Dah, huu wimbo kwa jinsi nilivyoutafuta.... siamini yaani kama nimeupata. Unanikumbusha mama angu akiwa anaanzisha kuimba huu wimbo pale Moravian Ushirika mjini
Mungu awabariki sanaaa maana nmeutafuta huu wimbo zaidi ya miaka na miaka huu nnakumbuka nliusikia ukiimbwa nikiwa namiaka9 dah Mungu mkubwa hatimae nimeupata
Kati ya nyimbo nilizoimba sana na mama yangu kipenzi tukiwa nyumbani pamoja. Pumzika salama mama yangu bado nakupenda na nitaendelea kukupenda zaidi. Ni maombi yangu Mungu atukutanishe tena katika ufalme wake. Mbarikiwe sana waimbaji
Wooouh,nimekumbuka enzi hizo tukiwasikiliza wazazi wetu wakiuimba pale Moravian ushirika wa Iyunga.Nimefurahiiiiii. Utunzi wa mwalimu wangu mpendwa Mwakaje.Mpumzike kwa amani wapendwa mlotangulia mbele za haki.Mnaishi mioyoni mwetu
Waooo ahsaanteeee nakuomba mwenyekiti wangu Amina kwawimbo mzr bado zingine kwenye hiyo alubam kakaangu tuwekee zingine Baba utunyoshe,mungu awabariki Sana mjetena moshi kilimanjaro.
Kama kuna mtu 2024 kangalia nyimbo gonga like❤
Pumzikeni kwa Amani wazazi wangu 😢😢
Piga kelele weweeeeeeee Moravian juuuu🥰🥰🥰najivunia sn kua mmoravian
Mungu naomba niepushe na kiburi cha uzima Mimi ni mavumbi tu na mavumbini nitarudi...naomba nipe mwisho mwema eeeeh Mungu wangu
Amen
Mung awabalik
Furaha iliyoje kutizama nyimbo za kanisa langu pendwa Moravian kutoka Nyumban Mbeya! Mbarikiwe nyote.
Nyimbo zilikuwa na nguvu saaaaana hizi miaka ile ya 90 mpaka sasa
HIV ilikuwa miaka 90
Mwanakondoo ameshinda #moravian tukuyu mjini kanisa langu
Dah, huu wimbo kwa jinsi nilivyoutafuta.... siamini yaani kama nimeupata. Unanikumbusha mama angu akiwa anaanzisha kuimba huu wimbo pale Moravian Ushirika mjini
Na mm siamin kama nomeukuta Leo hiii du unanitoaga machozi
Mungu awabariki sanaaa maana nmeutafuta huu wimbo zaidi ya miaka na miaka huu nnakumbuka nliusikia ukiimbwa nikiwa namiaka9 dah Mungu mkubwa hatimae nimeupata
tupo pamoj
MUNGU ni mwema sana nyimbo hii imenikumbusha mbali sana nilisikia miaka mingi sana nyuma.
Kati ya nyimbo nilizoimba sana na mama yangu kipenzi tukiwa nyumbani pamoja. Pumzika salama mama yangu bado nakupenda na nitaendelea kukupenda zaidi. Ni maombi yangu Mungu atukutanishe tena katika ufalme wake. Mbarikiwe sana waimbaji
Pole xana ndugu yangu mungu wa wote hawez kumtupa Mama yetu Ana Aman y bwana nakushukuru umemsindikiza na wimbo mzur xana amebarikiwa
Mungu aturehemu tufe kifo chema, tusiende kuungua
Finally nimeipata hii nyinbo baada yakuangaika kuutafuta🤝
Mimi naitafuta mafarisayo. Ila hawa watu walikua wanaimba aisee
Kazi yenu ni njema watumishi wa Mungu. Mungu azidishe vipawa vyenu
Nawapenda xna bibi zangu nyimbo zinanifaliji xna ongezeni nyingine nimeona moja tu
Hiyo ndo nembo yetu wamoravian inatubariki sana
wanyakyusa oyeeee
Hakika nikijiona ni kama sitakufa....no heri kung'ang'ana na Yesu.....Mungu awabariki sana
Mungu npe upendo na watu
dah...Najihisi niko mbeya yaaanii....
Enzi izo Sunday school....
Utengule moravian..
sokomatola moravian..
Mbalizi moravian..
Nawasalimu nyote wana mbeya..
Boda Zambia na Angola
Nzuriii😍😍😍
Mwee Bha mamaaaa akaruuu
Amen unanifarij sana huu wimbo nikiwa natafakali kuuwaga mwaka 2020 na kuingia mwaka mpya 2021,mung anipe neema na uzma tele
Pongezi sana kwenu ,naona kifo ni ndoto
Mungu awape nguvu zaidi na ubunifu mwingi
Wooouh,nimekumbuka enzi hizo tukiwasikiliza wazazi wetu wakiuimba pale Moravian ushirika wa Iyunga.Nimefurahiiiiii.
Utunzi wa mwalimu wangu mpendwa Mwakaje.Mpumzike kwa amani wapendwa mlotangulia mbele za haki.Mnaishi mioyoni mwetu
Natafuta wimbo Mwasulama ni mtu wa kwanza kufika Rungwe nazani uliimbwa na kwaya ya Moravian mbeya mjini
Amina
Uwiiii nimemuona mama angu jmn mm hadi nimemisii mbeya😪😪😪
Mungu akubariki/awabariki sana nyoote mlioutafuta wimbo huu bila kusahau alietuletea CZcams
Mwe bhaghwitu kumbeeje
Napenda Sana hii❤
Mungu awabariki
Mimi mzaliwa wa mbali na mbeya ila uki imbwa wimbo huu unanikumbusha kurudi mbeya ilolo
Daah leo nimeamka na huu wimbo, na ule wa Yohana mbatizaji aliwambia watu ya kuwa yeye ni sauti.
Tumpe Ezekiel Mwakasege 💔
Kuna kitu kimoja moravian
🤗🤗🤗
Namkumbuka marehem bibi huu wimbo jaman kifo hiki
Ad namkumbk bab mzza ik kifo
Poleh rip
Ujumbe mzuri sana
Nimetafuta hizi nyimbo google miaka jaman mwenye nyimbo za sayuni kwaya morovian mbalizi enzi za kina mwasomola naomben
Waooo ahsaanteeee nakuomba mwenyekiti wangu Amina kwawimbo mzr bado zingine kwenye hiyo alubam kakaangu tuwekee zingine Baba utunyoshe,mungu awabariki Sana mjetena moshi kilimanjaro.
Ni Leo nimepata fursa na wasaha kuusikiliza wimbo huu, kwa mara yangu ya kwanza, nimebarikiwa mno.
Hatimae nimepata hii nyimbo mungu awabariki watunzi na waimbaji.
Nawapenda xna bibi zangu nyimbo zinanifaliji xna ongezeni nyingine nimeona moja tu
Napenda Sana hii❤