Video není dostupné.
Omlouváme se.

Jinsi ya kupika bajia/badia/bhagia za dengu tamu sana na kwa njia rahisi sana

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 03. 2020
  • Mahitaji
    Unga wa dengu
    Kitunguu maji
    Piipili hoho
    Kotmiri
    Kitunguu swaumu
    Bicarbonate of soda 1/2 kijiko cha chai
    eastafricanfood...
    wardytor?igshid...

Komentáře • 36

  • @floraweja6193
    @floraweja6193 Před 3 lety +1

    Nimeipenda sana

  • @mozanasoro1558
    @mozanasoro1558 Před 3 lety

    Habal Ivo Mimi nataka kuuliza sio kumbe bila yakuweka Amira zinakuwa nzur tu

    • @wardakhalid292
      @wardakhalid292  Před 3 lety

      Yeah mimi siweki hamira
      Tumia bicarbonate of soda 1/2 Kijiko cha chai au baking powder Kijiko kimoja cha chai.

  • @emmykessy3016
    @emmykessy3016 Před 4 lety +1

    Asante sana kwa darasa

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 Před 4 lety +1

    Mashallah nice sister thank you dear umenikumbusha kwetu tanga

    • @wardakhalid292
      @wardakhalid292  Před 4 lety

      You’re welcome 😊😘.... ndio vyakula vyetu hivyo 😋

    • @hadijaally3740
      @hadijaally3740 Před 4 lety

      Mashaallah bagia nzuri,,,kwani lazima uweke viazi uraya

  • @philipojacson1186
    @philipojacson1186 Před 4 lety

    Robo unatoa bagia ngap?

  • @murependo163
    @murependo163 Před 4 lety

    Asante sana nmependa .mm swali lang n kwamb natengenza za biashara nahtaj kutengenza saiz ya sh mia je ntatumia kipmo gan

    • @wardakhalid292
      @wardakhalid292  Před 4 lety

      Unaweza ukatumia vipimo hivihivi nilibyotumia mimi nakatika size labda utumie kijiko cha cha kupimia wakati wa kukaanga. Ila pia ukisha jua manunizi ya vifaa vyako vimekugharimu kiasi gani ndio utakisia size ya bagia zako💕.

  • @christinahillary3417
    @christinahillary3417 Před 4 lety +1

    Jamani umenitia uroho

    • @wardakhalid292
      @wardakhalid292  Před 4 lety

      Christina Hillary hahaha karibu😋

    • @safina5013
      @safina5013 Před 4 lety

      @@wardakhalid292 nahitaji kujifunza unapatikana wapi?

  • @joycemasaki8876
    @joycemasaki8876 Před 4 lety

    N lazima ueke viazi madam

  • @hidayamartin6392
    @hidayamartin6392 Před 4 lety

    Jaman nkipika bagia za dengu zinakua na mafuta Sana nifanyeje?

    • @wardakhalid292
      @wardakhalid292  Před 4 lety

      Hidaya Martin labda unaweka bicarbonate of soda nyingi.
      jaribu hivi nilivyofanya mimi hazitakua na mafuta

  • @sophiakarata3111
    @sophiakarata3111 Před 2 lety

    Viazi vinasaidia nn katika bagia,,, au ni kuongeza ladha tyu

  • @merymafuru4574
    @merymafuru4574 Před 4 lety

    Mimi nikipika zinakuwa ngumu sijui kwanini Ila uwa natumia biking powder sa sijajua Kama nisawa

    • @wardakhalid292
      @wardakhalid292  Před 4 lety

      Kusema
      Ukweli Me sijawahi kutumia baking powder kwenye bagia nikipika, ila watu wanasema zinakuwa nzuri laini. Labda ujaribu kama nilivyopika mimi uweke bicarbonate of soda.

  • @ridwancadeey9449
    @ridwancadeey9449 Před 3 lety

    Uki koroga bajia una pika hapo na hapo ama una subiri kidogo uni fahamishe plz plz

    • @wardakhalid292
      @wardakhalid292  Před 3 lety

      Yeah dear, mimi nikimaliza tu kuchanganya nachoma moja kwa moja sio lazima kusubiri💕

  • @AA-kn2ho
    @AA-kn2ho Před 3 lety +1

    Thanks warda watu wenye tuko hapa Sweden wapi naweza buy huu unga?

    • @wardakhalid292
      @wardakhalid292  Před 3 lety

      Me niko UK 🇬🇧 💕

    • @AA-kn2ho
      @AA-kn2ho Před 3 lety

      @@wardakhalid292 ok dear

    • @wardakhalid292
      @wardakhalid292  Před 3 lety +1

      Au check kwenye maduka ya wahindi ndio wanauza sana

    • @AA-kn2ho
      @AA-kn2ho Před 3 lety

      @@wardakhalid292 ok asante dear will try look around

    • @evaalbert8159
      @evaalbert8159 Před 2 lety +1

      @@wardakhalid292 asante sana

  • @rahimaally6471
    @rahimaally6471 Před 4 lety

    Unga wa dengu in English unaitwaje? Plz

    • @wardakhalid292
      @wardakhalid292  Před 4 lety

      Rahima Ali Gram flour au chickpeas flour

    • @gladwambura7250
      @gladwambura7250 Před 4 lety

      @@wardakhalid292 kumbe,mm nikajua lentil flour,.Mamii gram cyo choroko kwel! OK,thx c unajua lugha za wenyewe taabu!

  • @jacquelinelema7216
    @jacquelinelema7216 Před 4 lety

    Hapo ni unga kiasi gani... Napata wapi unga ready made... Au mpaka nitengenezee mwenyewe, cjui kutengeneza unga... Msaada kwene tuta

    • @wardakhalid292
      @wardakhalid292  Před 4 lety +1

      Ni kikombe kimoja ni sawa na 90g . Chukua dengu nzima au zilizokobolewa zisage kwenye mashine ya vitu vikavu (grinder) mpaka iwe unga baada ya hapo unaweza kutumia kutengenezea bagia zako. Na pia unga wa dengu unapatikana kwenye maduka mengi ya wahindi au ya viungo(spices) , nadhani hata masokoni unaweza ukapata.

    • @joycemasaki8876
      @joycemasaki8876 Před 4 lety

      @@wardakhalid292 na kiasi Cha nusu ndo unaeka kijiko kimoja Cha bcabonet au still unaeka nusu kijiko Cha chai vipomo ndo huwa sijui kupima wakat mwingine inazid inakuwa chungu msaada pls