Tunashkuru sana clam vevo kwa kutuletea tena movie nyingine ila tunaomba tu uwe unawahisha mwendelezo kama unakubali ushauri WANGU Kwa Clam naomba like yako hap jmn
Haaaa iyi inakuja vibaya Tena! Inaonekana itashinda snake Boy Wallah 😂😂munatuacha na hamu wajameni🇨🇩🇨🇩🇨🇩tunapenda movie zako sana courage vraimant Mon frère clam Vevo
Aisee director kazi bora kabisa. Nimependa reactions na emotions aiseee. Very mucj interesting jamani. Kanumba is back niaminini maneno yangu. Clam Vevo is the real one.❤
Najua ni vyema kujaribu mambo mapya nyakati zingine,ila naomba tuwache iyo kizungu twendelee tu na kiswahili chetu...Series ni kali sana..production na storyline pia iko juu sana.Nimeikubali.Bravo Clam Vevo.
@Cram Vevo Umekua Ukileta Kazi Bora sanaaa Sokonii Kazaa Brow Pia usikawie kulete mwendelezo coz tunapenda Sanaa pia tunamiss Sanaa kazii zako brow ❤🔥🔥🔥🔥🔥
Nimefurahi kumuona gumbo kwa clam kwa mara ya kwanza na bwana Amka....clam niliwaambia habahatishi akipika kitu amepiga hongera sana❤❤natumai nitamuona director gozi na shadow hapa ndani pia doko pia hii series yamfaaa...❤❤much love from kenya japo kuwa nimechelewa 😅😅pend sana hiii wale wangu wakenya 🇰🇪🇰🇪kilifi kikambala mtwapa majengo.vipingo tujuane kwanlikes❤
@@user-it7cr5lb9u nakwambia single huku kwa majambazi..doko ninavyo mjua kwa ukali wake ...Atapiga vizuri sana...Gozi nae apewe yake duuuu aisee series tamu sana
Tunashkuru sana clam vevo kwa kutuletea tena movie nyingine ila tunaomba tu uwe unawahisha mwendelezo kama unakubali ushauri WANGU Kwa Clam naomba like yako hap jmn
mwambie aache usenge na kujifanya wanaongea kingereza
@@mbagee😂😂😂😂 aweke na tafsir au sio
@@mbageeElewa neno MISTAKE😂😂😂😂😂
Wakibaki na uswahili mwingi hatofika kimataifa ndo mana anafanya ivo tuelewe kuwa saizi dunia inashikwa na english ila ata ivo situmelewa movie au sio
Mwakatobe this time kaja kivingine❤
Wa kwanza Mimi APA toka congo 🇨🇩 nipe like zangu 😂🎉🎉
Ya karia koo si et ee
Ujaangalia una koment tu
Ndugu yangu wewe🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Huna baya
Umejitahidi data ya congo 🇨🇩 sio raisi kuwa wa kwanza
Mwakatobe ndani ya nyumba😅😅😅
Kazi nzuri sana lakn naomb kingereza kinyóoke basi watu wamekosea sanaa humuu daah
SWADAKTA wasitumie kizungu etiiee
Nyingine Kali sana Clam vevo wakenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 mupo mumeikubali ngonga like tukisonga
Welcome back clam vevo ❤like za Qatar 🇶🇦 siko wapi
Waooooh Gumbo nmefurahi sana kukuona ntaenda kumwambia Recho kwamba umekimbilia huku kumbe 😂😂😅😅🤣🤣
Haaaa iyi inakuja vibaya Tena! Inaonekana itashinda snake Boy Wallah 😂😂munatuacha na hamu wajameni🇨🇩🇨🇩🇨🇩tunapenda movie zako sana courage vraimant Mon frère clam Vevo
Kwa kweli mapokezi hii movie sio madogo na mm naipokea kwa mikono miwil nipeni like zangu
Hii nayo lazma tuende nayo adi kikomo 😂team strong hoyeeeeeeeeee mko wapi jmn😂km wapenda clam VEVO 🇸🇦🇰🇪 like apa please ♥️♥️♥️
Hoiyeee sisi ndo tuko au sio 🇰🇪🇸🇦
😅tuko hapa🇹🇿🇦🇪
Tupo tupo time furusi
Tupooo
🎉🎉🎉🎉
Duuh nyie mbn mnaniwahi Kila ikitok naomben namm like zenu🎉🎉🎉
Kazi juu ya kazi kakangu. Big up kwa Director bora kwa sasa.
Mwakatobe jambazi this time so funny 😂😂kazi nzurii clam vevo
bado tunasubiri BIB BOSS season2
kwanza ongeya kwa kazi kubwa ulifanya ya SNACK BOY
Series ni nzuli sana lakini tunaitaji mwendelezo uwe haraka-haraka. Much love❤❤ Clam Vevo Group from Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Big up Sana hakika Sanaa unaiweza
Mwakatobe ajawai kuwa series kabisa na kipala chake😀😀😀😀😀
wakwanza from kenya much love 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥🔥
Nipitie kwangu usubscribe na ubarikiwe Sana
@@francisnjorogewanjirugitao3575 🤛🤛
Kenya one .. one love from Kenya 🇰🇪
Sawa lkn apo mwisho umetuongopea kwaiyo ata ku epa umeshindwa aahhhaa sio kweli
Hivi mmemuona sinaga tabia za umbea umbea😂😂😂😂🔥🔥💯
Clam vevo ni number one kwa sasa akuna mpinzani mimi ni mu congomani nikiwa south Africa i love u clam
This guy is taking bongo movie to the next level 🔥🔥
Aisee..unastahili maua yko🎉🎉...i ki2 🔥🔥🔥
🎉🎉🎉🎉🎉🎉yes you are right 👍
This is not Bongo movie bro
That was for kanumbas generation
Bongo Movie will never come back either the return of the late STEVIN CHARLES KANUMBA
Clam unatisha sana excellent vraiment movie yako 🇨🇩 Congo tunaifata kwa hamu
wewe ninoma kaka clam cris mungu akupe uwezo na nguvu zakufanya kazi nzuri
From Kenya kuna mapokelezi si haba... Salute 🫡🫡 CLAM
Yooo😂😂 nilithani "si haba "nikusema chache
@@erickkiptoo5254 😂
AMISI
@@erickkiptoo5254😂😂
FINALLY MWAKATOBE WITH ANOTHER CHARACTER
Kumbe umeona😂😂😂😂
😅😅😅😅
Zee na msuli wake
Ila urogi hajaacha😅😅😅
Big Boss parts 2 lini
kutoka kwenye uchawi/uganga
hadi ujambazi .
mwakatobe wamekuonea
😂😂😂😂😂
Jamani anayeona style ya kipara na mwakatobe aweke likes 🎉🎉❤apo
One love kutoka Burundi 🇧🇮 tunayipenda hiyo🎉🎉
Much love from Kenya ❤❤
Jamani hata cjui niseme nn mm napenda sana moves zako clam ❤❤❤❤❤❤❤
Hongereni team clamvevo ...ila mwakatobe na kipala wanna man wnazingua😂😂😂😂 🤣🤣🤣
I said on behalf of machakos county Kenya we were waiting for this and now we are here ❤much love to clam ❤❤❤
Goood job
Same here in Machakos ❤❤
@@zeinabathman5875 pin location
Movie 🍿 Kali sema kingereza Cha umu Cha mchongo kakoso na yule jambazi mpola pesa sijawaelewa acheni kubahatisha
Hawa ni comedy wameamua kufanya hivyo ili tucheke tu na tuitilie maanani
Izo ngorofa ni za Nairobi Kenya 🤣
Huyu jamaa aliyempokeaa clam...anajua kuigiza sana 🙏🙌🙌🙌🙌👏👏
Pure talent ⭐⭐⭐⭐⭐,big fun💪🏼,..c!aim vevo going far for real,🇰🇪 Love
Always ready to support our Neighbour Tz. Well done Clam.
Much love from Kenya 🇰🇪
Klam ni mm hamisi nyalinga kutokeakigoma kagongo yamigazin kiufup mm apa nakukubalisanakaka unafanya mambo mazur mungu akubalikisana❤
Hahahaha kipara ypo seriously kumbe anatak umbea wa tabia za hela
Clam ni next level mwakatobe hd nimempotea
Mwakatobe...kasahau ..na uchawi 😃😃😃😃😃🥂🥂
😅😅😅😅
Aisee director kazi bora kabisa. Nimependa reactions na emotions aiseee. Very mucj interesting jamani. Kanumba is back niaminini maneno yangu. Clam Vevo is the real one.❤
Mwakatobe ndani ya chocolate 🤣🤣
Mwakatobe msenge sana
Clam vevo nakubali mwanang umenifanye niaze kuipenda bongo movie tena
Najua ni vyema kujaribu mambo mapya nyakati zingine,ila naomba tuwache iyo kizungu twendelee tu na kiswahili chetu...Series ni kali sana..production na storyline pia iko juu sana.Nimeikubali.Bravo Clam Vevo.
Twendeleee Na kishwahili chetu Kabisa
Usinichekeshe mie nacheka kma fala😂😂😂Ila movie ipo swa
Acheni lugha itumike ili movie zisonge mbele
😂😂😂😂😂
Kizungu kinafanya watu wengi watazame hii mov ata wazungu
This Clevo type of a guy...napenda sana filamu zako❤💙💚💛
Umechukua namba ya kwanza bongo moves mm from kenya
Much love ❤️ from Kenya 🇰🇪 🎉🎉🎉🎉🎉wakuu kazi iko fit
Asante san bro kwa mpya hii ulio tuletea tumeipokea❤❤ kutoka kenya apa❤❤❤😊
Wow nice sana hii movie inakuja na moto mkali sana🎉🎉🎉🎉 bravo bravo 👏👏
Jamaa kilam hatari hi hazn ya taifa
Kiswahili kitukuzwe😂😂😂😂 love kwa sana kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Big up Clam Yan bandika banduaaaa ulipo tupo endelea kukiwashaaaaa🎉🎉🎉🎉🎉
Kenya 🇰🇪 tuko ndani!! Mistake yenyewe❤❤
Tunashukuru sanaaaaaa 🇲🇿 um Mozambique
Kiram huna mpizan njia waz kabisaaaaaaaaa%❤🎉
@Cram Vevo Umekua Ukileta Kazi Bora sanaaa Sokonii Kazaa Brow Pia usikawie kulete mwendelezo coz tunapenda Sanaa pia tunamiss Sanaa kazii zako brow ❤🔥🔥🔥🔥🔥
PENGO LA KANUMBA SASA TARATIBU TUNALIZIBA SAFI SANA CLAM V💪🏹
Pongezi my brother💪💪 much love from Mombasa Kenya
Leo 23/05/2024 kama umerudi tena kutizama iyi movie MISTAKE gonga like 👊🇨🇩🇨🇩🎉
Tunataka kuingia trending kaka lifanyie kazii hilo 🙏👑🔥🔥🔥🔥
Clam never disappoint us 🎉
Exactly 😂😂😂
Jmnii nzuri sana ya pili msicheleweshe bsi
Much love from Nairobi Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Tukupe tu maua yako vevo upo juuuuuuuuuuuuu sana kitukipyaaaa chamotao
Jaman me ni wa mwisho so naomba mnipe like zang 🎉🎉🎉🎉
Mwamba karudi tena 🔥🔥🔥🇧🇮🇧🇮🇧🇮
What a gem kikweli mwendelezo nakutaka araka sana
Unyama ni mwingi sana bro yani sio poa kabisa kazi mzur sana bro 💯
Beautiful boy got me rolling on the ground😂😂😂
Nakwambia wee from today😂😂😂😂😂😂
I haven't any time to waste😂😂😂
Why do u want to lost your time
😂😂😂shhiiiiii
Mumeanza😂😂jamani
Clam is taking Bongo movie to the world
Together we can 🤝💪❤️ this is love from Moçambique 🇲🇿🇲🇿
Another Banga in the east Africa you top fellow actor and a friend too wapeleke
Nimefurahi kumuona gumbo kwa clam kwa mara ya kwanza na bwana Amka....clam niliwaambia habahatishi akipika kitu amepiga hongera sana❤❤natumai nitamuona director gozi na shadow hapa ndani pia doko pia hii series yamfaaa...❤❤much love from kenya japo kuwa nimechelewa 😅😅pend sana hiii wale wangu wakenya 🇰🇪🇰🇪kilifi kikambala mtwapa majengo.vipingo tujuane kwanlikes❤
😂😂doko😂nakipara chake😅
Gumbo mbona kweny big boss yupo amecheza sio Mara ya kwanza kuwa na clam
@@isayasilvester7276 aaaah kweli umenikumbusha ila hapa amekuwa main character ♥️ nampa maua yake
@@user-it7cr5lb9u nakwambia single huku kwa majambazi..doko ninavyo mjua kwa ukali wake ...Atapiga vizuri sana...Gozi nae apewe yake duuuu aisee series tamu sana
@kamoste kaka yaani Kama ulikuwa mawazoni mwangu kwakile unacho kisema
Another banger 🔥from my brother naver disappointed for sure💯 ... for real this is big series of the year !!!!! ✌️✅
Ongera sana kaka I think hii ni muvi nzuri sana kwa mwenendo nilio uona
from mombasa kenya wadau kizungu kiachieni wenyewe, nawapenda sana
Prepare for another one month of clam VEVO trending, actually the best ever❤❤❤❤
Mambo ni fire
Clam is 🔥🔥
Clam unajuwa sana tatizo dakika ni chache fanya hata 25 basi aaah ila mwamba unajuw sana you're looking like invisible man ❤
😂😂😂mzee wa ujue sinaga tabia ya umbea mbea kaja kijambazi round hii. Safi sana
Wana flaming crew tumekubaliana na clam vevo❤❤❤❤congratulations guys🎉🎉
Keep shining Clam Vevo we like your movies 🇧🇮
minauliza inatokaje hii mouve
keep it up, you have to show Tanzanians Steven Kanumba is living on you
In you
Vraiment Ni kazi nzuri sana clam
Wakenya wenzangu mushafika kwa clam 🎉🎉🎉🎉
Clam you are very creative mkuu many love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kichupa kipya hiki na Mimi ni wakwanza naombeni like zenu Kama unamkubali Clam vevo❤🎉
Clam katunukiwa na mtoto nzuri so mchezi😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Kali sana clam vevo🙏 kama una kubali clam na wewe like 👇
Mmh mnarauka sana nlidhani mm ndo nmewahi leo😂anyway much love from kenya❤
Leo wa Kwanza naombeni like zenu wadau
Mwakatobe kama mwakatobe awamu hii n mwiziiii😂😂
kazi nyengine iyo jamani clam vevo
Boa trabalho sucesso para sempre clam Vevo ❤
Mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 mwambaaa Vevo
Kwenini bing boss S2 aitoke mimi Niko DRC Congo
Madam kim for sure and mwakatobein another character big up clam vevo🎉🎉
Kwa dakka Nene nilizo Anza angalia hii ni best series ya mwaka huu🎉🎉🎉🎉
Kingereza ndo kitu nilikichukia toka shuleni ila kwasasa najuta sikukikariri nafikiri naeleweka. From DRC Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Mashallah ❤gud job to the team🎉
klam endeleza na muendelezo big boss