WAMAREKANI WAISLAM WANAOA AFRIKA WANAFICHA WAKE ZAO WA USA | TULIKUTANA ONLINE | WENGI HAWANA UTU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 03. 2024
  • ‪@aromaofzanzibar‬ ameeleza Safari yake kutoka Tanzania mpaka India halafu Dubai na kupata mume wa kimarekani mpaka kuishi Marekani.
    Ameeleza Safari yake ya kuingia kwenye biashara ya chakula, changamoto alizokutana nazo Marekani kutoka kwa ndugu jamaa na watoto, changamoto ya kujifungua na malezi.
    Ametoa darasa kubwa kuhusu wamarekani wa kikslam namna wanavyoongeza wake Africa na wake hao wanakua hawana haki yoyote ile kwenye sheria Marekani.
    Subscribe to her CZcams channel ‪@aromaofzanzibar‬ ili kujifunza mapishi mbalimbali
    Thank you Fathiya for allowing this to be online
    www.oda.international

Komentáře • 463

  • @muniraahmed8208
    @muniraahmed8208 Před 4 měsíci +17

    Finally tumemuona, she is so humble n she replies to all questions. Mashallah.

  • @aromaofzanzibar
    @aromaofzanzibar Před 4 měsíci +58

    Ahsante sana Shena kwa kunipa fursa kwenye platform yako. Ubarikiwe sana❤

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  Před 4 měsíci +2

      Shukran sana Sister, nimefurahi sana kukaribia na kutoa darasa zuri 🥰

    • @dynesdaud564
      @dynesdaud564 Před 4 měsíci +1

      Aroma of za Zanzibar

    • @mayatione6
      @mayatione6 Před 4 měsíci +3

      Thanks so much dada fatya nimejifunza pakubwa sana umeongea kwa wazo sana barikiwa mno na mwenyezi mungu akupe heri wewe na familia yako .ameen

    • @mayatione6
      @mayatione6 Před 4 měsíci +3

      Dada shena thank sana unaleta watu wenye hekima barikiwa

    • @mapishiyetumazuri2312
      @mapishiyetumazuri2312 Před 4 měsíci +2

      Mm pia nilikufalia sana

  • @rahmamussa6787
    @rahmamussa6787 Před 4 měsíci +11

    Nimeipenda interview na nimejifunza mengi. Asante dada mhoji na mhojiwa, mungu awabariki sana

  • @user-fw3zv4bf6o
    @user-fw3zv4bf6o Před 4 měsíci +10

    Maa Shaa Allah nimefurahiii saaaana maana ndio mdau wa kwanza kumpenda katika kufuatilia mapishi online na yy ndo alinivutia ila dada Shena umependezaaa saana na mtandio

  • @nacreahali9670
    @nacreahali9670 Před 4 měsíci +14

    Mashaallah shena unapendeza sana uvae hivyo siku zote hata ikiisha Ramadhan,kwani nikiskiliza interviews zako namskiliza mhojiwa ila nakuangalia ww kwa ulivyopendeza😊

  • @sakinavora7830
    @sakinavora7830 Před 3 měsíci +2

    What a wonderful story mashaAllah. I'm one of your fans and subscribers of aroma of zanzibar for many years. Maisha ya Marekani inafanana tu kama ya Nairobi maoni yangu. This is a good platform.

  • @dinakipingo1905
    @dinakipingo1905 Před 4 měsíci +6

    Masha Allah sauti Tu nimekujua ❤ kipenz changu nimejua mapishi kupitia wewe,Allah akuhifadhi Madam Fathia

  • @fatmaallyabdul1732
    @fatmaallyabdul1732 Před 3 měsíci +3

    MashaaAllah, mimi ni mmoja wapo wa subscribers wa aroma of Zanzibar,napenda mafundisho yake huyu dada Fathiyah najisikia raha na sichoki kumsikiliza...Allah akujaalie heri nyingi zaidi @aroma of zanzibar🎉❤

  • @nafisamohammed9064
    @nafisamohammed9064 Před 4 měsíci +6

    She is a lovely kind hearted woman.. Mash Allah. Am subscribed to her channel.. Thank you for being honest about your life experiences...

  • @tausilifestyle795
    @tausilifestyle795 Před 4 měsíci +12

    Wawoo mie naonaga mapishi na leo nimemuona mpishi ❤❤❤ masha Allah ❤❤❤ Asante sana shena.

  • @suleimanabdillah7490
    @suleimanabdillah7490 Před 4 měsíci +4

    Atakaeoa mwanaye aweza kuwa kapata mke mwema kulingana na uvumilivu wa mama yake.nimempenda sana.

  • @dollymogosi6899
    @dollymogosi6899 Před 2 měsíci +1

    Wow wow thank you so much Shena kwa kuniletea my childhood sister and am loving your channel so much! Keep up the good job. This channel is so informative!

  • @bintalmasi2393
    @bintalmasi2393 Před 4 měsíci +8

    Your interviewing skills are superb, journalism in your veins, Congrats Shena.
    Thanks to your guests also

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 Před 4 měsíci +9

    Interview nzuri, napenda umekuwa muwazi, kazi kwetu kujifunza.

  • @nasmasaiid8472
    @nasmasaiid8472 Před 4 měsíci +5

    Mashalah aroma zanziber allah akuhifadhi nakupenda sana kwa ajili ya allah na pia napenda mapishi yako nimejifunza mengi sana

  • @ndinzeissa4778
    @ndinzeissa4778 Před 4 měsíci +4

    Aroma nimependa historia yako upo vizuri kwani wewe haswa nimwanamke shupavu hongera sana kwa majalibu yaliyo kukuta nahiyo ndio maisha na hiyo ilikuwa ni shule kwako nimependa sana kwa dababu umeweza kuji simamia hongera mimi niko mwanza tanzania endelea kupambana nandowa inayo dum ni ile yenye mikwa luzo kwani hupata kuelekezana asante

  • @gra8098
    @gra8098 Před měsícem +1

    Aaaaaaawwwww, Leo nimemuona.... okay.... in her voice. Aki I love da Fathiya... yani Saudi yake ile ile..... love you a lot

  • @lucyabraham2995
    @lucyabraham2995 Před 3 měsíci +4

    Sauti tuu nimemjua Aroma Zanzibar. Nimejifunza Sana from her videos.

  • @ImaniNcheve
    @ImaniNcheve Před 4 měsíci +6

    Mashaallah Dada aroma zanzibar nilijua kupika kupitia ww haswa birian Allah akupe umri mrefu ❤

  • @KarimaJuma-wy6vi
    @KarimaJuma-wy6vi Před 3 měsíci +3

    Mashallah dada nimekupenda bure kwa subra yako na upambanaji wako

  • @cynthiaAndrew-ww5rh
    @cynthiaAndrew-ww5rh Před 4 měsíci +9

    Mgeni huyu ni wa shoka mpambanaji haswa maana hii story ya maisha mapya unakuta mume gerezani na unatakiwa maisha yaendelee😢

  • @Mayuwe27
    @Mayuwe27 Před 4 měsíci +5

    Mashallah...dada umeelimisha wengi kwa hii interview ❤

  • @iddmdanku2306
    @iddmdanku2306 Před 3 měsíci +2

    Ndugu na dada yetu umeonesha ukarimu na utu usiomithilika. Hongera sana kwa kuishi kama wewe na utanzania wako!

  • @fredykaiza2416
    @fredykaiza2416 Před 4 měsíci +4

    Dada kwa kweli umetufungilia mengi tusiyoyajua. Asante sana kwa ushauri. Mwenye masikio na asikie.

  • @nasrasheikh1020
    @nasrasheikh1020 Před 4 měsíci +6

    Nimefurahi kumuona Fat hiya Aroma of Zanzibar

  • @halimahalima1488
    @halimahalima1488 Před 4 měsíci +10

    MashaaAllah aroma Zanzibar nimekuona leo❤❤❤❤

  • @sheillamwinyi7349
    @sheillamwinyi7349 Před 4 měsíci +5

    So beautiful and funny story awwww Aunty Fathiya😅❤

  • @NassoroMohammed-nv3dj
    @NassoroMohammed-nv3dj Před 3 měsíci +1

    aroma of Zanzibar ni mama hazina katika maisha ALLAH amzidishie umri na afya njema na amuhifadhie kizazi chake inshaaa ALLAH...

  • @sekikigosi8265
    @sekikigosi8265 Před 4 měsíci +5

    Waooo nafatiliaga mapishi na sauti yako ya kipekee hongera leo nimekuona live asante Shena big up.😊

  • @Sisterjemi1
    @Sisterjemi1 Před 4 měsíci +10

    Nayapenda mapishi yake huyu dada

  • @NassoroSipemba
    @NassoroSipemba Před 4 měsíci +4

    Safi dada nimeipenda hiyo ya kuupeleka uswahili ndani ya USA.

  • @emmyjimmyK
    @emmyjimmyK Před 4 měsíci +4

    Nakupenda sana Fathiya, ua the best dia

  • @rizikially9535
    @rizikially9535 Před 4 měsíci +5

    Hii story nzur sana mashaallh twaomba nyingine

  • @user-np6lh8eg1q
    @user-np6lh8eg1q Před 4 měsíci +5

    Jamani nimemfollow anajua kupika sana sana,nilivyokuwa namsikiliza nilidhani ni mtu mzimaaa sana kumbe ni mdada manshallah mzuri sana sana ❤

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar Před 4 měsíci +1

      Shukran kwa support,

    • @user-dx6dm6lh1i
      @user-dx6dm6lh1i Před 4 měsíci +1

      Yaani mm mapishi yko napenda hauna mambo mengi unapika mwenyeo vzr .

  • @rahmasalim1989
    @rahmasalim1989 Před 4 měsíci +7

    Yaani kila mara nakusikia lakini ndiyo mara ya kwanza kukuona❤❤❤

  • @hanifaally4694
    @hanifaally4694 Před 3 měsíci +1

    Story yangu unajifungua unapambana nchi za watu hizi ahsante kwa interview nzuri sana

  • @samiasalim8322
    @samiasalim8322 Před 3 měsíci +1

    Mashalla tabaraka rahman tumejifunza dadaetu shuuukraaaan mungu akujaze yarabbb

  • @zahirallyzorro3940
    @zahirallyzorro3940 Před 4 měsíci +3

    Ahsante Dada naitwa Zahir Ally ibn Zorro. Nimeihifadhi Aroma of Zanzibar. Ahsante Pole misuko suko ya Ndia

  • @aishawardasuleiman5047
    @aishawardasuleiman5047 Před 4 měsíci +7

    Nampenda aromaofzanzibar na mfuatilia muda mrefu

  • @user-sr7bq5po6h
    @user-sr7bq5po6h Před 4 měsíci +7

    Mashaallah may allah akujaze kheri mama zanzibar oroma

  • @salmafaraj6544
    @salmafaraj6544 Před 4 měsíci +4

    Subhanallah maskini fathiya ulipata tabu mpk nimeona huruma lkn kitu kikubwa kimekusaidia Allah alikujaalia ulisoma mashallah unamaarifa na kikubwa zaidi una dini na utu pia ndio mana umefika ulipofika Hamdilah Allah azidi kukustiri na sote inshallah

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar Před 4 měsíci

      Alhamdulilah❤

    • @salmafaraj6544
      @salmafaraj6544 Před 4 měsíci

      Wallahi yani ingekua mtu hana mbele wala nyuma angepata tabu sana kwanza tu pale airport km kakako hakuja na ndo hujui kitu pengine hata lugha huijui lkn alhamdilah mungu alikuletea kakako

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar Před 4 měsíci

      @@salmafaraj6544alhamulilah laugha najua ningepsnda taxi lakini Mungu mwenyewe alipanga

  • @bilalomar1185
    @bilalomar1185 Před 3 měsíci +2

    MashaAllah. madada zangu. Nafurahi Sana kuona Umoja wenu🎉🎉🎉.

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Před 4 měsíci +7

    Kila siku najifunza vitu vipya God bless you shena ❤

  • @yasminjuma9146
    @yasminjuma9146 Před 3 měsíci +3

    Pole oroma of zanzibar . Una moyo mzr ma sha Allah. Lkn kwa kweli tumejifunza.. kama mimi nadhani ningerudi nyumbani kwetu Dubai .nisingeweza kustahamili..mhh

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar Před 3 měsíci

      Sikufikiria kurudi lakinj sio nyumbani nilikua nakaa kwa viza ya kazi ambayo nilikua nimesha cancel

    • @halbusaid
      @halbusaid Před 3 měsíci +1

      Tumejifunza sana shukran sana Abla @aromaof zanzibar God bless you

  • @kashindesalha8107
    @kashindesalha8107 Před 4 měsíci +5

    Shukurani sana mmy kasimulizi zuri

  • @user-wb6tj2us8s
    @user-wb6tj2us8s Před 4 měsíci +3

    Aroma of Zanzibar jamanu leo nimekuon ❤nilikua nafatilia mapishi yako tu leo nimekuona

  • @aidaanatory9330
    @aidaanatory9330 Před 3 měsíci +2

    Hadi rahaa jamanii hongera sanaa

  • @DeoAmos
    @DeoAmos Před 4 měsíci +4

    We mdada mungu akujalie niipenda story yako Kuna SoMo nimejifunza

  • @clevermngao7565
    @clevermngao7565 Před 4 měsíci +6

    Interview nzuri sana na ina mengi ya kujifunza!

  • @user-wq2xy5mw1z
    @user-wq2xy5mw1z Před 4 měsíci +6

    MaashaAllah. Ninashukuru kukufahamu dada aroma of Zanzibar. Pia Ninashukuru kwa uzofu wako pia historia ya maisha yako mungu akubariki sana dada Insha'Allah Aamiin yaa rabbi 💯🤝🙏​@aromaofzanzibar

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar Před 4 měsíci +1

      Shukran Amin kwetu sote 🎉

    • @hajjisanga789
      @hajjisanga789 Před 4 měsíci +1

      Allah akupe maisha marefu utujuze mambo mazuri ktk maisha yetu

  • @rahmasuleiman9334
    @rahmasuleiman9334 Před 4 měsíci +2

    Woooooow aroma of Zanzibar nimefurahi saaana kukuona sauti yako haiba yako MashaAllah ❤❤❤❤🎉🎉

  • @firdausmukhtar5684
    @firdausmukhtar5684 Před 3 měsíci +1

    MashaAllah tabarakallah fathiya nakupenda sana ndugu yng

  • @aminahamad3428
    @aminahamad3428 Před 4 měsíci +7

    Masha allah aroma mama wa mapishi

  • @Monika-cp2gk
    @Monika-cp2gk Před 4 měsíci +7

    Lots of love from Kenya 🇰🇪.... aroma zanzibar

  • @mchaguwenjaffer9432
    @mchaguwenjaffer9432 Před 3 měsíci +2

    Nimependa sana interview yenu Hadi Raha nimependa ulivyoishi katika uvumilivu.Npo Tanzania Cost region,Rufiji

  • @khatrarage4445
    @khatrarage4445 Před 4 měsíci +5

    Manshallah tunakufatiliaga miaka mingi

  • @fatmahussein1238
    @fatmahussein1238 Před 3 měsíci +1

    MashaAllah sauti yake nimeijua tu alipoanza kuzungumza,Allah kamjaalia ucheshi na tabasamu na pia ufasaha wa kuzungumza habani maneno yake... Hongera sana Aroma of Zanzibar ooooh Fathiyyah❤

  • @AshaMohamed-ib4le
    @AshaMohamed-ib4le Před 4 měsíci +6

    Shena umependeza sana ukivaa ushungi unakuw vizuri Zaid mashallah

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 Před 4 měsíci +1

      Acha udini

    • @SalmaBinyaga
      @SalmaBinyaga Před 3 měsíci

      Ss udini gani kapendeza kweli Kwan nyie mmeambiwa msijistiri tutokee hapa

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 Před 4 měsíci +1

    Waoo MashaAllah wajina majina ya Fathiyah ni wachesh na wakarimu sana nakupenda sana wajina❤

  • @alsam4881
    @alsam4881 Před 4 měsíci +4

    Interview nzuri Masha Allah, Na kama unaweza kumualika tena na ukamuuliza kuwa kuna kipindi alihamia Oman na familia yake halafu akafungua bakery yake huko, Je ni nini kilimshinda hadi wakarudi tena Marekani? Shukran.

  • @maryanomar119
    @maryanomar119 Před 4 měsíci +3

    Mashallah aroma mrembo sana mungu akupe maisha marefu inshallah

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail2662 Před 4 měsíci +6

    Mashaa Allah mmependeza dada zangu
    lugha yake inavutia sana
    iz elim wanazotowa watu hapa ni kubwa sana Mungu awabariki maana wengi ni wakweli na wawazi sana

  • @KinanaZagar-pv6qc
    @KinanaZagar-pv6qc Před 4 měsíci +4

    Nimekupenda sana

  • @pearl3696
    @pearl3696 Před 4 měsíci +6

    Arudi tena..she is very wise

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před 4 měsíci +4

    Asante sana

  • @user-fh7wu8vx1y
    @user-fh7wu8vx1y Před 4 měsíci +5

    Ma shaallah shena
    Umependeza

  • @amneally4135
    @amneally4135 Před 3 měsíci +1

    MaashaaAllah nakupenda sana dada aroma au dada mapishi❤

  • @MiriamMlele-j8p
    @MiriamMlele-j8p Před 2 dny

    Hiyo ni kweli wanatabia hizo watoto mungu hawa rehemu mungu hakupe wepesi

  • @MadinaMalk-yd6kp
    @MadinaMalk-yd6kp Před 4 měsíci +4

    Nice interview 💐

  • @HadijaRehanshaban
    @HadijaRehanshaban Před 4 měsíci +5

    Mansha 'Allah mmependeza sana dada zangu mnatakiwa kuwa hivyo hivyo mnavaa stara

  • @user-ir5ec5jn3w
    @user-ir5ec5jn3w Před 3 měsíci +1

    MashaAllah Shena wallah endelea kuvaa Hijab unapendeza MashaAllah Watching from UAE

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 Před 4 měsíci +3

    Mashallah mam aroma ukiona kimegara ujuwe kimegaramikiwa umetufunza

  • @florakadee5082
    @florakadee5082 Před 4 měsíci +4

    Interview nzuri sana.mafunzo mazuri.

  • @shillamwinyi1630
    @shillamwinyi1630 Před 3 měsíci +1

    Nice to meet you aroma of zanzibar. Iam one of your subscribers from mombasa

  • @MagretSalheart
    @MagretSalheart Před 28 dny +1

    Mashallha, afu anatumia mafuta gani jaman ana glow

  • @namsihussein6511
    @namsihussein6511 Před 3 měsíci +1

    Very rich interview, experience. Hakika nimewapenda both. Aroma of znz kitambo nilikua nafuatilia nimekufurahia sana historia yako.

  • @josianemavukiro4386
    @josianemavukiro4386 Před 4 měsíci +3

    Mimi na mwana mama kutoka Burundi napenda kufatiliya sana mpishi yako na nimejifunza mengi kupitiya wewe na ni nakupenda Sana

  • @user-cz1pb6zn3h
    @user-cz1pb6zn3h Před 4 měsíci +5

    Baraka Llah ...FAT-HIA

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob Před 4 měsíci +10

    Huyu mdada mzuri kweli

  • @user-ng5xe7ze3j
    @user-ng5xe7ze3j Před 3 měsíci +1

    Nimefurahi kukuona nimejifunza upishi aina nyingi ya vyakula kutokana na aroma zanzibaa

  • @twahasuleiman-lo9vl
    @twahasuleiman-lo9vl Před 4 měsíci +2

    MashaAllah story nzur sana ❤❤❤🎉

  • @abunanna4004
    @abunanna4004 Před 4 měsíci +4

    That's good

  • @mariamkikula1614
    @mariamkikula1614 Před 3 měsíci +1

    Dada Aroma nimejifunza na nimekupenda Sana.

  • @user-zs4vo7hs1h
    @user-zs4vo7hs1h Před 3 měsíci +1

    Jazzak llahu khayra ❤❤❤❤

  • @salyali7807
    @salyali7807 Před 3 měsíci +2

    Aroma very brave girl .... 👍

  • @user-tt7cu2et1x
    @user-tt7cu2et1x Před 4 měsíci +2

    Nawapendaa❤

  • @pillyseleman8090
    @pillyseleman8090 Před 4 měsíci +3

    Masha Allah tabaraq Rahman

  • @rahmasalim1989
    @rahmasalim1989 Před 4 měsíci +3

    Masha'allah Tabarakallah, mpishi wetu wa mwezi wa ramadhani huyo.

  • @makasaenterprises8996
    @makasaenterprises8996 Před 4 měsíci +4

    Elimu yako ni ya maana sana katika maisha pokea maua yako mama unastahili

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n Před 4 měsíci +9

    Ndomana mm nasema kilasiku akikupenda mume shukuru hawa wengine ni mtihani tu jua jinsi yakudili nao

    • @cdeleo9336
      @cdeleo9336 Před 4 měsíci +1

      Kweli kabisa kudeal na wakwe na familia ya mume ni kutumia busara na akili

  • @hamisikumila1561
    @hamisikumila1561 Před 4 měsíci +5

    Masha Allah aroma of zanzibar Zanzibar nakumbuka somo la bilian ya kuku we

  • @user-vj6qs8sv8i
    @user-vj6qs8sv8i Před 4 měsíci +3

    Lkn unajua mapishi ya kizanzibari kuliko walioishi sana zanzibar😂

  • @bas2823
    @bas2823 Před 4 měsíci +2

    THANKS FOR SHARING🙏GOD BLESS U TO 2 N BLESS ALL OF US THE CREATIONS OF GOD" IN THE WORLD AMEEN🤲 I LOVE U ALL❤"

  • @Joliegal834
    @Joliegal834 Před 4 měsíci +8

    Nimempenda sana

  • @AlbaajunTraders
    @AlbaajunTraders Před 4 měsíci +3

    Sister nakufatilia sana chanel yako ya mapishi ya Aroma na nd imenifundisha kupika ,cha mwanzo ilikua maandazi,nilishakuj Marekan na nina jamaa zangu wengi Texas nitakpokja tena In shaa Allah nitakuja kukutembelea

  • @Mazoea
    @Mazoea Před 4 měsíci +3

    It was the same guy 😅😅😅😅😅 When God say Yes nobody can brole your blessings

  • @imanmohamed2215
    @imanmohamed2215 Před 3 měsíci +1

    MashaAllah TabarakkahAllah

  • @pilimateleka5111
    @pilimateleka5111 Před 4 měsíci +2

    Aroma zanzibar.. kumbe ni fat-hiya

  • @imakulatabakarysumaye9235
    @imakulatabakarysumaye9235 Před 4 měsíci +6

    Hawa ndiyo wetu wakualika

  • @faizunmohd9839
    @faizunmohd9839 Před 4 měsíci +2

    Mashaallah tabarakallah