Video není dostupné.
Omlouváme se.
Elizabeth Michael - ROSTI MAINI (PISHI LA LULU)
Vložit
- čas přidán 28. 03. 2020
- Elizabeth Michael - ROSTI MAINI
© 2020 - EM
Karibu EM Kitchen, karibu jikoni kutazama PISHI LA LULU.
Subscribe to stay up to date on anything from your favorite actress Elizabeth Michael (LULU)
CZcams: / elizabethmichaelofficial
Facebook: / officiallizym
Twitter: / officiallizym
Instagram: / elizabethmichaelofficial
#ElizabethMichael #PishiLaLULU #EMKitchen
Ingependeza zaidi kama ungetoa maelezo kwa njia ya sauti , au ungeweka maneno kwa chini tuweze kujisomea na kuelewa Kila kiungo unachotumia na hatua unayofanya.
Huyu naye hata hatoi maelezo afu anaonekana hasomi text
Kabisa,kwa sababu atuelewi ni viungo gani katimiye 🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Yeye anaweka tuu kama vile anatutambia kupika, toa maelezo ndo inapendeza kwani huoni za wenzako wanavyofanya, au umekuja na mpya?
100%
Ama sio yeye anayepika
I wonder why some people disliked this video, thnx lulu don't stop teaching us .
Bora nimuangalie Aroma Zanzibar tu unaangalia pishi lake huku na wewe unapika at the same time kitu kinatoka mule mule...
Mwingine hataki kuvaa kofia anaachia minywele inaning'inia kama mti wa Muashoki,
Mwingine hataki kutoa maelezo yaliyokamilika basi tabu tupu kuvamia fani za watu.
Kabisa
Aroma kiboko yao
Bora we we umesema ukweli best hakuna mpishi hapo Kila siku kupika vitu laini tu ndio wanajua fani
Mimi najua kupika vitu vingi Tena vitamu kupitia Aroma of Zanzibar na mapishi rahisi
@@happybalama3591 anzisha yako utube mummmy
Ahsante Elizabethi kwa kutoa ombi langu nimependa sana nikija Tanzania lazima nikutafute
Hi lulu, please come back like before don't panic because of others
Mashaa Allah maini mazuri yanaonesha test kwa ugali hapo👌
Kituo chako ni nzuri! Ninaona hii kila siku! Njoo uone kituo changu cha jikoni! Ninatoka Brazil na natumahi umejiunga na kituo changu na ushiriki video zangu katika nchi yako! Asante!
Shukran
You can cook really good but sis try to explain more plz 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
I don't think I'm the only saying this to you but we need a voiceover about you explaining
Maansha Allah
I really like
Kufundisha watu kunataka uwe na roho Nzuri ila km unachoyo kidogo mtaishia kuliwa mb zenu na hamjaelewa kitu😅😂😅
first Name 🤣🤣🤣
Kabisaa 🤣🤣🤣
Kwa kweli
Sijaelewa! We mw hufai kbsa. Wanafunz wako hatuelew kitu
Haki Lulu tuekeze viungo ni vipi. We cannot tell by just looking at the video.
Sure
Hawezi eleza kwasababu hajalipwa ndio maana
Asanta sana lulu mwanamke jiko sio mashllh
Lulu nakupenda I wish nikuone live
More experience is needed
Lulu she is young and beautiful and a bright future ahead but...she luck confidence because most young people nowadays they like to use full English daily naye ana struggle na English .but is sad because swahili is one of the best language on the planet especially Tanzanian so she should put her cooking program in swahili instead of muting and hide her gorgeous face .who knows??it can be someone else. LULU you still young you can take English courses within 2years utaongeya vizuri and you look like you have a good financial stability means you can travel to countrys that they speak English fully so you can learn fast .this advise is from care not shading ❤🇬🇧
Looks yummy
Asante
Yavutia 😋
Kwani sisi ni mabubu au vp. Mhuuum ungempata Shun kitchen au aroma of zanzibar. Ungeona shoo. Then nikaida sana. Hata kwenye Yale machapati yako huna tips za kutosha dada jifunze zaidi. Na unakuwa huzungumzi bcs hujui pishi ww.
Mashallah pishi zury lulu lkn pitia comments ujuwe tatizo la wanayo kufatilia
Yum yum😋😋😋
I love UA pam
Sio kwa mihoho hiyo😂😂
Maini pambe
Mbona vitunguu na hizo mboga mboga zingine hazijakatwa vizuri
Hajui kupika
Majizo anafaidi😋
Safi
Lulu kuna viungo vingine me sijavijua ungeongea ingekuwa bomba sana
Hilo sirosti maini shogaangu ayo yanaitwa maini yakupaka mana ukisema Rosti inakuwa rosti kweli nasikama hivo
Lulu napenda kuangalia mapishi yako, but at once unapanic sana kwenye upishi, 2. Hutumii sauti kutuelekeza na tufahamu viungo unavyotumia.... Sasa ndugu yangu hiyo sio recipe nzuri
What are the marinating ingredients
Yummy food
Next time tag ivyo viungo unavyotumia..toa list ya ingredients before hujaanza
Mhhh ayo maini mabichi
Tafadhali lulu uwe ukijieleza step by step sa cc tungependa kujua hila tunaona tu ukichanganya vtu. Hata hatujui n nn ni vyema ukitueleza viungo majina yake then vle unaweka kiasi kivi tafadhali dia upishi wako n bora hila tueleze mamaaa tafadhali kama utaona hii comment ningependa uzingatie haya hila nakupenda Sana
Wa kwanza
Duuuh nampenda huyu Dada jamn...we upike vizuri au vbaya I wll always like Dr move on cwty
Ongea bas
Umejitahidi Sana pishi laonekana traamu hatari Ila shost ingredients uwe unatuwekea kwenye description box, na kwenye video kila unapoadd something idesplay basi hapo pleaaaase lulu I love you 😘💕
Yummy 😋😋😋
Mbona Huyo Mpishi Hatumuoni Sura Wala hatowi maelezo ya Viamba Upishi Hapo Htujafaidika.
Good
Mimi nazani hasomi comment za watu sasa apo tutajuwa umeweka nini na nini
Viungo vingine tuote 🤓
Lulu tufundishe kupika chapati pia za kusukuma 🤝🤝🤝
Speak speak...
tutajie pia viungo unavyoweka tuelewe vizur😮
Hujui kupika mapishi ya aina hii mtu akila anajaza sumu mwilini viungo vina ukataji wake na vikaangwe kwa muda flani vilete radha angalia wapishi wenzio wa biriani, pilau,samaki,nyama wali na mapishi mbalimbali wanavyojua kupika wanataja viungo na muda.
Elezea ingredients hapo ndo somo la upishi liliposimama otherwise 👍👍looks yummy 😋
Huyu sio yeye lulu mpishi mwingine mbona aonyeshi sura wala sauti
irene alexander itakua ivyo ,you’ve got a point
Kwanini kaosha maini na maziwa
Explain pliz
Mpishi ji bubu au
Atujaelewa
Hongera lulu.ila jitaidi kuelezea kidogo viuongo unaweka ila hatuelewi unaweka kitu gani
Ushauli uweunaonge maan hatuelew .
Lulu wangu umebarikiwa tege
Lulu Mambo gani haya hata hatujui umeweka Nini jmn. Unataka kupika mwenyewe wengine tukuangalie tu km mazuzu. Sijapenda kwakweli, ungeongea tujue unachanganya viungo gani hasa vya unga ulivyo weka. Na Yale maziwa ulimwaga, ulioshea, uliloekea tu au?? Maswali ni mengi kwakweli
Ingredients zingine kukuzionesha mwanzo alafu umekuja kuzitumia and sio zote umeweka majina
Mbona yamekua meus, rost main umekkosea lazma liwe jeusi
Mbona avivutii
ujui kupi
kamain mama main gan ata nyanya aionekan
Unabowa kweli na hiyo miziki yako washindwa kutiwa sauti yako
Dada Lulu, tunaomba upunguze spices
I love your work but a kind request please and don't be offended..... Atleast tell us what you are adding and when..... Tell us every process and do it slowly... You are too fast..... From kenya....
Ungeweka maelezo hata Kwa kuandika it's hard to understand unaweka nini...I don't like my main with nyanya but yours looks pretty good😋
Aroma of zanzibar ndio mpango mzima. Anakufundisha khaswa jinc inavyotakiwa na ukijaribu kupika bac chakula kinatoka kizuri to. Hujutii kutumia mb zako maana faida unapata. Sio akina ww hayo mambo sio yenu.
Lulu plzzz ongea tuelewe somo mamy
Elizabeth pita Comment mama
Maini na limao,ni jiwe latokea
Nansi Kilovele 🤣🤣🤣shida ya kucopy mapishi ni ubunifu ndo maana hatoi maelezo
Hapana
Hey lulu what did u use to wash ur maini
Unapika kutufundisha au unajifurahisha tu mwenyewe? Maana upishi wa kibubu hamna hata maelekezo ndo nn sasa
Kim Tan Ya hajui kitu uyo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kim Tan Ya sanaaaa
Hatujui hata kaweka nin badala aongee
😂😂😂😂 upishi wa kibubu, I die
Mbona hauonyeshi unaweka nini ktk kila hatua unayopitia..? Ili tuone na Kuelewa. Ingekuwa bora zaidi
Hey girl try to be slow and explain talk
Leo imekuwaje sauti hamna?
Mama G
Ata sijakulewa umenilia MB zangu tu
Mbona kama roho imeniuma hayo maziwa kuoshea Maini
😂😂😂😂pole jikaze
Halima Hamid hahaha hata mm
Nyc recipe thanx. Just a polite question please; Why should we wash the liver with milk before marinating? Thanks
I second this
To remove that bitter taste
@@annekimeu59ak Thanks for your reply.
soaking in milk helps to remove toxins (maana inafanya kazi ya kuondoa sumu mwilini) liver requires a good wash if need be
@@pamelapeter437 Noted thanks for the tip. 😘
Tell us which spices are those
Kupika hujui jp nakupenda sanaaaaaa
Mi hata sielewi unafundisha au unaonyesha unavyojua kupika??
Heee vitunguu mapande,karot mapande hoho mapande, yanatakiwa ya we m akubwa ila sio vikubwa sana,na utuwekee maaelezo
Yatakaba walaji
@@abrahamsimkoko8956 kwel
Sijaelewa ata chochote hapa
apa tunaliwa tuu mb atasielewi
Ungekuwa unaandika maandishi kwa chini kunawengine hatujui hivyo ni viungo gani heli unaandika ushauri tu
Mapishi bila maelekezo ya vipimo na ingredients 😂
Labda ni bubu😹😹
Uwii lulu sima ninayo naleta bakuli huko
Yani sielewi kwann viungo vingine hutaji
Mi maziwa yakuchezea kuoshea maini Sina jamni
😂
This is nice, ingependeza zaidi kama ungekua unaongea pia, mfano hapo sijaona ukiweka chumvi lakini naamini in reality umeweka. Pia lighting irekebishe kiasi tupate rangi halisi ya chakula. Big up
To a maelezo kwa sauti
Viungo vingine havina majina?
My dear ungeweka sauti au hata maneno tusikie n kuelewa zaidi vitu ulivyotumia
Sasa mtu ataelewa kweli
Sasa mbona huandiki na hizo viungo vingine aisee