Kwaya kuu kanisa la moravian jimbo la kusini magharibi(MBEYA)-maisha ni sawa na maua(official video)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 07. 2020
  • #moravian #KMT_JKM #CCT.

Komentáře • 55

  • @rimskymime
    @rimskymime Před 3 měsíci +14

    Kama kuna mtu 2024 kangalia nyimbo gonga like❤

  • @johnmophat5300
    @johnmophat5300 Před měsícem +2

    Pumzikeni kwa Amani wazazi wangu 😢😢

  • @Faraja-wj5mo
    @Faraja-wj5mo Před měsícem +1

    Piga kelele weweeeeeeee Moravian juuuu🥰🥰🥰najivunia sn kua mmoravian

  • @hawafredy4321
    @hawafredy4321 Před 4 lety +14

    Mungu naomba niepushe na kiburi cha uzima Mimi ni mavumbi tu na mavumbini nitarudi...naomba nipe mwisho mwema eeeeh Mungu wangu

  • @raysonfumbo746
    @raysonfumbo746 Před 3 lety +11

    Furaha iliyoje kutizama nyimbo za kanisa langu pendwa Moravian kutoka Nyumban Mbeya! Mbarikiwe nyote.

  • @barakasichinga3000
    @barakasichinga3000 Před 3 lety +8

    Nyimbo zilikuwa na nguvu saaaaana hizi miaka ile ya 90 mpaka sasa

  • @CharlesPeter-zc8gm
    @CharlesPeter-zc8gm Před 9 měsíci

    Mwanakondoo ameshinda #moravian tukuyu mjini kanisa langu

  • @Nyandula
    @Nyandula Před 4 lety +23

    Dah, huu wimbo kwa jinsi nilivyoutafuta.... siamini yaani kama nimeupata. Unanikumbusha mama angu akiwa anaanzisha kuimba huu wimbo pale Moravian Ushirika mjini

    • @tamaripaul5080
      @tamaripaul5080 Před 3 lety +1

      Na mm siamin kama nomeukuta Leo hiii du unanitoaga machozi

  • @geraldsiwakwi6460
    @geraldsiwakwi6460 Před 3 lety +11

    Mungu awabariki sanaaa maana nmeutafuta huu wimbo zaidi ya miaka na miaka huu nnakumbuka nliusikia ukiimbwa nikiwa namiaka9 dah Mungu mkubwa hatimae nimeupata

  • @briansancedo9336
    @briansancedo9336 Před 3 lety +5

    MUNGU ni mwema sana nyimbo hii imenikumbusha mbali sana nilisikia miaka mingi sana nyuma.

  • @jasteve2
    @jasteve2 Před 3 lety +8

    Kati ya nyimbo nilizoimba sana na mama yangu kipenzi tukiwa nyumbani pamoja. Pumzika salama mama yangu bado nakupenda na nitaendelea kukupenda zaidi. Ni maombi yangu Mungu atukutanishe tena katika ufalme wake. Mbarikiwe sana waimbaji

    • @kelvinbinda8767
      @kelvinbinda8767 Před 3 lety +1

      Pole xana ndugu yangu mungu wa wote hawez kumtupa Mama yetu Ana Aman y bwana nakushukuru umemsindikiza na wimbo mzur xana amebarikiwa

  • @1986672
    @1986672 Před 3 lety +5

    Mungu aturehemu tufe kifo chema, tusiende kuungua

  • @noahkyando8401
    @noahkyando8401 Před 4 měsíci +1

    Finally nimeipata hii nyinbo baada yakuangaika kuutafuta🤝

    • @hawalufingo9983
      @hawalufingo9983 Před 3 měsíci +1

      Mimi naitafuta mafarisayo. Ila hawa watu walikua wanaimba aisee

  • @nicholausmwakasege2463
    @nicholausmwakasege2463 Před 2 lety +3

    Kazi yenu ni njema watumishi wa Mungu. Mungu azidishe vipawa vyenu

  • @fettygideon9665
    @fettygideon9665 Před 2 lety +4

    Nawapenda xna bibi zangu nyimbo zinanifaliji xna ongezeni nyingine nimeona moja tu

  • @JasonAlamu
    @JasonAlamu Před 16 dny

    Hiyo ndo nembo yetu wamoravian inatubariki sana

  • @jamesmwasongwe1404
    @jamesmwasongwe1404 Před 3 lety +4

    wanyakyusa oyeeee

  • @samwelmwaijumba6018
    @samwelmwaijumba6018 Před 3 lety +3

    Hakika nikijiona ni kama sitakufa....no heri kung'ang'ana na Yesu.....Mungu awabariki sana

  • @alexmwailubi1292
    @alexmwailubi1292 Před 3 lety +5

    Mungu npe upendo na watu

  • @castoljmwalyego3778
    @castoljmwalyego3778 Před 3 lety +4

    dah...Najihisi niko mbeya yaaanii....
    Enzi izo Sunday school....
    Utengule moravian..
    sokomatola moravian..
    Mbalizi moravian..
    Nawasalimu nyote wana mbeya..
    Boda Zambia na Angola

  • @nicodemmbughi3731
    @nicodemmbughi3731 Před 2 lety +4

    Nzuriii😍😍😍

  • @anyisilemwakatage4720
    @anyisilemwakatage4720 Před 2 lety +3

    Mwee Bha mamaaaa akaruuu

  • @zawadiwega2149
    @zawadiwega2149 Před 3 lety +5

    Amen unanifarij sana huu wimbo nikiwa natafakali kuuwaga mwaka 2020 na kuingia mwaka mpya 2021,mung anipe neema na uzma tele

  • @user-ob6qy8py6l
    @user-ob6qy8py6l Před 7 měsíci

    Pongezi sana kwenu ,naona kifo ni ndoto

  • @alexmwailubi1292
    @alexmwailubi1292 Před 3 lety +5

    Mungu awape nguvu zaidi na ubunifu mwingi

  • @marthamwakanyango8
    @marthamwakanyango8 Před 3 lety +4

    Wooouh,nimekumbuka enzi hizo tukiwasikiliza wazazi wetu wakiuimba pale Moravian ushirika wa Iyunga.Nimefurahiiiiii.
    Utunzi wa mwalimu wangu mpendwa Mwakaje.Mpumzike kwa amani wapendwa mlotangulia mbele za haki.Mnaishi mioyoni mwetu

  • @Kaisichula
    @Kaisichula Před 9 měsíci

    Natafuta wimbo Mwasulama ni mtu wa kwanza kufika Rungwe nazani uliimbwa na kwaya ya Moravian mbeya mjini

  • @user-pm3ic3ym2r
    @user-pm3ic3ym2r Před rokem +1

    Amina

  • @rahabumshani8671
    @rahabumshani8671 Před 3 lety +3

    Uwiiii nimemuona mama angu jmn mm hadi nimemisii mbeya😪😪😪

  • @estherabsalom9538
    @estherabsalom9538 Před 3 lety +4

    Mungu akubariki/awabariki sana nyoote mlioutafuta wimbo huu bila kusahau alietuletea CZcams

  • @goodluckleonard1581
    @goodluckleonard1581 Před 3 lety +4

    Mwe bhaghwitu kumbeeje

  • @MiltonNatanael-j8j
    @MiltonNatanael-j8j Před 21 dnem

    Napenda Sana hii❤

  • @rehemamtenda3032
    @rehemamtenda3032 Před 3 lety +3

    Mungu awabariki

  • @eveassey5162
    @eveassey5162 Před 3 lety +3

    Mimi mzaliwa wa mbali na mbeya ila uki imbwa wimbo huu unanikumbusha kurudi mbeya ilolo

  • @jacobmbembela1250
    @jacobmbembela1250 Před 3 lety +2

    Daah leo nimeamka na huu wimbo, na ule wa Yohana mbatizaji aliwambia watu ya kuwa yeye ni sauti.

  • @edwardoscar8829
    @edwardoscar8829 Před rokem

    Tumpe Ezekiel Mwakasege 💔

  • @ambwenekamwela
    @ambwenekamwela Před rokem +1

    Kuna kitu kimoja moravian

  • @hellenmwambembe9342
    @hellenmwambembe9342 Před 3 lety +5

    🤗🤗🤗

  • @michaelathuman3565
    @michaelathuman3565 Před 2 lety +3

    Namkumbuka marehem bibi huu wimbo jaman kifo hiki

  • @fettykimeme1776
    @fettykimeme1776 Před 3 lety +2

    Ujumbe mzuri sana

  • @jjdimaria6608
    @jjdimaria6608 Před 2 lety +2

    Nimetafuta hizi nyimbo google miaka jaman mwenye nyimbo za sayuni kwaya morovian mbalizi enzi za kina mwasomola naomben

  • @user-rk5qu1pt4m
    @user-rk5qu1pt4m Před 9 měsíci

    Waooo ahsaanteeee nakuomba mwenyekiti wangu Amina kwawimbo mzr bado zingine kwenye hiyo alubam kakaangu tuwekee zingine Baba utunyoshe,mungu awabariki Sana mjetena moshi kilimanjaro.

  • @patrickmwamakula1261
    @patrickmwamakula1261 Před 3 měsíci

    Ni Leo nimepata fursa na wasaha kuusikiliza wimbo huu, kwa mara yangu ya kwanza, nimebarikiwa mno.

  • @emmanuelmkamba1964
    @emmanuelmkamba1964 Před 7 měsíci

    Hatimae nimepata hii nyimbo mungu awabariki watunzi na waimbaji.

  • @fettygideon9665
    @fettygideon9665 Před 2 lety +3

    Nawapenda xna bibi zangu nyimbo zinanifaliji xna ongezeni nyingine nimeona moja tu

  • @MiltonNatanael-j8j
    @MiltonNatanael-j8j Před 21 dnem

    Napenda Sana hii❤