Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Hodari mashaa allah huyu brother napia msafi mashaa allah👌🏾👌🏾👌🏾mungu akuzidishie Amin yarabil Alamin 🤲🤲
Nina shida na simba nazi...yani upatikanaji wake
Yaani huyu kaka ni mkali wajiko MashaAllaah 😋😋😋😋😋
Aseee, nzur sana aina gan ya unga umetumia chef au Da dina uliyekuwepo
Yaani had leo napika pilau tamu na zur kwasababu ya shef aloyce Mungu akutunze tuendelee kujifunza vingi
Masha'Allah
Maa shaa Allah
Maashallah nimeyapenda mapishi mazuri
Asante Dina lakin tunasahau hii channel unakaa sana hujaleta mapishi😋
Asanten Sana dada nashef aloyce kwa kutuandalia somo zuri la chapat maini nimependa Sana na nmewaelea vzr
Chef aloyce mashallah
Bless you Ameen
Pambe mashallah 😋
Nice one
👍🇰🇪🇰🇪🇰🇪Aka bachuchu mombasa 001🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ameonja Dinna mate nikameza Happy,, anyway chakula kizuri, jiko Safi, vyombo vizuri, mpishi yupo poa sana, hongereni
Zinaonesha nzuri
Mashaallah...lkn ombi langu hiii channel itengenezewe playlists plz
Aww I'm craving
So nice 😋😋
Yaani pombe akanywe baa supu niandae mimi asubuhi....subutuuuuChef Aloyce nakukubali sanaaaa
😂😂😂😂😂 pombe akanywe baa supu niandae mimi
😂😂😂 kupunguo sio kweli jamani hivyo vitu ni 💯💯
Maini nayo pia ya kukata na shoka very delicious
Mashallh
Chapati inakazi jamsni duhh. Napenda ku ila tuu mimi.
Hivi ndo nimeingia kwa page yako nakufuatilia ntajaribu hii
😋
Iyo gesi sijaelewa uwakaji wake🙆
👊👊👊
Kaka anapika vzr na usafiiiii
Jamaniii jamaniiii... roho yangu mimi jamaniii
Naomba no ya chief aloyce
Lete utamu wa Simba Nazi 🇰🇪🇰🇪🇰🇪aka bachuchu mombasa 001🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mapishi bora mwanangu chapati laini zaidi
Pishi zurisana
kwa hiyo hakuna haja ya kuweka ndimu kwenye maini
Jamani hapo kwenye maini navyo penda ugali wa mchana hapo unajaa kaliii ukute huo msosi mmmh
🔥🔥
Unatumia nini kupunguza ile harufu ya maini
😋😋
Kitafunwa **
Yan unavyosikilizia utamu eti nami nalishia huku..hahaha
Kaka anapika huyu balaaa 😍😍😍😍😍
Nauliza kutoka swede siagi njo nini jamani niambiyeni 🤣🤣🤣🤣🤣
Siagi ni kiswahili kwa lugha ya kingereza ni butter
Tobaa..za nazi
Hata wazanzibari wanopenda nazi bado hawajafika kutiya nazi kwenye chapati😁maskini wazanzibari wameonewa😂
Ahh rose wee hawa wana mpaka chai ya Nazi mpenz😁😁😁
Munasema mashalah kwa uroho 🤪
Hahhhh
Kenya hatuna simba nazi sasa nitumie nazi ya kawaida?
Use any coconut milk.
Kuroli kunaitwa nini kiswahili?
Kuviringisha.
Kila mara nikitengeneza chapati zinakuwa ngumu sijui tatizo ni moto mkubwa
😳😂😂 kukanda ukandaji kma ukikanda unga mgumu lazma ziwe ngumu pia
Ukitumia mafuta Kwa wingi... Zinakuwa soft... na rahisi kukanda
@@anifamango6756 asante nitatumia mafuta kwa wingi hapo chapati zitatokea laini
@@sukariyao6537 ok asante hapo nimepata funzo
Swali lng maji ya moto au barid
Hodari mashaa allah huyu brother napia msafi mashaa allah👌🏾👌🏾👌🏾mungu akuzidishie Amin yarabil Alamin 🤲🤲
Nina shida na simba nazi...yani upatikanaji wake
Yaani huyu kaka ni mkali wajiko MashaAllaah 😋😋😋😋😋
Aseee, nzur sana aina gan ya unga umetumia chef au Da dina uliyekuwepo
Yaani had leo napika pilau tamu na zur kwasababu ya shef aloyce Mungu akutunze tuendelee kujifunza vingi
Masha'Allah
Maa shaa Allah
Maashallah nimeyapenda mapishi mazuri
Asante Dina lakin tunasahau hii channel unakaa sana hujaleta mapishi😋
Asanten Sana dada nashef aloyce kwa kutuandalia somo zuri la chapat maini nimependa Sana na nmewaelea vzr
Chef aloyce mashallah
Bless you Ameen
Pambe mashallah 😋
Nice one
👍
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Aka bachuchu mombasa 001
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ameonja Dinna mate nikameza Happy,, anyway chakula kizuri, jiko Safi, vyombo vizuri, mpishi yupo poa sana, hongereni
Zinaonesha nzuri
Mashaallah...lkn ombi langu hiii channel itengenezewe playlists plz
Aww I'm craving
So nice 😋😋
Yaani pombe akanywe baa supu niandae mimi asubuhi....subutuuuu
Chef Aloyce nakukubali sanaaaa
😂😂😂😂😂 pombe akanywe baa supu niandae mimi
😂😂😂 kupunguo sio kweli jamani hivyo vitu ni 💯💯
Maini nayo pia ya kukata na shoka very delicious
Mashallh
Chapati inakazi jamsni duhh. Napenda ku ila tuu mimi.
Hivi ndo nimeingia kwa page yako nakufuatilia ntajaribu hii
😋
Iyo gesi sijaelewa uwakaji wake🙆
👊👊👊
Kaka anapika vzr na usafiiiii
Jamaniii jamaniiii... roho yangu mimi jamaniii
Naomba no ya chief aloyce
Lete utamu wa Simba Nazi
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
aka bachuchu mombasa 001
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mapishi bora mwanangu chapati laini zaidi
Pishi zurisana
kwa hiyo hakuna haja ya kuweka ndimu kwenye maini
Jamani hapo kwenye maini navyo penda ugali wa mchana hapo unajaa kaliii ukute huo msosi mmmh
🔥🔥
Unatumia nini kupunguza ile harufu ya maini
😋😋
Kitafunwa **
Yan unavyosikilizia utamu eti nami nalishia huku..hahaha
Kaka anapika huyu balaaa 😍😍😍😍😍
Nauliza kutoka swede siagi njo nini jamani niambiyeni 🤣🤣🤣🤣🤣
Siagi ni kiswahili kwa lugha ya kingereza ni butter
Tobaa..za nazi
Hata wazanzibari wanopenda nazi bado hawajafika kutiya nazi kwenye chapati😁maskini wazanzibari wameonewa😂
Ahh rose wee hawa wana mpaka chai ya Nazi mpenz😁😁😁
Munasema mashalah kwa uroho 🤪
Hahhhh
Kenya hatuna simba nazi sasa nitumie nazi ya kawaida?
Use any coconut milk.
Kuroli kunaitwa nini kiswahili?
Kuviringisha.
Kila mara nikitengeneza chapati zinakuwa ngumu sijui tatizo ni moto mkubwa
😳😂😂 kukanda ukandaji kma ukikanda unga mgumu lazma ziwe ngumu pia
Ukitumia mafuta Kwa wingi... Zinakuwa soft... na rahisi kukanda
@@anifamango6756 asante nitatumia mafuta kwa wingi hapo chapati zitatokea laini
@@sukariyao6537 ok asante hapo nimepata funzo
Swali lng maji ya moto au barid
Pishi zurisana