha marefu baba na mama.
Kweli nakumbuka mwa 90 mbeya walikua wana jaa mkutono wake
Yupo taratibu lakini anaongea kwa uhakika zaidi. Ubarikiwe sana Mchungaji Mwasumbi
Du mwasimbi Baba ubalikiwe na nimekukumbuka Baba
Habari Upendo TV....tunaomba Ibada ya morning glory ya Leo ijumaa tarehe 22/3 CZcams... asante, japo na ya Alhamisi mliweka nusu