JINSI YA KUPIKA CHAPATI ZA NAZI NA MAINI YA NAZI - UHONDO WA MAPISHI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 12. 2021

Komentáře • 63

  • @mahramarswad6041
    @mahramarswad6041 Před 2 lety +7

    Hodari mashaa allah huyu brother napia msafi mashaa allah👌🏾👌🏾👌🏾mungu akuzidishie Amin yarabil Alamin 🤲🤲

  • @zulfahussein6784
    @zulfahussein6784 Před 2 lety +4

    Yaani huyu kaka ni mkali wajiko MashaAllaah 😋😋😋😋😋

  • @rhobibaraka9938
    @rhobibaraka9938 Před 7 měsíci

    Aseee, nzur sana aina gan ya unga umetumia chef au Da dina uliyekuwepo

  • @neivaneriud601
    @neivaneriud601 Před 11 měsíci

    Yaani had leo napika pilau tamu na zur kwasababu ya shef aloyce Mungu akutunze tuendelee kujifunza vingi

  • @thisiszai2045
    @thisiszai2045 Před 2 lety +1

    Masha'Allah

  • @azzaalmaamry5817
    @azzaalmaamry5817 Před 2 lety +1

    Maa shaa Allah

  • @samsungoman5626
    @samsungoman5626 Před 2 lety +1

    Maashallah nimeyapenda mapishi mazuri

  • @a.856
    @a.856 Před 2 lety +6

    Asante Dina lakin tunasahau hii channel unakaa sana hujaleta mapishi😋

  • @magrathmichael7475
    @magrathmichael7475 Před 2 lety

    Asanten Sana dada nashef aloyce kwa kutuandalia somo zuri la chapat maini nimependa Sana na nmewaelea vzr

  • @salhasalumhamis3331
    @salhasalumhamis3331 Před 2 lety

    Chef aloyce mashallah

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 Před 2 lety +1

    Bless you Ameen

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 Před 2 lety

    Pambe mashallah 😋

  • @abdulhaimohammed500
    @abdulhaimohammed500 Před rokem

    Nice one

  • @khamisshee5131
    @khamisshee5131 Před 2 lety +1

    👍
    🇰🇪🇰🇪🇰🇪
    Aka bachuchu mombasa 001
    🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @happynessmmari74
    @happynessmmari74 Před 2 lety

    Ameonja Dinna mate nikameza Happy,, anyway chakula kizuri, jiko Safi, vyombo vizuri, mpishi yupo poa sana, hongereni

  • @user-yw1nf5tn8f
    @user-yw1nf5tn8f Před 11 měsíci

    Zinaonesha nzuri

  • @bawla90
    @bawla90 Před 2 lety +1

    Mashaallah...lkn ombi langu hiii channel itengenezewe playlists plz

  • @assoum_N
    @assoum_N Před 2 lety

    Aww I'm craving

  • @sakeenaomar5706
    @sakeenaomar5706 Před 2 lety +1

    So nice 😋😋

  • @fatmaallyabdul1732
    @fatmaallyabdul1732 Před 2 lety

    Yaani pombe akanywe baa supu niandae mimi asubuhi....subutuuuu
    Chef Aloyce nakukubali sanaaaa

    • @manasadunia3458
      @manasadunia3458 Před 2 lety

      😂😂😂😂😂 pombe akanywe baa supu niandae mimi

  • @mixhydada1257
    @mixhydada1257 Před 2 lety +1

    😂😂😂 kupunguo sio kweli jamani hivyo vitu ni 💯💯

  • @levinamukbangasmr
    @levinamukbangasmr Před 2 lety

    Maini nayo pia ya kukata na shoka very delicious

  • @zawadikasim6679
    @zawadikasim6679 Před 2 lety +1

    Mashallh

  • @xkingx8041
    @xkingx8041 Před 2 lety +1

    Chapati inakazi jamsni duhh. Napenda ku ila tuu mimi.

  • @iluminataeugen7625
    @iluminataeugen7625 Před měsícem

    Hivi ndo nimeingia kwa page yako nakufuatilia ntajaribu hii

  • @a.856
    @a.856 Před 2 lety +1

    😋

  • @agripinatemi732
    @agripinatemi732 Před 2 lety +1

    Iyo gesi sijaelewa uwakaji wake🙆

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky Před 2 lety

    👊👊👊

  • @hellendaniel3809
    @hellendaniel3809 Před rokem

    Kaka anapika vzr na usafiiiii

  • @sylviaoum2943
    @sylviaoum2943 Před 2 lety

    Jamaniii jamaniiii... roho yangu mimi jamaniii

  • @mankamfoy745
    @mankamfoy745 Před 2 lety

    Naomba no ya chief aloyce

  • @khamisshee5131
    @khamisshee5131 Před 2 lety +2

    Lete utamu wa Simba Nazi
    🇰🇪🇰🇪🇰🇪
    aka bachuchu mombasa 001
    🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @levinamukbangasmr
    @levinamukbangasmr Před 2 lety

    Mapishi bora mwanangu chapati laini zaidi

  • @ishaukalweya1442
    @ishaukalweya1442 Před 11 měsíci

    Pishi zurisana

  • @mariasalome-xm3ow
    @mariasalome-xm3ow Před 2 měsíci

    kwa hiyo hakuna haja ya kuweka ndimu kwenye maini

  • @stellajoseph9334
    @stellajoseph9334 Před 2 lety

    Jamani hapo kwenye maini navyo penda ugali wa mchana hapo unajaa kaliii ukute huo msosi mmmh

  • @mwanaishamkazi7870
    @mwanaishamkazi7870 Před 2 lety

    🔥🔥

  • @anifamango6756
    @anifamango6756 Před 2 lety

    Unatumia nini kupunguza ile harufu ya maini

  • @bettyauma349
    @bettyauma349 Před rokem

    😋😋

  • @joyceassey2347
    @joyceassey2347 Před 2 lety

    Kitafunwa **

  • @sylviaoum2943
    @sylviaoum2943 Před 2 lety

    Yan unavyosikilizia utamu eti nami nalishia huku..hahaha

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest9792 Před rokem

    Kaka anapika huyu balaaa 😍😍😍😍😍

  • @salmakakozi963
    @salmakakozi963 Před 2 lety

    Nauliza kutoka swede siagi njo nini jamani niambiyeni 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi1097 Před 2 lety

    Tobaa..za nazi

  • @Rose-ue2ho
    @Rose-ue2ho Před 2 lety

    Hata wazanzibari wanopenda nazi bado hawajafika kutiya nazi kwenye chapati😁maskini wazanzibari wameonewa😂

    • @fatmakhanii1676
      @fatmakhanii1676 Před 2 lety +1

      Ahh rose wee hawa wana mpaka chai ya Nazi mpenz😁😁😁

  • @TeamKRX
    @TeamKRX Před 2 lety

    Munasema mashalah kwa uroho 🤪

  • @janeachieng4497
    @janeachieng4497 Před 2 lety +1

    Kenya hatuna simba nazi sasa nitumie nazi ya kawaida?

  • @martymcfly9232
    @martymcfly9232 Před rokem

    Kuroli kunaitwa nini kiswahili?

  • @happynelson1136
    @happynelson1136 Před 2 lety +1

    Kila mara nikitengeneza chapati zinakuwa ngumu sijui tatizo ni moto mkubwa

    • @sukariyao6537
      @sukariyao6537 Před 2 lety +1

      😳😂😂 kukanda ukandaji kma ukikanda unga mgumu lazma ziwe ngumu pia

    • @anifamango6756
      @anifamango6756 Před 2 lety

      Ukitumia mafuta Kwa wingi... Zinakuwa soft... na rahisi kukanda

    • @happynelson1136
      @happynelson1136 Před 2 lety

      @@anifamango6756 asante nitatumia mafuta kwa wingi hapo chapati zitatokea laini

    • @happynelson1136
      @happynelson1136 Před 2 lety

      @@sukariyao6537 ok asante hapo nimepata funzo

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi1097 Před 2 lety

    Swali lng maji ya moto au barid

  • @ishaukalweya1442
    @ishaukalweya1442 Před 11 měsíci

    Pishi zurisana