DUA KUBWA YA KUONDOA MATATIZO BI IDHNI LLAHI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 09. 2024
  • hii ni dua ya majina 99 ya allah baada ya kusikiliza dua hii ndugu yangu omba unachotaka kwa sharti kiwe cha kheri

Komentáře • 872

  • @HalimaismailySaid
    @HalimaismailySaid Před 3 měsíci +10

    Hakika hii dua ni dua mjarad sana Allah atukubalie na atufungulie na kutuongoza kwa kile tunachokikusudia nilienda nikatia udhu nikanuia nikasikiliz zaid ya mara 7 wallah majb niliyapata siku hiyo hiyo mpk nililia kwa furah

  • @habibabarker1644
    @habibabarker1644 Před 9 měsíci +20

    Ya Allah Ya Allah naomba unisamehe ninayoyajua na nisoyoyajua makosa yangu niondolee maradhi nijalie uhai mrefu afya amani nikuabudu nipe rizki ya halali na mwisho mwema

  • @ZawadyKilume
    @ZawadyKilume Před 3 měsíci +19

    Allah Ww Ni Mwingi Wa Rehema Naomba Unisamehe Makosa yng Mola Wng Usinifichie nuru Ya Uso Wako Allah Najua Mm ni Mkosaji Mbele zako Nisamehe Mola Wng Ww Ndo Mwingi Wa Huruma Allah Nihurumie Mja Wako Niokoe Ktk Mitihani Hii ninayopitia Allah Wng Niponye Maradhi Ya Ganzii Ktk Mwili Wng Nipone Kbs Nijaze Imani Juu yako Allah Wng Mm Ni Mkosaji mbele Zako niponye Kupitia Dua Hii niponye Kwa Dua iliyomponya Ayubu Allah Nifanye Vile Ikupendezavyo Ww Mungu Wng Allah Nisaidie mja Wako

    • @zeynabawadh2185
      @zeynabawadh2185 Před měsícem

      Ya rabby tuponye na utusamehe kwa kupitia duwa hii na utukunjulie riski zetu amina ya rabby😊

  • @MtumwaHamza
    @MtumwaHamza Před 2 měsíci +5

    Amin ewe mwenyezimungu niondolee chuki,husda, choyo, hasada, shari na mambo mengine yote mabaya

  • @asnatabdallah
    @asnatabdallah Před měsícem +4

    Ya Allah nakuomba unisamehe makosa yangu ninayo yajua na nisio yajua nakuomba unipe afya njema na mwisho mwema 🤲

  • @user-on7cq7cz5t
    @user-on7cq7cz5t Před 10 měsíci +17

    Aamiiin🤲🤲🤲🤲yaarabilialamina mwenyezimungu niondolee matatizo yangu ya ALLAH we ndio mtoaji ya rabb takabali dua🤲🤲🤲

  • @mwajey
    @mwajey Před 16 dny +1

    Eheee yarabi naomba unisamehee mazambi yangu na uwasamehee wazazi wangu na unifunguliye ridhiki na unijaaliye watoto wema na uniondoshee maradhwi yatokanayo na husda na majini piya mola wang🤲🤲🤲

  • @NtakirutimanaFabrice-rn4yr

    Amiiin nisamehe makosa yangu na zambi zangu zinazo zihirika na zinazojificha 😢😢🤲🤲niekeye wepesi palipo uzito, niongoze na nuru yako,nibarikie rizk halali 🤲🤲🤲

  • @ms_teeonly
    @ms_teeonly Před 21 dnem +1

    Ee Mwenyezi Mungu nifungulie milango ya neema , nibariki katika jina lako kila ninaloliomba liweze kutimia 🤲🏽 Amin

  • @user-wt5di4hl2o
    @user-wt5di4hl2o Před 10 měsíci +20

    Amiin 🙏🏼🙏🏼🙏🏼ewe mwenyezimungu naomba unifunglie mwanganz katik maisha yangu Unifungulie rizk zngu kila zito allah unifamyie wpesi kila ninapoingia nuru inimwilik unajalie mwisho mwem 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼😭😭😭

  • @khadijaZuberi-wo4eg
    @khadijaZuberi-wo4eg Před rokem +14

    Amiina yaarab nisamehe makosa yangu pia naomba unipe mwisho mwema na naomba nifanye yale yenye kukupendeza, niepushe na maasi ya dunia niwe mja mwema, naomba uniepushe na watu wabaya na wale wasopenda kuona mafanikio yangu wasiwe na nafasi kwangu, nakuomba ya Allah niondoshe na nuksi, mikosi, mapepo, na maradhi sababishi yasinikute, nifungue kila nilipogungwa kwa nguvu za giza, mfanyie wepesi bosi wangu asahau yote yalotokea anirudishe kazini kwa nguvu zako Allah. Naiombea familia yangu, wadogo zangu na wazazi wangu waepushwe na kila Shari na kila baya lisiwakute kila atuombeae ubaya kwetu ugeuke na kuwa uzuri, ❤️🙏

    • @mpondamedia2416
      @mpondamedia2416  Před rokem

      😭😭😭🤲

    • @zozosabra2176
      @zozosabra2176 Před 11 měsíci

      mwenyezi mungu nakuomba uniepushe na mitihani mm na familia yangu niongezee watoto wangu na uniepushe na maradhi makubwa na madogo nakuomba ewe mwenyezi mungu nifungulie milango ya ridhiki mm na kizazi changu . na uwasamehe wazazi wangu makosa ya kaburi Amina

    • @nooralhadidi6420
      @nooralhadidi6420 Před 5 měsíci

      [​@@zozosabra2176

    • @user-dc1zn9ry5s
      @user-dc1zn9ry5s Před 5 měsíci

      Mungu atufungulie riziki za halal yarabi atupe wepesi wake

    • @user-dc1zn9ry5s
      @user-dc1zn9ry5s Před 5 měsíci

      Yarabi ndoa iwe ya kheri kwangu

  • @princehakim4436
    @princehakim4436 Před 8 dny +1

    Ee mwenyezi mungu unisamehe makosa yang niangazie Nuru yako ktk njia zangu,niongoze nifunge kufuani maneno yako na yaniongoze muda wote wa heli hapa duniani eee mola wa mlezi nakushujidia ww tu amin

  • @ZainabuMsangi-gx1fe
    @ZainabuMsangi-gx1fe Před 3 měsíci +5

    Yalaah naomba ninapoisikiliza dua hii uniepushe na maradhi pia unijaalie mwisho mwema na uyape nuru maisha yangu na familia yangu...inshaalah utukubalie dua zenu

  • @tatumbaraka2658
    @tatumbaraka2658 Před 9 měsíci +58

    Nataman niandike mengi kuhus hii Dua😭 nilipitia matatizo nimeisikiliz San hii Dua bi idhin llah naamin imeniondoshea matatizo yang alhamdulillah😭🤲 allahu akbar 😭

    • @gloriaeliys7589
      @gloriaeliys7589 Před 8 měsíci +2

      Hapan iyo dua itakua n insababu t ila Allaah ndio alio kuondoshea .

    • @tatumbaraka2658
      @tatumbaraka2658 Před 6 měsíci

      @@gloriaeliys7589 Kwa kwel ni Allah🤲

    • @HalimaismailySaid
      @HalimaismailySaid Před 3 měsíci

      Kwa kweli hii dua imedanya mambo yangu mengi. Yakafunguka sana

    • @FIRDAUSAWADH
      @FIRDAUSAWADH Před 3 měsíci +1

      Allahu Akbarr

    • @ummuasmahan5193
      @ummuasmahan5193 Před 3 měsíci +5

      Allah nifungue kutokana na madeni, nifungue milango yangu ya rzk, nikifungua nipate pesa za kulipa madeni na kurudi Hali yangu ya kawaida😭🤲

  • @user-ng4ko6pz9s
    @user-ng4ko6pz9s Před 9 měsíci +11

    Amin yarab nisameh makosa yangu Na uniondoshe matatizo YA nyumba yangu

  • @FashionHekima-wq9fl
    @FashionHekima-wq9fl Před 2 měsíci +4

    Yarabi niondoshee matizokatika maishayangu nafamiliya yangu na uondoshee husdakatika utaftaji warzki yarabi nakuomba kwani wewetu ndie mjuzi wakilajambo Amen

  • @nurdinomary4432
    @nurdinomary4432 Před 9 měsíci +8

    Amini yarab Al Amin niondolee maradh husda za waja uwape afya njema family yangu watoto wangu wazazi wangu yarab nifungulie nakuongezea rizk nifanyie wepes Kaz yangu yarab Kika nifanyalo liwe jepesi Amin Amin

  • @ShaniRadjab
    @ShaniRadjab Před 2 měsíci +4

    Ya Allah nipokeleye swalha dhangu n'a dua zangu ya Allah unisamehe dhambi dhangu unijalie mwisho mwema Ya Allah uniweke katika kundi ambalo litakalo ingia katika jannatu fidrau yaAllah warehemu wazazi wangu😢uwasamehe dhambi Zao kupitia dua hiyo ya Allah utunusuri Sisi viumbe vyako dhahifu ya Allah🙏🙏

  • @jamilakimaro9993
    @jamilakimaro9993 Před 3 měsíci +5

    Yaarab nakuomba kupitia dua hii unisamehe makosa yangu yote imma kwa kukusudia au kwa kutokukusudia naomba utuepushie maradhi naomba uwape tahfif marehemu wetu waliotutanguli na uzidi kunipa wepesi ktk kufanya ibada zako yaarab. Aaamin

  • @user-dh7zv8ke8o
    @user-dh7zv8ke8o Před 10 měsíci +12

    Ya Allah unifanyie wepes kwenye mamb yangu na ridhik yang uniepushie na mabaraa,vijicho,husna,uchawi na mashetwani maisha yangu yanakutegemea ww Allah 😢😢Amin 🙏

  • @AishaChoholo
    @AishaChoholo Před 3 měsíci +1

    Ya Allah niondelee kila kikwaz katk maisha ya kwa yanay nizunguk nijifungue salam na nipone ninavy umwa ni na furaha ya mume wang na anioe kwanzia sasa afungue moyo wake kwang ata iweje ya Allah

  • @alphoncymatara5108
    @alphoncymatara5108 Před 8 měsíci +12

    Ya Allah nakuomba uwapunguzie adhabu ya kaburi wazazi wote wawili , ya Allah nakugemea kwa kila Jambo liwe kubwa liwe dogo ya Allah ukanifanyie wepesi na kuniondolea mabalaa na chuki juu ya kazi yangu na familia yangu Amin🤲🏽😔

  • @JasminKibula
    @JasminKibula Před měsícem +1

    Ya Allah naomba unisamehe makosa yangu yale niliyo yafanya kwa kuelewa na kwa nisiyo yaelewa Allaha naomb unipe mwisho mwema Ya Allah

  • @ZainaMkamba
    @ZainaMkamba Před měsícem +2

    Allah kupitia Dua hii imponye mwanangu sielewi kinacho muuma Kila kitu nimepima ila hakuna ugonjwa ila tumbo linajaa na kutapika nakuharisha

  • @user-gs8bg5ph8z
    @user-gs8bg5ph8z Před 9 měsíci +1

    Ya Allah niondolee matatizo yangu yote yalioko mbele yangu nayaliyoko nyuma yanga na unifungulie milango ya rizk za halal kwa wepesi ya Allah

  • @Joharibakari-cv3oq
    @Joharibakari-cv3oq Před 5 měsíci +4

    Ya -Allah Kila zitoo Naomba liwe jepesiii ya Allah Nipe umri mrefu mimi pamoja familia yangu naomba umuondolee mitihan H kila zito kwake liwe jepesi akika Allah wew ndio tumaini letu la mwishoo🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @hanifaahmad5018
    @hanifaahmad5018 Před 5 měsíci +5

    Ameena yarabi niondeleeee hasada na husda na matatizo yaliombele yangu ninayoyajua na sisiyojua tupe iman ya kukuabudu ww na kuyafata mamrisho yako uwarehemu wote walotangulia mbele ya hakiiiii ameena ya rabbi

  • @tatusaidy9661
    @tatusaidy9661 Před 3 měsíci +3

    Ya ALLAH wewe ndie mtoaji wa yote basi nakuomba ya rabby niponye katika kila matatizo ninayo ya pitia nipe nuru ndan ya paji langu lauso naniokoe katika kila zito ninalo pitia mimi pamoja na familya yangu ya rabby😭😭

    • @fatumakyengya45
      @fatumakyengya45 Před 2 měsíci

      YA Allah Nijalie Yaliyo Mema Na Uniepushe Na Mitihan ,,,Unijalie Afya Njema Na Umri Mrefu ,,,Unijalie Watoto Walio Wema Na Uwajalie Wazazi Wangu Afya Njema ,,Aman Katika Nyoyo Zayo Amiiin

  • @nasrashaibu158
    @nasrashaibu158 Před rokem +12

    Yarab nisamee makosa yangu na unisamee zambizang unipe riziki zangu zaharari kizazichang kiwe miongoni yawaja wema ishaarr❤

  • @mishysaidy9802
    @mishysaidy9802 Před 2 měsíci +3

    Yarabih naomba uniongoze katika njia iliyo nyooka naomba uwape afya njema watoto wangu uwape ufahamu Mungu wangu wewe ndie kila kitu binadamu si chochote mbele yako nakuomba Mungu wangu huyu binti yangu apate usingizi mzuri na kama kuna mtu ana7babisha vimludie mwenyewe 😢😢🙏🏼🙏🏼🙏🙏 Amina🙏

  • @ManirakizaSada
    @ManirakizaSada Před měsícem +1

    Amiin ya Raabii kupitiya iyi Dhua nakuwomba unisameh mazhambi yangu ya Allah na unikubaliy Dua yangu

  • @SofiaMwakipiti
    @SofiaMwakipiti Před měsícem +1

    Ewe mwenyezi mungu unajua udhaifu wangu naomba uniongeze nipe furaha na amani mtu ulie mtuma kwangu naomba tu anisaidie

  • @MarlenRaimundo
    @MarlenRaimundo Před 16 dny

    Ya Allah ya Allah naomba unisamehe makosa yangu na unipe muongozo mzur katika Iman nikuabudu mola wangu niwe na mwisho mwema Allah Akbar 🙏😭😭

  • @user-fd7wj6wd1f
    @user-fd7wj6wd1f Před 6 měsíci +3

    Yaa allaah nakuomba kupitia dua hii unisamehe dhambi zangu unifungulie milango ya rizki hakika wewe ndo muweza wa kila jambo allha mimi nikiumbe chako mnyonge kwako yaa allaah yaa allaah naomba msaada wako ee mwenyeezi mungu nisaidie

  • @user-sn7ex7qr8z
    @user-sn7ex7qr8z Před 2 měsíci +2

    Amin yarabi

  • @halimamuddy9607
    @halimamuddy9607 Před rokem +3

    Amiini 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲

  • @Lulu-wt9dd
    @Lulu-wt9dd Před 3 měsíci +3

    Ya Allah naomba nitoe malaz niepushe na mabalaa ya kidunia nijaalie lizki nawombea wazazi wangu uwa jaalie her na lizki uwatoe malazi yalabi wajaalie watoto wangu tabia njema na wenye Imani amina 🤲🤲

  • @MwanaMone
    @MwanaMone Před 2 měsíci +3

    Ya allah naomba unisamee mabaya yangu yote na uniondole matatizo nlio nayo.unilinde na hasad za waja ya rabina halameen🙏🙏

  • @iradukundamimi4212
    @iradukundamimi4212 Před měsícem +1

    Yarabi niondoleye matatizokatika maisha mwangu yarabi napia mengi muno unipe moyo yasubra

  • @NayBakari
    @NayBakari Před 2 měsíci +3

    Yarab nifungulie ‘ nifungue funguko vyote vilivyokuwepo ,mwilini Kwangu viwe vya binadamu au majini au wachawi Naomba Allha nifungulie ridhiki yangu nipe umri mlefu na mama angu,muondolee,malazi na umpe umri mlefu inshallah. 👏👏👏

  • @zairinaabbas6059
    @zairinaabbas6059 Před měsícem +2

    Inshallah Aamina Yaraby utupe mwisho mwema Kwa sote

  • @saadahassan1437
    @saadahassan1437 Před 5 měsíci +5

    Yarabi naomba niondolee mitihani kazini na unifanye nidumu kazini naomba unioe ridhki ya halal na yenye kheri naomba umpe pepo ya firdaus baba angu alotangulia mbele za khaki na umat MUHAMMAD s.w.s

  • @luuramadhan2771
    @luuramadhan2771 Před 19 dny

    Ya Allah nisamehe makosa yangu na wazazi wangu utujaalie mwisho mwema nipe amani ya moyo niondoshe matatizo yote katika maisha yangu unijaalie upendo na huruma uniepushe na choyo

  • @aishaothman1235
    @aishaothman1235 Před 2 měsíci +2

    Ya allah nakuomba unisafisha niwe safi kwa kila mja niwe mwenyekupendwa n kila mtu nifungulie milango ya rizk niweze kuisaidia familia yangu naomba nipate na kazi ninayoiitaji Amin Inshaalah

  • @rosewangui8316
    @rosewangui8316 Před 2 měsíci +2

    Ya Allah unayajua vyema matatizo yangu nikumbuke nibarike nisamehee dhambi zangu ....Muepushe mpenzi wangu Na adhabu kubwa ya kaburi🤲📿

  • @elizabethgitau-xl3mx
    @elizabethgitau-xl3mx Před 3 měsíci +3

    Naomba YaAllah aniepushe na haya machungu nimepitia sana mangumu

  • @user-su6vt8ev8d
    @user-su6vt8ev8d Před 4 měsíci +3

    Ya Allah tujaalie kheri za Dunia na kesho Akhera .

  • @ambelekhan6548
    @ambelekhan6548 Před 5 měsíci +4

    Ya ALLAH niongoze yaliyo mema 🤲Nipe mwisho mwema nope rizki🤲 ya halali nakuomba mola wangu pekeyangu siwezi 😭🤲 Nakuomba Mola wangu niongoze nipe rizki niondolee hofu niondolee maradhi mimi na watoto wangu Ya ALLAH ya ALLAH nakuomba🤲🤲

  • @user-qr6wq9kk6c
    @user-qr6wq9kk6c Před měsícem +1

    Ya Allah nakuomba uniondolee matatizo yanngu unifungulie baraka zangu inshaallah😢😢😢😢😢😢😢

  • @nuruddin5074
    @nuruddin5074 Před rokem +3

    YAAA ALLAH NAKUOMBA UNIEPESHE NA MATATIZO KWENYE NDOA YANGU NA UNIONDOLEE MARADHI YANAYOSUMBUA KWA MWILI WANGU YOTE SIHR MWILINI NIONDOLEE VITU VINATEMBEA NIONDOLEE YA ALLAH NIONDOLEE WASWAS NA UNIJADHE SUBR YAA LABII NA MAMA MUONDOLEE MARADH YANAYO MSUMBUA AWE NA AFYWA NJEMA NA BINT YANGU YAA ALLAH MUONDOLEE MARADH YAA NAAYO MSUMBUA MWILINI MWAKE NA SIHR ZILIZOMO MWILINI MWAKE UMUONDOLEE YAA RAB MSAIDIE WAZAZI WAKE TUKO MBALI PIA UMKINGE NA WATU WENYE NIA MBAYA KWAKE JESHI LAKI LIMLINDE KILA HATUA MWENYE NIA MBAYA AKIMGUSA KWA NIA MBAYA YAA ALLAH WW NDO MLINZ WAKE YAA ALLAH YAA ALLAH NIEPUSHE FITINA HUSDA WIVU NA VIJICHO MAKAZIN NA UTUJAALIE UTAJIR INSHAALLAH NA MUME WANGU NA UTUJAALIE MAELEWANO MAZUR INSHALLAH WENYE NIA MBAYA WASHINDWE WANAYOKUSUDIA YAA ALLAH NILINDE KWENYE KAZ YANGU NIJAALIE NIFANYE MAENDELEO NIWE NA MUUONGOZ MWEMA WENYE KUNIDHULUM WASHINDWE PIND NINAPOFANYA MAENDELEO YANGU NIONDOLEE HUSDA KWENYE KIPATO CHANGU KIWE NA BARKA YAA ALLAH NIKIIPATA NIFANYE VITU VYA MSINGI INSHALLAH

  • @rehemasalim6923
    @rehemasalim6923 Před 3 měsíci +2

    Yaalah niwekee mama angu aje kuwaona watoto wngu inshallah 🙏🙏🙏ameen🤝

  • @ommykiss97
    @ommykiss97 Před 4 měsíci +5

    Kuanzia leo kupitia dua hii ewe molla wangu naomba ikawe ndo mwisho wa mitihan yangu yoote yalabby nijaalie yote ya liomema na uniepushe na yote yaliomabaya kuanzia leo mpaka siku naingia kaburini iwe hivyo pia kwa wazazi wangu na mke wangu na wanangu mpe kivuli na pepo baba yangu hatibu ally msamehe makosa yake yallabby😢 nifungulie rizki na ziwe zenyekudumu Allahumma aamiin

  • @user-qv4oz2sq4f
    @user-qv4oz2sq4f Před 2 měsíci +1

    Yarabi naomba uniondoshee matatizo na huu wakat mgumu nnaopitia atakukataliwa na kukosakazi Amiin 🤲🙏

  • @christinejohn7294
    @christinejohn7294 Před 4 měsíci +3

    Ya Allah nisamehe makosa yangu ninayoyajua na nisioyajua. Nifungue mimi na uzao wa tumbo langu. Kutokana na vifungo vyote vya hasad, vya majini, vya laana za ukoo na iwapo kuna sihri pia utufungue yarabbi

  • @user-fd1vw9fc9r
    @user-fd1vw9fc9r Před 9 měsíci +15

    Ya Allah unifanyie wepesi katika mambo yangu, unikinge Na hasad, husda Na wabaya wote walonizunguka pamoja Na familiar yangu amiin

  • @Coco-nu4of
    @Coco-nu4of Před 6 měsíci +3

    Amin yaa rabbi 😭😭😭😭👏

  • @suleimanmusa2343
    @suleimanmusa2343 Před 4 dny

    Ya Allah naomba uniepushe ba husda hasad kijicho chuki za waja uniraisishie mambo yangu yote uniepushe visirani chuki hofu kwe myewe moyo wangu unifungulie mambo yawe ya heri inshaAllah ,uniepushe na fitina kazini ,chuki ,visirani bi idhin

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 Před rokem +9

    Eee Mola wangu naomba ninapocniliza Dua hii maradhi yamgongo yanayonisumbua nipone kwa rehma zako,Mwanangu masikio yake umfanyie wepesi ya Allah apate kusikia Amiin

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx Před rokem

      Hta mm mgongo vle pia kunyonyesha allah atupe afya njema inshaallah

    • @SubiraMussa-ik2mh
      @SubiraMussa-ik2mh Před rokem

      Ya rabi nakuomba niondoshee kila lililofungwa unifungulie

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx Před rokem

      @@SubiraMussa-ik2mh allahumma amiin.

  • @user-qc8pu2kz2l
    @user-qc8pu2kz2l Před rokem +7

    😮eemungu wangu usie shindwa na jambo lolote naomba mungu wangu uniodoleshe maradhi katoka mwili wangu nipate mumeo mwenye hekima napia wape wazazi wangu mwisho mwema amin

  • @FauziahNambaka-bn2ln
    @FauziahNambaka-bn2ln Před 3 měsíci +2

    Mwenyezi mungu anitakabalie dua zangu,swala zangu,funga zangu na anisamehe madhambi zangu zote na waislamu wote duniani

  • @manenosakulo7076
    @manenosakulo7076 Před rokem +4

    We mwenyezi mungu niondolee matatizo,chuki, husda kazini kwangu nyumbani kwangu yarabi niongezee kipato Cha kheri na Halal niwe huru,kwenye biashara zangu nifanikiwe,unijalie mwisho mwema,nitafutie sehemu nzuri ya biashara,niachane nayo mambo yenye kukuuzi, Nina pikpik nauza bc niuze kwa faida na kazini kwangu niwe na Nuru, kauli na niwe na nyota kwa Kila ninachokifanya

  • @Atb300
    @Atb300 Před rokem +78

    Amin Yarab Al-Amin niondolee na mitiani husda na kila lilokua Baya mbele yngu nifungulie rizki ndogo ndogo na kubwa kwani wewe ndo kimbilio lngu Hakuna wa kuabudiwa zaid yko yaah Allah🙏❤️

  • @zainabuhassan6603
    @zainabuhassan6603 Před 5 měsíci +2

    Ameeeen.
    Eeeh M/Mungu niondolee matatizo kkt familia nijalie hekma ktk moyo wng uwalinde watoto dhid ya husda na maradhi.
    Unifanyie wepc ktk biashara yangu nipate rizk ya halali.
    Waajalie wazazi wng Afya njema.

  • @alphoncymatara5108
    @alphoncymatara5108 Před 8 měsíci +4

    Amiin Yarab al-amin nakuomba rehema zako na afya na kutimiza malengo yangu Yarab al-amin,hekima juu yako Allah pia nakuomba utulivu juu ya familia na Maisha yangu kwa ujumla.

  • @user-zx4ze5yw8s
    @user-zx4ze5yw8s Před 10 měsíci +5

    Yarabi nijalie lakheri unijalie ndoa uniepushe nazinaa Amiina Amiina 🤲🤲

  • @MariaGoreth-es9ii
    @MariaGoreth-es9ii Před 2 měsíci +3

    Ee mungu nilinde uniepeshe
    Na maovu unikinge mm nagamilia yangu jutukinge na madui unipatie ridhiki Amin unitimizie ndot zang kupitia Dua hii Amin

  • @FaidhaNyahale
    @FaidhaNyahale Před měsícem +1

    Amina eeeh mwenyenz mungu ninaomba uniondolee haya matatizo niliyokua nayo kwenye familia yangu napitia mitahan mingi nashindwa niitatuaje mungu pekee unaweza kunisaidia

  • @shakirajuma-ro9fh
    @shakirajuma-ro9fh Před rokem +3

    Yarabiy nakuomba unifanyie wepesi Kwa kila ninalo pitia yarabiy 🤲 nakuomba uwasamehe wazazi wangu zambi zao yarabiy 🤲 nakuomba unifanyie wepesi kwakila jambo 🙏 Amiin 🤲🙏

  • @aminachilindima-cr6fv
    @aminachilindima-cr6fv Před rokem +2

    Yarabbi nakuomba nijarie upendo ndani ya familia yangu ,nijarie ridhiki na mjalie mwanangu apate ridhiki kwenye maangaiko yake wajalie mama na Baba yangu afya njema ,yarabbi ww ndo unajua mapito yangu amiin

  • @fadhirajuma1240
    @fadhirajuma1240 Před rokem +5

    Eeeee Mwenyezi Mungu nifanyie wepesi niweze jifungua salama inshahalah🙏🙏

  • @nurulujuo
    @nurulujuo Před 19 dny

    Ya Allah nakuomba uniponye magonjwa yanayo nisumbua kwa mda mrefu miguu na mgongo pia unifungulie kila nitakapokua nimefungwa na utufungulie milango ya ridhiki mie na mme wamgu utuepushe na watu wabaya, wachawi na majini inshaallah

  • @user-kc9pg1sf5p
    @user-kc9pg1sf5p Před 2 dny

    Ya ALLAH nakuomba nakuomba mtoto wangu tumboni akae sawa asilale mlalo

  • @MariamuOmary-m5p
    @MariamuOmary-m5p Před 2 měsíci +2

    Amin 🤲

  • @MayasaOmar
    @MayasaOmar Před 5 měsíci +5

    Ya allah nakuomba uniondoshe husda chuki fitna za waja unifungulie milango y riski unifungulie mlango wangu wa ndoa inshallaah uniondoshe maradhi mabaya ynayotawala mwili nnayoyajua n ni siyoo yajua inshallaah ni ww t tunaekuomba n kukutegemea n kuitaji msaada kwako allahumma amina

  • @MeddyKerenge
    @MeddyKerenge Před 7 dny

    Eeeh Mungu Naomba uniepushe na matatizo pamoja na maradhi kwangu na familia yangu Amin🤲🙏

  • @MsekwaHasani-f3t
    @MsekwaHasani-f3t Před 27 dny

    Ya Allah nijalie kuwa mweny kuabudu na kuwa mweny imani ya kweli nakuomba unisamee makosa yangu nijalie rizik za halal ya rabbi nipe wepes na upend wakuisoma Quran kwa upend mkubwa na tukubalie dua zetu

  • @habibaamiri9786
    @habibaamiri9786 Před rokem +7

    Amiin yaarab ewe mola wangu nijaalie kila lenye kheri na Mimi niepushie kila lenye mitihani na Mimi nifungulie riziki zahalali kila kilicho fungwa kifungulie mollah wangu niondoshee kila penye ugumu kiwe kimefungwa namajini au wachawi Allah wewe ndio kinga yangu yaaraby takabar dua

  • @rehemamisele-jt1xj
    @rehemamisele-jt1xj Před 10 měsíci +5

    Ya Allah naomba uniepushe na kila lililo baya mjn uchw husd za watu mahsd ulinde familia yng uzd kutup uzma na pumz kila kukicha

  • @user-wo5nx9mq6b
    @user-wo5nx9mq6b Před 8 měsíci +2

    Emola wangu niondole mitihan yenye inanikabili pamoja na maradhi nilyo nayo wewe ndie tengemeo letu sinamwengine wa kumtengemea isipokua wewe Mola 🤲🤲

  • @bintifikirini-wy3kc
    @bintifikirini-wy3kc Před rokem +7

    Eeeh mola wangu naomba unifungulie mwangaza katika maisha yangu, uniepushe na kila shari lolote baya lisinifikie unifungulie kizazi changu, ee mola wangu naomba ulinde familia yangu popote pale uwaepushe na kila shari eeeh mola wangu, amiin ya rabby.

  • @rukiamohammad9773
    @rukiamohammad9773 Před 3 měsíci +3

    Amiin thumma Amiin Yaarab tuondoshee matatizo utufanyie wepesi hapa duniani na kesho Akhera . Amiin

  • @user-iq5dc3bj3w
    @user-iq5dc3bj3w Před 4 měsíci +3

    Ya Allahi niondeshee mitihani na unipe Kila hitaji la moyo wangu, niondeshee maradhi na unipe furaha kwenye maisha yangu

  • @mwamvuaathumani4182
    @mwamvuaathumani4182 Před rokem +4

    Ya Allah taqabari Duaa ya Rabi nipe subira Kwa kila jambo mola wangu nipe kizazi chema nifanye niwe mwenye kusimamisha swala mie na kizazi changu nipe Mme Bora na mwenye hofu juu yako ya Allah😢😢 niepushie maradhi husda na kila baya litakalo nijia ya ALLAH😢😢🤲

  • @user-ob2hk3jx7i
    @user-ob2hk3jx7i Před 4 měsíci +2

    Ya Allah naomba shifaa.nagonjwa sana ya Rabbi🤲kishwa kinaniuma na ninasikia kizunguzungu Kila siku.nakuomba ya Rabiii🤲

  • @user-nu4bl8ds1s
    @user-nu4bl8ds1s Před 3 měsíci

    Yaah Allah! Kupitia dua hii iwe sababu ya kusimama kwa dola ya kiislamu duniani dhidi ya wasiokuwa waislamu.

  • @nuruddin5074
    @nuruddin5074 Před rokem +5

    NA UMSAMEHE MZAZI WANGU MAKOSA YAKE NA UMJAALIE KATIKA WAJA WA PEPON INSHALLAH NA MAMA YANGU UMJAALIE MWISHO MWEMA NA KIZAZI CHANGU KIWE NI CHENYE HOFU YA ALLAH NA FAMIRIAY YANGU NA UWASAMEHE MALEHEMU WOTE UWAJAALIE KATIKA WAJA WEMA UWAEPUSHE NA ADHABU YA MOTO NA ADHABU YA KABR

  • @HappyHassan-z2k
    @HappyHassan-z2k Před měsícem +1

    Nakuomba mungu unijalie mafanikiwo kwakila jambo mungu wangu

  • @shanymgunda7502
    @shanymgunda7502 Před rokem +4

    Yarab naomba unisimamie katika kila kitu changu naomba unisimamie katika kazi zangu.naomba unilinde na maradhi mm pamoja na kizazi changu pamoja na ndugu zangu naomba unisimamie kizazi changu katika masoma na umuondolee maradhi yote alionayo yanayoonekana na yasiyoonekana na utulinde na mabaya ya dunia

  • @FatumaMwaliko
    @FatumaMwaliko Před 2 měsíci +3

    Amina mungu anifanyie wepesi katika kazi zangu inshallah

  • @SebastianMahund
    @SebastianMahund Před 2 měsíci

    Amin,ee mora wangu nakuomba niepushe na kila lililo baya katika safari yangu ya hapa Duniani, maana wewe u mwingi wa rehema

  • @RaiyanThomas
    @RaiyanThomas Před měsícem

    Ameen🤲🤲 Ee mwenyezi Mungu tunaomba utufanyie wepes kwa kila jambo ameen🤲

  • @user-hp6rx1gk2g
    @user-hp6rx1gk2g Před 4 měsíci +1

    ❤❤❤❤Amiin yaarabi Amiin yaarabi

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty Před rokem +2

    Mwenyezi MUNGU Naomba uniondoshee mauchawi majini walionitumia 😢

  • @user-py8hm7jr7l
    @user-py8hm7jr7l Před rokem +3

    Amin nifunulie njia zangu emwenyezi mungu kila lenye shari niepushe nalo yarabbi

  • @zubedamohamedi753
    @zubedamohamedi753 Před rokem +3

    Yaa Allah niondoshee mitihan, chuki, majini, husda na unipe mwisho mwema Yarabb. Unipe moyo wa uvumilivu na moyo ya kushukuru

  • @marietheresenyandwi8671
    @marietheresenyandwi8671 Před 10 měsíci +1

    AMIIIN 🤲 Ewe mwenyezi mungu naomba unifungulie mwangaza katika maisha yangu niwekee NURU ya ya uso wako katika maisha yangu na family yangu nzima yaallah nifanyie wepesi katika maisha yangu ya kila siku mola wangu🤲 nakuomba unitangulie mbele nami nikufuate yaarabi niepushe na husda za walimwengu nakuomba khekima na busara mola wangu 🤲 nakuomba mwisho mwema mola wangu AMIIIN 🤲👏🙏

  • @mahmoudhassanali6448
    @mahmoudhassanali6448 Před rokem +5

    Rabana atena fidunya hassana wafil akherate hassana wakina adhabanar

  • @ismailkuyugu3070
    @ismailkuyugu3070 Před rokem +4

    Amen 🤲🤲 yallabi nakuomba nifanikiwe katika hili ninalosubilia ww ndo muweza wa kilakitu

  • @solaboss1795
    @solaboss1795 Před rokem +4

    Amiiin ya rabbal Allamiin Naomba kupitia Dua hii Allah Aniweke wepeesi kweny safari yangu Itimie kwa uwezo wake

  • @MURSALICHAUNGU
    @MURSALICHAUNGU Před 4 měsíci

    Amiiin amiiin amiiin ehee mwenyezi mungu naomba duwaa hii iwe ni tiba ya malazi yangu na ufumguo wa vifungo vya kisheitwan amiiin amiiin