WAMAREKANI WAISLAM WANAOA AFRIKA WANAFICHA WAKE ZAO WA USA | TULIKUTANA ONLINE | WENGI HAWANA UTU
Vložit
- čas přidán 14. 03. 2024
- @aromaofzanzibar ameeleza Safari yake kutoka Tanzania mpaka India halafu Dubai na kupata mume wa kimarekani mpaka kuishi Marekani.
Ameeleza Safari yake ya kuingia kwenye biashara ya chakula, changamoto alizokutana nazo Marekani kutoka kwa ndugu jamaa na watoto, changamoto ya kujifungua na malezi.
Ametoa darasa kubwa kuhusu wamarekani wa kikslam namna wanavyoongeza wake Africa na wake hao wanakua hawana haki yoyote ile kwenye sheria Marekani.
Subscribe to her CZcams channel @aromaofzanzibar ili kujifunza mapishi mbalimbali
Thank you Fathiya for allowing this to be online
www.oda.international
Finally tumemuona, she is so humble n she replies to all questions. Mashallah.
Shukran ❤
Ahsante sana Shena kwa kunipa fursa kwenye platform yako. Ubarikiwe sana❤
Shukran sana Sister, nimefurahi sana kukaribia na kutoa darasa zuri 🥰
Aroma of za Zanzibar
Thanks so much dada fatya nimejifunza pakubwa sana umeongea kwa wazo sana barikiwa mno na mwenyezi mungu akupe heri wewe na familia yako .ameen
Dada shena thank sana unaleta watu wenye hekima barikiwa
Mm pia nilikufalia sana
Nimeipenda interview na nimejifunza mengi. Asante dada mhoji na mhojiwa, mungu awabariki sana
Maa Shaa Allah nimefurahiii saaaana maana ndio mdau wa kwanza kumpenda katika kufuatilia mapishi online na yy ndo alinivutia ila dada Shena umependezaaa saana na mtandio
Mashaallah shena unapendeza sana uvae hivyo siku zote hata ikiisha Ramadhan,kwani nikiskiliza interviews zako namskiliza mhojiwa ila nakuangalia ww kwa ulivyopendeza😊
What a wonderful story mashaAllah. I'm one of your fans and subscribers of aroma of zanzibar for many years. Maisha ya Marekani inafanana tu kama ya Nairobi maoni yangu. This is a good platform.
Masha Allah sauti Tu nimekujua ❤ kipenz changu nimejua mapishi kupitia wewe,Allah akuhifadhi Madam Fathia
Ahsante sana nashkuru❤
MashaaAllah, mimi ni mmoja wapo wa subscribers wa aroma of Zanzibar,napenda mafundisho yake huyu dada Fathiyah najisikia raha na sichoki kumsikiliza...Allah akujaalie heri nyingi zaidi @aroma of zanzibar🎉❤
Shukran sana ❤
She is a lovely kind hearted woman.. Mash Allah. Am subscribed to her channel.. Thank you for being honest about your life experiences...
Shukran ❤
❤@@aromaofzanzibar
Wawoo mie naonaga mapishi na leo nimemuona mpishi ❤❤❤ masha Allah ❤❤❤ Asante sana shena.
Atakaeoa mwanaye aweza kuwa kapata mke mwema kulingana na uvumilivu wa mama yake.nimempenda sana.
Wow wow thank you so much Shena kwa kuniletea my childhood sister and am loving your channel so much! Keep up the good job. This channel is so informative!
Thanks dear nani kakuleta huku😂
Your interviewing skills are superb, journalism in your veins, Congrats Shena.
Thanks to your guests also
Shukran sana 🙏
Interview nzuri, napenda umekuwa muwazi, kazi kwetu kujifunza.
Mashalah aroma zanziber allah akuhifadhi nakupenda sana kwa ajili ya allah na pia napenda mapishi yako nimejifunza mengi sana
Shukran ❤
Aroma nimependa historia yako upo vizuri kwani wewe haswa nimwanamke shupavu hongera sana kwa majalibu yaliyo kukuta nahiyo ndio maisha na hiyo ilikuwa ni shule kwako nimependa sana kwa dababu umeweza kuji simamia hongera mimi niko mwanza tanzania endelea kupambana nandowa inayo dum ni ile yenye mikwa luzo kwani hupata kuelekezana asante
Aaaaaaawwwww, Leo nimemuona.... okay.... in her voice. Aki I love da Fathiya... yani Saudi yake ile ile..... love you a lot
Shukran love you back ⚘️⚘️
Sauti tuu nimemjua Aroma Zanzibar. Nimejifunza Sana from her videos.
Me too nilikua kwa group ya WhatsApp 😊
Mashaallah Dada aroma zanzibar nilijua kupika kupitia ww haswa birian Allah akupe umri mrefu ❤
Amin kwetu sote
Mashallah dada nimekupenda bure kwa subra yako na upambanaji wako
Mgeni huyu ni wa shoka mpambanaji haswa maana hii story ya maisha mapya unakuta mume gerezani na unatakiwa maisha yaendelee😢
Hakika huyu dada ni mpambanaji
Mashallah...dada umeelimisha wengi kwa hii interview ❤
Ndugu na dada yetu umeonesha ukarimu na utu usiomithilika. Hongera sana kwa kuishi kama wewe na utanzania wako!
Dada kwa kweli umetufungilia mengi tusiyoyajua. Asante sana kwa ushauri. Mwenye masikio na asikie.
Kweli kabisa
Nimefurahi kumuona Fat hiya Aroma of Zanzibar
MashaaAllah aroma Zanzibar nimekuona leo❤❤❤❤
Naam
So beautiful and funny story awwww Aunty Fathiya😅❤
aroma of Zanzibar ni mama hazina katika maisha ALLAH amzidishie umri na afya njema na amuhifadhie kizazi chake inshaaa ALLAH...
Amin kwetu sote 🙏
Waooo nafatiliaga mapishi na sauti yako ya kipekee hongera leo nimekuona live asante Shena big up.😊
Shukran 🙏
Nimefurahi kukuona aroma of Zanzibar
Nayapenda mapishi yake huyu dada
Ahsante sana kwa support
Safi dada nimeipenda hiyo ya kuupeleka uswahili ndani ya USA.
Nakupenda sana Fathiya, ua the best dia
Shukran ❤
Hii story nzur sana mashaallh twaomba nyingine
Jamani nimemfollow anajua kupika sana sana,nilivyokuwa namsikiliza nilidhani ni mtu mzimaaa sana kumbe ni mdada manshallah mzuri sana sana ❤
Shukran kwa support,
Yaani mm mapishi yko napenda hauna mambo mengi unapika mwenyeo vzr .
Yaani kila mara nakusikia lakini ndiyo mara ya kwanza kukuona❤❤❤
Rahma hujambo
Story yangu unajifungua unapambana nchi za watu hizi ahsante kwa interview nzuri sana
Mashalla tabaraka rahman tumejifunza dadaetu shuuukraaaan mungu akujaze yarabbb
Ahsante Dada naitwa Zahir Ally ibn Zorro. Nimeihifadhi Aroma of Zanzibar. Ahsante Pole misuko suko ya Ndia
Shukran tushapoa
Nimeipenda, u kweli na uwazi wako
Nampenda aromaofzanzibar na mfuatilia muda mrefu
Nashkuru kwa support
Mashaallah may allah akujaze kheri mama zanzibar oroma
Subhanallah maskini fathiya ulipata tabu mpk nimeona huruma lkn kitu kikubwa kimekusaidia Allah alikujaalia ulisoma mashallah unamaarifa na kikubwa zaidi una dini na utu pia ndio mana umefika ulipofika Hamdilah Allah azidi kukustiri na sote inshallah
Alhamdulilah❤
Wallahi yani ingekua mtu hana mbele wala nyuma angepata tabu sana kwanza tu pale airport km kakako hakuja na ndo hujui kitu pengine hata lugha huijui lkn alhamdilah mungu alikuletea kakako
@@salmafaraj6544alhamulilah laugha najua ningepsnda taxi lakini Mungu mwenyewe alipanga
MashaAllah. madada zangu. Nafurahi Sana kuona Umoja wenu🎉🎉🎉.
Kila siku najifunza vitu vipya God bless you shena ❤
Pole oroma of zanzibar . Una moyo mzr ma sha Allah. Lkn kwa kweli tumejifunza.. kama mimi nadhani ningerudi nyumbani kwetu Dubai .nisingeweza kustahamili..mhh
Sikufikiria kurudi lakinj sio nyumbani nilikua nakaa kwa viza ya kazi ambayo nilikua nimesha cancel
Tumejifunza sana shukran sana Abla @aromaof zanzibar God bless you
Shukurani sana mmy kasimulizi zuri
Aroma of Zanzibar jamanu leo nimekuon ❤nilikua nafatilia mapishi yako tu leo nimekuona
Ahsante sana kwa support
Hadi rahaa jamanii hongera sanaa
Ahsante sana
We mdada mungu akujalie niipenda story yako Kuna SoMo nimejifunza
Interview nzuri sana na ina mengi ya kujifunza!
MaashaAllah. Ninashukuru kukufahamu dada aroma of Zanzibar. Pia Ninashukuru kwa uzofu wako pia historia ya maisha yako mungu akubariki sana dada Insha'Allah Aamiin yaa rabbi 💯🤝🙏@aromaofzanzibar
Shukran Amin kwetu sote 🎉
Allah akupe maisha marefu utujuze mambo mazuri ktk maisha yetu
Woooooow aroma of Zanzibar nimefurahi saaana kukuona sauti yako haiba yako MashaAllah ❤❤❤❤🎉🎉
Shukran ❤❤❤
MashaAllah tabarakallah fathiya nakupenda sana ndugu yng
Masha allah aroma mama wa mapishi
Shukran
Lots of love from Kenya 🇰🇪.... aroma zanzibar
always love you my best❤
Thank you for the love and support.
Nimependa sana interview yenu Hadi Raha nimependa ulivyoishi katika uvumilivu.Npo Tanzania Cost region,Rufiji
Manshallah tunakufatiliaga miaka mingi
MashaAllah sauti yake nimeijua tu alipoanza kuzungumza,Allah kamjaalia ucheshi na tabasamu na pia ufasaha wa kuzungumza habani maneno yake... Hongera sana Aroma of Zanzibar ooooh Fathiyyah❤
Shukran sana❤
Shena umependeza sana ukivaa ushungi unakuw vizuri Zaid mashallah
Acha udini
Ss udini gani kapendeza kweli Kwan nyie mmeambiwa msijistiri tutokee hapa
Waoo MashaAllah wajina majina ya Fathiyah ni wachesh na wakarimu sana nakupenda sana wajina❤
Interview nzuri Masha Allah, Na kama unaweza kumualika tena na ukamuuliza kuwa kuna kipindi alihamia Oman na familia yake halafu akafungua bakery yake huko, Je ni nini kilimshinda hadi wakarudi tena Marekani? Shukran.
Mashallah aroma mrembo sana mungu akupe maisha marefu inshallah
Amin kwetu sote ❤🙏🏽
Mashaa Allah mmependeza dada zangu
lugha yake inavutia sana
iz elim wanazotowa watu hapa ni kubwa sana Mungu awabariki maana wengi ni wakweli na wawazi sana
Shukran kaka
Nimekupenda sana
Arudi tena..she is very wise
She is amazing 🥰😍
Asante sana
Ma shaallah shena
Umependeza
MaashaaAllah nakupenda sana dada aroma au dada mapishi❤
Hiyo ni kweli wanatabia hizo watoto mungu hawa rehemu mungu hakupe wepesi
Nice interview 💐
Mansha 'Allah mmependeza sana dada zangu mnatakiwa kuwa hivyo hivyo mnavaa stara
🙏
MashaAllah Shena wallah endelea kuvaa Hijab unapendeza MashaAllah Watching from UAE
Mashallah mam aroma ukiona kimegara ujuwe kimegaramikiwa umetufunza
Shukran ❤
Interview nzuri sana.mafunzo mazuri.
Nice to meet you aroma of zanzibar. Iam one of your subscribers from mombasa
Mashallha, afu anatumia mafuta gani jaman ana glow
Very rich interview, experience. Hakika nimewapenda both. Aroma of znz kitambo nilikua nafuatilia nimekufurahia sana historia yako.
Ahsante sana kwa support ❤
Mimi na mwana mama kutoka Burundi napenda kufatiliya sana mpishi yako na nimejifunza mengi kupitiya wewe na ni nakupenda Sana
Ahsante sana nadhkuru kwa support ❤
Baraka Llah ...FAT-HIA
Amin ya Rabb
Huyu mdada mzuri kweli
Ahsante
Nimefurahi kukuona nimejifunza upishi aina nyingi ya vyakula kutokana na aroma zanzibaa
MashaAllah story nzur sana ❤❤❤🎉
That's good
Dada Aroma nimejifunza na nimekupenda Sana.
Jazzak llahu khayra ❤❤❤❤
Aroma very brave girl .... 👍
Nawapendaa❤
Masha Allah tabaraq Rahman
Masha'allah Tabarakallah, mpishi wetu wa mwezi wa ramadhani huyo.
Ahsnate sana
Elimu yako ni ya maana sana katika maisha pokea maua yako mama unastahili
Shukran ❤
Ndomana mm nasema kilasiku akikupenda mume shukuru hawa wengine ni mtihani tu jua jinsi yakudili nao
Kweli kabisa kudeal na wakwe na familia ya mume ni kutumia busara na akili
Masha Allah aroma of zanzibar Zanzibar nakumbuka somo la bilian ya kuku we
Lkn unajua mapishi ya kizanzibari kuliko walioishi sana zanzibar😂
THANKS FOR SHARING🙏GOD BLESS U TO 2 N BLESS ALL OF US THE CREATIONS OF GOD" IN THE WORLD AMEEN🤲 I LOVE U ALL❤"
Same to you!
Nimempenda sana
Shukran
Sister nakufatilia sana chanel yako ya mapishi ya Aroma na nd imenifundisha kupika ,cha mwanzo ilikua maandazi,nilishakuj Marekan na nina jamaa zangu wengi Texas nitakpokja tena In shaa Allah nitakuja kukutembelea
Inshallah karibu sana ❤
It was the same guy 😅😅😅😅😅 When God say Yes nobody can brole your blessings
MashaAllah TabarakkahAllah
Aroma zanzibar.. kumbe ni fat-hiya
Hawa ndiyo wetu wakualika
Mashaallah tabarakallah