Jinsi ya kukata suruali ya jeje Mishono ya vitambaa Jeje za kisasa Zinazotrend
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- Karibuni tena kwenye channel hii#@NaimaCreation mjifunze Jinsi ya kukata suruali ya jeje Mishono ya vitambaa Jeje za Kisasa Zinazotrend,
#Jinsiyakukatajejezakisasa,
#Jinsiyakukatajejezinazotrend,
#mishonomipyayasuruali,
#mishonoyavitambaa,
#@NaimaCreation,
#jejezakisasa,
#zinazotrend,
#jejezakisasazinazotrend,
Kwa video nyengine tafadhali angalia • Jinsi ya kukata hafu y... LIKE na SUBSCRIBE
Asante nakukubar sana
🤝
Ahsante sana Mungu akubaliki ili utufundishe mazur zaid
Amin
Maa shaa allah unaelekeza vzr sana mungu akulipe kila la kher hakuna ambae hajaelewa ww ni bora katika walim bora asantee
Amin Inshallah nashkuru
Bh
Asante saaana barikiwa Allah akutangulie kwakila hatua🤲
🤲🤲🤲
Asante dada endelea kutufundisha zaid
🤝
Up vizr nimeielewa hy
Jeje lamkubwa unamshukiya ngap
Video ipo angalia
Mashalllah ddd
Unafundisha vizuri Dada hongera sana
Asante sana
Sulu
Ahsante
Napenda kujifunza kutoka kwako
Vizur mamy mm naomba unifundishe jinsi yakukata kora
Ongela
Asante
Namba kukata jeje ya pliti za pasi nyembanyemba❤❤
Msaada jinsi ya kukata vipande vya nyuma
Vipande vya nyuma mumy kama ni mtoto kuanzia miaka 5 ongeza inchi 2
Asant sana dada naomba kujifunza nusu kanzu
Nusu Kanzu ipi iyo ya kiume?
Shukran dada ya mkubwa please
Nmependa ufundishaji wako ni mzur
Naomba uniunge kwenye group lak la ushon
Niko na group 1 tu kwa mwezi elf 50
Mtu mzima usamba unashusha nchi ngapi pls
Mwisho wa video kuna video angalia
Asante dada
Asante na wewe
Upo vizri dada na mtu mzina naomba kuelekezwa
Haina shida
Naomba jinsi ya kukata suruali ya kike na koti lake ndefu mpaka chini❤❤❤
Ongera sanakwa maekezo mazuri ilanaomba unielekeze kushuka nisani kwamkubwa unashuka ngapi?
Unachukuwa mzunguko wa hipsi unagawa kwa nne na utajumlisha na inchi 1
Assalaam alaiykum dada nilikuwa naomba unisaidie link nijiunge
Link ya nini mumy
Kama yamkubwa cjaelewa
Hauna darasa plz la what's App
ivyo unakata vipande vyote vya nyuma na mbele
Ndio
Ikiwa ni mtu mzima unaweka msamba ngapi? Asante kwa somo
Hips gawanya kwa nne
Ya mkubwa fraizi inakuwa n hi gapi dada
Unampima mteja wako
Nimekupenda bure neyma sasa namba za mtoto umetaja je za mkubwa tunaongeza ngapi.pia naomba ufundishe la mbele Bert nanyuma rastik
Nashkuru asante ya mkubwa nakuwekea link utakwenda kuangalia czcams.com/video/ZhznfMvj3Fk/video.html
Madam kpande Cha nyumba tunawekaje au vnalingana
Kwa hii jeje kipande cha nyuma kinalingana na cha nyuma hakikisha hips umeengeza 10 inch
Nifundishe jinsi ya kukata jeje ya mtu mzima
Angalia video hii czcams.com/video/ZhznfMvj3Fk/video.html
Kuna sehem sij elewa
Hujaelewa wapi
Weweunafaa kwawalimuwako samaani nisaidie nambayako ya wasapu nikutafute
Natamani mpendwa ila kwa sasa nimestopisha kutumia wasap niko na zarura za kifamilia
Ahsant xana ,,unaelekeza vzur mno..
Nashkuru
Iyo ya mtt ya wakubwa je mamii.
CZcams wanasheria huwezi kufanya kitu kimoja mara nyingi na Mimi channel yangu nikebizi sana kwa watoto
Kwa nyuma tuelekeze
Sawa mumy
Mbonnahujaelekeza seems yamifuko
Ilo ni somo jengine
Jeje lamkubwa unaongeza ngapi
Mpime mteja wako
Samahan anti naomba nisaidie namba yako nikutafute whatsap
Nami naichukua wasap no yako.kuna kitu nataka nikuulize
Dada nixaidie kupt kpande chanyum unafundushavizuli jamaniii
Sawa
Ya mtu mkubwa je
Angalia video hii czcams.com/video/ZhznfMvj3Fk/video.html
Hauna darasa plz la what's App
Hapana mumy sina