KWAYA KUU MORAVIAN BETHELEHEM MBEYA -TUNATEMBEA POLEPOLE(OFFICIAL VIDEO)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 02. 2020
  • #KWAYAKUU #MORAVIAN #WAZEE

Komentáře • 50

  • @stellakalinga4747
    @stellakalinga4747 Před 4 lety +5

    Wimbo mzuri sana. Hilo pigo nimelipenda na watumishi wa Mungu wanalipiga kwa ustadi mkubwa. Mbarikiwe sana.

  • @richardkasungu8050
    @richardkasungu8050 Před 4 lety +5

    Huu ni mmoja kati ya nyimbo za dini ninazozipeda sana. Mbarikiwe.

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 Před 9 hodinami

    1990 au sina uhakika vizuri lakini kazi yenu ilikuwa njema na bado inaubora wa kiwango cha juu.

  • @onesphorongogo9475

    ❤❤ hongeleni Kwa huduma nzuri ya uinjilshaji.

  • @ShukuruKaduma-ph9oh

    mungu awabalik nyimbo nzr sana daaaaaaa😊

  • @ZawardMbembera
    @ZawardMbembera Před 21 dnem

    Mbalikiwe Sana watumishi

  • @stephenmasungwa9763
    @stephenmasungwa9763 Před 3 lety +3

    Uchala abhasaje, mmeimba vizuri mkimsifu Mungu wa mbingu na nchi. (Mawazo yangu, mwanzoni mwa wimbo, ameonekana kama malaika (Rangi ya Mzungu), kama inaweza kuwa edited hapo sijaelewa imemaaniasha nini).

  • @petronjowela369
    @petronjowela369 Před 4 lety +6

    MUNGU awafunike Kwa MOTO..WAKE

  • @marynyerere919
    @marynyerere919 Před 3 lety +3

    Hakika ni kufumba na kufumbua, tuwe tayari, tutengeneze njia zetu na Bwana. Wimbo mzuri.

  • @Michezotuleo

    Sijui ni mimi tu nabarikiwa zaidi na hapo mwishoni tutapongezana naona pamekua pafupi sanaaa nyelaaaaa

  • @LupicnusMichael

    Ghaiiiii tam sana hongereeeeni

  • @gabrieldaimon1345
    @gabrieldaimon1345 Před 4 lety +4

    HONGEREN NA MUBARIKIWE

  • @godloveadamu4379
    @godloveadamu4379 Před 3 lety +2

    Kicheko kicheko tukishafika mbinguni

  • @stellashimey2831
    @stellashimey2831 Před 3 lety +2

    Daaaaah nawapenda mpka natamani kama tungeonana mbinguni pamoja

  • @sagilongonile4191
    @sagilongonile4191 Před 4 lety +4

    Kyala abhasajege

  • @kijolejosia167
    @kijolejosia167 Před 3 lety +2

    Finally, nimeipata hii kwaya kwa kweli mbarikiwe mnaimb vzr sana

  • @rofecamwamkinga3545
    @rofecamwamkinga3545 Před 4 lety +3

    Wimbo mzur sana... Mungu Awabaliki sana.. Kyala Abhatule....

  • @z.shondezshonde5663
    @z.shondezshonde5663 Před 3 lety +2

    Hakika MUNGU atukuzwe na lika zote🙏🙏🙏🙏🙏

  • @priscarkandonga7701
    @priscarkandonga7701 Před 2 lety +1

    Namisi sana mbeya kwetu jaman kuimba nikusali mara mbili huku niliko sielewi chochote cjui ndo mazoea

  • @neemamwaijegha2109
    @neemamwaijegha2109 Před 3 lety +3

    Safi sana. Ni wimbo mzuri sana