Asante sana mwalimu, naweza kupata video ya jinsi ya kushona linda box ya shift ambayo inakuwa na marinda kwa mbele(Namaanisha yani kwenye hilo linda box ndo kuna tumarinda ivi) Nisaidie
kwa nn kwa upande wa nyuma urefu umelingana na wa mbele wakati nyuma kuna makalio ambayo nilihisi labuda siket yetu itakuwa fupi kwa nyuma naomba msaada hapo
Nimefurahia Sana video yako nigependa kujua dress ya should Yani chunik
asante fundi tunajifunza mambo mazuri
Nakupenda Sana mungu akubariki kwa na akupe mafanikio inshaallah n
Je! Video ya kukata au vipimo ndio Ina kuwaje? Mwalimu mzuri ❤.
Asante sana mwalimu, naweza kupata video ya jinsi ya kushona linda box ya shift ambayo inakuwa na marinda kwa mbele(Namaanisha yani kwenye hilo linda box ndo kuna tumarinda ivi) Nisaidie
Asante sana fundi unafundisha vizuri
Asante san dada Mungu akubark ila tu sauti yko jaman ni ndogo dadaang inakuwa shida kuskia kwa usahahihi
Ahsant madama❤ pia samahani nina swali ko kwenye kupanga malinda nakadilia tu
Asante Dada naomba unifundishe kukata shati lashule
Agatha
Asante sana dada yangu unafundisha vizuri
Hongera
Asante sana ndg
Naomba unifundishe nibijuwe zaidi
Juu
Well done
Vizuri unafundisha vizuri
Naomba niunganishe nijifunze
Asnte sana
Asante mwalimu nami Leo nimeshoma
Safi sana
Naomaba nisaidie kukata shat LA shule best
Asante dear naomba jinsi ya kuweka mifuko
Samahi dada unaweza tuonesha unavochukua vipimo
Nataka nijifunze jinsi ya kukata nguo
Ubarikiwe sana.
Asante dada unafundisha vizur san
Ahsante sana
Je hayo Malinda n nchi. Tatu au ngap
Asante my nimekuelewa
Mwalim mzur sana
Nitakuwa mwanafunz wako Bora kabisa, asante dia, Mungu akupe afya na akili daima uzidi kutufundisha, utuhamishie knowledge yako
Asantee sana dear ,,Mungu akuongoze
Asante sana kwa SoMo nitakuwa mwanafunzi wako barikiwa
Natamani kufahamu kukata shati la shule, kama hutajali naomba utuwekee video.
Shati la shule
Sasa fundi utakisiaje haya marinda ukue ndio saiz ya kiuno Cha mteja?
Waoo Asante
😍😍
Wew ni mwalim unayajua kumwelesha mtu
🥰🥰 asantee dear
Dada nakuelewa sana Yan Yan mafund wengine unawapa Hela lakini hawakufundish Kwa moyo
🥰🥰🙏🙏🙏
❤❤❤
Naomba uelekeze na kuweka mfuko
Safi sana.unapatikana wapi?
❤❤❤❤❤
Tuelekeze kukata na sketi zile zenye rinda moja kubwa na pembeni yanakuwa mawili upande moja na upande mwingine mawili
Uko vizur dada, samahan Naomba namba ako naitaji kujifunza zaid mishono
❤🥰🥰🥰
Huk nikitk kuunguz kitambaa nilianz kunyoosh
❤🎉
Hilo belt Halina stif
Nimekusoma fund
Unafundisha vinzuri sana
Naomba no yako my dear
Hiki kitambaa kinakuwa na ukubwa gani? Yaan mita ngapi?
Mbona husemi kitambaa ni mita ngapi kwa hiyo saiz ya sketi?
Nahtaji kujua mengi kupitia kwako
Mi natamani huyo fundi angekuwa Mimi jamaniiii ongela sana fundi
HICHO KITAMBAA NIMITA NGAPI?
Uko wap my dear
,namba zako
Dada naomba unitumie no yako kz nzuri
Mashaallah
Kea mototo wa miaka mitano anatumia kitamba mita ngapi
Waoooo
Sister naomba namba yako unielekeze namna ya kushona sketi ndo inanishinda tu
Nirahisi lakini ningumu kama siyo muelewa nimependa
Sijakuelewa unaikunjia kwa wapi ndani au nje?
My siket ya Linda kisu mbele jee
Nitatoa comment zangu baada ya kupata nambayako
Hello dada una taka kazi ?
Unapatikana wapi
Natamn kujua jamni ongera
Sorry dada una group la WhatsApp
Naomba blouz ya shule
Jins y'a kujifunza gaun LA Sol
sijaelewajamani my
Nnaomba unielekez nanna y kukat shat
Asnte dada
kwa nn kwa upande wa nyuma urefu umelingana na wa mbele wakati nyuma kuna makalio ambayo nilihisi labuda siket yetu itakuwa fupi kwa nyuma naomba msaada hapo
Dada nisaidie namba yako nahitaji kujua na Mimi
Unapatikan wapi dada angu
Hakika we nimwalimu
Wap unapatikana my
Unatumia nini kuchukua video
Skert ya shule inatakiwa uwe na ktambaa mita ngap??
Inategemea na ukubwa wa mtoto
Upana wke Ni ngapi
Gud
Yupo vizuri kiukweli
unakunja Mara ngap kabla ya kukata
My dear unakunja x2
Nice
My dear niunge kwenye group lako la whatsap 0623956513