Steve wee ndo the best comedy in tanzania umeuwa mwana mungu akuzidishie yaan si kwa kutupea fulaha jamn ila wee na ndalo mukipatana ndipo atalii san😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nmecheka nyie kwa kweri😂😂😂😂😂😂😂😂
Kufikiya mwanamuke akupende kaka yangu ndaro nikukuwanamwenendo muzuri piya umuheshimu hatakama nimwanamuke asante kwa film yenyu Niko mukongomani ila naisho marekani
Oya ndaro umetisha sana umechekesha kwa vitendo tu alafu noma uku steve yeye akiongeza utamu kwakuongea bonge moja la combination nimependa sana ulivyokua unasafisha gari atari sana nimecheka
Ndaro umekwangua lini hiyo line body ya gari ya chinii tenaa...?? Nenda kaweke spacer gari inyanyuke juu kidogo iko chini sana utaharibu mabamper na line body hizooo
Ningependa nibadirishe uzalendo. Nisiitwe murundi tena ila mtanzania maana napenda kitu chochote kuhusu Tanzania. Mnifanikishe sasa nije niishi huko miaka yangu yote ya maisha. Hata Kiswahili nishajifunza na nakiongea kama mtanzania
Piga honi nicheze hakuna namna Pole
Steve unajua kunogesha kinomaaa😂😂😂😂😂fundi plus fundi
Nikija daah nakuja kukutafuta
Yaan kwacomed stiv hakuna wakukupata hata kidogo
Umefanya kazi kubwa Sana
Uko powa sana steve
Yego Ndaro enikukubali San mwan👍👍👍👍👍👍👍
Kama utani ndaro kushinda gari kwenye. cheka tu hongera sana br
Hata kama nafanya comédy. Styve wewe ni genius. Big up ndaro.
Mda mungne msemage ukweli mwenywe arekebishe,,,uchawa sio kabisa,,,
vraiment ndaro n'a Steve mungu aendeleye kumijidishiya ni begoste kutoka congo❤
Amen,usiache kusali,kushukuru MUNGU wako
czcams.com/video/2nrBKw5EZjc/video.html
Daa movie tamu sana napenda tamu
Gonga like Kama unakubaliana Ndaro Ni Fundi
czcams.com/video/2nrBKw5EZjc/video.html
Dah we jmaa ni fire
Great one my love ajana na ndaro hajui kutongoza
Ndar hongera san jaman mung akulinde
Jamani tuwe wakweli tu Steve mweusi Anajua Mungu kamjalia kipaji Nimecheka Nyie Akili zenu mnazijua wenyewe Ndaro 🤦♂️🤣🤣🤣🤣
Stivu mweusi ni noma redio
Steve wee ndo the best comedy in tanzania umeuwa mwana mungu akuzidishie yaan si kwa kutupea fulaha jamn ila wee na ndalo mukipatana ndipo atalii san😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nmecheka nyie kwa kweri😂😂😂😂😂😂😂😂
Anajua sana
Well said
@@Halimamaere Zama hizi hatari.
"Msishikane mbele ya tumbo langu huwaga linaunguruma" 😂 steve hamna mtu apo
🤣🤣🤣🤣🤣 Nimecheka kweli jamani Steve mweusi Ni utakwaji tuu na Ndaro salute kwenu 🙌🏼🙌🏼😂😂
Aiseee daah ni noma sana big up sana ila hajra na Steven wako vzr
Eeeh boss lines hauna ss watumia Steve na gari pia hatokupenda huyo kidoti
Huyu ndo mchekeshaji wangu bora wa hichi kizazi 💪👏👏👏
Kufikiya mwanamuke akupende kaka yangu ndaro nikukuwanamwenendo muzuri piya umuheshimu hatakama nimwanamuke asante kwa film yenyu Niko mukongomani ila naisho marekani
Nakwemera ndaro tz
Ndaro is the best actor gonga like mingi kwa ndaro...
Steve ww jamaa unajua. Ndaro nakuelewa halafu steve kila siku tunakagua youtube yako nini shida mbona hautupi mambo mzee
Ivi ndaro nkuulize hukuskia kizunguzungu😂😂😂wazunguka gari kama alkaba
Msishikane kwenye tumbo langu huwa linanguruma 😂😂😂😂😂😂😂😂
Kutoka Kenya namfollow ndaro na stive sana ak ,,,,,tuko pamoja😅😅😅🎉🎉🎉🎉
Ndaro good job 👏 and you get special car 🚗
Ndaro U are my best comedian 4 sure..... Aky wewe kiboko..... Chukua hio ❤❤❤❤
Ama kwelii Hii ndo kutongoza kwa matendo na sio kwa maneno 😅😂
Nakubar san mwanangu pamaoj yan nimecheka atali unajuwa nn ndoro au basiiiiii
Ndaro Domo zege ,😃😃😃 brother shusha swagger
Mwamba uyo Apo
Daro love from Burundi
Kikweri mnaweza sana
Steve and ndaro my number one comedian love 💕💕💕 from Zambia 😊
huyo demu huwa namkubali sanaa..crush wangu 😍😍🥰🥰❤
Crush wetu ste 🔥🔥🔥
Steve msikanage mbele ya tumbo langu linaunguluma umstari umeuwa steve
We Ndaro ulikuwa unamwelewa Sana hajla
Steve uchawa anaujua maana anajua kumtetea sana ndaro😂
Steave una nini lakini---eti mimi ni redio🤣🤣🤣
@@astroworld2021 🤣🤣🤣
Mtoto mkaliiiiii
Oya ndaro umetisha sana umechekesha kwa vitendo tu alafu noma uku steve yeye akiongeza utamu kwakuongea bonge moja la combination nimependa sana ulivyokua unasafisha gari atari sana nimecheka
😂😂😂😂😂😂 jamani barikiweni sana mwanifurahisha sana😅😅😂❤❤
Ila we ndaro hapana nakupenda bureee aisee unajua na unajua tena
Nyiee wasenge mnavtuko
😁😁😁 pole sanaa kaka unagali kakukataaa 😁😁😁😁 sema unaleta udomo zegeee🙌🙌🙌💥💥
Unahisi nimekuitia vikoba
Dah ntanunua yangu mana ndaro anatutesa 😃😃😃😃
Ni bahat mbaya et
💪💪💪 tumbo linaunguruma ....
Pamoja sana kaka nipo UVINZA hapa
Bom trabalho steve com outro ndaro gosto muito desse pita
🤣🤣 Eu tambem gosto muito essa mosa
czcams.com/video/2nrBKw5EZjc/video.html
Umeuwa mkuu
Ndaro umekwangua lini hiyo line body ya gari ya chinii tenaa...?? Nenda kaweke spacer gari inyanyuke juu kidogo iko chini sana utaharibu mabamper na line body hizooo
Stive nae machine sana hii
❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂stev bangi dahhhhj
Dada anavaa vema sana
Hatari Steve mweusi
Steve Msenge sana, Nimecheka kama Mwehu
Daaah nimecheka sana Yani awajamaaa ni💥💥💥
😂😂😂😂😂 Chawaaaa wa mchongo
Stive Stive Stive unajua mno mno mno combination yako na ndaro ni fire
Balaaa
Dah Steve we nomaa yaana umejua ku act vzr kwa boss wako hakika ongera Sana plus ndaro Mungu awabariki
😃🤣🤣🤣 Tutakoma mwaka huu 😃😃
Nakupendaa weee nakutaka weee 🤣😂😂😂😂😂😂
Steve hilo kofi umemkomoa ila ndaro Mungu anakuona
Kwani mbavu xangu ni zako ndaro
Umewalenga wazee wa material things 😅😅😅
Mdomon wazito
Nenda ndani hakubaki😅😅😅😅😅😅
Ndaroooo iyoo umeuaaaa😂😂
Bigg up
Mimi uyu mschana tu,mwambieeeni mwabieen roho yangu ishazama.
Pole njoo nikupe connection 😂
Ndaro om boy 🔥🔥🔥🔥🔥
Ningependa nibadirishe uzalendo. Nisiitwe murundi tena ila mtanzania maana napenda kitu chochote kuhusu Tanzania. Mnifanikishe sasa nije niishi huko miaka yangu yote ya maisha. Hata Kiswahili nishajifunza na nakiongea kama mtanzania
Karbu mjomba 🇹🇿🇹🇿
Njoo
Kalibu tz njooo tu mwambaaa
Mujinga ww
Wakirofawe
Nakubar movie zen
Nimeipenda io
Ndaro mjeshi umetisha sana brother 😁😁😁😁🔥🔥🔥🔥
czcams.com/video/2nrBKw5EZjc/video.html
Dah noma sana
Nataka comedi
Kali sana
Ndaro unashughuri jamani 😂😂😂😂😂😂😂😂
#Steve_Mweusi unajua sana kaka
courage vraiment mes gars i am congolese 🇨🇩
NDARO star
Nawapenda sana Jamani... #steve mweusi #ndaro
Sas mjeshi kikofia si utaichuna rangi 😁😂😁🤣🙌🏾🙌🏾
Daaaaaaaaaaah
Hongera ndalo unajua
Huyo dada mvumiliv jmn daa me nishasep at
😂😂😂 nawa penda jomon stive na ndaro big up jomon mna nifanya niwe nafurah tu nikiiona vituko vnu uwiiiiih ❤️❤️❤️😜
Ndaro na ctev woyeeeeeee
Nipigie honi niicgezee😁😁😁😁😁
Hahaha 😅😅😂 nawapenda saaaan
Nenda ndani bana akubaki 😂😂👍👍
Nakubali kaka ...au bas
Nakubal San mwamba💥
Waheshimishe blood wakuheshim
Uchawa wa steve mweusi ni wa viwango
bom trabalho Ajira
Steve chenga sana eti hapendagi kunisumbua
Ndalo au basi uko vizuri
Steve anaupga mwingi😀😀
Ndarooooo nakukubal dingii we nitri man
Ndaro 🔥