Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Hongeren sana watu wa Mbeya kwa Neema kubwa ambayo Mungu ameiachilia juu yenu, endeleen kumtumikia Mungu ili tuzid kuuona Utukufu wake
😢😂😂 mungu awa bariki waimbaji namuenzi mdogo wangu alie kufa ghafla na ajali
mmeimba vzr sn ..kwenye uhalisia wa wimbo unavyotaka
Tuendelee kumtazama nyoka was Shaba na kunyenyekea na kuliishi neno LA mungu naami tutafika na tutaketi mkono was kuume wa mungu
So mbalii karibu
Naye Yesu hutuongoza tukafike na sisi hukooo.!
Mungu ametupa midomo ili tuimbe sifa zake hakikaa kulee tutawaonaa wengi wapendwa na yesu bwana tutashirikiano nao na itakuwaaa ni furahaa teleeee daaaaaa jamaani asante sana kwa uimbajiii wenu sifa na utukufu ni zake bwana aliewapa krama ya uimbaji
Tutashinda na zaidi ya kushinda kwake yeye atutiaye nguvu
Hakika Mungu awabariki sana mmeutendea haki wimbo huu
amina wapendwa nilifurahi sana nilipowaona live tunduma mwaka Jana mkiwa mnauza CD zenu nilikuwa mmojawapo niliyenunua mpo vizuri
Wimbo unanibarik sana. Mbarikiwe
Naiona kawetere na bonde la usangu
Mungu awatie nguvu muendee kumtumikia
Amina
yapendeza mtumishi WA Mungu bakikiwa sana
Excellent
Ameeeeni
Ameen mungu aendelee kuwafungulia milango..... Nisha subscribe
Amen
Ni ushindi tu
Hongeren sana watu wa Mbeya kwa Neema kubwa ambayo Mungu ameiachilia juu yenu, endeleen kumtumikia Mungu ili tuzid kuuona Utukufu wake
😢😂😂 mungu awa bariki waimbaji namuenzi mdogo wangu alie kufa ghafla na ajali
mmeimba vzr sn ..kwenye uhalisia wa wimbo unavyotaka
Tuendelee kumtazama nyoka was Shaba na kunyenyekea na kuliishi neno LA mungu naami tutafika na tutaketi mkono was kuume wa mungu
So mbalii karibu
Naye Yesu hutuongoza tukafike na sisi hukooo.!
Mungu ametupa midomo ili tuimbe sifa zake hakikaa kulee tutawaonaa wengi wapendwa na yesu bwana tutashirikiano nao na itakuwaaa ni furahaa teleeee daaaaaa jamaani asante sana kwa uimbajiii wenu sifa na utukufu ni zake bwana aliewapa krama ya uimbaji
Tutashinda na zaidi ya kushinda kwake yeye atutiaye nguvu
Hakika Mungu awabariki sana mmeutendea haki wimbo huu
amina wapendwa nilifurahi sana nilipowaona live tunduma mwaka Jana mkiwa mnauza CD zenu nilikuwa mmojawapo niliyenunua mpo vizuri
Wimbo unanibarik sana. Mbarikiwe
Naiona kawetere na bonde la usangu
Mungu awatie nguvu muendee kumtumikia
Amina
yapendeza mtumishi WA Mungu bakikiwa sana
Excellent
Ameeeeni
Ameen mungu aendelee kuwafungulia milango..... Nisha subscribe
Amen
Ni ushindi tu