Kanisa la Leo - Mr. & Mrs. Daniel Mwasumbi (Official Music Video).
Vložit
- čas přidán 19. 08. 2022
- #DanielMwasumbi#DuniaYapita#WorldMissionMedia#
Watch and hear the message (KANISA LA LEO),Gospel song by Daniel Mwasumbi.
UNAWEZA KUSIKILIZA NYIMBO ZA EV. DANIEL MWASUMBI KUPITIA LINK HIZI :
Boomplay
www.boomplay.com/artists/4926...
Spotify
open.spotify.com/artist/3Z3cw...
Amazo Music
music.amazon.com/artists/B0B4...
World Mission Media.
+255757000039
+255653000039
Email : worldmissiontz@gmail.com
Website : worldmissiontz.wixsite.com/as...
Online Distribution under World Mission Media.
Nyimbo zenu zinanikumbusha wazazi wangu walipenda sana hizi nyimbo enzi hizo mm mdogo kabisa walipenda kuweka kanda hii, mungu awapumzishe kwa amani wazazi wangu
Pole sana
Mungu azidi kufanyika faraja kwako.Pole sana
Watumishi wazuri wa Mungu, watangulizi wa imani. Kazi yenu haikuwa Bure. Mimi binafsi ni matokeo ya injili yenu. Mungu awatunze.
❤❤❤ vraiment que Dieu vous bénisse richement , je suis dans la chose🎉
Nimeguswa sana nyimbo hizi mbalikiwe sana
Nakumbuka enzi za utoto wangu ulimfanya baba aghairi njia mbaya na kugeuka Mungu awatunze watumishi wa Bwn
Nyimbo hiz mpaka leo bado Zina nguvu ya Mungu ndan take,,sichok kusikiliza
Injili iliyoimbwa kupitia Neno na kweli.
Mungu awabariki mno. Kanisa la leo.
Ameen,
Utukufu kwa Mungu
❤❤❤nawapenda sana MUNGU aendelee kuwatunza
Napenda nyimbo hizi tangu ujana wangu. Mungu awabariki.
huu ndoo ulikuwa vokovu sio huu wa mitume na manabii
Kwa kweli Mtumishi wa MUNGU mubarikiwe sana hizi nyimbo zinanidjengaga Sana mpaka nahisi nimefika mbinguni
Nakumbuka mbali
Kweli maneno yaliomo humu haha mafundisho mazuri Sana.Barikiwa
Mungu awabariki mno ! Nakumbuka miaka hiyo nilipokua kwa Sunday School ! Walimuwetu walitufunza mojawapo za nyimbo za Mzee huyu ! Moja wa walimu wangu wamefahamia mbiguni sasa! Mungu awabariki nakuwazidishia ufunuo
Ameni
Ubarikiwe
Nimekumbuka mbali jamani,kipindi hicho morogoro ruaha,na redio ya kakangu,tulikuwa tukisikiliza,nyimbo xinaponya hizi
Amen
Huyu mzee amenisaidia sana nikiwa kwenye pito
Nyimbo muzuli sana ziko namafundusho kali
Amen 🙌
Mungu bwana wetu yesu Criston awa bariki kwakuwa mumeninjenga naiyo nyimbo ya kuishi ni criston
ANabarikiwa sana napenda sana Mungu awabariki
Yesu atupe Neema. N'a awabariki.hata tupate mwisho MUZURI.
Ameen
Hizi nyimbo zinanikumbusha mama yangu mdogo Bumi mwambegele wakati wa uwai wake alizipenda sana mungu Amulaze mahali pema
Pole sana,Mungu azidi kukufariji
Mungu awabariki watumishi, nyimbo zenu zinanibarik mno tangu Nikiwa mdogo nawapenda san
Nakumbuka mbali Sana kama miaka ya 1998 hiv bibi yangu alikua akizipenda Sana nyimbo za huyu mtu tulikua tukienda kumtembelea maeneo ya Sao hil twiko cku za week end lazima ukute kaweka nyimbo za huyu mtu, kwa Sasa cko nae tena tunian bibi yangu du mungu huyu mwe,,,,,😭😭😭😭😭😭
wokovu huu ulikuwa umejitosheleza tofauti na siku hizi
Mubarikiwe saaana watumish kwa ujumbe wa kweli ❤
Ameen
Ameen Ameen.Asanteni watu wa Mungu mbarikiwe
❤
JAMANI NAWAPENDA SANA HAWA WAZEE BADO WAPO WANAIMBA
Namkumbuka san marehemu mama angu
Hakika MUNGU mwema Sana nilikuwa nawapenda Sana mpk Leo nimekuwa nawapenda mbalikiwe Sana🙏🙏
Ameen,
Ubarikiwe pia
Lungu awape nguv
u
Mungu ahurumiye watu n'a atupe Neema turudiye kilindini ili tufanye uwakilisho mwema katika nyakati hizi za jioni.tupate mtu wapi leo!
Ameen
Word mission Mungu awabariki Kwa kutuletea watumishi hawa, na hasa ktk kipindi ambacho uimbaji wa injili unaenda mrama
Ameen,
Tunamtukuza Mungu, pia tunaomba Mungu ainue Waimbaji wengi watakao tumika kwa Roho na kweli katika uimbaji wa nyimbo
Huu Wimbo umenikumbusha mbali sana ktk maisha yangu ya ujana
Amen
Nakumbuka Miaka hiyo Hadi Leo Nawapenda sana
Ameen
Mungu mkubwa
Barikiwa sana
Ameen
Mbarikiwe sana kwa kuihubiri injili
Ameen
good work, be blessed
Very nice
Amen🥺
Good
Jamani mbarikiwe sanaa watu wa Namanyere tunawakumbuka sana baba bethi na mama bethi jamani
Amen
Nawapenda sana Mungu awabariki
Amen