Wakristo wenzangu msije mkayapotosha maandiko matakatifu kwa kusema sheria ziliisha, tunatakiwa kujua ni sheria gani ziliisha na nigani hazikuisha. Amri kumi za Mwenyezi Mungu haziwai ondolewa na hazitawahi ondolewa maana hizo hata mbinguni zimo kwenye sanduku la Mwenyezi Mungu. Ufunuo11:19. 1john 2:3-4
imagine wakristo hata uku nje wakibanwa na maandiko wanasema Yesu amevunja sheria zenye amepewa Nabii Musa,na Yesu mwenyewe hajasema hayo maneno,wakristo wanapenda kuongeza maandiko sana
Mashaalah Allah azidi kuwaongoza ili kueleza njia ya haqi kwakweli yataka subra kuwaelewesha watu wasiojua maandiko halafu washindani hao wanapoteza mda na kuna wengine wako kupata mafunzo
Huyu mzee Wala hataki kujua kujifunza ni mjinga kweli Sasa kaondoka amemkomoa Nani so na alale tu kwenye kristo yake apotee du Hawa watu ni washindani kweli
Quran 22:40 Sinagogi na msikiti ni kitu tofauti. Quran 2:62 Wayahudi na waislamu dini mbili tofauti. Marko 9:42 inafaa jiwe kubwa la kusagia kufungiwa shingoni mwenu na kutupwa baharini badala ya nyinyi kupotosha walioamini Kristo
Galgalo Tunakualika uje kwa muhadhara wetu anytime upate elimu ya bure badala ya kuwa muoga kujifanya key board preacher hapa😂😂karibu wakati wowote tukutie chuo....
@@hamzayesu2017 Mimi nilizaliwa Muislamu,nikalelewa nikiwa muislamu,my turning point was during debate like this one in our region back then in 2005/06 when a Muslim debator by the name Sheikh Nasoro,I'm not sure whether he is alive,he told us the Bible teaches about Islam that is when I started reading the bible,but thanks to almighty God, Gods plan was always the best I became Christian in 2019 and I will not go backward. Kwa kweli kama waislamu wangesoma Biblia na kuilewa watakuja kujua ukweli
Mashallah Mashallah Eeeeh 💯 sure Uislam Raha Allahu Akbar
waislam waliosoma mnakazi kubwa sana ya kuwaelimisha awakondoo waliopotea mungu awaongoze kwa mnajituma sana
Masha Allah
MashaAllah ujumbe ulifika vizuri sana ustadhi sindano baada ya ingine
Alhamudulillah
Maa shaa Allah
Wakristo wenzangu msije mkayapotosha maandiko matakatifu kwa kusema sheria ziliisha, tunatakiwa kujua ni sheria gani ziliisha na nigani hazikuisha. Amri kumi za Mwenyezi Mungu haziwai ondolewa na hazitawahi ondolewa maana hizo hata mbinguni zimo kwenye sanduku la Mwenyezi Mungu. Ufunuo11:19. 1john 2:3-4
imagine wakristo hata uku nje wakibanwa na maandiko wanasema Yesu amevunja sheria zenye amepewa Nabii Musa,na Yesu mwenyewe hajasema hayo maneno,wakristo wanapenda kuongeza maandiko sana
Mashaalah Allah azidi kuwaongoza ili kueleza njia ya haqi kwakweli yataka subra kuwaelewesha watu wasiojua maandiko halafu washindani hao wanapoteza mda na kuna wengine wako kupata mafunzo
Amin sote
SUBHANAH ALLAH hii kazi ningumu kuwaelewesha watu kama hawa hata maandiko wanaonyeshwa wanayapinga
subhanallah
DA-WAA YATAKA SUBIRA SANA
Leo ni Moto Mashallah Yani Uislam Raha
Yahn.rahaaHati.utamu.mashaAllah.AllahuAkbaru.kukakataa.kitabu.chao.eti.hyo.bibilia.yenu
Allah azidi kuwapa nguvu mashekhe wetu msichoke kuwafundisha ujira wenu upo mbele ya Allah inshaallah.
Amin sote
Safi Sana!
laha sana
Paul kapoteza wakiristo duniani kusema kweli wakiristo hawafati Yesu hata kidogo
Mashaalla Ustadh Wambugu Allah akuzidishie afya wewe na wenzio kwa ajili yake inshaalla
Amin sote
Mashallah amir yusuf, I been following you for a year so, keep it up the good job!
Daawah fanyeni na akina sheikh Salim pia hawa watu kupiga kelele baada ya kujua ukweli sheikh Salim huwa anawaweka vizuri wakona jazba sana.
Allah wastiri kwa kila shari masheikhe wetu kazi ni ngumu kwakweli.Allah wafanyieni wepesi palipo na uzito inshaAllah amiin
Amin sote
MashaAllah
Wakristo hawafati mafunzo ya yesu. Wanafata maneno ya paulo.. inalilahi wa ina ilaihi rajiun
👍👍👍💓💓
MashaAllah Ma Ustadh
Mungu akulipeni mashekhe wetu🤲 ila Kenya kunivituko Sana 😁
Amin sote
Allah amuogoze apa n kesho akhera
Amin sote
Mashaa llah mungu awajalie kila mazuri na awazidishe subra kwa kuwaelemisha wenzetu japo ni wagumu kufaham
Amin sote
KWELI KUNA WENGINE MUNGU KAWPIGA MIURI MOYON MWAO SIO MCHEZO DAHH
Pastor amechanganyikiwaaa
Mashalaa sheh yusufu na wenzako mwenyez mungu awalipe hapa duniani na ahera
Amin sote
Allah awabariki awape nguvu muweze kutekeleza Dini ya Allah
Amin sote
Keep going bro 🤲🤲🤲
This man with a cap... must be muslim by now. Anakaa anztafuta ilmu. Allah amjalie dini yake
Black cap
Asalam Aleykum ustad twa ongoja part 7 kwa hamu vipi kume kwenda aje , mlisimamishia kati kati akhii.
Waleikum Salam warahmatullahi wabarakatu
Huyu mzee Wala hataki kujua kujifunza ni mjinga kweli Sasa kaondoka amemkomoa Nani so na alale tu kwenye kristo yake apotee du Hawa watu ni washindani kweli
Sheikh Yusuf umewatibu sana Hawa ma jahil hahahh
Quran 22:40 Sinagogi na msikiti ni kitu tofauti.
Quran 2:62 Wayahudi na waislamu dini mbili tofauti.
Marko 9:42 inafaa jiwe kubwa la kusagia kufungiwa shingoni mwenu na kutupwa baharini badala ya nyinyi kupotosha walioamini Kristo
Uyahudi ni kibila au ni dini??😂..ni shiiida
@@popod177 yahudi ni dini sio kabila, hakuna kabila inayoitwa Yahudi . Soma Quran 2:62
Galgollo uko na shida kweli, Quran wewe huamini na unataka ikutetee, Bibilia ya kwenu dio inasema sinangongi ni msikiti,kafute
Galgalo Tunakualika uje kwa muhadhara wetu anytime upate elimu ya bure badala ya kuwa muoga kujifanya key board preacher hapa😂😂karibu wakati wowote tukutie chuo....
@@hamzayesu2017 Mimi nilizaliwa Muislamu,nikalelewa nikiwa muislamu,my turning point was during debate like this one in our region back then in 2005/06 when a Muslim debator by the name Sheikh Nasoro,I'm not sure whether he is alive,he told us the Bible teaches about Islam that is when I started reading the bible,but thanks to almighty God, Gods plan was always the best I became Christian in 2019 and I will not go backward. Kwa kweli kama waislamu wangesoma Biblia na kuilewa watakuja kujua ukweli
😂😂😂😂hospitali ya kutahiri roho😂
Masha ALLAH
👍👍👍💓💓
MashaAllah