Masanja Mkandamizaji Asema Kwake Ugali ni Maarufuku

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 11. 2017
  • Postal Address :
    Wemusicpro
    P. O Box 2267
    Dar es Salaam
    Email Address :
    wemusictz@gmail.com
    Lets Connect :
    Website: www.wemusicpro.com
    Facebook: www.wemusicpro.com/facebook
    Instagram: www.wemusicpro.com/instagram
    Twitter: www.wemusicpro.com/twitter
  • Hudba

Komentáře • 40

  • @cagemzee1834
    @cagemzee1834 Před 5 lety +2

    sawa broo me ni mtoto wa mama nyangi kazana utafika mbali sana mungu pamoja na we

  • @emmanuelmkalawa9242
    @emmanuelmkalawa9242 Před 5 lety

    mtumishi nimekuelewa vzr mnoooo kula unachotaka na kula unacho kipata

  • @isaacmgaya2067
    @isaacmgaya2067 Před 6 lety +1

    Emmanuel. You are very crazy. Ange ndisi baho. Ugali is food. Believe me. One day you wll come back to it.

  • @happinesssteven1155
    @happinesssteven1155 Před 5 lety +2

    heshima ya mwanamke iko ktk kukua ktk kumjua kristo.

  • @nasmafarmsltd9146
    @nasmafarmsltd9146 Před 4 lety

    Mìýè nķo Oman nime miss ugal wal kinachosha

  • @catenzeki678
    @catenzeki678 Před 6 lety +1

    Uko juu bro...mm binafsi nkukubali...kipaji apo kipo

  • @enockmtepa6972
    @enockmtepa6972 Před 5 lety +1

    Maisha ni haya haya

  • @christophermgoli1236
    @christophermgoli1236 Před 4 lety

    Piga kazi Mchungaji😄😄😄🙏🏼

  • @michaelrungwe3716
    @michaelrungwe3716 Před 5 lety

    Masanja kanyea kambi

  • @joshuahamisi9988
    @joshuahamisi9988 Před 5 lety +2

    Nikatika comed tuu najua unakula broo

    • @bonifacembilinyi5576
      @bonifacembilinyi5576 Před 5 lety

      bora wewe umemuelewa message nyingi zinamponda bila kujali ye ni comedian

  • @ngometvarusha4030
    @ngometvarusha4030 Před 5 lety +1

    Kwan ugali siyo chakula mhiiii sasa

  • @musadaud652
    @musadaud652 Před 5 lety +1

    Hahahaha wadada miguu imepinda kwjili ya ugali dagaa hahahaha

  • @catenzeki678
    @catenzeki678 Před 6 lety +1

    Hahahahaha...eti kwni kuna manabii...mmejuaje😂😂😂

  • @dawillygene
    @dawillygene Před 5 lety

    Nimecheka mpaka machozi

  • @mwendwajohn3922
    @mwendwajohn3922 Před 5 lety

    Kwan ugal sio chakula au

  • @majmadramas5726
    @majmadramas5726 Před 5 lety

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hahaaaaaaa like you more ma bro😍😍😍😍

  • @delartone3016
    @delartone3016 Před 6 lety +2

    The man is so fun 😁😂

    • @dangeloelliot960
      @dangeloelliot960 Před 3 lety

      you probably dont care but if you are stoned like me during the covid times you can watch pretty much all of the new series on InstaFlixxer. Been watching with my girlfriend during the lockdown =)

    • @rolandryder5811
      @rolandryder5811 Před 3 lety

      @Dangelo Elliot yup, have been watching on instaflixxer for years myself :D

  • @dicksonsheja9376
    @dicksonsheja9376 Před 6 lety +1

    Hahahaaaa

  • @berithachumila9368
    @berithachumila9368 Před 5 lety +1

    Hahahahaaaaah ubarikiwe mtumishi wa mungu

  • @gwantwaseke8406
    @gwantwaseke8406 Před 6 lety +1

    😂😂😂😂😂

  • @nanawish851
    @nanawish851 Před 6 lety

    😂😂😂😂 spare my ribs

  • @queencharles4823
    @queencharles4823 Před 5 lety +1

    Waswahili wengine bana, yupo kazini apo, kula ana kula ila ni kazi ya kuchekesha! Mimi nimecheka kabisa hahahhahahhaahahahha! Muache unegativity nyie wabongo!

  • @ibrahimmfundo8383
    @ibrahimmfundo8383 Před 5 lety +1

    Ukisikia kufuru ndio hii

  • @roseboniphace5143
    @roseboniphace5143 Před 5 lety

    mbona ulikula mihogo shambani kwani ugali unatofauti gani na mihogo?

  • @yassinabdy8962
    @yassinabdy8962 Před 5 lety +2

    Hovyo ugali ndio staple food ya Africa ,pumbav

  • @kajaymopao1672
    @kajaymopao1672 Před 4 lety

    Wewe wacha zako ugali ni chakula cha tamaduni yakiafrika mimi mwenyewe millionaire tena millionaire mkenya na siezi kosa ugali wiki moja na nimelelewa na ugali tangu nikiwa mdogo usitharau ugali wacha zako unashukisha tamaduni zetu zakifrika

  • @mwidinijuma1580
    @mwidinijuma1580 Před 5 lety

    Mchungaji wewe unashangaza, ugali ni chakula kama chakula kingine Sasa wewe unaupondea ugali mimi sikuelewi aliyekupa wewe wali ndie aliyempa mwezio ugali

    • @JOHN16verse33
      @JOHN16verse33 Před 5 lety

      1. Easy man its comedy
      2. Amesema ameshakula sana ugali..amezaliwa Njombe na kule ugali ndio chakula kikuu wananywea chai hata asubuhi.
      Mke wangu amezaliwa Moshi hali ndizi zikipikwa kabisaa kwa madai hayo hayo. Msukuma anaweza kukwambia the same thing habari ya samaki
      Waliozaliwa Dar tu ndo walikua na variety ya vyakula na ugali ulidharaulika. Utanielewa kama umri wako ni rika letu yaani mi na Masanja otherwise watoto wa siku hizi wamezaliwa kwenye vyakula vingi wanajichagulia

  • @kevohmsangi649
    @kevohmsangi649 Před 5 lety +2

    The thing you are talking about is not alright kabisa, coz ugali ni chakula pia haina haja ya mtumishi wa Mungu kujigamba kuwa hali ugali, that's not God's way

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu Před 5 lety +1

    Hiyo sio Comedy ni Arrogance. Kuwa Humble, Yesu is not all about money, Mavazi, na Mali. Huo ni Ujinga.

    • @queencharles4823
      @queencharles4823 Před 5 lety

      Its comedy, hujawai kula ugali wewe asubui mchana na jioni, ndani ya mwaka, huli tena maishani! Alafu unaenda kula sehemu nyingine kubadili mazingira wanakupa dozi hehhehehehehe! He is fine na watu wamexheka, chekesha na wewe!

    • @mussaismaili3717
      @mussaismaili3717 Před 5 lety

      Nakubali