PENZI LA BODA BODA | PART 5 | Full Movie | love story 💕 | NYUKI TV
Vložit
- čas přidán 4. 07. 2024
- kwenye mahusiano unatakiwa kua makini endapo unataka kufanya Kila kitu kinacho muhusu mwenza wako, tunapo kua kwenye mahusiano Kila mtu analengo tofauti na mwenzie wenda wewe unapita kumbe mwenzio kasha fika na wewe kwake ndo wa maisha
NB: usipende kushika simu ya mpenzi wako kwajili ya usalama wako na mahusiano yenu,Simu ya Mpenzi wako ni bom la machozi
Kuna sms za Bahati mbaya
Write& Directed by
NYUKI FX
Producer
Shaida Sabai
Director of Photography
Nyuki FX
Line Producer
Prolens Media
Songs
Y voo
Alawi
Sound Engineer
Hemed Julius
Spencer
Casting
Derick Gerald
Adam Leo
Khadija Mtangi
Zawadi Derick
Hemed Julius
Mariam Makwela
Boy Ka
Contact Us
WhatsApp number +61 416 593 217
Email nyukitv@gmail.com
Instagram @nyuki_tv @iam_nyukifx
TikTok @iam_nyukifx
.
#dontatv #mapenzi #love
#penzilabodaboda #ndoayakahaba #episode #episode1 #ndoayakahaba #episode07 #dontatv #keshoyangu #nyukitv #malayalam #instagram
#ruthkadiri247 #eddiewatson #nollywood #nollywoodmovies #latestnollywoodmovies2024 #mauricesammovies #mauricesam #ruthkadiri #latestnigerianfilms
#clintonjoshua #reginadaniels #clintonjoshuamovies #nigerianmovies #nollywoodmovies #africanmovie #uchennambunabomovies #romanticcomedy #comedymovie #latestnigeriamovies #2024nigerianmovies
Filmmaking Est Africa Tanzania
Romantic Drama | Shortfilm | Love Story | Web Series | Swahili movie's
Copyright © 2024 Nyuki TV. All rights reserved - Zábava
Twendelee na Season 2 ya PENZI la BODA BODA...?
Ndio
Kaka nyiki nna SWALI naomba kukuliza ukitaka kufungua akaunti ya TikTok ambayo itakua unalipwa unafanyaje samahani lakini ila naomba UNISAIDIE kama unajua
𝑁𝑑𝑦𝑜 𝑡𝑛𝑎 𝑚𝑢𝑠𝑖𝑐ℎ𝑒𝑙𝑒𝑤𝑒𝑠ℎ𝑒🎉🎉🎉🎉
Kbsa iendeleeee
@@nyukitvonline bila shaka
Ila Amanda yuko vizur😂😂😂 Adam hongera unaweza sanaaaa⚘️🎬✔️
Wapiri mimi namben laki zangu kutoka south Africa 🎉🎉
Jamani nawapenda snaa sana Nyuki na Amanda mnanifurahisha akiiih mungu azidi kuwabarik 🌺🌺🌺🌺🌺💋💋💓💓💓💓💓💓💓💓💓💓💓💓
Wakati wa mwisho mwisho nimeenjoy from beginning hd sai from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Na mimi pia
@@user-qq6mv6vh3e good 👍👍👍
Napenda sana na najifunza sana kwenye haya maisha maan kama Kuna wengine wanafanya haya yanayoigizwa kweny hii muvi na wachukue tahadhari sana maan Dunia ni duara 😂😂😂😂😂
😂😂yapo wanacheza uhalisia
@@RoziPeter 😂😂😂😂
Nyuki weww nataka kutembea mguu toka kenya ad Tz nkusalimie
Karibu sana
Adam onambali madamu anakupenda we augopi kupenwa na Boss 😂😂😂
Hatimae nyuki kapata pozo la moyo wake❤❤❤❤❤
SI ana mume huyo dem
@@nassallybakar4346ndo hapo sasa
Analala kwenye nyama Kama funza
😂😂Ila Amanda mtu mubaya,Ila nakukubali amanda😢😊umewachanganya wanaume za watu😂😂😂😂
Kazi poa kaka nyuki kwakazi nzuli makaka na madada tunafilai Kwa kazi nzenu nzuli❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kazi nzuri bro ❤ nakupenda then endeleza ndoa ya kahaba
Boss wa nyuki namkubali sana, Teddy c mtu mzuri ,naona finally kitamlamba meddy
Cheko la nyuki ni shidaaah😂😂😂
Hahahah
Wa kwanzaaaaaa❤❤❤❤❤ woyooooooi
Ilaaaaaaa Amanda muhunii wewe 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nawapenda sanaaaa ❤❤❤❤❤❤❤
😊😊ongereni sana move nzuri nyuki na team yako❤
Bonge moja la series ❤
Hongera nyuki 🎉🎉hii movie unaicheza sahihi kabsa
Nashukuru
@@nyukitvonline madam SI mke wa boss unatufuza Nini kutembea na mke wa mtu
Wanaume tunapitia wakati mgumu sana tunafukuzwa hatuna pamba kali liki sisi tutabaki kuwa wanaume nyuki kaza brother
Hahahaha
amanda weee 🙌🔥
Uyu demu nimalaya kweli jamani
Usikubali adamu hiyo mimbq ya mkongo alikua anqbinuka sna km samaki 😅
Kwakweli nyuki ume enjoy apo madam boss wako....
Nakukubali Adam broo Kaz Kali kinoma noma
Nyuki alitengeza asali na akaila mwenyewe,,,, yani nyuki na boda boda wake mambo Aaaah😂😂😂
Twendelee kaka amna tatizo, Nyuki asante kwa kutupa furaha! Boy from Mozambique 🇲🇿
Amanda anapenda pesa so utu duuh daraja tena😂😂😂
Ila nampenda uyo rafiki yake nyuki aliyetimuliwa anafanana mkongomani kama upo tayari tukutane privé.
Unaomba msamaha umeweka miguu juu ya sofa langu nyokooo
Medi mshamba kweli...naomba niwangu mm uyo mke wa medi....
Kaka nyiki kazi nzuli san
Amanda utavunja ndoa nyingi ng'ombe ww 😂😂😂😂
Mungu awasimamie tu inshaallah 😂😂😂😂❤❤❤
Ngoma mnaepeleka vizuri sana more love 💖💖💖💖 kwenu
Nyuki Hali unayo pitia kuhusu Amanda naijuwa Mimi hiyo Hali, pole
Huyu Amanda yuacheza na mioyo ya watu😢
Amanda mfunja ndoa za wenyewe
Nyuki amelala pajan kama katoto🤣🤣🤣
Mm nyuki hajala mzigo kweli hapa kwa boss lady,,,,,
😂😂😂bado
Madam yupo vizuri Masha Allah
Maryam anajuwa tena anajuwa nimempenda
Story imekaa poa inahitaj season 2
Kazi nzuri bro endelea kutuburudisha nawapenda nyote❤❤❤🎉
Waungwana hiv kwanini..?? Mwanamke wa nje akikwambia ana mimba akili inaanza kurud nyuma na kwenda mbele lakini mke akikwambia hata huwez kufikilia mala mbili
Wa 2 leo kutoka 🇰🇪 🇰🇪 nime enjoy sana na kupitia thamthilia hii nimejifunza kuto kikubwa sana pongezi sana team nyuki🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nyuki mupende bosse anakupenda achana na Amanda hakufayi Amanda nimalaya
Akija mumewake
hii song ya moyo ni ya nani broo naipenda kweli congratullas🎉❤❤❤❤
Yan kaka ulivo na ujinga unamfukuza mwanamme mwenzako kiss dem huo siujinga kabisa haya ona kilichokukuta sasa unaitiwa mwizi kwel kaka ila vizur umetushaur vijana wenye tabia hiyo hongera sana
Congratulations Amanda umekua kifangio Cha kanjuu ❤❤❤ from 🇰🇪
Asante dear
@@Chereonlinetv karibu sana na mazuri kibao
😂😂😂Amanda mungu anakuona weye Adamu nae kule anachungulia😂
Hongereni kwa kazi nzuri
nzuri sana❤😊
Ila majina ya MEDDY bwan😂😂😂
Mimba ya medy hiyo Amanda jamani kua na huruma weee 🤣🤣🤣 Adam achana nae bhana njoo huku nikubebee mimi mimba ya halali 😂😂
haya jmn niliisubir kwa mda kwel
Nakupenda sana nyuki jaman❤❤❤❤❤❤
Nasubiri nikiona amanda kikimramba aki ❤❤❤😂😂😂😂
Jamaa kaigiza kama bundi mzee mjinga wamapenzi 😂
Amanda big talent
Nimefurahi kuona nyuki amemkubaria bos wake ataacha kulialia kisa mapenzi
mungu ni mwema wakati wote, awabariki kila mmoja mmoja kwa wakati wake, kazi nzuri kwakweli yenye mafunzo makubwa
Nyuki njoo mi nakupenda yule mme wa mtu kaniacha 😢😢😢
Ila to be honest nawapenda jamani endeleen kumusuport kaka angu nyuki
😂😂😂😂😂
We love yew more sweetheart ❤
Hadi raha sasa
Mwanangu usije kukaa kwa mwanamke hata akupende vipi
🎉🎉🎉🎉 weee kaka nyuki kazi nxuri sana yenye mafunzo mazuri we❤❤❤❤❤ tunaomba season 2 tafadhali
Amanda kimekuramba wewe nakuonea uruma nyuki nae ako kwa mawasiliano ingine pile
Nyuki nyuki nyuki nakuita malatatu naomba tunaomba isiishiapa tupe muendelezo
Tutafanya kazi
Sema madame ana saut ya mahaba😊❤❤🎉🎉🎉
Nimependa hvo action zenu kma ningekuwa hko tanzania ningeomba nafas ya kuekti na nyinyi kwa maana ni muigizaj mzrr xna nilikuwa nikiigiza hpo zaman ila sasa npo oman kikaz then nitarud lkn
Shukuran sana
Duh Amanda nimekukubal
Nyuki umecheza kwa akili sana hii movie ina mafunzo makubwa mno💪
Nashukuru
😂😂😂😂😂Adamu jamani unajua kumkanuka namimba eti sio yako 😂❤❤❤❤
Adam sio kwa poz ilo hahaha ulivuoambiwa ana mimba
Kazi mnzuri mashaailah ❤❤❤ ongereni
😂😂😂😂Kwanini ume nitumia kitu cheusi😂😂😂😂😂kazi nzuri Adam mafunzo mazuri
Amanda hiv wew ni kabila gani..?? Mbona una roho mbaya hivyo😅😅
😂😂😂😂😂 Mi mtanzania
Nyuki nime kukubali sana una msimano sana kuto tambua kua madam ana taka nn kwako
Asante
Adam 😂panga folen😂😂😂
Mm nipeni tu jina la huu wimbo❤❤❤
Hii movie inafanana,na ile movie yenye ilikuwa katika kitabu. (cha utengano kazijaama wa kazi) Ndio hii😂😂😂❤❤
Jamani 😂😂😂 nyuki wewe nisana🎉🎉🎉🎉
Yes Ije tu kwa haraka
Wakwanz leo from zanzibr nawapend wot ❤❤❤
Mwisho wa penzi la boda boda basi tunaomba ukawe muendelezo wa NDOA YA KAHABA please 🙏
Kwani medy si uwende tu kwani tatizo nini we si umechagua kuwa na Amanda😂😂😂😂😂😂😂😂😂 ye Amanda mshenzi tu kazi kualibu mausiano WA watu
Amanda na adam keep it up ❤❤❤❤❤❤❤
Hapo alipoita mwizi mara watu washainua mawe😂😂😂😂! Walijuaje km kutaitwa kelele za mwizi!? By the way movie kali sn ina mafunzo! Tuko pa1
Nzuri saana
Hiyo ndio maana halisi ya marafiki
Nyuki ni mromantic saana😅😅😅😅
Maneno wa bosi mazuri sana ela aneamanisha🎉🎉🎉
Jmn wat mko vizr ampoi ❤
Kazi nzuri xna,all the way from 🇸🇦🇸🇦🇸🇦
Hilo sio jambo la kuuliza tena
Ivyo gisi Adamu anajifunga kitenge😅 nimemuona kijiji😅😅😅
Cheko la Nyuki jameni 😂😂😂😂😂
Dogo anatisha Sana mwenye amepiga iyo ngomaa
𝗕𝗼𝘀𝘀 𝘄𝗮𝗸𝗲 𝗻𝘆𝘂𝗸𝗶 𝗻𝗶𝗺𝗲𝗺𝗽𝗲𝗻𝗱𝗮 𝘀𝗮𝗻𝗮 𝗮𝘀𝗲𝗲 𝗻𝗮𝗽𝗲𝗻𝗱𝗮 𝗮𝗻𝗮𝘃𝗼 𝗺𝗷𝗮𝗿𝗶 𝗻𝘆𝘂𝗸𝗶 𝗲𝘁𝘆 𝗡𝘆𝘂𝗸𝗶 𝗮𝘁𝗮𝗸𝗶 𝗸𝘂𝗹𝗮 𝗸𝗶𝘀𝗮 𝗔𝗺𝗮𝗻𝗱𝗮 𝘄𝗮𝗸𝗮𝘁𝗶 𝗔𝗺𝗮𝗻𝗱𝗮 𝗻𝗶 𝗠𝗮𝗹𝗮𝘆𝗮 𝗮𝘁𝗮𝗿
hapo kwa fumanizi kwa rafiki wanyuki na amanda nduo ilikuwa mpango mzima tuone live kuliko maelozo ya nyuki kwa boss wake pia ilikuwa muhimu tuone kuliko hayo mabusu nakukandana na adamu ama vp 😎