Yanga SC 6-0 Vital'O FC | Highlights | CAF CL 24/08/2024
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- Clatous Chama amefunga goli moja na kutoa assist nne, Yanga SC ikiwanyoosha Vital'O ya Burundi kwa kichapo kizito cha magoli 6-0 katika mchezo wa marudiano Ligi ya Mabingwa Afrika #CAFCL uliopigwa kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi....
Waliofunga magoli hayo ni Pacome Zouzoua kwa penati dakika ya 14, Clement Mzize dakika ya 49, Clatous Chama dakika 51, Prince Dube dakika 71, Stephane Aziz Ki dakika ya 78 na Mudathir Yahya dakika ya 86.
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Kwan mliumbwa mkaish mbingun au dunian,,mnaend mbingn mmekuwa viumb wa roh nyiny
Amen
😂😂😂@@NeghaBoy-d9p
Ameeen
Mjinga kwel ss subiria iyo sku ya mwisho ndio utajua km umepotea bwege ww
Clautos Chama,,, Assist 4 na Goli 1.. 🔥🔥🔥🔥
Pacome chama and aziz, Yanga inakua bora zaidi wakiwa wanacheza kwa pamoja
Yanga anaenda kubeba kombe hili 🎉❤🎉❤
Hivi wewe uki comment mara Moja tuu unapungukiwa na Nini? Inaonekana hujiamini ndio maana.mnao ungana na Mimi naombeni tujuane🤣🤣🤣
@@losinyaridaniel9537😂😂😂😂 comment amezijaza raha ya kuwa mwananchi 💚💛💪
@@sadahamad6158kumbeeee..
Wananchiiiiiiiiiiiiiiii
Mashaallah
first person to view plz like here guys🎉🎉🎉
Azam tunaomba ata kama tunacheza na ndondo mtupe Gharib Mzinga 👏aki hatutesekagi na ushindi akiwa kwenye kipaza cha azam walai 💛💚🇹🇿👌
Acha usenge
Imani za kijinga hizi..😂
KILA goli chama kashiriki SIMBAA TUMEPOTEZA
Hii performance ya Chama ni balaa
1 goal⚽
4 Assists 🅰️. Ndio mseme huyu kazeeka dah 😅 Simba bhana
Kama unaamin msimu huu tuna beba gonga lake tujuane🎉🎉❤
Kuhusika kwny goli 5 mmmh chama baba 🙌 🙌🙌🙌🙌
Lionel Messi Alifanya Hivyo Pia Inter Miami
Mwamba wa lusaka, now I see why younger bought him 🇿🇲 Zambia kuchalo triple C.
Vitalo ameingia kwenye mfumo tena dah hadi huruma 😂😂😂 yanga bingwa yanga tamu yanga rahaa ww huogopi 💚💚💛💛💪
love from zambia... yanga fc
Respect Chama 🫡🫡🫣
Asee chama ni fantastic player mmnnnoo😮
We Chama Wewe 😂😂😂
Chamaa kiumbe Cha ajabu God's son and talented ❤❤
Yanga ya moto kweli kweli
💚💚💚yanga inanipa laaha jmn cyo kawaid nyiny amuogpi jmn😂😂
Refa kaanguka jamani nimecheka mbaya😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Fowadi imesukika vizuri big up kocha kubwa wasiwe wachoyo wa pasi watafika mbali mfano Kwa chama anagawa mipira ya maana
Yanga mnazidi tu kunikosha saaaan💚💚💛💚💛💛💛💛💛
Dube aziz mzize chama abuya zizu 🔥
Yanga siyo kwamba wamewafunga hawa Vitalo,bali wamewanyanyasa.
4 assist from triple c😮
🥺🥹😭
Uzuri, hujui nani atakaekufunga...chochote kinaweza fanywa na yeyote...😂😂😂💥💥💥
Tumetisha. Nimepanda zaidi love ya pacome kwnye goli lake kwa kocha wa viungo na Ile love ya mudathiri Kwa aucho
❤yanga
Mungu aendelee kumpa uwezo chama
Chama🙌🙌
Ushauri wangu kwa timu yangu ya yanga TUSIBWETEKE. bado mlima ni mrefu mbeleni
Kubweteka na nn
Yanga is on 💥💥2024
Yanga asipo beba hili kombe mwniambie nimekaa hapa
Ni yanga ya wananchi oyeeee
Wachezaji wote wangekua kama chama hii yanga inaweza piga mtu kumi, ila wengine niwachoyo big up wananchi❤❤❤💯🔥🔥
Wa mwsho jmn lkn Yanga 💛✌️💚🙏🎉
Dah! Yanga kumekuchaaaaaa! Timu inayokuja toka Ethiopia CAF iwape taarifa wasije
Chama ana moto kweli
Hivi kuna team inaraha kama yanga
Wakifunga mengine yatakuwa ni bonus... hii ni package ya wananchi
Viva wananchi
huu ni mwaka wetu yangs
Yanga hii utaifungajeee!!!
Chama la wanaaaa
Ila chama
Mamb
Nondo anafanya makosa yaleyale yanayomweka benchi. Urefu anao lakini watu wanaruka header mbele yake
Ndio maana CAF walimpost chama alipokua anaenda yanga. Assist 4 kwa game moja ya Caf champion league haijawahi kutokea kwenye historia ya hayo mashindano.
Nilivyomuona kocha msaidizi nimemkumbuka mzee said😂😂😂😂
😂
Yesss
clatous chama
Watoto wa Magomeni walisikika wakiimba "JAMANI CHAMA WEWE, JAMANI MWAMBA WEWE"
Yanga inaenda na ule msemo wa Ubaya ubwege,kwani hawajaogopa tu😂😂😂
Next year Toyota cup is caming😂😂😂😂😂
Wananchiiiiiii MUNGU anawaona 2024/2025 Caf CL
Daaah yanga. Moto
Chama wawatu
Sifa ya chama maamuzi sahihi
onyesha kicheza nzuri kwa channel Magic media tv😂😂gonga like
Yanga hii mbona ni balaaaaaaa 💛🖤💚
Nimeridhika lkn mudathir kazd kunifurahisha
nilishasema yanga hii kuna mwamba katika africa atalala kwa goli nyingi mtakuja kusema vibonde uku YANGA KUBWA
Yanga rahaa jamanii
Chama ajauzwa bali mkataba uliisha
Wee mzee kweli duuh.
Hivi chama ka assist ngapi? Yuko vizuri
Kahusika magoli yote kasoro penalty 😊
Ila chama daah
Yanga bingwa
YANGA WAME LIPA STAFF MEMBERS WA VITALO FC 😂😂 SIO KWA MAGOLI HAYA
😂😂😂😂Ila yanga 😂😂😂raha sana
Chama
Watu wamekazana chama mzee,,Leo assist kama zote
Chama kumbe moto
chama baba hii ndo yanga bahna🎉🎉🎉🎉
Hongera yanga kwa ushindi mkubwa
CHAMA Assist 4 , na goli 1
Yanga tamu hadi laha
Mimi ni simba ila kwa kikosi hiki sijui itakuwaje😂😂
Ila harmonize 🙌😂
ila chama!
Yanga tamu
kwanini yanga isiwe team ya taifa
Tunaanga huku usijali soon itakua national team😂😂😂😂😂
Duuuh huyu chamaa jaman atauwa watu
Naomba kuuliza kwani katika kombe ili balcelona ayupo maana yanga sioni wakumzuia
😂
balcelona yupo ndo huyo kapigwa, ila Barcelona OG ndo hata uwanja wake wa mazoezi hamtaruhusiwa kuchungulia
😂😢
Yanga mwaka huu ni Moto jamaniii
Mzee hali hiyo je angekua kijana Mzee ndio nwenye busara
Uyo aliecheza mpira kwa mkono km pacom angekosa penat angekuwa shujaa wa tim
chama
Hiii yanga🎉
Chama duu hunaga roho mbaya assist 3 mchezo mmoja aisee
4
Assist 4 na goli 1 , Kampa, Mzize, Dube, Azizi ki na MUDATHIR, Yani kausika kwenye magoli 5
Ameasistki 4 'na goli 1
Kwani Jaivah alisemaje baada ya kuambiwa na zuchu kama haji mana sijaskia hata herufi Moja💛💚💛💚
We play like we train 😅
Hawa yanga hawana huruma
Asiii huyu chaamaa imekuajeeeee
🔥🔥🔥
Chama c mchoyo ..c kwaizi assist
Yani bora angeacha liwe gol kuliko kupewa kadi nyekundu na timu kufungwa
HAIRE SELAS WATAPIGWA NYINGI HAWATA AMINI
Ila Mwamba Aliedaka Daaah Hahaha 😂😂😂😂😂
Sasa kwa nn kapewa red na sio njano
Hii yanga jamn ivi hamuogop?
Bn chance yanga Africans on est derriere vs 2puis les iles comores