Mie sikufichi shekh hasada ni nyingi sana kwa marafiki kazini ndugu zangu mpk mama yangu kwa hicjo kidogo alonips Allah Sijuwi nifanye nini naomba ushauri wako. Alfu kheiriyat
Allah akbaru Allah akbaru Allah akbaru waallah mashallah siamini hostazi kiukeli Dua yako nikubwa waAllah Allah kaiitikia dua yako kiukweli matokeo nime yaona Allah awajalie dawahii mnae ifanya wote Allah aijaalie iwe bora zaidi na aijaalie iweze kudumu zaidi na zaidi hostazi Othman cto acha kuku ombea kwa Allah akupe umrii mrefu na akupe afyabora na wakati ulie mwini kwakua ume amua kutangaza dawaii kwaajili ya mola wako bac Allah akulipe ujira ulie wema akulipe jantu fridahuc inshallah
Mashaallah ALLAH akujalie mema duniani na kesho akhera
JazakaAllwahu khairan,
Shukran kwa visomo vya kutuombea shufaa kwa Allwah,
tunaomba visomo viwe mustajaba.
Allwahumma Barik Sheikh Othman Michael
Ameen Yarabb thakabal mola ukuzidishie khery za dunia na akhera
Shukran jazaka ALLAH khery Mola atupe shufaa
MaashaAllah, safi sana hivyo ndio sawa kutupa Dua'a jazzaka Allah khair, Babaa
Jazakallah kheyr Allah akulipe yaliyo mema sheikh
Mashaall mungu akulipe kila heri akuongezeye ilimu yenye manufa
shukran sana shekhe kupitia hili nakuombea kwa Allah iwe ndo sababu ya kuingia peponi
Yarabb nakuomba unifungue ktk mazito yanayonisibu nimechoka mimi jmn mm 😭😭😭😭😭😭
Aamiin Yarabil Alamiin.Allah atakuondoshea ndugu yangu katika uislam.
Pole sana mamy mungu akuondoshee kila lililogumu kwako
Allah akuondolee yaliokusibu akupe Rehma zake Ameen usichoke kumlilia Mungu
Asalam alaykum warahmatulahi wabarakatu Allahuma Ameen jazzakhalahu kher afya long life.
M.mungu akujaalie kwa dua Ameeen.
mashaallah dua nzuri sanaa Allah akupe pepo ameen
Jazakalah kheri
Anta kadhaalika
In shaallah Allah atakuifadhi nakupe mwisho mwema
Shukraan sana Allah akulipe pepo
Amiyn inshaallah
Aslm alkm ustadh athman Michael nakuombea dua Allah akupe nuru hapa duniani na kesho aakhera kwani umeniokoa kwa kisomo chako
Shukran jazakallahu lkhair shekh hii daawa biidhnillah nitaifanya inipe shifaa zaid yarrab
Jazzakallah ustadh mungu akuhifadhi azidi kukufungulia nuru
Mie sikufichi shekh hasada ni nyingi sana kwa marafiki kazini ndugu zangu mpk mama yangu kwa hicjo kidogo alonips Allah Sijuwi nifanye nini naomba ushauri wako. Alfu kheiriyat
Mashaallah
Allah akbaru Allah akbaru Allah akbaru waallah mashallah siamini hostazi kiukeli Dua yako nikubwa waAllah Allah kaiitikia dua yako kiukweli matokeo nime yaona Allah awajalie dawahii mnae ifanya wote Allah aijaalie iwe bora zaidi na aijaalie iweze kudumu zaidi na zaidi hostazi Othman cto acha kuku ombea kwa Allah akupe umrii mrefu na akupe afyabora na wakati ulie mwini kwakua ume amua kutangaza dawaii kwaajili ya mola wako bac Allah akulipe ujira ulie wema akulipe jantu fridahuc inshallah
Allahumma amin
Amin
Mashaallah
Shekh mm nnajini mpaka inafika wakati inatimka nikipata maudhi napiga miayo Hadi machozi je nifanye nn?
Alhamdulillah nmepata somo kubwa ,,Allah akupe umri mrefu uweze kuwafundisha na wengine una ghelmi kubwa
Allah yuko nawee pamoja shukran sana shekh
Jazaakallah khayr
Baaraka Allah fiik, jazzaka Allah kheir, shukran
Jazak llahu khayra
Shukran Ustadh Aallah Akulipe kher Ameen yarab
Jazakallahu kheir sheikh.
Shukran kwa chenel yako
Barak'Allahu fiiQ Yaa Cheikh
Mungu akupe umrifu na afya njema inshalah pia sote
Ahsantum Sheikh wetu mada mujaraabu sana mungu akubariki sheikk wetu insha Allah
Ameen
Mashallah
Swadakta jazakaallahukheiry
Ameen Alallah akuzindishea InshaAllah
Nilikua naugua kujawa na tumbo usingizini nala chkula nikiamka tumbo limejaa nimefatilia kisomo chako wallahi leo nimetapika gasi imepungua
Pole ndugu mm pia niko na iyo shida na mpaka ss nahainga
Jazakallah heir
Shukran
Mimi pia shekh
nausingizi mzito na miguu kuchoma choma. Shukran
Maashaaallah
Ameen ameen
Mimi nimipitwa kwa iyo matatizo, nachoka sana, subuhanallah
Amini
Jazzak Allah kheri kwa dawaa nzuri mashaallah
Mashaallh ila mm nilikuwa wakt wasoma mm nilisiziaa je hii ni nn kwangu?
Nipepo hilo
Ustadh nime tawadha nikiwa ndani ya beseni lakini nili fanyia chooni nika jimwagia mkupuo mmoja kama ulivyo eleza sasa nahisi mwli kama uko wazi alafu
Lakwangu kushoto limepepesa
Mashaallah