, Masha Allah, kumbe hii darsa ni ile ya jana ya live, Shukran jaziilla Yaa sheikh Izudin yaani unaelewesha vizuri masha Allah ndo maana napenda kukufatilia, Allah akulipe mema fi dunia wal akhera
Maashaalla Allah atuzidishie kheri ama hakika mada Leo ninzito kwa mwenyewe mazingatio hmm mungu atujaalie tumfanyie kazi mke au uyo mume wa mwisho inshallah
Salmalykum na tumai hamuwambo nauliza hivi mi niko na matatizo ya miguu ya niuma sana hasa nikisha fanya kazi zote kila ucha wa mungu na huwa mara nachoka mpka saa nyengine nikashi sali swala ya magharib huwa nalala sipati sala ya insha naweza sali salat inshai pindi nikiamka naomba jibu wanaojua
Ustadh niulize na wakati waswali nyuma ya Imamu na huna uhakika ataswali rakaa mbili kisha akamilishe na moja au aswali tatu kwa pamoja ;utatia nia vipi?
Mashallah,hahah sheikh wangu nakupenda kwa ajili ya Allah,akuongoze hadi kuleeeeeee firdaus pamoja n familia yko yote,Amiin
Mashallah tabarakallah mawaitha yako mazuri sana jazzaka Allah kheri
Nimeyapenda Sana akulipe Allah Pepo lnshaalla ameen
Amin
, Masha Allah, kumbe hii darsa ni ile ya jana ya live,
Shukran jaziilla Yaa sheikh Izudin yaani unaelewesha vizuri masha Allah ndo maana napenda kukufatilia, Allah akulipe mema fi dunia wal akhera
Yaaa ukhtyyy
@@omarykatongo4943 Naam Yaa akhui
@@ukhtysakinaa7664 asalaam aleykum warhama tullah wabarakatuh,,
@@omarykatongo4943 Wa alaykum salam warahmatullah wabarakatuh
@@ukhtysakinaa7664 0759016351 chukua hiyo kwaajili ya Allah
Amen jazzy Allah khery shkran sheikh izudin Allah akulipe khery wwe na cc pia
Maashaalla Allah atuzidishie kheri ama hakika mada Leo ninzito kwa mwenyewe mazingatio hmm mungu atujaalie tumfanyie kazi mke au uyo mume wa mwisho inshallah
Diamond
Salmalykum na tumai hamuwambo nauliza hivi mi niko na matatizo ya miguu ya niuma sana hasa nikisha fanya kazi zote kila ucha wa mungu na huwa mara nachoka mpka saa nyengine nikashi sali swala ya magharib huwa nalala sipati sala ya insha naweza sali salat inshai pindi nikiamka naomba jibu wanaojua
.MASHA ALLAH ALEIK
Nakupenda ya Sheikh kwajili ya Allah
Assalamu alaykum
MashaAllah hakika wafahamisha vizuri👌
Shukran shekh
Maneno yanachoma haya Allah atuongoze ktk kher
Masha allah jazakalahu kheir
Amiiin. Waumini tuzudini. Kumcha mungu
Namu kumbuka sana shehk wangu ni haidary mzaifu kutoka soya chemba
AMEEN AMEEN AMEEEN
Jazac allahkher
Mansha allah
Ameen yaa Rabbil Alamiin 🤲🏼
Shukran Sheikh
Ameen . Mashallah sheikh mungu akujaze kheir
Amiin Rabil alamin
Takbirr
Waleiku salamu warahmatullahi wabarakatuh Ameen Ameen Ameen Yarabi sote Alhamdulilah shukran
Mashallh
@@farajihamisi8688 Assalam aleykum warahmatullahi wabarakatuh vipi Hali yako
Amin yarabi
MashaAllah
Ustadh niulize na wakati waswali nyuma ya Imamu na huna uhakika ataswali rakaa mbili kisha akamilishe na moja au aswali tatu kwa pamoja ;utatia nia vipi?
Shukran Allah barik
Amiiin
Salallahu alaihi wasalam 💜💜💜
Jazakallah kheyr ❤❤❤❤
mashaalah
Mashalaah mashallaah
Aamiin amiin
Na je kwa wanawake ambao tumeswali nyumban magharib na tukaa kwenye mswsala mpaka isha Je wanaandikiwa wapo ndani ya swala?
Shukran Allah abarik
JazakaAllah
Inshallah
Jazaka Allah
Shukran masha Allah
Witri wakati wake mwisho ni saa ngapi?
SASA SHEIKH WETU KWELI HUKU SAUDIA AKUNA KUNANA UCKU JE TAHJUDI NA WITRI ZAFAA KULALA MPAKA USWALI ALFAJIR NDIPO ULALE
😅😅
Obrigado
Na ALLAH atuongoze atujalie mwisho mwema
Amin
Amin
Mashaa Allah