KUTOKA AIRPORT BARBARA AKIWASILI NA KIKOSI CHA SIMBA SAFARINI KUELEKEA MISRI PRE SEASON, BARBARA YES
Vložit
- čas přidán 7. 07. 2024
- eat #afrobeat #news #news #middlesimba #middlesimba #middlesimba #africanfootballleague #africanfootballleague #africanfootballleague #simba #simba #numeroyapastorntambabazi0788554028 #numeroyapastorntambabazi0788554028 #numeroyapastorntambabazi0788554028 #uchambuzi #uchambuzi #uchambuzi #uchambuzi #sports #sports #sports #sports #kigooco #kigooco #kigooco #africa #africa #africa #afrobeat #afrobeat #news #news #middlesimba #middlesimba #middlesimba #africanfootballleague #africanfootballleague #africanfootballleague #simba #simba #numeroyapastorntambabazi0788554028 #uchambuzi #uchambuzi #uchambuzi #uchambuzi #sports #sports#afrobeat #afrobeat #news #news #middlesimba #middlesimba #middlesimba #africanfootballleague #africanfootballleague #africanfootballleague #simba #simba #numeroyapastorntambabazi0788554028 #news #numeroyapastorntambabazi0788554028 #uchambuzi #uchambuzi #jdg #utchambuzi #sports #sports #sports #sports #kigooco #kigooco #kigooco #africa #africa #africa #afrobeat #afrobeat #news #news #middlesimba #middlesimba #middlesimba #africanfootballleague #africanfootballleague #africanfootballleague #simba #simba #numeroyapastorntambabazi0788554028 #uchambuzi #uchambuzi #uchambuzi #uchambuzi #sports #sports#afrobeat #afrobeat #news #news #middlesimba #middlesimba #middlesimba #africanfootballleague ##afrobeat #afrobeat #news #news #middlesimba #middlesimba #middlesimbatg #africanfootballleague
- Sport
Jinga moja eti ukiwaona simba utafikili wako serius ulifikili tunatania pumbavu
Babra wao tumekumis afadhali kama umerud kundini ❤❤❤❤❤❤
WAWOOOOO DADA YETU KIPENZI CHETU BARBA
Mda Bora kabisa duniani kutokea,karudi kazini
BARA BARA GONZ LENZ NDIO NANI
Hiyo cyo kitu chakuuliza kwani hamjui kwamba simba wakifanya vizuri wale wa upande wa pili inawaumaa sana
Huyo anayekuwa negative lazima atakuwa utopolo
Huyo ndiyo mwanadada shupavu ktk simba waambie watu wa yanga wakimuona wanajua nn kitawakuta kama siyo kilio kwao Wana mtu wao anajipekeza eti akae na ifantino mjinga mmoja babra ndiye
Barabara ya wapi hyo babra jaman
Pumbavuuuu sana mtangazaji balabalaaaa
Babra❤❤❤
Babra tunampenda sana
🎉🎉🎉🎉🎉
Mambo ni bam bam PA. Moto kweli kweli
Siyo barabara tamka vinzur
😂Jinga kweli huyu kang'ang'ana na mabarabara utadhani zero brain😅
Yes yes kwa kurudi jembe dada. Msimu ujao nyuma mwiko ijiandaen❤❤❤🎉🎉🎉
Barabara😅😅😅😅😅😅😅😅choko
Barabara mmmh jaman
Sio barabara mtangazaji ni Babra 🎉🎉
Ili alijui kusoma
Barbara ni mwanachama na shabiki mkubwa ktk time ya simba
❤❤❤❤
Babra cyo barabara
Barabara vs baabra ❤tamka hivyo mkuu
Soma jina vizuri unanitia kichefu chefu usipoweza kusoma jina vizuri 😢
Bara Bala 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Namkubali kinoma huyu dada , nilitaka kumuoa bahati mbaya Kuna mshikaji wangu alimpa mimba 😅😅😅😅
IMEKUWA VIZURI BABLA KURUDI KAZINI
Wenye nchi wamerudi huyu Mama ni chuma cha Pua lakini mtangazaji unaalibu majina ya watu "Balabala"
Linachukua video MAUA na ardhi
Mwandishi ni shoga huyuu
Ndo Manager huyo saiz
Anaitwa babra gonzales na sio barbara
Sio barabara ni BABRA GONZALEZ
Itopolo mwaka huu watatukomaaa
Mwandishi tamka vizuri hilo jina la huyo dada
Mpuuzi kweli et barabara
Hawa ndio wanaokuwa wanfanyiwa mitihani yao nawatu wengine
Siyo Barbara ni babla
Mwandishi unatia aibu sanaaaa. Back to school
Afadhali.Babra.kurudi.
😂😂😂😂😂😂 , presenter kazi ipo
Yaani wewe ni fala kweli kweli sijapata kuona tena mwingine duniani aina yako!
Hapo hakuna timu,makolo!!!!
bro huwezi kutangaza. kalale
Bar Bara😂😂😂
Unatumia Infinix au?
Not barabara but babra..hey
Wewe ntangazaji hulijui hilo jina au unazingua sasa barabara ndo nini
Achen kuzozana mtajua kaz ikianza wadogo zangu
Mara NGAPI YANGA tjumewafunga Simba MBELE ya BABRA GONZALENS???
Sio Barbara ni babra
Unaharibu majina ya watu,..unamwitaje Barbara??
Barbara au babra Gonzalez we vp nawe
Eti barabara wee nae ni babra
Kama ujui jikarie kimya usijecumbuka ukajiona unajua kumbe kweupe
Shenzi zako eti Barabara😂.Kwa nini hukusonea ukandarasi wa mabarabara?
Mtangazaji unakosea kulitamka jina la barbara, linatamkwa Babra ila linaandikwa barbara. Ingia google liandike halafu utapata pronounciatiln yake.
Pumbavu mama yako
Hamna kituu bado hujasema wewe tuliaaaa
Sio bara bara, ni babra,,
Acha kuharibu majina ya watu wewe,siyo barabara, ni Babra.
Acha ujinga kijana unayoyataka wewe yamepitwa na wakati
Hiyo bagt mnayokwenda kutumia huko bola mngempa fei kambi mkaweke bunju
Nikweli mawazo yako lakin kila kitu kina utaratibu wake na bajeti husika
FEI wamemgomea ila Azam wataua kipaji cha FEI na Lawi endapo Azam na Coastal watafeli kwenda hatua ya makundi basi FEI na LAWI itakua mwanzo kushuka vipaji vyao kwani kuna mfadhaiko kisaikolojia kuanzia vilabu hivyo viwili hadi wachezaji wao.
Hebu taja vizuri jina la BABLA, eti Barabara?! Kenge mkubwa wewe
Simba ukiwaona kama wapo serious kumbe hamna kitu kabisa pumbavu zenu
😮
😂😂😂😂 uto
Kwamtazamo wako
Utopwax mnahema sana na huu usajili
Bwana ww kila post ya simba lazima uchangie negative feedback sasa kama simba haipo serious C ufatilie walio serious mbona waumia Kaka