GB G4 KWA HASIRA AMPASUA MANGUNGU Achukizwa AGGY SIMBA NA DR MO KUFUNGIWA | ONDOKA TUACHIE TIMU YETU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 06. 2024
  • #gb64 #simbasc #mangungu #simbaleo #migogoroyasimba
  • Sport

Komentáře • 166

  • @Franccoz
    @Franccoz Před 5 dny +10

    BILAA MANGUNGU KUTOKA MADARAKANI SISI WANASIMBA HATUTANUNUA JEZI NA UWANJAN HATUENDI

  • @LilianMasilayo
    @LilianMasilayo Před 5 dny +11

    Mangungu mzee wa lushwa yanga wanamtumia mangungu kutuumiza Hela hawana wanatumia Hela za nchi walikula Hela 5 goli prisons manual mangungu wanatuhujumu mangungu ipo siku wanaokupa bichwa Leo kesho haijulikani

  • @PendoMatemba-ql1ng
    @PendoMatemba-ql1ng Před 5 dny +9

    Mangungu Akakae mwenyewe uwanjani mashabiki Atuendi

  • @reinfridlipili5666
    @reinfridlipili5666 Před 5 dny +2

    Press YAO lakini maelezo meeengi Yanga wanaimbwa😇😇, Huku kuchanganyikiwa bana, Wanawaza Yanga tu..

  • @AtuganileMwaigomole
    @AtuganileMwaigomole Před 5 dny +10

    Umenena wengi hatuna kadi tunambiwa hamna

  • @nesto_automobiles6537
    @nesto_automobiles6537 Před 5 dny +6

    Umeongea ukweli GB

  • @moseshaji1177
    @moseshaji1177 Před 5 dny +9

    Jezi hatununui na uwanjani simba day hatwendi

  • @mkaguru-lz2tn
    @mkaguru-lz2tn Před 5 dny +8

    GB unanikosha kaka hunatupa serious issue

  • @yusufsong7993
    @yusufsong7993 Před 5 dny +7

    Cha kufanya jezi akuna kununua basi iyo ndio dawa yao

  • @LilianMasilayo
    @LilianMasilayo Před 5 dny +9

    Jezi atanunua mangungu na familia yake uwanjani ataenda mangungu na gsm mangungu njaa kali hana pakwenda

  • @NoelKiwike-wc8wh
    @NoelKiwike-wc8wh Před 5 dny +8

    Mangungu mwehu😮

  • @AyubuKhalid
    @AyubuKhalid Před 5 dny +9

    Mangungu Hana Kila kitu hataki kukoselewa.

  • @khamisalawi9397
    @khamisalawi9397 Před 5 dny +8

    Kimenuka na kitaendelea kunuka🤣🤣🤣🤣🤣♥️🙏

  • @user-wc6dl8kp9p
    @user-wc6dl8kp9p Před 5 dny +5

    Umemsahau Mohamed Mwameja Idd Pazzi

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Před 5 dny +6

    MANGUNGU SIMBA SIO TIMU YA MKEWE AONDOKE TU KUMA LA MAMAKE

  • @adilmohamed2117
    @adilmohamed2117 Před 5 dny +5

    Gb tupo na ww jezi hamna kununua kaka tuna isusa mpka kielewe

  • @LetasKomba-br1xh
    @LetasKomba-br1xh Před 5 dny +5

    Nikweli kaka yanga hawana hera Eng heris atajuta kuwaongoza watu wa ccm wanaopenda vya bule bule yanga nitimu ya siasa hawana hera

  • @AllyShaban-ms7ot
    @AllyShaban-ms7ot Před 5 dny +8

    Mangungu ondoka

  • @user-bf6tg3ji7t
    @user-bf6tg3ji7t Před 5 dny +4

    Mbona Gb64 kama anapiga vilevi😂, ukifuatilia hata haelewi yani, simba inaitaji Maombi kwakwel

  • @Ommybabaa47
    @Ommybabaa47 Před 5 dny +4

    MO +Magori+Barbara❤ Speed 200 Alhamdulillah

  • @YohanaMwakaje
    @YohanaMwakaje Před 5 dny +12

    Naipenda Simba ila mangungu hatukutaki wewe nimchawi wetu sinunui jez 🤸

  • @silvanuskisinza4303
    @silvanuskisinza4303 Před 5 dny +7

    Mangungu ni kimavi

  • @PendoMatemba-ql1ng
    @PendoMatemba-ql1ng Před 5 dny +10

    Simba day waende hao viongozi waende peke yao kwa nini hawataki kusikiliza mashabiki viongozi waende wenyewe hiyo simba day

  • @user-kn7bo6iz4n
    @user-kn7bo6iz4n Před 5 dny +6

    Mangungu ni mwehu

  • @omarysebwa8280
    @omarysebwa8280 Před 5 dny +3

    Pambana Mangungu aweze kuondoka atuachie timu yetu sawa kiongozi?

  • @protaspeter5371
    @protaspeter5371 Před 4 dny +2

    Hata Fredy aondoke msimsahau hana ubora wa kuichezea simba,badae mtakuja kunikumbuka

  • @ambakisyemwanjemba5787
    @ambakisyemwanjemba5787 Před 5 dny +3

    Mangungu mchawi wa simba kazee kipara haka kana maudhi . harafu kaking'ang'anzi hako

  • @leonardlunguya7112
    @leonardlunguya7112 Před 5 dny +3

    Mangungu laana itamwandama kama haachii timu.Masononeko ya watu anapataje usingizi huyu Mzee? Ana roho mbaya sana huyu Mangungu,yaani Kila mtu hakutaki lakini anakomaa tu na anapata usingizi.
    Huyu Mangungu mmmh

  • @user-zh1fd8zv1x
    @user-zh1fd8zv1x Před 5 dny +2

    Tugome kununua jezi zao na tusiende uwajani, uyo mangungu ndo sumu inayotusumbua asipotoka tugairi maswala yote yatimu

  • @allysinge7096
    @allysinge7096 Před 4 dny +2

    HUYU NDO ANASABABISHA MASHABIKI WA THIMBA WAONEKANE HAWAJUI WANATAKA NINI.... YAANI UKIMFATILIA KWA UMAKINI UTAGUNDUA ANATAKA KULAUMU LKN HAHUI ALAUMU NINI

  • @omarymtotela3751
    @omarymtotela3751 Před 4 dny +2

    Mm nampenda mangungu muacheni bana yupo vizuri

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 Před 5 dny +2

    Ngao tuliwachia kwa figisu ,mleteni boss wenu anatangaza biashara zake ,anapiga hela.msimu ujao kufa kupona ,team spirit.nyamaza kenge.shikaa mo fc ,tukutane uwanjani wengine tushacheza mpira wa kibongo,shirikisho fikeni hata nusu tuwapongeze.kenge wa jangwani.

  • @protaspeter5371
    @protaspeter5371 Před 4 dny +2

    Mangungu atoke we Gb 64 umeanza uoga au umekula hela,mangungu abaki tena

  • @vuauvae8552
    @vuauvae8552 Před 4 dny +1

    Kwani Mungungu anakaa wapi tukamjazie nzi Geto kwake

  • @PendoMatemba-ql1ng
    @PendoMatemba-ql1ng Před 5 dny +2

    Mnawafunga watu wanaopambania timu yao yani hi simba ni hovyooo sana wanaoteseka kwa Aajili ya timu yao wanazuiliwa kuongelea timu yao hi timu mbovu sana haki tena mimi tahama huu ni ujinga sana

  • @jamesjames2368
    @jamesjames2368 Před 5 dny +3

    Hard drive ikingia virus memory inaanza kuchanganya ma file, inaanza kuwa slow katika ku process data. Illogical thinking. Ni kweli ana jitekenya na kucheka Mwenyewe.

  • @MICHAELLUHUNGA-oz1rh
    @MICHAELLUHUNGA-oz1rh Před 5 dny +3

    Tuungane tusinunue jezi Wala kwenda uwanjani aende Mangungu na wahuni wenzie

    • @sadih5333
      @sadih5333 Před 5 dny

      Wewe ni Yanga usituletee habari za kususia timu yetu ya damu.

  • @barakakevela245
    @barakakevela245 Před 5 dny +2

    HIVI MANGUNGU HIYO SIMBA NI YA KWAKO? UNATAKA TUFANYAJE ILI UELEWE HATUKUTAKI KWENYE SIMBA YETU MWISHOWE UVUMULIVU UTATUSHINDA

  • @KASKOCHAWAPROMAX
    @KASKOCHAWAPROMAX Před 4 dny +2

    Ni kweli somba yenu amnazo

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Před 5 dny +2

    Wewe km ni kiongozi kwann hutaki kuambiwa ukweli? badala yakujenga timu nyie mnapoteza muda kuwajadili mashabiki nakuwafungia mashabiki hawajafurahishwa kabisa na hicho kitu. au mnataka mashabiki wasiende uwanjani? MUWE MNAKUBALI MABADILIKO NDY MAANA MNAFELI HAMTAKI UKWELI KUIGA CY DHAMBI IGENI KWA YANGA.

  • @YoabuNdabhaha
    @YoabuNdabhaha Před 5 dny +2

    Majez watanunua wakina mangungu na familia yake

  • @shabanikamchacho1949
    @shabanikamchacho1949 Před 5 dny +3

    Kabla ya kumlaumu Mangungu turejee kwenye KATIBA yetu

  • @adilmohamed2117
    @adilmohamed2117 Před 5 dny +2

    Kifupi mangungu hutoki jezi utanunua mwenyewe tuwe wamoja

  • @twahakabajemi9716
    @twahakabajemi9716 Před 5 dny +2

    Kama hamniridhiki na viongozi acha neni na timu lao

  • @user-xq8oo1qz3p
    @user-xq8oo1qz3p Před 5 dny +3

    Azizi yupo Sana mzee

  • @PendoMatemba-ql1ng
    @PendoMatemba-ql1ng Před 5 dny +5

    Mangungu Asipotoka uwanjani mashabiki tusiende tuweni wamoja wana simba

  • @daudhabona8897
    @daudhabona8897 Před 5 dny +3

    Simba mna mikwara. Tukutane ngao ya jamii. 😊

  • @andrewmaiga4331
    @andrewmaiga4331 Před 5 dny +2

    Umenena kweli,

  • @user-ps2om3fg8x
    @user-ps2om3fg8x Před 4 dny +1

    Jb64 unanikosha sana, unalaumu weee mwisho wa siku unatambaaaa na usajili.

  • @cornelkapinga8926
    @cornelkapinga8926 Před 5 dny +2

    Mangungu aondoke

  • @omarysebwa8280
    @omarysebwa8280 Před 5 dny +1

    Mangungu anatakiwa aondoke siyo aendelee kubaki, abaki ili iweje? Huyo Mzee ni kabila gani kwanza? Ili tujue asili ya kazi anazotakiwa kuzifanya? Maana siyo lazima aongoze klabu ya mpira

  • @ZamizaKinyamkela
    @ZamizaKinyamkela Před 4 dny +1

    Mangungu,ondoka kwa heshima,usingoje kufedheheshwa

  • @clarencemeena1628
    @clarencemeena1628 Před 4 dny

    Mangungu amekosea sifa zote za kuwa Kiongozi, haiwezekani mashabiki wanampigia kelele nchi nzima lkn Bado ameshindwa kuwajibika, nafikiri kuna kitu kikubwa sana anakipata pale Simba

  • @frankmwinuka6298
    @frankmwinuka6298 Před 4 dny

    Yule mzee na kamati ya maadili iondolewe ndiyo wachawi wetu

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb Před 4 dny

    Mm naomba mashabiki tusiende uwanjani Wala jezi tusinunue

  • @AmiriMalenge-kc5jk
    @AmiriMalenge-kc5jk Před 4 dny

    Unazungumzaaa halafu unaludi nyuma 😂😂😂 na bado na nimeitunza hii tukutane mwisho wa msimu Inshallah biidhinllah

  • @silvesterrichardhelenya1319

    Huyo alikuwa mwanasiasa ana damu ya ccm kuachia ngazi mpaka muende nyumbani kwake mpige ngoma ndani ya siku 5 mkiimbwa hatukutaki mangungu

  • @abdallahathumani3796
    @abdallahathumani3796 Před 4 dny

    Mangungu hatumtaki bila yeye kuondoka pale tutashabikia simba yetu kwenye TV uwanjani wataenda viongozi wenyewe

  • @LorynNila
    @LorynNila Před 4 dny

    Movement iendelee like south africa mpaka waondoke amna kutafuta timu zingine waondoke tu

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb Před 4 dny

    Wanaogopa kufukuzwa kwanza serekali inakosea kuingiria mambo ya mchezo

  • @maribahanyora8478
    @maribahanyora8478 Před 3 dny

    Mi naona upande wapili walitaka wamtoe mangungu kama huamini mbona waliojiuzuru mbona wote wamerudi??

  • @matronamushi7021
    @matronamushi7021 Před 4 dny

    Mchekeshaji huyo...et Aziz Ki hayupo zuzu kama zuzu😂😂

  • @abubakarishariff8489
    @abubakarishariff8489 Před 4 dny +1

    Atununui jezi na uwanjani atuwendi

  • @ramaMuhomba
    @ramaMuhomba Před 4 dny

    Hapo cha msingi tukitaka kuonyesha nguvu za mashabiki tusinunue jezi wala simba day tusiende kujaza uwanja ndio tususie wote

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Před 4 dny

    Pale Yanga palitokeaga mgogoro mkubwa sana, wakafukuzwa wachezaji wotee, wakaanza na vijana wadogoo kabisa ndo wakala 6 na simb ( ndo kibadeni akafunga 3) je mnayataka hayo?.

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Před 4 dny

    SIMBA NGUVU MOJA🎉🎉🎉❤❤❤

  • @user-yu2hh7kh8o
    @user-yu2hh7kh8o Před dnem

    huyu mangungu huyu tunamshitakia mungu ahukumu

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m Před 3 dny

    Wewe unawafanya yanga waendelea kuchochea fujo katika simba

  • @JumanneMakaluti
    @JumanneMakaluti Před 4 dny

    Nikisikia tu hilo jina la Mangungu au kuona hata mchoro wa sura yake basi moyo na nafsi yangu inachafukwa mnoooo!

  • @GentleGiant-pj2rk
    @GentleGiant-pj2rk Před 4 dny

    Mangungu ndiye atakayeivusha Simba

  • @meshackthomas1341
    @meshackthomas1341 Před 4 dny

    Hayo maneno ya kipuuzi kama haya. Ndo tatizo hayana uhalisia unasfia 0. Et Kwa sababu zipo nyingi 😂😂😂😂. Sifuri ni nini?

  • @peterjisema4222
    @peterjisema4222 Před 4 dny

    GB 64 Kweli ni shabiki wa Simba ila kichwani hamnazo,ndio maana anaropoka na kutiwa ndani kwa kuwa huwa anaingia bila kufikiria.Mdomo huwa hauna ushirikiano na ubongo,anaongea kabla ya kufikiri huyu jamaa.Sielewi hata alivyokuwa anafundisha huko shuleni

  • @rashidmkoga3053
    @rashidmkoga3053 Před 4 dny

    Mwaka huu jezi tuna mwachia mangungu na Mo wanunue wenyewe

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 Před 4 dny

    Leo machawa mmeona ujinga wenu WASHABIKI WOTE UNGANENI UMOJA

  • @malietamalieta9658
    @malietamalieta9658 Před 4 dny

    😂😂😂ety yanga ??? Sijasikia vizur jichanganye daima mbele nyuma mwiko tanben pande zenu tu na babra mwenyewe anawachamba ety oooh diarra aziz ki juzi walikua dodoma vip dodoma inapatikana kenya??

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 Před 4 dny

    Sasa kaka yangu Gb 64 ninyi mnataka kufanya mikutano na maandamano kwani ninyi Chadema ? Mambo hayo wenyewe Tundu Lissu na Mbowe pamoja na Msigwa na Sungu ninyi Simba maandamano wapi na wapi nyie ngojeeni Tabu lele waaaaaa

  • @mbogowambogosabaganga
    @mbogowambogosabaganga Před 5 dny +1

    😢 5:54

  • @user-tg7vq3ty8p
    @user-tg7vq3ty8p Před 4 dny

    KAMA CCM INAKOSOLEWA ITAKUWA HUYO MANGUNGU ASIKOSOLOWE YEYE AKIWA NANI? KWELI TUMEROGWA. JEZI SINUNUI. SIMBA DAY SIENDI. MECHI ZA LIGI NA KIMATAIFA SITOHUDHURIA. SITOSAFIRI NA TIMU MECHI ZA MIKOANI NA NJE YA NCHI.

  • @johnmarwa4702
    @johnmarwa4702 Před 4 dny

    We mbwa kweli kisugu kaangalie familia Acha taarabu

  • @abujumanne7570
    @abujumanne7570 Před 5 dny +1

    Hapa nataka niwaulize serekali kwa Nini munahusika kuikandamiza Simba waziri wa michezo kimia raisi wa tff uko wapi? Serekal semeni lolote mangungu anatesa watu namuna hii

  • @CareenJulias-iu7tf
    @CareenJulias-iu7tf Před 4 dny

    Kaka GB wewe Ni kiboko yao haswa. Umenyooka Kaka. Sasa viongozi wengine wa Simba kuweni makini tumesema Sana kuhusu huyu chizi Mangungu. Sasa Kuna hasara kubwa inakuja msimbazi. Mangungu hebu kuwa na hekima ya madaraka kwa Hali hii wewe Mangungu HAKUNA utakayemwongoza sasa akakuheshimu Kama mwenyekiti wao. TUACHIE TIMU YETU BASI.

  • @NanaoAkonaay-lw9yd
    @NanaoAkonaay-lw9yd Před 4 dny

    Kwani huyo SHONDO ni nani?

  • @omarymwenebatu
    @omarymwenebatu Před 3 dny

    MANGUNGU sio astahilikuwa kiongozi na nimamluki.

  • @zainabsimbamtoro6790
    @zainabsimbamtoro6790 Před 3 dny

    Mimwe yewe Nataka kadi jamani Simba tuko Wengii

  • @LESHABAHATI
    @LESHABAHATI Před 3 dny

    Nendeni nyie viongozi simba day mnatukosea sana

  • @valentinotemba505
    @valentinotemba505 Před 3 dny

    Ningewa mchawi ngemloga mangungu huyu mzee spend hvi Simba n baba ake hili lizee bhna

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m Před 3 dny

    We mtu achana na maneno unasababisha migogoro simba

  • @YosiaKasabago255
    @YosiaKasabago255 Před 4 dny

    Uwanjani ataenda Mangungu na mke wake

  • @HAMIDURAMADHANI-ev5od

    Shondoooooooo😂😂😂😂😂😂😂

  • @erickmasumbuko3841
    @erickmasumbuko3841 Před 4 dny

    Bwabwaja😂😂 tu ngao ya jamii sio mbali tutakutana😂😂😂

  • @user-zi7ku2gs3h
    @user-zi7ku2gs3h Před 5 dny

    Mangungu ana kigogo anaemsapoti kuiharibu simba asipotoka basi abaki na timu yak

  • @user-fg1gg3ec2o
    @user-fg1gg3ec2o Před 3 dny

    Mangngu achia timu bana mpaka uchomewe nyumba

  • @ziadantara1345
    @ziadantara1345 Před 3 dny

    Hakuna kununua jezi wala simba day

  • @Ally-zz2hv
    @Ally-zz2hv Před 4 dny

    Kutoa ni moyo sio utajiri gb64 jiliwaze tu

  • @nkansionlinetv
    @nkansionlinetv Před 3 dny

    mangungu asepe

  • @ibrakulwa2737
    @ibrakulwa2737 Před 4 dny

    Kuchanganyikiwa kubaya

  • @rafaeljohn447
    @rafaeljohn447 Před 4 dny

    Endeleeni na upumbavu wenu nyie kolo, mtakapofungwa nje ndani ndo mtabaki milio kama mbwa koko

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb Před 4 dny

    Tumsikilize mangungu wanini

  • @user-qy2me3yv9j
    @user-qy2me3yv9j Před 4 dny

    Mangungu niwakupiga mawe nahicho kichwa kigumu

  • @papaahussein5263
    @papaahussein5263 Před 3 dny

    Mangungu ni mpumbavu sana ila atarudi