("ISAQA AZALIWA KAMA YESU") NIKATIKA MASWALI NA MAJIBU KATIKA DA-WAA GITHURAI 45 ROUND ABOUT PART 6

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • DA-WAA NA USTADH YUSUF WAMBUGU, USTADH SAID MWIRIGI, USTADH HUSSEIN MWENJA NA USTADH HAMISI ABDALLAH

Komentáře • 62

  • @aminaabu1599
    @aminaabu1599 Před 2 lety +3

    Mashallah Mashallah Eeeeh 💯 sure Uislam Raha Allahu Akbar

  • @fundiwamoldzapevingblock6378

    waislam waliosoma mnakazi kubwa sana ya kuwaelimisha awakondoo waliopotea mungu awaongoze kwa mnajituma sana

  • @myoutubecom-gg7sb
    @myoutubecom-gg7sb Před 2 lety +2

    Masha Allah

  • @hamisiramadhan104
    @hamisiramadhan104 Před 2 lety +4

    MashaAllah ujumbe ulifika vizuri sana ustadhi sindano baada ya ingine

  • @nurahassan4698
    @nurahassan4698 Před 2 lety +2

    Maa shaa Allah

  • @paulwambua4956
    @paulwambua4956 Před 2 lety +2

    Wakristo wenzangu msije mkayapotosha maandiko matakatifu kwa kusema sheria ziliisha, tunatakiwa kujua ni sheria gani ziliisha na nigani hazikuisha. Amri kumi za Mwenyezi Mungu haziwai ondolewa na hazitawahi ondolewa maana hizo hata mbinguni zimo kwenye sanduku la Mwenyezi Mungu. Ufunuo11:19. 1john 2:3-4

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin634 Před 2 lety +2

    imagine wakristo hata uku nje wakibanwa na maandiko wanasema Yesu amevunja sheria zenye amepewa Nabii Musa,na Yesu mwenyewe hajasema hayo maneno,wakristo wanapenda kuongeza maandiko sana

  • @bahatikenia39
    @bahatikenia39 Před 2 lety +2

    Mashaalah Allah azidi kuwaongoza ili kueleza njia ya haqi kwakweli yataka subra kuwaelewesha watu wasiojua maandiko halafu washindani hao wanapoteza mda na kuna wengine wako kupata mafunzo

  • @aishaally6602
    @aishaally6602 Před 2 lety +4

    SUBHANAH ALLAH hii kazi ningumu kuwaelewesha watu kama hawa hata maandiko wanaonyeshwa wanayapinga

  • @aminaabu1599
    @aminaabu1599 Před 2 lety +2

    Leo ni Moto Mashallah Yani Uislam Raha

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt Před 2 měsíci

      Yahn.rahaaHati.utamu.mashaAllah.AllahuAkbaru.kukakataa.kitabu.chao.eti.hyo.bibilia.yenu

  • @mnyongeiddi2454
    @mnyongeiddi2454 Před 2 lety +3

    Allah azidi kuwapa nguvu mashekhe wetu msichoke kuwafundisha ujira wenu upo mbele ya Allah inshaallah.

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari2444 Před 2 lety +2

    Safi Sana!

  • @fundiwamoldzapevingblock6378

    laha sana

  • @khamisidallas922
    @khamisidallas922 Před 2 lety +3

    Paul kapoteza wakiristo duniani kusema kweli wakiristo hawafati Yesu hata kidogo

  • @AshamMussa
    @AshamMussa Před rokem +1

    Mashaalla Ustadh Wambugu Allah akuzidishie afya wewe na wenzio kwa ajili yake inshaalla

  • @mohamedashour3581
    @mohamedashour3581 Před 2 lety +4

    Mashallah amir yusuf, I been following you for a year so, keep it up the good job!

  • @stoispapi2380
    @stoispapi2380 Před 2 lety +1

    Daawah fanyeni na akina sheikh Salim pia hawa watu kupiga kelele baada ya kujua ukweli sheikh Salim huwa anawaweka vizuri wakona jazba sana.

  • @kawtharalbarwani1337
    @kawtharalbarwani1337 Před 2 lety +4

    Allah wastiri kwa kila shari masheikhe wetu kazi ni ngumu kwakweli.Allah wafanyieni wepesi palipo na uzito inshaAllah amiin

  • @bashirali2385
    @bashirali2385 Před 2 lety +5

    MashaAllah

  • @maimunafzaka880
    @maimunafzaka880 Před 11 měsíci +1

    Wakristo hawafati mafunzo ya yesu. Wanafata maneno ya paulo.. inalilahi wa ina ilaihi rajiun

  • @fatimahrashid2356
    @fatimahrashid2356 Před rokem +1

    👍👍👍💓💓

  • @faridahussein8632
    @faridahussein8632 Před 2 lety +3

    MashaAllah Ma Ustadh

  • @user-vg3bf5vi1y
    @user-vg3bf5vi1y Před 2 lety +2

    Mungu akulipeni mashekhe wetu🤲 ila Kenya kunivituko Sana 😁

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8l Před 7 měsíci +1

    Allah amuogoze apa n kesho akhera

  • @geerleebmuhamed8301
    @geerleebmuhamed8301 Před 2 lety +2

    Mashaa llah mungu awajalie kila mazuri na awazidishe subra kwa kuwaelemisha wenzetu japo ni wagumu kufaham

  • @gradegraphics2997
    @gradegraphics2997 Před 2 lety +2

    KWELI KUNA WENGINE MUNGU KAWPIGA MIURI MOYON MWAO SIO MCHEZO DAHH

  • @maimunafzaka880
    @maimunafzaka880 Před 11 měsíci +1

    Pastor amechanganyikiwaaa

  • @mussakilo4916
    @mussakilo4916 Před 2 lety +2

    Mashalaa sheh yusufu na wenzako mwenyez mungu awalipe hapa duniani na ahera

  • @alyaqdhan5206
    @alyaqdhan5206 Před 2 lety +2

    Allah awabariki awape nguvu muweze kutekeleza Dini ya Allah

  • @ahmedsalatbashir4380
    @ahmedsalatbashir4380 Před 2 lety +3

    Keep going bro 🤲🤲🤲

  • @maimunafzaka880
    @maimunafzaka880 Před 11 měsíci +1

    This man with a cap... must be muslim by now. Anakaa anztafuta ilmu. Allah amjalie dini yake

  • @suleymanali431
    @suleymanali431 Před 2 lety +3

    Asalam Aleykum ustad twa ongoja part 7 kwa hamu vipi kume kwenda aje , mlisimamishia kati kati akhii.

  • @AshamMussa
    @AshamMussa Před rokem +1

    Huyu mzee Wala hataki kujua kujifunza ni mjinga kweli Sasa kaondoka amemkomoa Nani so na alale tu kwenye kristo yake apotee du Hawa watu ni washindani kweli

  • @abdilatifhashi9659
    @abdilatifhashi9659 Před 2 lety +2

    Sheikh Yusuf umewatibu sana Hawa ma jahil hahahh

  • @hassangalgallo8496
    @hassangalgallo8496 Před 2 lety +1

    Quran 22:40 Sinagogi na msikiti ni kitu tofauti.
    Quran 2:62 Wayahudi na waislamu dini mbili tofauti.
    Marko 9:42 inafaa jiwe kubwa la kusagia kufungiwa shingoni mwenu na kutupwa baharini badala ya nyinyi kupotosha walioamini Kristo

    • @popod177
      @popod177 Před 2 lety

      Uyahudi ni kibila au ni dini??😂..ni shiiida

    • @hassangalgallo8496
      @hassangalgallo8496 Před 2 lety

      @@popod177 yahudi ni dini sio kabila, hakuna kabila inayoitwa Yahudi . Soma Quran 2:62

    • @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
      @YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp  Před 2 lety +1

      Galgollo uko na shida kweli, Quran wewe huamini na unataka ikutetee, Bibilia ya kwenu dio inasema sinangongi ni msikiti,kafute

    • @hamzayesu2017
      @hamzayesu2017 Před 2 lety +2

      Galgalo Tunakualika uje kwa muhadhara wetu anytime upate elimu ya bure badala ya kuwa muoga kujifanya key board preacher hapa😂😂karibu wakati wowote tukutie chuo....

    • @hassangalgallo8496
      @hassangalgallo8496 Před 2 lety

      @@hamzayesu2017 Mimi nilizaliwa Muislamu,nikalelewa nikiwa muislamu,my turning point was during debate like this one in our region back then in 2005/06 when a Muslim debator by the name Sheikh Nasoro,I'm not sure whether he is alive,he told us the Bible teaches about Islam that is when I started reading the bible,but thanks to almighty God, Gods plan was always the best I became Christian in 2019 and I will not go backward. Kwa kweli kama waislamu wangesoma Biblia na kuilewa watakuja kujua ukweli

  • @beardedalade
    @beardedalade Před rokem +1

    😂😂😂😂hospitali ya kutahiri roho😂

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 Před 2 lety +3

    Masha ALLAH

  • @fatimahrashid2356
    @fatimahrashid2356 Před rokem +1

    👍👍👍💓💓

  • @faridahussein8632
    @faridahussein8632 Před 2 lety +2

    MashaAllah