Mahitaji Unga wa dengu Kitunguu maji Piipili hoho Kotmiri Kitunguu swaumu Bicarbonate of soda 1/2 kijiko cha chai eastafricanfood... wardytor?igshid...
Unaweza ukatumia vipimo hivihivi nilibyotumia mimi nakatika size labda utumie kijiko cha cha kupimia wakati wa kukaanga. Ila pia ukisha jua manunizi ya vifaa vyako vimekugharimu kiasi gani ndio utakisia size ya bagia zako💕.
Kusema Ukweli Me sijawahi kutumia baking powder kwenye bagia nikipika, ila watu wanasema zinakuwa nzuri laini. Labda ujaribu kama nilivyopika mimi uweke bicarbonate of soda.
Ni kikombe kimoja ni sawa na 90g . Chukua dengu nzima au zilizokobolewa zisage kwenye mashine ya vitu vikavu (grinder) mpaka iwe unga baada ya hapo unaweza kutumia kutengenezea bagia zako. Na pia unga wa dengu unapatikana kwenye maduka mengi ya wahindi au ya viungo(spices) , nadhani hata masokoni unaweza ukapata.
@@wardakhalid292 na kiasi Cha nusu ndo unaeka kijiko kimoja Cha bcabonet au still unaeka nusu kijiko Cha chai vipomo ndo huwa sijui kupima wakat mwingine inazid inakuwa chungu msaada pls
Nimeipenda sana
Habal Ivo Mimi nataka kuuliza sio kumbe bila yakuweka Amira zinakuwa nzur tu
Yeah mimi siweki hamira
Tumia bicarbonate of soda 1/2 Kijiko cha chai au baking powder Kijiko kimoja cha chai.
Asante sana kwa darasa
Karibu tena
Mashallah nice sister thank you dear umenikumbusha kwetu tanga
You’re welcome 😊😘.... ndio vyakula vyetu hivyo 😋
Mashaallah bagia nzuri,,,kwani lazima uweke viazi uraya
Robo unatoa bagia ngap?
Asante sana nmependa .mm swali lang n kwamb natengenza za biashara nahtaj kutengenza saiz ya sh mia je ntatumia kipmo gan
Unaweza ukatumia vipimo hivihivi nilibyotumia mimi nakatika size labda utumie kijiko cha cha kupimia wakati wa kukaanga. Ila pia ukisha jua manunizi ya vifaa vyako vimekugharimu kiasi gani ndio utakisia size ya bagia zako💕.
Jamani umenitia uroho
Christina Hillary hahaha karibu😋
@@wardakhalid292 nahitaji kujifunza unapatikana wapi?
N lazima ueke viazi madam
Sio lazima dear
Jaman nkipika bagia za dengu zinakua na mafuta Sana nifanyeje?
Hidaya Martin labda unaweka bicarbonate of soda nyingi.
jaribu hivi nilivyofanya mimi hazitakua na mafuta
Viazi vinasaidia nn katika bagia,,, au ni kuongeza ladha tyu
Ninyongeza tu dear ila si lazima kama hupendi
Mimi nikipika zinakuwa ngumu sijui kwanini Ila uwa natumia biking powder sa sijajua Kama nisawa
Kusema
Ukweli Me sijawahi kutumia baking powder kwenye bagia nikipika, ila watu wanasema zinakuwa nzuri laini. Labda ujaribu kama nilivyopika mimi uweke bicarbonate of soda.
Uki koroga bajia una pika hapo na hapo ama una subiri kidogo uni fahamishe plz plz
Yeah dear, mimi nikimaliza tu kuchanganya nachoma moja kwa moja sio lazima kusubiri💕
Thanks warda watu wenye tuko hapa Sweden wapi naweza buy huu unga?
Me niko UK 🇬🇧 💕
@@wardakhalid292 ok dear
Au check kwenye maduka ya wahindi ndio wanauza sana
@@wardakhalid292 ok asante dear will try look around
@@wardakhalid292 asante sana
Unga wa dengu in English unaitwaje? Plz
Rahima Ali Gram flour au chickpeas flour
@@wardakhalid292 kumbe,mm nikajua lentil flour,.Mamii gram cyo choroko kwel! OK,thx c unajua lugha za wenyewe taabu!
Hapo ni unga kiasi gani... Napata wapi unga ready made... Au mpaka nitengenezee mwenyewe, cjui kutengeneza unga... Msaada kwene tuta
Ni kikombe kimoja ni sawa na 90g . Chukua dengu nzima au zilizokobolewa zisage kwenye mashine ya vitu vikavu (grinder) mpaka iwe unga baada ya hapo unaweza kutumia kutengenezea bagia zako. Na pia unga wa dengu unapatikana kwenye maduka mengi ya wahindi au ya viungo(spices) , nadhani hata masokoni unaweza ukapata.
@@wardakhalid292 na kiasi Cha nusu ndo unaeka kijiko kimoja Cha bcabonet au still unaeka nusu kijiko Cha chai vipomo ndo huwa sijui kupima wakat mwingine inazid inakuwa chungu msaada pls