HATUA 7 ZA KULIHUSISHA NENO LA MUNGU KATIKA KILE UNACHOKIPITIA|| PASTOR GEORGE MUKABWA || 30/05/2024

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 05. 2024
  • PASTOR GEORGE MUKABWA - SENIOR PASTOR - JESUS RESTORATION CENTER (JRC), MWANZA, TANZANIA.
    Unaweza Tuma Sadaka yako kwenda ;
    - M-Pesa Lipa Namba : 5252176
    - MPESA number : +255 753 333 008 (Jina : George Stephen Mukabwa)
    - KCB Bank Acc : 3300692938 (Jina : JESUS RESTORATION CENTER)
    -Safari Com : +254 722 578 776 (Jina : George Stephen Mukabwa)
    Gospel Teachings for soul winning Purpose.
  • Krátké a kreslené filmy

Komentáře • 65

  • @floshkitchen3061
    @floshkitchen3061 Před měsícem +13

    Mwezi wa sita nategemea kibali kilicho toweka kwa maisha yangu kirudi,nategemea milango iliyo fungwa kwenye maisha yangu ifunguke,nategemea kutembea na Mungu na kuongozwa na roho mtakatifu mwezi wote huu wa sita🙏🙏🙏

  • @assiasolomon1418
    @assiasolomon1418 Před měsícem +6

    Mwezi wa 6 ukawe mwezi wa baraka na kupokea ehee Mungu nionekanike naomba nipate vibali na kazi🙏 na nitangulie katika safari ya mwezi wa nane amen 🙏

  • @jacklineumbisa4934
    @jacklineumbisa4934 Před měsícem +4

    Mwezi wa sita natarajia Uzima,nategemea kuona msaada wa Mungu uningoze nimalize madeni,,Mungu nisaidie kwa neno lako,Mungu nipe uzima katika jina la yesu

  • @teresiadeule3960
    @teresiadeule3960 Před měsícem +3

    Asante pastor kwa neno zuri,ila pastor ulisema utatufundisha majina ya Mungu na kazi yake nasubiri sana somo hilo kwa hamu

  • @AliceNduku-cx9hm
    @AliceNduku-cx9hm Před 29 dny

    Naomba roho wa mungu atawele maisha yangu na watoto wangu na masomo yao yajengwe juu yako mungu shetani asipate nafasi katika maisha yao

  • @MathewSilu-df2ii
    @MathewSilu-df2ii Před měsícem +1

    Pastor you have been a great blessings to me if it we're not for you i could not be where i am now ,
    Following you keenly in washington state USA

  • @GloriaMillinga
    @GloriaMillinga Před měsícem

    Hakika mahubiri yako hayochoshi, yamenibadilisha kwa kiasi flani,, MUNGU anisaidie nibadilike zaidi Amina 🙏

  • @zipporahmuraga4737
    @zipporahmuraga4737 Před měsícem +1

    Pastor nimembarikiwa sana

  • @CatherineMakokha-dg6ws
    @CatherineMakokha-dg6ws Před měsícem

    Amen and amen 🙏🙏

  • @gilbertwanje
    @gilbertwanje Před měsícem

    Amen 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @SabinaOchami
    @SabinaOchami Před měsícem

    Amen

  • @naseeralbishi4726
    @naseeralbishi4726 Před měsícem

    Anategemea nione msaada as Mungu nakuona mingi zangu alinifunga...nategemea kuona neema na kubali juu yangu na nipate ndoa nzuri in jesus name ....nategemea nione break through kwa maisha yangu 👋🙏🙏

  • @Walumbe
    @Walumbe Před měsícem

    Naomba uponyaji wa mtoto wangu Samuel tukiwa hospitalini

  • @junicnamuwenge6957
    @junicnamuwenge6957 Před měsícem

    Amen 🙏🙏

  • @Lusimo1116
    @Lusimo1116 Před měsícem

    Mungu akuinue Sana baba nimemjua mungu zaidi kupitia wewe Mimi ninatoka kwa Familia ya kiislam lakini kupia wewe nimejikuta nanena kwa lugha pasipo kujua imekuaje Tena nikiwa pekeyangu njiani

  • @NijimbereFrancoise
    @NijimbereFrancoise Před měsícem

    Mwezi WA sita nategemea uwezo WA mungu Uwe juu yangu, unibaliki na watoto baba 👏

  • @bethsebamilinde7113
    @bethsebamilinde7113 Před měsícem

    Nategemea kuhama Kwa uweza wako mungu 2:33

  • @naseeralbishi4726
    @naseeralbishi4726 Před měsícem

    mwezi as sita Natarajia mabadiliko kwa kiroho changu kiinuke zaidi na mabadiliko kwa maisha na kwa hafya yangu Mungu anjalie neema zaidi

  • @leonidafatson882
    @leonidafatson882 Před měsícem

    Nina uimara kwasababu Nina msingi wa Neno. Nina maandiko ambayo nimefunuliwa na nayasimamia kwenye maisha yangu . Lazima nijenge maisha yanayolipenda neno na yanaliitikia neno la Mungu.
    Luka 6: 47-48
    Kila siku ninayosoma neno la Mungu ninachimba msingi wangu.

  • @user-ld7tp4uc3l
    @user-ld7tp4uc3l Před měsícem

    Amen, Amen 🙏
    Nimepokea portion yangu Kwa jina la Yesu Kristo Alie hai 🙏

  • @leonidafatson882
    @leonidafatson882 Před měsícem +1

    HATUA 7 ZA JINSI YA KULIHUSISHA NENO LA MUNGU KATIKA NINACHOPITIA.
    Neno la Mungu ni siraha pekee iliyoaminika na Mungu ya kwamba haiwezi ikafeli, Linaweza kupenya popote.
    Waebrania 4:12
    Neno la Mungu sio andiko neno la Mungu ni mtu (hai) ambae ni kristo.

  • @salma5016
    @salma5016 Před měsícem

    Mwezi huu wa Sita naomba mungu aniwezeshe Malengo yangu yakuekeza pesa yakununua kiwanja ili nijenge eeh mungu niongoze ili nipate Kibali machoni mwako

  • @Daniella249
    @Daniella249 Před měsícem

    Mwezi wa 6 ukawe mwezi wa kupokea baraka zangu na kibali cha Mungu 🙏🙏

  • @BlaiseKananemunguiko
    @BlaiseKananemunguiko Před měsícem

    Asante kwa neno la Mungu. Mungu akufunuliye mengi kwa faida ya nafsi za taifalake

  • @LilianFares-gg7tz
    @LilianFares-gg7tz Před měsícem

    MUNGU akupe maisha marefu pastor maana kila ujumbe unao ongozwa kuhubir unagusa maisha yangu hakika roho wa bwana ameniongoza mahali sahihi pa kukombolewa mwezi wa4 Sasa nafatilia ibada zako nimefunguliwa kwa hatua kubwa Sana siishi kwa kubahatisha tena Wala sipigani na nisicho kijua

  • @janeombati2290
    @janeombati2290 Před měsícem

    AMINA 😇😇

  • @abigailosoro5640
    @abigailosoro5640 Před měsícem

    Following from Eldoret Kenya 🇰🇪 You have been a blessing to me and my Family

  • @ConjestaKimario
    @ConjestaKimario Před měsícem

    Mwenzi wa 6 niuonee wema wako Mungu katika maisha yangu

  • @naomikangangi4480
    @naomikangangi4480 Před měsícem

    Following from Kitui Kenya,am blessed with you message pastor.God bless and your family.natarajia milago yangu ifunguke.

  • @modestermwali
    @modestermwali Před měsícem

    Nipe neema bwana yakulitendea neno lako kazi 🙏

  • @Judith-mw4ys
    @Judith-mw4ys Před měsícem

    Amen amen and amen God bless you so much the man of God 🙌🙏

  • @DoraMtui
    @DoraMtui Před měsícem

    Yesu nategemea kibali kikubwa mwezi wa sita na amani kubwa kwenye familia yangu

  • @leonidafatson882
    @leonidafatson882 Před měsícem

    3. Neno la Mungu ndilo linaloumba na kutunza uhai wa Mungu ndani yangu.
    Kuna aina tatu za uhai;
    -Uhai wa mwanadamu without divine in me.
    -Uhai wa shetani . Anakuwa hana moyo wa huruma wala moyo wa kufanya vitu vitakatifu.
    1petro 1:23-25
    -Uhai wa Mungu. Ndio kinga niliyonayo mimi .

  • @carolinederi5690
    @carolinederi5690 Před měsícem

    Nategemea nione ukombozi wa afya kwa ajili yangu na familia yangu

  • @user-th1jb1hb1k
    @user-th1jb1hb1k Před měsícem

    MUNGU naomba mwezi huu wa sita ukawe ni mwezi wa baraka kwangu

  • @byaduniafuraha
    @byaduniafuraha Před měsícem

    Nashukuru Mungu kwa ujumbe huu,Mungu akubariki

  • @ROPHENCEBENDERA
    @ROPHENCEBENDERA Před měsícem

    Ameni naomba Mungu anifungilie milango

  • @user-lu2mc4hq8i
    @user-lu2mc4hq8i Před měsícem +1

    NAITWA JULIANA MWAIHOJO WATUNDUMA MWAKA NAPOKEA MIMI NAUZAO WANGU NAAMINI MUNGU ATAFANYA.

  • @linernyambarya6389
    @linernyambarya6389 Před měsícem

    Ameeeeeeeen nabarikiwa mno

  • @jacklineumbisa4934
    @jacklineumbisa4934 Před měsícem

    Following from kenya Nairobi

  • @GraceKivolwe
    @GraceKivolwe Před měsícem

    Ameen Ameen

  • @naomikyengo2277
    @naomikyengo2277 Před měsícem

    Napenda mafunzo yako nipp msa

  • @janesamwel7376
    @janesamwel7376 Před měsícem

    NAMSHUKURU MUNGU NIMEWEZA KULIJUA NENO KUPITIA KWAKO,KILASIKU LAZIMA NOPAYE FOSE YA SOMO LAKO.MUNGU AZIDI KIKUFUNULIA NA KUKUPA MADINI MAPYA

  • @edithmchenditsi3318
    @edithmchenditsi3318 Před měsícem

    Natekemea nione kibali kwa jina la yesu kristo

  • @LilianWaruguru-il4ls
    @LilianWaruguru-il4ls Před měsícem

    Praise God naomba kuongea na mtumishi George mwenye ako na namba yake anisaidie tafadhali

  • @user-sd2cb3wr8x
    @user-sd2cb3wr8x Před měsícem

    Amen 🙏

  • @user-rh6lc3wo6k
    @user-rh6lc3wo6k Před měsícem

    BABA NAOMBA UREJESHO WA NYOTA YANGU ILIO IBIWA NA MUOVU SHETANI

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 Před měsícem

    Yani ukweli baba wewe umenifundisha kusoma neno na nimeona utamu wa kusoma kimenipa kujinasua hata nikivamiwa

  • @MercylineAoko
    @MercylineAoko Před měsícem

    amen🙏🙏

  • @rehemaramadhan5043
    @rehemaramadhan5043 Před měsícem

    Nitegemea Kuingia mwezi 6 kwakufunguliwa vyote vinavyofanya nisibarikiwe ktk kila hatua zangu nifunguliwe eee Mungu nitoe kwenye madeni mm niishi kwa amani ,amani yangu imepotea nataka kukutumikia Mungu mwezi wa6.

  • @annadaffi2023
    @annadaffi2023 Před měsícem

    Nategemea kufanikiwa mwezi wa sita
    Uwe mwezi wa kubaki
    Kibali kwa watoto
    Kibali ktk familia,ndoa,biashara

  • @evalynependo3824
    @evalynependo3824 Před měsícem

    Ameeeeeeeennnnnn

  • @bethsebamilinde7113
    @bethsebamilinde7113 Před měsícem

    Mwezi wa sita nategemea Kuona uzima,afya mafanikio ya Yale yaliyochelewa niyapokee

  • @janeombati2290
    @janeombati2290 Před měsícem

    Wabie wanje Jordan watanjuwa juwa 😂😂 AMINA 🙏🙏

  • @The1979bornagain
    @The1979bornagain Před měsícem

    Fundi mitambo, CZcams audio ya video hii iko chini sana. Tafadhali unaweza kuongeza kidogo?

  • @user-gs4fz8nt2q
    @user-gs4fz8nt2q Před měsícem

    Mimi naota ndoto moja inajirudia kila siku nna ota nasafiri nini maana yake ? Au niombe maombi gani wapendwa

  • @NellyKadenyi-qc3em
    @NellyKadenyi-qc3em Před měsícem

    Mwezi wa sita natengemea hekima ulinzi pia Baraka

  • @user-mq6iq6zk7g
    @user-mq6iq6zk7g Před měsícem

    Ubalikiwe mutumish wa Mungu

  • @leonidafatson882
    @leonidafatson882 Před měsícem +2

    HATUA 7 ZA JINSI YA KULIHUSISHA NENO LA MUNGU KATIKA NINACHOPITIA.
    1. Lazima nitambue ninataka nini kutoka kwa Mungu .
    2. Nikashajua ninachokitaka , Niende kwenye neno la Mungu nipate neno la Mungu linaloendana na ninachokitaka.
    Isaya 34:16
    3. Nihakikishe nimejaza fikira zangu kwa kulitafakari hilo neno mpaka litengeneze picha katika ufahamu wangu.
    Yoshua 1:8
    4. Kulichukua hilo neno na niliweke kwenye maombi.
    Isaya 43:26
    5. Niamini ya kwamba nimepata bila ya kuwa na hofu. Nijitengenezee mazingira ya kumuamini Mungu wangu.
    6. Natakiwa kushikilia ujasiri wangu.
    7. Nichukue hatua ya imani inayodhihirisha imani niliyonayo.
    Yakobo 2:17
    8. Nimkemee na kumpinga shetani.

  • @user-lu2mc4hq8i
    @user-lu2mc4hq8i Před měsícem

    NAJIUNGAMANISHA NA HUDUMA HII NIMETUMA SADAKA YANGU YA KUINULIWA NAKULINDWA NATEGEMEA NIONE UZAO WANGU WAONE MEMA NAKUFANIKIWA NAAFYA TELE

  • @PriscillaKazungu
    @PriscillaKazungu Před měsícem

    Amen

  • @BONIFACEMUSAU-do9oh
    @BONIFACEMUSAU-do9oh Před měsícem

    Amen