PENZI LA BODA BODA | PART 5 | Full Movie | love story 💕 | NYUKI TV

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 07. 2024
  • kwenye mahusiano unatakiwa kua makini endapo unataka kufanya Kila kitu kinacho muhusu mwenza wako, tunapo kua kwenye mahusiano Kila mtu analengo tofauti na mwenzie wenda wewe unapita kumbe mwenzio kasha fika na wewe kwake ndo wa maisha
    NB: usipende kushika simu ya mpenzi wako kwajili ya usalama wako na mahusiano yenu,Simu ya Mpenzi wako ni bom la machozi
    Kuna sms za Bahati mbaya
    Write& Directed by
    NYUKI FX
    Producer
    Shaida Sabai
    Director of Photography
    Nyuki FX
    Line Producer
    Prolens Media
    Songs
    Y voo
    Alawi
    Sound Engineer
    Hemed Julius
    Spencer
    Casting
    Derick Gerald
    Adam Leo
    Khadija Mtangi
    Zawadi Derick
    Hemed Julius
    Mariam Makwela
    Boy Ka
    Contact Us
    WhatsApp number +61 416 593 217
    Email nyukitv@gmail.com
    Instagram @nyuki_tv @iam_nyukifx
    TikTok @iam_nyukifx
    .
    #dontatv #mapenzi #love
    #penzilabodaboda #ndoayakahaba #episode #episode1 #ndoayakahaba #episode07 #dontatv #keshoyangu #nyukitv #malayalam #instagram
    #ruthkadiri247 #eddiewatson #nollywood #nollywoodmovies #latestnollywoodmovies2024 #mauricesammovies #mauricesam #ruthkadiri #latestnigerianfilms
    #clintonjoshua #reginadaniels #clintonjoshuamovies #nigerianmovies #nollywoodmovies #africanmovie #uchennambunabomovies #romanticcomedy #comedymovie #latestnigeriamovies #2024nigerianmovies
    Filmmaking Est Africa Tanzania
    Romantic Drama | Shortfilm | Love Story | Web Series | Swahili movie's
    Copyright © 2024 Nyuki TV. All rights reserved
  • Zábava

Komentáře • 295

  • @nyukitvonline
    @nyukitvonline  Před 23 dny +64

    Twendelee na Season 2 ya PENZI la BODA BODA...?

    • @naomikisaba5785
      @naomikisaba5785 Před 23 dny +2

      Ndio

    • @ShalifaJulius
      @ShalifaJulius Před 23 dny +4

      Kaka nyiki nna SWALI naomba kukuliza ukitaka kufungua akaunti ya TikTok ambayo itakua unalipwa unafanyaje samahani lakini ila naomba UNISAIDIE kama unajua

    • @user-bq6tg1bj9s
      @user-bq6tg1bj9s Před 23 dny +2

      𝑁𝑑𝑦𝑜 𝑡𝑛𝑎 𝑚𝑢𝑠𝑖𝑐ℎ𝑒𝑙𝑒𝑤𝑒𝑠ℎ𝑒🎉🎉🎉🎉

    • @Mariam-du8qj
      @Mariam-du8qj Před 23 dny

      Kbsa iendeleeee

    • @ByamunguJoseph
      @ByamunguJoseph Před 23 dny +2

      @@nyukitvonline bila shaka

  • @liylahahmed829
    @liylahahmed829 Před 22 dny +8

    Ila Amanda yuko vizur😂😂😂 Adam hongera unaweza sanaaaa⚘️🎬✔️

  • @MemoryKamutandi
    @MemoryKamutandi Před 23 dny +7

    Wapiri mimi namben laki zangu kutoka south Africa 🎉🎉

  • @user-ot5op6kp9p
    @user-ot5op6kp9p Před 11 dny +2

    Jamani nawapenda snaa sana Nyuki na Amanda mnanifurahisha akiiih mungu azidi kuwabarik 🌺🌺🌺🌺🌺💋💋💓💓💓💓💓💓💓💓💓💓💓💓

  • @DamarisDammie
    @DamarisDammie Před 23 dny +9

    Wakati wa mwisho mwisho nimeenjoy from beginning hd sai from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @RoziPeter
    @RoziPeter Před 23 dny +10

    Napenda sana na najifunza sana kwenye haya maisha maan kama Kuna wengine wanafanya haya yanayoigizwa kweny hii muvi na wachukue tahadhari sana maan Dunia ni duara 😂😂😂😂😂

  • @linetokari
    @linetokari Před 23 dny +4

    Nyuki weww nataka kutembea mguu toka kenya ad Tz nkusalimie

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki Před 23 dny +5

    Adam onambali madamu anakupenda we augopi kupenwa na Boss 😂😂😂

  • @abuuqamar58
    @abuuqamar58 Před 23 dny +8

    Hatimae nyuki kapata pozo la moyo wake❤❤❤❤❤

  • @Justin_Nano
    @Justin_Nano Před 23 dny +6

    😂😂Ila Amanda mtu mubaya,Ila nakukubali amanda😢😊umewachanganya wanaume za watu😂😂😂😂

  • @MayengDulu
    @MayengDulu Před 23 dny +3

    Kazi poa kaka nyuki kwakazi nzuli makaka na madada tunafilai Kwa kazi nzenu nzuli❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-jf9pt8bu5j
    @user-jf9pt8bu5j Před 23 dny +3

    Kazi nzuri bro ❤ nakupenda then endeleza ndoa ya kahaba

  • @FredRatemo-df7nw
    @FredRatemo-df7nw Před 23 dny +2

    Boss wa nyuki namkubali sana, Teddy c mtu mzuri ,naona finally kitamlamba meddy

  • @halimadamasi2770
    @halimadamasi2770 Před 22 dny +4

    Cheko la nyuki ni shidaaah😂😂😂

  • @user-yz3ed7dj5u
    @user-yz3ed7dj5u Před 23 dny +5

    Wa kwanzaaaaaa❤❤❤❤❤ woyooooooi

  • @user-wg7pu7uh2k
    @user-wg7pu7uh2k Před 23 dny +2

    Ilaaaaaaa Amanda muhunii wewe 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nawapenda sanaaaa ❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-rk6sp6ks5e
    @user-rk6sp6ks5e Před 22 dny +1

    😊😊ongereni sana move nzuri nyuki na team yako❤

  • @mariamuchimma4241
    @mariamuchimma4241 Před 22 dny +2

    Bonge moja la series ❤

  • @user-tj6pl1lz5b
    @user-tj6pl1lz5b Před 22 dny +2

    Hongera nyuki 🎉🎉hii movie unaicheza sahihi kabsa

  • @Mrplatforms11
    @Mrplatforms11 Před 23 dny +2

    Wanaume tunapitia wakati mgumu sana tunafukuzwa hatuna pamba kali liki sisi tutabaki kuwa wanaume nyuki kaza brother

  • @halimadamasi2770
    @halimadamasi2770 Před 22 dny +3

    amanda weee 🙌🔥

  • @kassimhussain5034
    @kassimhussain5034 Před 23 dny +2

    Uyu demu nimalaya kweli jamani

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim7759 Před 23 dny +2

    Usikubali adamu hiyo mimbq ya mkongo alikua anqbinuka sna km samaki 😅

  • @BakariBamvua
    @BakariBamvua Před 21 dnem +1

    Kwakweli nyuki ume enjoy apo madam boss wako....

  • @HemediMussa-gx4gx
    @HemediMussa-gx4gx Před 23 dny +1

    Nakukubali Adam broo Kaz Kali kinoma noma

  • @mejumaabaraza3989
    @mejumaabaraza3989 Před 22 dny +1

    Nyuki alitengeza asali na akaila mwenyewe,,,, yani nyuki na boda boda wake mambo Aaaah😂😂😂

  • @hipolitomarianosaide5378
    @hipolitomarianosaide5378 Před 23 dny +1

    Twendelee kaka amna tatizo, Nyuki asante kwa kutupa furaha! Boy from Mozambique 🇲🇿

  • @halimadamasi2770
    @halimadamasi2770 Před 22 dny +2

    Amanda anapenda pesa so utu duuh daraja tena😂😂😂

  • @juliettv6626
    @juliettv6626 Před 22 dny +1

    Ila nampenda uyo rafiki yake nyuki aliyetimuliwa anafanana mkongomani kama upo tayari tukutane privé.

  • @PeninaMlay
    @PeninaMlay Před 23 dny +2

    Unaomba msamaha umeweka miguu juu ya sofa langu nyokooo

  • @BakariBamvua
    @BakariBamvua Před 21 dnem +1

    Medi mshamba kweli...naomba niwangu mm uyo mke wa medi....

  • @ShalifaJulius
    @ShalifaJulius Před 23 dny +2

    Kaka nyiki kazi nzuli san

  • @Sayd-pi5lq
    @Sayd-pi5lq Před 22 dny +2

    Amanda utavunja ndoa nyingi ng'ombe ww 😂😂😂😂

  • @halimadamasi2770
    @halimadamasi2770 Před 22 dny +1

    Mungu awasimamie tu inshaallah 😂😂😂😂❤❤❤

  • @user-nj7uo9gc8h
    @user-nj7uo9gc8h Před 6 dny

    Ngoma mnaepeleka vizuri sana more love 💖💖💖💖 kwenu

  • @SakinaHassani-xm7ti
    @SakinaHassani-xm7ti Před 23 dny +8

    Nyuki Hali unayo pitia kuhusu Amanda naijuwa Mimi hiyo Hali, pole

  • @user-pl4ns8sb4k
    @user-pl4ns8sb4k Před 23 dny +2

    Huyu Amanda yuacheza na mioyo ya watu😢

  • @janetnasimiyu8646
    @janetnasimiyu8646 Před 22 dny +2

    Amanda mfunja ndoa za wenyewe

  • @silviaamakweliukweliutajul8395

    Nyuki amelala pajan kama katoto🤣🤣🤣

  • @HusnaOmarry
    @HusnaOmarry Před 23 dny +1

    Mm nyuki hajala mzigo kweli hapa kwa boss lady,,,,,

  • @saadazubeiry8918
    @saadazubeiry8918 Před 12 dny

    Madam yupo vizuri Masha Allah

  • @sahimnei7235
    @sahimnei7235 Před 22 dny +2

    Maryam anajuwa tena anajuwa nimempenda

  • @imraniside4327
    @imraniside4327 Před 22 dny +1

    Story imekaa poa inahitaj season 2

  • @AdejaAhmad-uq4wj
    @AdejaAhmad-uq4wj Před 21 dnem

    Kazi nzuri bro endelea kutuburudisha nawapenda nyote❤❤❤🎉

  • @hamzaamry6251
    @hamzaamry6251 Před 22 dny +1

    Waungwana hiv kwanini..?? Mwanamke wa nje akikwambia ana mimba akili inaanza kurud nyuma na kwenda mbele lakini mke akikwambia hata huwez kufikilia mala mbili

  • @MaA-kn9ty
    @MaA-kn9ty Před 23 dny

    Wa 2 leo kutoka 🇰🇪 🇰🇪 nime enjoy sana na kupitia thamthilia hii nimejifunza kuto kikubwa sana pongezi sana team nyuki🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-sr3gx4nj8i
    @user-sr3gx4nj8i Před 22 dny +1

    Nyuki mupende bosse anakupenda achana na Amanda hakufayi Amanda nimalaya

  • @user-rx2js3bi8l
    @user-rx2js3bi8l Před 12 dny

    hii song ya moyo ni ya nani broo naipenda kweli congratullas🎉❤❤❤❤

  • @EdwardMweru
    @EdwardMweru Před 22 dny

    Yan kaka ulivo na ujinga unamfukuza mwanamme mwenzako kiss dem huo siujinga kabisa haya ona kilichokukuta sasa unaitiwa mwizi kwel kaka ila vizur umetushaur vijana wenye tabia hiyo hongera sana

  • @joycemuenimutua4506
    @joycemuenimutua4506 Před 22 dny +1

    Congratulations Amanda umekua kifangio Cha kanjuu ❤❤❤ from 🇰🇪

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e Před 23 dny +1

    😂😂😂Amanda mungu anakuona weye Adamu nae kule anachungulia😂

  • @user-ed3qg6eo5i
    @user-ed3qg6eo5i Před 22 dny +1

    Hongereni kwa kazi nzuri

  • @HopeBaby-hm8xq
    @HopeBaby-hm8xq Před 10 dny

    nzuri sana❤😊

  • @rogynee8135
    @rogynee8135 Před 22 dny +1

    Ila majina ya MEDDY bwan😂😂😂

  • @veronicapeter5933
    @veronicapeter5933 Před 23 dny +1

    Mimba ya medy hiyo Amanda jamani kua na huruma weee 🤣🤣🤣 Adam achana nae bhana njoo huku nikubebee mimi mimba ya halali 😂😂

  • @KennethMAMBA
    @KennethMAMBA Před 19 dny +1

    haya jmn niliisubir kwa mda kwel

  • @Elizakilisipinilikolika1996

    Nakupenda sana nyuki jaman❤❤❤❤❤❤

  • @christine7744
    @christine7744 Před 22 dny +1

    Nasubiri nikiona amanda kikimramba aki ❤❤❤😂😂😂😂

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Před 22 dny +1

    Jamaa kaigiza kama bundi mzee mjinga wamapenzi 😂

  • @mohdkamara980
    @mohdkamara980 Před 22 dny +1

    Amanda big talent

  • @NathanaelVundwe
    @NathanaelVundwe Před 6 dny

    Nimefurahi kuona nyuki amemkubaria bos wake ataacha kulialia kisa mapenzi

  • @allymwashambwa5920
    @allymwashambwa5920 Před 22 dny

    mungu ni mwema wakati wote, awabariki kila mmoja mmoja kwa wakati wake, kazi nzuri kwakweli yenye mafunzo makubwa

  • @Chereonlinetv
    @Chereonlinetv Před 23 dny +1

    Nyuki njoo mi nakupenda yule mme wa mtu kaniacha 😢😢😢
    Ila to be honest nawapenda jamani endeleen kumusuport kaka angu nyuki

  • @user-wu7ho7sx8q
    @user-wu7ho7sx8q Před 23 dny +1

    Hadi raha sasa

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Před 22 dny +1

    Mwanangu usije kukaa kwa mwanamke hata akupende vipi

  • @user-ql2lz2hh8e
    @user-ql2lz2hh8e Před 21 dnem

    🎉🎉🎉🎉 weee kaka nyuki kazi nxuri sana yenye mafunzo mazuri we❤❤❤❤❤ tunaomba season 2 tafadhali

  • @RaelAmunga
    @RaelAmunga Před 23 dny +1

    Amanda kimekuramba wewe nakuonea uruma nyuki nae ako kwa mawasiliano ingine pile

  • @emanuelyntamila9141
    @emanuelyntamila9141 Před 23 dny +1

    Nyuki nyuki nyuki nakuita malatatu naomba tunaomba isiishiapa tupe muendelezo

  • @naomikisaba5785
    @naomikisaba5785 Před 23 dny

    Sema madame ana saut ya mahaba😊❤❤🎉🎉🎉

  • @MaryamMaryam-ru1qt
    @MaryamMaryam-ru1qt Před 22 dny +1

    Nimependa hvo action zenu kma ningekuwa hko tanzania ningeomba nafas ya kuekti na nyinyi kwa maana ni muigizaj mzrr xna nilikuwa nikiigiza hpo zaman ila sasa npo oman kikaz then nitarud lkn

  • @imakitori399
    @imakitori399 Před 22 dny +1

    Duh Amanda nimekukubal

  • @Kavulajuma5
    @Kavulajuma5 Před 22 dny

    Nyuki umecheza kwa akili sana hii movie ina mafunzo makubwa mno💪

  • @ggvv9970
    @ggvv9970 Před 21 dnem

    😂😂😂😂😂Adamu jamani unajua kumkanuka namimba eti sio yako 😂❤❤❤❤

  • @MustyNgongo
    @MustyNgongo Před 4 dny

    Adam sio kwa poz ilo hahaha ulivuoambiwa ana mimba

  • @user-ll7np8td7x
    @user-ll7np8td7x Před 19 dny

    Kazi mnzuri mashaailah ❤❤❤ ongereni

  • @majomasliman7856
    @majomasliman7856 Před 19 dny

    😂😂😂😂Kwanini ume nitumia kitu cheusi😂😂😂😂😂kazi nzuri Adam mafunzo mazuri

  • @hamzaamry6251
    @hamzaamry6251 Před 22 dny +1

    Amanda hiv wew ni kabila gani..?? Mbona una roho mbaya hivyo😅😅

  • @SimonHenry-wi6st
    @SimonHenry-wi6st Před 22 dny

    Nyuki nime kukubali sana una msimano sana kuto tambua kua madam ana taka nn kwako

  • @halimadamasi2770
    @halimadamasi2770 Před 22 dny +1

    Adam 😂panga folen😂😂😂

  • @user-nn3mo1kg4q
    @user-nn3mo1kg4q Před 21 dnem

    Mm nipeni tu jina la huu wimbo❤❤❤

  • @sifamaureen2792
    @sifamaureen2792 Před 22 dny

    Hii movie inafanana,na ile movie yenye ilikuwa katika kitabu. (cha utengano kazijaama wa kazi) Ndio hii😂😂😂❤❤

  • @user-ti1ol3ti9j
    @user-ti1ol3ti9j Před 17 dny

    Jamani 😂😂😂 nyuki wewe nisana🎉🎉🎉🎉

  • @saadazubeiry8918
    @saadazubeiry8918 Před 12 dny

    Yes Ije tu kwa haraka

  • @user-il7ve1gt5s
    @user-il7ve1gt5s Před 23 dny +5

    Wakwanz leo from zanzibr nawapend wot ❤❤❤

  • @HappyDaudi-ub4hw
    @HappyDaudi-ub4hw Před 23 dny

    Mwisho wa penzi la boda boda basi tunaomba ukawe muendelezo wa NDOA YA KAHABA please 🙏

  • @AdelaideZacariasZacarias-hp8gs

    Kwani medy si uwende tu kwani tatizo nini we si umechagua kuwa na Amanda😂😂😂😂😂😂😂😂😂 ye Amanda mshenzi tu kazi kualibu mausiano WA watu

  • @CharoJohnson
    @CharoJohnson Před 8 dny

    Amanda na adam keep it up ❤❤❤❤❤❤❤

  • @halimamwingu4478
    @halimamwingu4478 Před 16 dny

    Hapo alipoita mwizi mara watu washainua mawe😂😂😂😂! Walijuaje km kutaitwa kelele za mwizi!? By the way movie kali sn ina mafunzo! Tuko pa1

  • @ValentineKasarani
    @ValentineKasarani Před 17 dny

    Nzuri saana

  • @Rahma-rs5ll
    @Rahma-rs5ll Před 23 dny +1

    Hiyo ndio maana halisi ya marafiki

  • @jacklinekenyanya9352
    @jacklinekenyanya9352 Před 7 dny

    Nyuki ni mromantic saana😅😅😅😅

  • @MijhBhh
    @MijhBhh Před 22 dny

    Maneno wa bosi mazuri sana ela aneamanisha🎉🎉🎉

  • @user-mv2pj1eb5y
    @user-mv2pj1eb5y Před 23 dny

    Jmn wat mko vizr ampoi ❤

  • @caroline500
    @caroline500 Před 23 dny

    Kazi nzuri xna,all the way from 🇸🇦🇸🇦🇸🇦

  • @SalimmikwangaMikwanga
    @SalimmikwangaMikwanga Před 23 dny +1

    Hilo sio jambo la kuuliza tena

  • @juliettv6626
    @juliettv6626 Před 22 dny

    Ivyo gisi Adamu anajifunga kitenge😅 nimemuona kijiji😅😅😅

  • @IrankundaDevotte-yu4nm

    Cheko la Nyuki jameni 😂😂😂😂😂

  • @HamadMwagoani
    @HamadMwagoani Před 22 dny

    Dogo anatisha Sana mwenye amepiga iyo ngomaa

  • @LyricsAllsongs-we3no
    @LyricsAllsongs-we3no Před 19 dny +1

    𝗕𝗼𝘀𝘀 𝘄𝗮𝗸𝗲 𝗻𝘆𝘂𝗸𝗶 𝗻𝗶𝗺𝗲𝗺𝗽𝗲𝗻𝗱𝗮 𝘀𝗮𝗻𝗮 𝗮𝘀𝗲𝗲 𝗻𝗮𝗽𝗲𝗻𝗱𝗮 𝗮𝗻𝗮𝘃𝗼 𝗺𝗷𝗮𝗿𝗶 𝗻𝘆𝘂𝗸𝗶 𝗲𝘁𝘆 𝗡𝘆𝘂𝗸𝗶 𝗮𝘁𝗮𝗸𝗶 𝗸𝘂𝗹𝗮 𝗸𝗶𝘀𝗮 𝗔𝗺𝗮𝗻𝗱𝗮 𝘄𝗮𝗸𝗮𝘁𝗶 𝗔𝗺𝗮𝗻𝗱𝗮 𝗻𝗶 𝗠𝗮𝗹𝗮𝘆𝗮 𝗮𝘁𝗮𝗿

  • @alawimohamed2952
    @alawimohamed2952 Před 19 dny

    hapo kwa fumanizi kwa rafiki wanyuki na amanda nduo ilikuwa mpango mzima tuone live kuliko maelozo ya nyuki kwa boss wake pia ilikuwa muhimu tuone kuliko hayo mabusu nakukandana na adamu ama vp 😎