Video není dostupné.
Omlouváme se.

"Maneno ya Huzuni ya Mtoto wa Masogange"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 04. 2018
  • Mtoto wa Masogange amezungumza kuhusu Marehemu Mama yake

Komentáře • 27

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 Před 6 lety +9

    Imenisikitisha sana kwa uyu mtoto, pole sana mtoto wetu kazi yake Allah haina makosa.

  • @rahmasimba7607
    @rahmasimba7607 Před 6 lety +3

    pole sana mtoto,mungu atakukuza vyema ataakufariji kwa rehma zake.

  • @abubakaryomary3985
    @abubakaryomary3985 Před 4 lety +2

    Pole sana Mwanangu yote ni mipango ya mungu

  • @lisahyacob5497
    @lisahyacob5497 Před 5 lety +1

    my umeniachia majonzi cna umefanana na mwanao my nakupend mungu ilaze roho yake pema pepon amina

  • @idayagangs124
    @idayagangs124 Před 6 lety +5

    Mungu atakusaidia mtoto wetu

  • @TheOne-fi6cs
    @TheOne-fi6cs Před 6 lety +3

    Pole mdogo wetu, kazi ya Mola haina makosa, jipe moyo zaidi mwamini muumba na umtumikie naamini utashinda! 😭😭😭

  • @adolfinamaganga6375
    @adolfinamaganga6375 Před 6 lety

    pole sana mwenetu Mungu ampe moyo wa ujasiri

  • @user-ik3ey9cs9e
    @user-ik3ey9cs9e Před 6 lety +3

    Masikini pole sanaa. Mama alikumbuka kumpigia baba yake. Mtt hajasikia sauti ya mwisho kwa mwanae.inauma kwakweli.

    • @hatamimnimempendabulejaman1596
      @hatamimnimempendabulejaman1596 Před 4 lety

      Nakwambia inasikitisha yani usilie tu hivyo hivyo Kwa mwenzio lakin yanauma hata mimi Simu ya mwisho iliniuzunisha ya baba yake alilia Sana alisema alivyoambiwa kwel ndo Kuna mama uyio anasema mumewe alinunaga kwq mkono akamuuliza umdsenaje akasema hapana baba mkubwa naye nasikia alimuagaga, mkewe na shemej yake akiwaambia kwaelini akasema shemej umesemaje akaludia Kwaherin da inasikitisha wanakuwa wa akijuwa safar ikishafika halafu na wenyewe wanakuwaga na uzuni Sana kuwa acha anaona uluma

  • @zainabualtz1455
    @zainabualtz1455 Před 6 lety +3

    Pole sana mtoto 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @elivtv.baseafrica3988
    @elivtv.baseafrica3988 Před 6 lety +1

    Pole sana

  • @amirsab1158
    @amirsab1158 Před 6 lety +1

    Pole mwangu

  • @maureenmwimano1973
    @maureenmwimano1973 Před 6 lety

    pole sana

  • @anethzephulin490
    @anethzephulin490 Před 3 lety

    Pole baba na mwana

  • @josephosborne3818
    @josephosborne3818 Před 5 lety +1

    RIP agnes

  • @andersonmichael3887
    @andersonmichael3887 Před 4 lety +1

    Mbona mnamsumbua mtoto hamjui maana yakufiwa? Mabwege kweli ungekua wewe unahojiwa mamaako kafa utaonaje?

  • @ianrafiq.t9300
    @ianrafiq.t9300 Před 6 lety

    poleni sana ndugu zangu wataanzania kwa kumpoteza shujaa huyo

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 Před 5 lety

    Polen

  • @dianamarua2632
    @dianamarua2632 Před 2 lety

    Oooh my GOD so painfull😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @Happythabosslady
    @Happythabosslady Před 5 lety

    Mung skulinde mwanang

  • @t33pelos77
    @t33pelos77 Před 6 lety

    pole sana bb na mwana ila uyu mtt kafanana na bb yke lkn pia mm yake

  • @eziraerastomuhanuka7392

    daa

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 Před 6 lety +1

    mtoto kafanana na mama yake san

  • @maureenmwimano1973
    @maureenmwimano1973 Před 6 lety

    pole sana