Nilichopenda....ni kuwa scene inalenga point tu afu inaingia nyngn....hakuna kupoteza mda Wala kuchoshana.....Hii inaongeza concentration Sana wakat wa kutizama ili usipitwe.....Art is life👏👏👏👏
Kutoka 🇧🇮movie ipo vizuri ongereni , ila kwenye damu aijakaa sawa kabisa napiya mtu akipingwa risasi begani awezi akafariki kwaiyo koseweni vimoja tunawapenda sana🙌
Mimi leo ni wa 150999900000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000
Chezea kufa 😂😂😂 kuomba likikizo kabila shule azijafungu unachekesha ww 😂😂😂 hila dudu nampenda san hyoo mabuti kama anamke mm np hp ramdhani hii mabuti safari kaja kivengene mabuti fungene tu
NILIKUWA NAMUANGALIA HUYU HAJRA KIDOTI YUPO ❤❤KUMBE YUPO KWELI NAMKUBALI SANA HUYU MWANADADA HALAFU NAMPENDA KINOMA YANI WALLAHI🎉🎉ALL THE WAY FROM KENYA
Good work 🔥💪
Shukrani kaka 🙏🙏🙏
Clam vevo aki fanya kitu yani wote wana fanya ina onekana Clam vevo ana inspire watu wengi
@@Credokiwaga01.. akili zako hizo, watu wangu chapeni kazi waombea lazima waongee, nawapenda sana 🎉❤🎉❤❤❤❤
@@OfficialDubu_tzsafiiii
❤❤❤
Kaka dubu kazi yako ni nzuri jitaidi kwenye damu hapo iwe damu haswa sio inaonekana damu ya njano
Atafute Vampire blood itamsaidia sana
Mnajua haya maneno aisee😂😂
Yes
@@Saaa235 nipoa,hope atafata ushauri
Kweli damu ionekane kama damu kweli
😂😂😂😂😂umepata msiba wa ghafla😂Niuweni na kicheko team Dubu..much love from 🇰🇪 nipeni likes zangu
🤣🤣
Kazi zuri ndugu yangu Allah awe nawe ndugu yangu ila apo maeneo ya damu jitahidi iwe n'a rangi ya kweli tu itakuwa vzr
🙏🙏🙏
Mmmmmh damu hizo Zina rangi ya 🍊 oranges jamani
Mtumishi moto😅😂😂😂
Mapema sana brother🎉🎉🎉🎉Good job tumekuja kivingine now❤❤🎉🎉
🙏🥰
This guy never disappoints ❤ much love from 🇺🇬
🙏🥰
'waooo naona Dubu ametuleyeya kitu kipya 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
🥰👌
Nilichopenda....ni kuwa scene inalenga point tu afu inaingia nyngn....hakuna kupoteza mda Wala kuchoshana.....Hii inaongeza concentration Sana wakat wa kutizama ili usipitwe.....Art is life👏👏👏👏
🙏🙏🙏🙏🙏
Man dubu again, safi sana Mzee nimefurahi kumuona tena nyani ngwengwe 😂😂😂
🤣🙏
Hii 😂😂 saf sana Yan hii muvi inaanza na kuuwana good job master Dubu Tz Tupo Pamoja kk
🙏🤝
Mwanangu dubuuu😂😂😂😂nyan ngwengwe 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
🙏🤝
Kazi nzuri sana dubu udugu wangu ila apo kwenye damu jitaidi nduguangu fanya jambo basi🎉🎉🎉
🤝🤝
❤❤❤❤❤🎉 Watu mnawai jomoni me nikajua nitakuwa wa kwanza ❤❤❤❤❤🎉 ila sijachelewa🎉 kitu kipya tunacho tunatamba nayo😋❤️ongera dubu 🎉🎉❤
🙏🙏
❤❤❤❤dubu kazi yako nzuri@@OfficialDubu_tz
Maneno kidogo likes nyingi nipeni basi hata tano tuh inatosha ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😢😢😢😢😢😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤
Fila ninzur sana sema jitahid sana kwenye dam isiwe mpauko hata mtu akipigwa risas jeraha liwe jekundu
Kutoka 🇧🇮movie ipo vizuri ongereni , ila kwenye damu aijakaa sawa kabisa napiya mtu akipingwa risasi begani awezi akafariki kwaiyo koseweni vimoja tunawapenda sana🙌
🙏🙏
Kaz nzuri❤❤❤
🙏🥰
Kazi nzuri sana dubu na team yako nawakubali tu sana ❤❤❤
🙏🥰
Mganga mapianooooooooo😂😂😂😂😂
😂😂😂nkweli ushachoka mpaka unaomba likizo hap kwa dudu mm sijaelewa mpo mapacha au
From kenya watching alive, ,good worker brother dubu,God bless you...
🙏🤝
🫶🙏❤️
@@OfficialDubu_tz.. naomba nafasi ya kuigiza nawe katika crew Yako tafadhali
Dubu nakupenda sana akiii pewa maua yako🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Kazi nzr dubu love u ❤
🙏🥰
Oya editing mmezingua kuwa serious bas
Yani hata sielew dubu wako wagap
Hii rangi ya damu haijakolea vizuri
Wampe matunda damu 😂😂😂😂 wanaotak damuuu ikolee wekundu
Goood Job kaka Dubu🎉🎉🎉🎉🎉
🙏🥰
Dubu wasema hakuna kulala...keep going na team yako Mola Yunanyi
Amiin Inshaallah 🤲
Ila dubu kazi watu wako kiukwer wabachekesha hatar dah 😂😂😂
🙏🙏
Dubu mie napenda sana move za Action natamani ningekuwa mshilika wako kwenye hii
🤝🤝
Dubu tz mimi nipo drc🇨🇩 nafatilia filamu zako hakika wewe ni meilleur acteur
🙏🙏
Mashallah keep it up Dubu❤❤❤❤❤
🙏🥰
Nilijua tu Dubu yumo jikoni kutwandalia ndio hii sasa iko mezani❤❤❤🇰🇪🇰🇪
🙏🥰
Mbona naona mawenge kwani uyu dubu wako wawili au n uyu uyu mmoja lkn uwapretend tuu...Thamuu mnoo...
From Mombasa Kenya watching 🎉🎉🎉🎉
🙏🙏
Jamani dubu sijapenda damu venye inakaa jitahidi kwa hapo from Riyadh, KENYA 🇰🇪💪🔥
Mimi leo ni wa 150999900000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000
Nakukubali sana Dubu💯💯💯💯💗💗💗💗
🙏🥰
Udugu wangu dubu tuko pamoja na ww mpaka tufe kwa kutafuta bando😅😅😅
🤣🙏
Leo wa pili jama😊
Kaz nzur brother, nataman siku moja nishut na ww , nakubal sana uwezo wako
Inshaallah
Kwenye dam tu ndo umezigua
😅😅😅😅 dubu hii siyo damu Haki na apa😂😂😂😂😂
Kazi nzuli sna kaka kazana mbere pazuli
🙏🙏
Weeeeeee dubu umepigaje hapo 😂😂alafu kakaa umeupiga mwingi ❤❤ Asante kwa mara nyengine tena nyani ngwengwe na mtumishi moto 😊😊😊
🙏🙏
Much love from Kenya ❤
🙏🥰
@@OfficialDubu_tz musicheleweshe sana basi
Kazi nzurii Dubu MUNGU azidi kukuongoza
Amin Inshaallah
Makinii kaka
Pongezi sanaaaaaaaa Kwa kazi yenyu ❤❤❤ much love from Kenya
🥰🥰
Mwanang dubu wa faida nipeni zangu wadau
Jaman hap kweny damu sasa bora hat nyanya ya kachumbali mjitahid inayofat ila kaz ni nzuri ❤❤❤
🙏🙏
Am here from Kisii KENYA 🇰🇪
Much love from saudia Arabia nice work dubu i really appreciate that ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉
Kazi nzur sema mboreshe hapo kwenye dam inaonekana tomato bila chenga
Nyani ngwengwe😊😅
Love you Dubu udugu wangu ❤❤❤
🙏🥰
Dubu udugu wangu, mdomo koma😂
Am here for Nyani Ngwengwe 😅
Dubu udugu wangu ,😂😂😂 nafata azuma😂
Noma sana aise kaz nzur jaman
🙏🙏
miye nakupenda dubu❤🎉 3:38
High creativity
🙏🙏
😂😂😂😂😂😂😂😂😂mzee kazi moto😂😂😂😂hapo kwa damu ndio mmefair sana
🙏🤝
Nakupenda sana kaka pia uko handsome ❤❤❤
🙏🥰
Kaka yangu nikupenda sasa❤❤❤
🙏🥰
Nmeipenda sana good job
🙏🙏
Chezea kufa 😂😂😂 kuomba likikizo kabila shule azijafungu unachekesha ww 😂😂😂 hila dudu nampenda san hyoo mabuti kama anamke mm np hp ramdhani hii mabuti safari kaja kivengene mabuti fungene tu
🤣🥰
NILIKUWA NAMUANGALIA HUYU HAJRA KIDOTI YUPO ❤❤KUMBE YUPO KWELI NAMKUBALI SANA HUYU MWANADADA HALAFU NAMPENDA KINOMA YANI WALLAHI🎉🎉ALL THE WAY FROM KENYA
🥰🥰
Asee hiyo Dam Sio kweli Skuizi hatu weki rangi za ubuyu sawa tuna tumia rangi Ya Anjari yakiarabu
Nguru gwengwe umeua na mtumishi moto ❤❤❤❤ na baba hajra
🙏🥰
Dubu hii kopi ujitoa edit ngapi kwa wauza makopo sraper, kwa kikosi cha majangili na dubu ndungu yake hajra hii kopi ujitoa edit 3
Dubu n nzur nipo nachek apa ❤❤❤sema dam kidg imezngua still kaz nzur
🙏🤝
Mfate kwao kma wamtakaa😂😂😂😂😂😂
❤❤ vizur dam boresha alafu punguza mapoz
🙏🤝
u
pw
Kazi nzuri
Kazi nzuri sana dubu❤❤❤❤
🙏❤️
Kazi njema dubu
🙏🙏
Mbona yatatukuta mambo mwaka huu 😂😂😂😂😂
🤣🤣
Yani kazi mbovu sana damu eti tomato asa kwann mnatumia bastola kama jinsi ya kuedit vizur hamjui
Tunashukuru sana 🙏
miye nakupenda dubu
Udugu wangu dubu ❤❤❤❤
🙏🥰
Dubu we no more fire🔥🔥
Dubu nakukubali sana..your friend from Kenya...kazi nzuri but exaggeration is aloot...in otherwise uko vizuri
🙏🙏🥰🥰
Umetisha kaka 🔥👊🔥👊
🙏
Duuh movie kali san, mpo vzur
Tunashukuru sana 🙏
Ila dubu big up wewe ni 🔥🔥🔥
From Mozambique 🇲🇿
Dubu udugu wangu🔥🔥
🙏🤝
douh yaani nooma sana yaani ni hiti after hiti mambo moto moto
🙏🤝
Kazi nzur dubu🎉
🙏🙏
Mjitaidi tomato zinaonekana kabisa
Ujutaidi uache ujuaji hatuja tumia tomato🙏
@@OfficialDubu_tzwe bdo msanii mchanga kubali kukoselewa ss ulitk usifiwe ht sehem uliyozngua kweli hzo nyanya usianze kusem mjuaji 😂
Nzur sanaa🎉🎉msicheleweshe part2 sasa
🙏🙏
udugu wangu dubu congra
🙏🙏
Story kali mkuu...mwanangu nyani ngwengwe 😂😂 umetisha
🙏🙏
😂😂😂mabuti umepigaje hap kweny maokoto efu tatu ww unazo babu na mabuti 😂😂😂😂
🤣🤣
Series kali sana dubu t🔥z
🙏🙏
Dubu huna kazi mbovu🎉🎉🎉
🙏🙏
❤❤❤kazi nzuri bro
🙏🥰
Chuma kipya kazi nzuri Bro
Shukrani sana 🙏 🥰
Tomato iyo umezinguwa dubu leo sijapenda kabisa
Kuna short nimepost inaonyesha Hiyo Damu
@@OfficialDubu_tz sawa boss nimekupata ila hongera sana
Nyani ngwengwe😂😂😂😂😂😂
Ilipoanza nikajua dubu kuzingua kumbe ni bonge moja la movie umetisha dubu
🙏🙏
Siku nitapo kuja dar naomba tuonane my brother dubu