🔴

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • 🔴#LIVE: MZEE MAGOMA ANAFUNGUKA A-Z UKWELI WA KESI YAKE NA YANGA (SPORTS ARENA 17/7/2024)

Komentáře • 100

  • @laurentkirigiti
    @laurentkirigiti Před měsícem +1

    Kimataifa leo naomba mtusadie kujua tofauti kati ya timu kuwa nzuri na kuwa na kizazi cha dhahabu kwa sabu belgium 🇧🇪 hwawakufanya makubwa sana kwenye world Cup na euro lakin franch walio fany vzr toka 2016 mpk leo lakini hwatajwi kuwa na kizazi cha dhahabu

  • @godfreyMchomvu-q2d
    @godfreyMchomvu-q2d Před měsícem

    Yanga oyeeeee

  • @NickisonJonathan
    @NickisonJonathan Před měsícem +4

    Uyo mzeh kazeeka vibay mmkapime akali

  • @Mhappy5
    @Mhappy5 Před měsícem +3

    Mzee anataka aende na engineer au nan😒

  • @user-ho5qb7sc2o
    @user-ho5qb7sc2o Před měsícem +2

    Huko alikotoka pia hawamtaki,Kwa ujumla hakubaliki asituvuruge, Ingekuwa wote tunaruhusiwa kuwa viongozi Kila mtu ingekuwa Rais wa nchi Hatukutaki mzee kalime majukumu yako mengi usimsumbue Rais wetu Engineer Hers

    • @zombokoyassin-li8sd
      @zombokoyassin-li8sd Před měsícem

      Inasikitisha sana, cc tunamuwaza chama atauwasha naona gani moto akiwa na pca huyu mzee nae anaivuruga tena yanga da! Katumwa co bure hiii tena unaiingiza kwenye mgogoro tena kweli? Huyu mzee kanichanganya leo

  • @zombokoyassin-li8sd
    @zombokoyassin-li8sd Před měsícem +1

    Njaaa kali, kwann yanga ikiwa inafanya vizuri ndio yanaibuka haya? Gsm atoke na injinia wake yeye ataweza kuendesha tim?

  • @user-ou1mb7mn1d
    @user-ou1mb7mn1d Před měsícem +2

    Wazee wa dar mnanjaa sana hv yanga ni ya dar tu

  • @david255chengula5
    @david255chengula5 Před měsícem +3

    Kwani uyu mzee tukimfuta uanacha ma sisi kama wanachama kuna shido?

  • @SportsRaha
    @SportsRaha Před měsícem +4

    Tatizo la waTz ndo hilo mzee kaona mbali ila kutokana jambo limekuja wakati Yanga inapata mafanikio wanamuona mzee chenga ila baadae mambo yakienda kombo ndo watamkumbuka

    • @paolo4584
      @paolo4584 Před měsícem

      Huyu mzee ana hoja kubwa sana sema.. mbumbu wengi wamemezwa na furaha😅

    • @AndersonMokiwa-is5ch
      @AndersonMokiwa-is5ch Před měsícem

      Huna akili hata wewe

    • @AndersonMokiwa-is5ch
      @AndersonMokiwa-is5ch Před měsícem

      ​@@paolo4584kwa hivyo wabunge wanaotuwakilishqga bungeni sio sawa wananch wote tuende bungeni

    • @iddimngazija1957
      @iddimngazija1957 Před měsícem +1

      Hata nyinyi mlimuona kigwangala chenga lkn hatukuwaingilia kwenye mambo yenu

    • @MileyMziray
      @MileyMziray Před měsícem

      Kalombwe

  • @ConfusedJellyFish-zi5fb
    @ConfusedJellyFish-zi5fb Před měsícem +3

    Hivi huyo Mzee anamchango gani kwa yanga au yeye akijivua uanachama yanga itapungukiwa nini atoe njaa hapa na arudishe kadi ya timu yetu

  • @JumaKigambo
    @JumaKigambo Před měsícem +1

    Wanaweza kuwa na faida kwenye bakuli hivyo kwa sasa Mambo yao nimagumu

  • @saidaltamimu7930
    @saidaltamimu7930 Před měsícem +2

    Huyu Mzee anataka kuwapa watu dhambi fisad

  • @user-lp5rp3mt5e
    @user-lp5rp3mt5e Před měsícem +1

    Samaki mmoja akioza unamtoa unatupa wengine unapasha !!! Huyu mzee atuache !

  • @dominicmasele750
    @dominicmasele750 Před měsícem +1

    Naomba kujua kwa nini Magoma hana tawi mpaka saiv? Na je amejaribu kuomba uongozi kwenye tawi ili apate nafac iyo anaililia amekosa?

  • @thabit5775
    @thabit5775 Před měsícem

    Mzee yuko sawa

  • @DrNyamwiMSMD
    @DrNyamwiMSMD Před měsícem

    Mzee Ana point

  • @yusufunguruko8080
    @yusufunguruko8080 Před měsícem +1

    Kitenge kelele nyingi hutoi nafasi kwa wenzio.

  • @VedasElly
    @VedasElly Před měsícem +1

    Hana hoja ya maana

  • @BuraK-bk9iw
    @BuraK-bk9iw Před měsícem +3

    kuna mazee mengine hua yanazeeka vibaya kabisa

  • @rahmasaid9588
    @rahmasaid9588 Před měsícem +1

    mnafiki huyo si mwanachama tena

  • @almortabaz_Tz
    @almortabaz_Tz Před měsícem +1

    Hawala anafosi kuwa sawa na waife

  • @DeogratiusMwachali-uy1kx
    @DeogratiusMwachali-uy1kx Před měsícem +2

    Huyu mzee mbona kama anatuchanganya na anajichanganya mwenyewe

  • @yusuphabubakary2030
    @yusuphabubakary2030 Před měsícem +2

    magoma mwez ujao aachiwe amlipe aziz ki mshahara

  • @ramadhanihassani6825
    @ramadhanihassani6825 Před měsícem +1

    Anatumiwa na simba

  • @AndersonMokiwa-is5ch
    @AndersonMokiwa-is5ch Před měsícem +2

    Kwa hivyo huyu mzee anataka hata sisi wananch tuende bungeni wote mana wabunge bekeyake ni kosa serikari inatubagua wananch hana akili huyu mzee

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g Před měsícem +1

    Huyu mzee siyo mtanzania uhamiaji muiteni huyu mzee ahojiwe uraia wake inaonekana anapenda vurugu nakufanya amani kutoweka

  • @Jaibi-j1p
    @Jaibi-j1p Před měsícem

    Hapa kazi tu.

  • @user-dl1mg2qf4n
    @user-dl1mg2qf4n Před měsícem +1

    Kwa sasa Yanga haimtambui huyo mtu😅, mnajisumbua bureee

  • @husseinmillinga
    @husseinmillinga Před měsícem +1

    Hii nayo kiki

  • @karenlema4317
    @karenlema4317 Před měsícem +1

    Mzee Hana hoja ya maana kiukweli

  • @johnsilima1629
    @johnsilima1629 Před měsícem +1

    Pameanza kuchangamka Ubaya ubwela😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @francisnyeriga
    @francisnyeriga Před měsícem +2

    Huyo mzee sio mwanachama hai hana haki ya kuongea chochote miaka 4 hajalipia kadi yake

  • @ibrahimismail8239
    @ibrahimismail8239 Před měsícem +1

    Sasa..nanyie..wasafi..mtu..anaongea..alafu..mnamkatisha..kisa..matangazo..sio..sawa..jirekebisheni..mnatakiwa..kujua..mda..gani..wamatangazo..mdagani..wakuongea

  • @MysarahMohamed
    @MysarahMohamed Před měsícem

    Sema kitenge kweny suala la Yanga humwambii kitu😅😅😅😅🙌🙌🙌

  • @bakariomarimndeme6059
    @bakariomarimndeme6059 Před měsícem +1

    Naomba wizara husika iliangalie jambo hili huyu mzee ataka kuleta vurugu na kuondoa utulivu nchi uliokua nao,hembu serekali iliangalie hili kwanza tunakabiliwa na chaguzi serekali za mitaa na uchaguzi mkuu mwaka kesho jambo hili laweza kudhoofisha chaguzi zetu tunaomba utulivu Yanga ina watu wengi nchi nzima twataka utulivu twende kwenye chaguzi zetu kwa amani.

  • @geophreymchunguzi7144
    @geophreymchunguzi7144 Před měsícem

    Kwa magoma ni wapi wanyanga tukamsalimie?

  • @karenlema4317
    @karenlema4317 Před měsícem +1

    Sasa tukienda wote kwenye mkutano tutatosha huko mkutano mkuu hii kali

  • @Khalfan-wp8wm
    @Khalfan-wp8wm Před měsícem +1

    Mbn huyo kitenge akiguswa kwenye timu yake anakuwa mkalii msilete uyanga kwenye kipind

  • @antonjohn134
    @antonjohn134 Před měsícem +1

    Lingekuwa swala la Simba kitenge angekuwepo apo

  • @JoelMwakabanga-wk6zz
    @JoelMwakabanga-wk6zz Před měsícem +2

    Magoma acha ujinga ulikuwa wapi mda wote huo

  • @JumaMigezo
    @JumaMigezo Před měsícem

    Njaa mbaya

  • @juanhumphrey3510
    @juanhumphrey3510 Před měsícem +1

    24:03 huyu mzee anachokitafuta atakipata mwache atuharibie timu

  • @johnsilima1629
    @johnsilima1629 Před měsícem +1

    Hersi Aende tu huko kenya akaiongoze Gor mahia sisi kama yanga hatumtakii😢😢😢😢😢😢😢

  • @user-ho5qb7sc2o
    @user-ho5qb7sc2o Před měsícem +1

    Haiwezekani wote tuwe viongozi, Tunakuwa na viongozi wawakilishi , Wote tukiwa viongozi nitakuwaje?? Ni kitu hakiwezekani mtateseka sana

  • @ramadhanihazard5459
    @ramadhanihazard5459 Před měsícem +2

    sio ushirikiano mzee rage weka wazi anataka mtonyo

  • @RenatusÑgolongolo-o2j
    @RenatusÑgolongolo-o2j Před měsícem

    Mbona bungeni hatuendi watanzania wote?

  • @skrinmaginga140
    @skrinmaginga140 Před měsícem

    Njaa kali mianya ya kuibia pesa imefungwa

  • @swahibumaliki1547
    @swahibumaliki1547 Před měsícem +1

    Wee Mzee uchagukuwe nani ww unanjaa kafanye kz upate kula

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses6860 Před měsícem +1

    Hiyo mzeee tutamfumua marinda sisi

  • @EliaElibariki-pu9lu
    @EliaElibariki-pu9lu Před měsícem +1

    Watu wanataka maslay yao

  • @Zenny89
    @Zenny89 Před měsícem +1

    Tutawapiga Mawe Hawa Wazee!!! Timu imeanza kufanya vizuri ndo wanaleta kelele…wasituchezee kabisa

  • @user-ho5qb7sc2o
    @user-ho5qb7sc2o Před měsícem +1

    Ni mtu mwenye busara sana na mchapa kazi anakubalika muacheni

  • @DanielMollel-mw2eu
    @DanielMollel-mw2eu Před měsícem +1

    Tutamchoma kwa mzee magoma

  • @husseinmillinga
    @husseinmillinga Před měsícem +1

    Yanga acheni utoto Kiki za nini

  • @happinessmwaipopo
    @happinessmwaipopo Před měsícem +1

    Mzee akapimwe mkojo. Njaa inamsumbua asiturudishe nyuma

  • @ramadhanihassani6825
    @ramadhanihassani6825 Před měsícem +1

    Mzeee ana njaa tu anachochote

  • @TUNITV-ki8qk
    @TUNITV-ki8qk Před měsícem

    mzee katokea wapi

  • @user-ho5qb7sc2o
    @user-ho5qb7sc2o Před měsícem +1

    Bwanae hatuwezi kushiriki mikutano wote, kama hupendwi kaa kwa kutulia, haiwezekani wote ha tuwe viongozi kuwa viongozi jamani mzee mbaya ,Viongozi wanachaguliwa ukiona hujachaguliwa wakati wako haujafika huyu mzee asitukoroge

  • @PrincePalalu
    @PrincePalalu Před měsícem +1

    Huyo Mzee anaonekana anataka madaraka bas mkabidhini yeye uraisi wa yanga huenda atanenepa

  • @peterkazeni2460
    @peterkazeni2460 Před měsícem +1

    hao wazeee watuachie timu yetuuu

  • @bullychandy6509
    @bullychandy6509 Před měsícem +1

    Zamu ya watani kuteseka

  • @jumannejuma5864
    @jumannejuma5864 Před měsícem +3

    Jumanne Juma Huyo mzee Magoma ametokea wapi lakini anataka atuhalibie timu yetu tunamuombea Mungu amchukue akapumzike mbinguni ok na apunguze njaa zake huyo

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g Před měsícem +1

    George Job, huyo mzee umempa maswari nondo hadi kachemsha kujibu, huyo mzee namuona kama virus tu ndani ya club kwani hawezi kufukuzwa kaw lazma

  • @JackKanyigo
    @JackKanyigo Před měsícem +1

    Muulize huyo mzee..xaxa hivi tunasajiri yeye amechangia sh.ngap?..mpira kwa xaxa ni pesa,hao wazee wanaongangania wasikike tu bila kutoa hela wakae mbali..anataka maamuzi gani wakat hela hana

  • @RomboBoy-bl7ql
    @RomboBoy-bl7ql Před měsícem

    Kumbe uchawi upo kwel ndo naanza kuamini

  • @hozzashehozza9319
    @hozzashehozza9319 Před měsícem

    ipo siku mtamuelewa tu huyu mzee tunaemtukana leo, hii ndo devide and rule. wape wachache uwezo wa kupiga kura ili uweze kuwacontrol wakuchague na kupitisha utakacho wewe, wa kuelewa na aelewe

  • @user-im9cg1gl6z
    @user-im9cg1gl6z Před měsícem

    Magoma Hajipendi!

  • @husseinmillinga
    @husseinmillinga Před měsícem +1

    Ukiweka ushabiki pembeni wazee wako sawa, yafanyike marekebisho chapu ingineer abaki

  • @zoharimohammed1569
    @zoharimohammed1569 Před měsícem +1

    Kumekucha😂😂😂😂😂

  • @AkramOmari-ty1up
    @AkramOmari-ty1up Před měsícem

    hawaaaaaaaa

  • @comsmkemwa2671
    @comsmkemwa2671 Před měsícem

    Hilo zee halina akili.

  • @peterkazeni2460
    @peterkazeni2460 Před měsícem +1

    tuachieni timu yetu

  • @EmmanuelIkenge
    @EmmanuelIkenge Před měsícem +2

    Huyu mzee ni kolo ....hana jipya hata anavyoongea hana hoja ya maana....rushwa tu ndo inamsumbua aliyopewa na uongozi wa simba..

  • @ClaudManyanda
    @ClaudManyanda Před měsícem +1

    Huyomzee haitakii yangamema figisu zakijinga

  • @JoeliKamwela
    @JoeliKamwela Před měsícem

    Uyoo mzee msenge tuu naomba auliwe tuuu asituvuluge mzee mpili naomba afanye kaz yake