اللهم صل على سيدنا محمد صلاة تسعدنا به في جميع الدروس وعلى اله وصحبه وسلم ألف ألف ألف ألف ألف ألف ألف ألف ألف ألف ألف ألف ألف ألف ألف ألف ألف ألف مرة من يومنا هذا إلى يوم القيامة
Assalaam alaykum warahmatullahi wabarakaatuhu, habiib babdeo mimi ninaombi kwako kwa ihsaani yako ninaomba unipe linki ya hi qaswida iliofanywa studio.
Nimeipenda hii sana maashallah. Ni vizuri kuweka tafsiri ili ijulikane anaimba kuhusu nini, sio wote katika viewers wanajua kiarabu.
yaani huyu jamaa na muhiya wananipaga sana raha
Agonge like hapa kila anayemkubali huyu mwamba
,yasalaaaaaaaaam
Atakiwe rehma na amani yule aliyetakiwa rehma na amani na jalaal (Allah) , Swalla llaahu alayhi wasallam.
اللهم صل على سيدنا محمد صلاة تسعدنا به في جميع الدروس وعلى اله وصحبه وسلم ألف ألف ألف ألف ألف ألف ألف ألف ألف ألف ألف ألف ألف ألف ألف ألف ألف ألف مرة من يومنا هذا إلى يوم القيامة
اللهم صل على سيدنا محمد صلاة تسعدنا به في جميع الدروس وعلى اله وصحبه وسلم ألف ألف ألف ألف ألف مرة
MashaAllah naiomba hii qasida mwenye nayo
Audio or
Nasal SwaddaAttah Hakhi wangu Masoud bin Adam#Kimu Dalla here from Sokota.
اللهم صل على سيدنا محمد عدد خلقك ورضا نفسك وزنة عرشك ومداد كلماتك
السلام على سيدنا محمد وعلى آله وصحبه وسلم
Allah allah allah hijaz kwenda rasti dah ngumu xana. Masudi
Swallallahu Aleee
Du
Mwenye fani yake hiyo
Allahu Akbar
Swadakta mwamba, Vita inakufa...njoo ufufue bongo
Allah Akbar Allah Akbar Allah Akbar asotaka haya mambo ana mizaaj faasid
Asnte bab deo allah akujaalie
Amin Habib kwa sote
Ustadh Mas'ud Allah akubarik
Mashaallah vitta vitta
babdeo itume ile jahazi ya mukhtari ya huyo shekhe
swalu alaaa nnabbiyy
Maashaa allaah
Mashallah
😭😭😭😭
yaallaah
Mh mimi cna shaka nae allah atuweke sote pamoja n'a mtume Muhammad (saw)
Amin kwa sote
Ella fannan
Dah mm nahwandi ngumu xana bab deo
Anaejua anajua tuu
maa shaa llah mwamba masod adam
Asnte Adam mwambaaaaaa
Huyu professor masaoud ni wa wapi tz ama Kenya na babake ni Yule Sheikh Adam ambaye alikuwa fundi wakati wake Tanzania ama? Nimeipenda sana
Naam ni huyo
MA shaa Allah baba amezaa mwana ila kwa sasa haishi Tanzania ama
Assalaam alaykum warahmatullahi wabarakaatuhu, habiib babdeo mimi ninaombi kwako kwa ihsaani yako ninaomba unipe linki ya hi qaswida iliofanywa studio.
Iko poa
Doooooooooooooooh 😂😂😂