Hizi ni Aina ya nyimbo zenye jumbe zilizosahauliwa na waimbaji wengi miaka hii. Waimbaji wengi wa kizazi kipya hawataki kumtaja Yesu kwa ujasiri kama hivi...ni vyepesi kwao kusema mungu lkn kumtaja Yesu ni kama wanaogopaogopa vile. Hongera sana dada Rose na mwenzako kwa wimbo nzuri. I love you.
Yaani nimefurahi sana kumuona mama yangu Rose Muhando kulejea tena katika tasnia ya Gosple hits akika kama mungu anakuitaji akutumie atakutumia maradufu na atakukinga na mabaya
I can’t count how many times I’ve watched this 👆🏼👆🏼👆🏼👆🏼song...... Rose kipawa ulipewa jamani.....mungu akakuinue tena..... nakupenda tu bureeee. purity 🙏🏻.
God is alpha and Omega, mwanzo na mwisho. sister Rose you are a hero, despite of what you went through are still shining in the lord.............. just go for it and you will be rewarded abundantly
Maman que Dieu te protège est te bénisse nous en RDC malgré nous écoutons suhaili difficilment mais l'essentiel est que la parole de Dieu est prêché au travers tes chansons que Dieu t'inspire encore est Encore.
Kweli mungu anasema tutateswa kwa ajili y jina lake lakini tusife moyo wakati huo na msaada wake utakuwa karibu mungu akubaliki sana na mataifa pia wajue kuwa tuna mungu was kweli anaejibu maombi
Glory to God. There's no short cut to heaven without Jesus. Who else is watching in USA . We love you Rose may God bless you're ministry and increase it.🙏
Glory glory glory if you're watching likes KWA wingi surely rose HAKUNA njia ya mkato Bila kuja KWA YESU,Mimi hutamani Sana kumuona mama yetu rose nimpate wapi plizzz she's an amazing lady
Only after i see you and cry on your shoulders rose, will i be able to live happily... My prayers for you and your health, God answered me for the love i have for you. Jesus will testify that before our father in heaven. .
Kali ya mwaka.. Wapi likes za Rose Muhando Twende kazi 👍👍
weweeeeeeeeeeeeeeeeee
Moto ya zambee 🔥
Nice kaza mwendo
My favorite musician I love her passion in misik kip it up siz
She's simply the best
wakati watu wanaona mwisho wako MUNGU wetu anaona mwanzo wako, kwa maana yeye ni mwanzo na mwisho wa imani yetu AMENI.
Amen
Anaitwa mungu
Amen He is Alpha and Omenga 🙏🙏
Neno LA mungu
Johnson Keru nyimbo za dini
God bless you Rose and protect you against evil plans so we continue hear gospel... much love from Uganda
Hizi ni Aina ya nyimbo zenye jumbe zilizosahauliwa na waimbaji wengi miaka hii. Waimbaji wengi wa kizazi kipya hawataki kumtaja Yesu kwa ujasiri kama hivi...ni vyepesi kwao kusema mungu lkn kumtaja Yesu ni kama wanaogopaogopa vile. Hongera sana dada Rose na mwenzako kwa wimbo nzuri. I love you.
Glory to God
Yaani nimefurahi sana kumuona mama yangu Rose Muhando kulejea tena katika tasnia ya Gosple hits akika kama mungu anakuitaji akutumie atakutumia maradufu na atakukinga na mabaya
Hakika Mungu azidi kukuinua zaidi Rose
HALLELUJAH ya MUNGU ni mengi kwanza amenenepa asante JEHOVA
Glory to God. Keep it Kalisa and Rose Muhando
Rose waw waw usiniache mungu wangu I salute the power of the holy ghost he's the miraculous worker
Binafsi nimefrah sn tyzd muombea
Wimbo mzuri sana Wenye ujumbe mzuri. Barikiweni sana watumishi Rose na Purity
Wow praise God mum rose lovely hit sister ,hakuna mkato,vitabu vitafunguliwa wapi likes za mum from Kenya
Wimbo mzuri sana...Mungu awabariki Purity na Rose
NAKWAMBIA
Rose is really a blessing to the church, she is not selfish with the talent God inspired her. Let's all do as Rose has demonstrated be blessed church.
Not only to the Tanzanians alone but to the whole world.
This Lady is indeed a blessing. Who had her number?
I didn't know Rose Mohundo until i came across her song n how energetic she was may God bless you all
I'm surprised that you didn't know her since 2004
2019 Mama Rose huu mwaka shetani tutamkanyagia chini hakuna kupembelezana naye.Yesu ndiye pekee njia na ukweli😍
Ameeeen
Excellent job keep it up.I love your nice gospel and be blessed with your family
DANG THIS IS MY SONG!!! BEEN PLAYING IT FOR HOURS NOW!!!!
I can’t count how many times I’ve watched this 👆🏼👆🏼👆🏼👆🏼song...... Rose kipawa ulipewa jamani.....mungu akakuinue tena..... nakupenda tu bureeee. purity 🙏🏻.
This is real mum Rose may God protect you am blessed through you
Amazing song may God helps to walk in his presence always.
God blesses you more and more with wisdom and knowledge thanks
Wakenya Mungu awabariki Sana kwa Upendo mnaozidi kuuonesha kwa sister Rose Muhando mbarikiwe sana
Rose hapo! hapo! YESU ASIFIWE MILELE...
HAPO SASA
Ukweli basa
Ukweli kabisa nimefihahi kabisa mungu haaaa tukusweeee kakuibisaaaaa amehavisa mahandui daaani sanaaa
Ubariki wesana
Wakusema amerudi uislamu wako wapi. Love you dada Rose Muhando ever
Mungu akubaliki akupe moyo wa kumsamee
One reason I have found out is that she is like a youth by grace of God for what she is doing in the kingdom
We Kenyans are so happy hearing u sing again dear be blessed and keep going until the devo has put to shame alleluyah 🙏
The devil is a liar
You got this gospel music queen (Rose)
Really Rose is real in gospel. But am hearing that she is very sick .I pray for her that God can restore her soul in Jesus name.
Rose Mungu akubariki sana, nimebarikiwa na huo Wimbo. Kenya we are getting you loud and clear.
I thank God for healing you my sister Rose Mhando. Indeed He is a miracle working God
mbarikiwe sana kwa wimbo mzur penda sana da rose hakika unampenda sana yesu ndio maan hujaona tabu kuimba hata kama bdo hujapona
Ashukuriwe MUNGU rose utaendelea kunga'aa kama dhahabu. Nuru ya mungu izid kukuangazia 🙏🙏🙏🙏
God bls , be strong Amen
God protect and bless My mum Rose Muhando she has been my spiritual mentor...
.
Lindo (very nice).. I like Rose Muhando. Muito Obrigado... From Angola
God is alpha and Omega, mwanzo na mwisho. sister Rose you are a hero, despite of what you went through are still shining in the lord.............. just go for it and you will be rewarded abundantly
Stay blessed rose muhando..in Lusaka Zambia 🥀
Ewe mwenyezi mungu nashukuru kumuona tena dadangu rose ktk gospel....naiona kesho yake ilopangwa na mungu.
hata mimi nasema Mungu akuzidishie
Welcome back a QUEEN of gospel 💞💞💞💞
Sister Rose you are blessed do not doubt yourself. Do what your heart direct to do my the good Lord keep you healthy and strength.
Nimefurahi sana kumwona Mama yangu Rose Muhando. Jina la Mungu litukuzwe milele.
Kevin Wak'li
amen
Mbeba maono hafi mpaka kusudi la Mungu litimie!! Rose uliyoyapitia ni shule ya kukufanya bora zaidi....nafurahi ukiendelea kumkiri Yesu!!
Indeed hakna njia mkato ya kuenda heaven ila ni kw Yesu. Thanks for this God bless you and welcome back
So Mar
It's so
Nice video God bless you Rose by Khadija stack from Dubai
happy for you Rose Muhando,,i do love your songs....may our good God continue to use you in a mighty way,,God bless you Rose.
I thank God for you Rose Muhando,,❤❤ do what you always do best.
Wat an inspiring song may God bless yu my sisters of christ... Continue preaching the gospel na mtazidishiww aminaa
Hii nayo sauti inatoa nyoka pangoni!! Wee,, haki mwanadanu njia yake ni Yesu Kristo pekee,,,,,,,,,,,,Amina...
God is great,mum Rose u r truly blessed.powerful voice.
Maman que Dieu te protège est te bénisse nous en RDC malgré nous écoutons suhaili difficilment mais l'essentiel est que la parole de Dieu est prêché au travers tes chansons que Dieu t'inspire encore est Encore.
Nothing impossible to God all glory be to our ALMIGHTY DADDY GOD
To God b the glorly rose is fine
Amen
Kweli mungu anasema tutateswa kwa ajili y jina lake lakini tusife moyo wakati huo na msaada wake utakuwa karibu mungu akubaliki sana na mataifa pia wajue kuwa tuna mungu was kweli anaejibu maombi
Welcome back, Rose. Thank you Purity. Rose, God Loves you.
Thanks God bless you too
Rose hamia kenya plz. God Is still waiting to reveal more to you. I feel blessed. Love you and your songs.
Faith jmn hahahaha Kwan TZ Kuna nini
Mnataka kumharibu tena kwani hamkutosheka wakati alikuja hapa mkamuingiza kwa mihadarati hehe kenya hii nchi yetu aki hamnanga huruma na wasanii dah!
Yaaa Kenya we love Rose sana na mungu azidi kumbari
Félicitations rose
@@agnerysagnature2016 QWERTY 1
I am just in love with the Power this Lady has Rose Muhando.
Akuna jina litalo kuja zaidi lake YESU . Ni mu falme wa wafalme jina lake YESU LIINULIWE MILELE AMEN .
God bless you servants of God for this Spiritual Song . From Rwanda.
Thank you
Now Rose muhando is a climbing stone to Every upcoming musician...even my younger sister needs a collabo rose
May God work mighty things to you rose, in Kenya, we are proud of you and praying for you may the Lord see you
The gospel singers should continue to intertain the public.They need to be encouraged
I am glad that you are back mama Rose 🌹
Glory to God. There's no short cut to heaven without Jesus. Who else is watching in USA . We love you Rose may God bless you're ministry and increase it.🙏
Hata mimi sitabakinyuma kushukuru mungu mahali ulitoe mama wetu rose muhando mungu asifiwe sana uparigiwe sana rose muhando Amen
Mimi from Atlanta
@@naftaliisiaho2985 bmbbvbb0.77jbvv8
Glory glory glory if you're watching likes KWA wingi surely rose HAKUNA njia ya mkato Bila kuja KWA YESU,Mimi hutamani Sana kumuona mama yetu rose nimpate wapi plizzz she's an amazing lady
Wooooyeee aki Rose muhandoo ngona tamu🇰🇪🇰🇪💃💃💃👍
that is great my sister from east Africa
Sauti za ninga zikimsifu na kumtukuza Mola licha ya changamoto zilizodaiwa mitandaoni.Hongereni sana mumwaibishe adui shetani.
Jesus is the only way the truth and life, come to him and get life. God bless you 🌹👍👏🔥🔥🔥
Rose Mohando noma am watching from 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Zambia
No situation is permanent Rose.Thank God You back on ur feet
Gospel zimbabwe tinoramba tichimunamata
Am happy to see Rose Muhando back again. May God bless you
Only after i see you and cry on your shoulders rose, will i be able to live happily... My prayers for you and your health, God answered me for the love i have for you. Jesus will testify that before our father in heaven. .
🙏 🙏 🙏
I blv God will continue being wid ur siz Rose. It is that awesome and encouraging. God bless you
Am happy to see rose back to where she belongs. 🙏
Come on darling...May the Love of our Lord Jesus Christ Surround you forever. AMEN.
A like this song,it really inspires me a lot,that was a good combination with a credible matching collabo of voices
Rose live longer so that we keep listening to your hits. Enjoying from Uganda
Amen
Indeed Africa has got a spiritual women Eve, she make my day
Amen
Ameeeeen thanks to the almighty God who has healed you
Glory to God,......am happy happy of you Roce..
Ameen
Hongera sana Rose Muhando. We are praying always here in Mozambique to you. Welcome back to the Glory of the Son of God JESUS CRISTO.
Oh good rose mhando...❣❣❣❣i love your songs since i was young. And i still do
kali purity' i have liked the rhythm GOD bless you
Mungu awabaliki nyinyi nyote
Amen
Happy to hear rose Muhando again
Thanks to the one above all for her💟
Wimbo Mzuri sana nimebarkiwa Mimi naenda kwa yesu
Rose Muhando dada ngu, nakupenda sana.
May God bless you Dear.
Keep it up the Almighty God will always protect you in Jesus Christ of Nazareth.
Woo thank you Lord for the life of rose muhando,Mungu nakuomba uzindi kumpigania
jamani kazi ya mwenyezi mungu ni nzuli kabisa aksanti sana mama kwa kufariji watu wa mungu
Happy to see you again our dear sister Rose am Ugandan in Oman twende basi kwayesu 🗣🗣🗣🗣💃💃💃💃💃💃💃💃🙌🙌🙌🙌
Nice work mama
Wow Perfect gospel..Amen
Ubalikiwe sana dada ang Rose kwawimb mzur Ameen
This is a nice one!! I love it!! May God continue blessing you Purity and Rose.
Ahsante Dada rose karibu tena mama tumekumis tanzania
Rose you have a great talent,use it to the maximum,God guide you to the end,unatubariki sana
Nimefurahi sana kukuona Rose Muhando....May God increase and bless abundantly
Good to see you back rose...all glory n honour to God Almighty
Hakuna kama Yesu! Kama unamjua Yesu aliyemponya Rose like 100 hapa!
TRULY IT'LL BE GREATER WHEN WE GET THERE -heaven of course!
I really appreciate Rose mwandos song may God bless you heal you in Jesus name, Amen, Amen
WONDERFUL SONG ROSE AM HAPPY 4 U THIS IS GODS DOINGS
I have come to love thissong
Wanomwiga Mama Rose wanapasuka msamba,wanashindwa.Karibu sana Mama Rose.Hii yako ni kipaji kutoka binguni.Njoo tuishi kenya.
Hongera purity and Rose be blessed
Barikiwa mama Rose Mhando!
Huyo ndo Mungu,unamng'ang'ania mpaka kieleweke.
But hakuna mtumishi asiye na Maputo!
Tukaze mwendo
Kazi safi Purity na Rose
God bless you
woooh may God bless you our all our mum and sister purity
Sifa na utukufu ni kwake, Mungu azidi kukuinua zaidi dada Rose.