Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Wimbo mzuri sana. Hilo pigo nimelipenda na watumishi wa Mungu wanalipiga kwa ustadi mkubwa. Mbarikiwe sana.
Huu ni mmoja kati ya nyimbo za dini ninazozipeda sana. Mbarikiwe.
1990 au sina uhakika vizuri lakini kazi yenu ilikuwa njema na bado inaubora wa kiwango cha juu.
❤❤ hongeleni Kwa huduma nzuri ya uinjilshaji.
mungu awabalik nyimbo nzr sana daaaaaaa😊
Mbalikiwe Sana watumishi
Uchala abhasaje, mmeimba vizuri mkimsifu Mungu wa mbingu na nchi. (Mawazo yangu, mwanzoni mwa wimbo, ameonekana kama malaika (Rangi ya Mzungu), kama inaweza kuwa edited hapo sijaelewa imemaaniasha nini).
MUNGU awafunike Kwa MOTO..WAKE
Hakika ni kufumba na kufumbua, tuwe tayari, tutengeneze njia zetu na Bwana. Wimbo mzuri.
Sijui ni mimi tu nabarikiwa zaidi na hapo mwishoni tutapongezana naona pamekua pafupi sanaaa nyelaaaaa
Ghaiiiii tam sana hongereeeeni
HONGEREN NA MUBARIKIWE
Kicheko kicheko tukishafika mbinguni
Daaaaah nawapenda mpka natamani kama tungeonana mbinguni pamoja
Kyala abhasajege
Finally, nimeipata hii kwaya kwa kweli mbarikiwe mnaimb vzr sana
Wimbo mzur sana... Mungu Awabaliki sana.. Kyala Abhatule....
Hakika MUNGU atukuzwe na lika zote🙏🙏🙏🙏🙏
Namisi sana mbeya kwetu jaman kuimba nikusali mara mbili huku niliko sielewi chochote cjui ndo mazoea
Safi sana. Ni wimbo mzuri sana
Wimbo mzuri sana. Hilo pigo nimelipenda na watumishi wa Mungu wanalipiga kwa ustadi mkubwa. Mbarikiwe sana.
Huu ni mmoja kati ya nyimbo za dini ninazozipeda sana. Mbarikiwe.
1990 au sina uhakika vizuri lakini kazi yenu ilikuwa njema na bado inaubora wa kiwango cha juu.
❤❤ hongeleni Kwa huduma nzuri ya uinjilshaji.
mungu awabalik nyimbo nzr sana daaaaaaa😊
Mbalikiwe Sana watumishi
Uchala abhasaje, mmeimba vizuri mkimsifu Mungu wa mbingu na nchi. (Mawazo yangu, mwanzoni mwa wimbo, ameonekana kama malaika (Rangi ya Mzungu), kama inaweza kuwa edited hapo sijaelewa imemaaniasha nini).
MUNGU awafunike Kwa MOTO..WAKE
Hakika ni kufumba na kufumbua, tuwe tayari, tutengeneze njia zetu na Bwana. Wimbo mzuri.
Sijui ni mimi tu nabarikiwa zaidi na hapo mwishoni tutapongezana naona pamekua pafupi sanaaa nyelaaaaa
Ghaiiiii tam sana hongereeeeni
HONGEREN NA MUBARIKIWE
Kicheko kicheko tukishafika mbinguni
Daaaaah nawapenda mpka natamani kama tungeonana mbinguni pamoja
Kyala abhasajege
Finally, nimeipata hii kwaya kwa kweli mbarikiwe mnaimb vzr sana
Wimbo mzur sana... Mungu Awabaliki sana.. Kyala Abhatule....
Hakika MUNGU atukuzwe na lika zote🙏🙏🙏🙏🙏
Namisi sana mbeya kwetu jaman kuimba nikusali mara mbili huku niliko sielewi chochote cjui ndo mazoea
Safi sana. Ni wimbo mzuri sana