Kama nilivyokuwa wa kwanza kucomment Neema ya ufungulivu ikawe juu yangu kitovu na ROHO ya magonjwa ya asili yafe na nitengwe na mizimu,hakika MUNGU wa madhabahu ya ukombozi amenipigania sana🙏
NAMBA ZA KUPATA MSAADA NDG TOM PATRICK ZIPO KWENYE SCREEN HAPO, UNAWEZA UKAPIGA NA UKASAIDIWA ENDELEA KUWASAMBAZIA UJUMBE HUU NA WATU WENGINE, MUNGU AKUBARIKI
Kama nilivyokuwa wa kwanza kucomment Neema ya ufungulivu ikawe juu yangu kitovu na ROHO ya magonjwa ya asili yafe na nitengwe na mizimu,hakika MUNGU wa madhabahu ya ukombozi amenipigania sana🙏
Mungu tuepushe na ndoto hizo chafu kwa jina la Yesu
Asante sn kwa maarifa.Yesu Kristo niguse
Mungu Atuepushe mara moja 🙏
Connection yangu imeunganishwa tena kwa Jina la Yesu Ameen
Eee Mwenyezi Mungu tuepushe na ndoto chafu.
Mungu niepushe na ndoto chafu in Jesus name amen 🙏🙏🙏
Mungu niepushe na ndoto mbaya
Nabii unanifungua sana ubarikiwe sana
Nifunguliwe na mimi
Amen Dady hakika nakuelewa sana
Amina
Amen
Ameni
Tuna shukuru sana
Mtushinimekwelewasana....nisaidie...ndotozangu..sizi..nizaajabu
Amina baba, Mtu wa Mungu. Ndoto zina mafumbo mengi.
Kweli kabisa mimi huwa naota sanaa niko shule
Mimi kabisa yani nikikalibia kufanikiwa apo Ndy shida inaanza
Muuhu kweli.mtumishi naoto ndoto mara kwa mara mbaya.nifanyaje mtumishi ili nijiepushe na roho
Amen asante sana Nabii wa Mungu 🙏
Mimi naota nikiongea na watumishi wakubwa wa Mungu pia viongozi wa nchi,,, nini maana yake? Niko Saudi Arabia
Ameen
Nipo pamoja naww Baba.
Kwelí kabisa baba
Nitainuka tena kwa jina la Yesu
Baba niombee mm naota nipo shureeni
Nimeota ni kipaa juu ya nyumba,kwa kampuni kubwa kumwa.nikiona magari,duka kubwa kubwa
Niko kenya mm na nina sumbuliwa na hi ndoto ya kuwa kwa shule ya primary nafanya mtihani lakini sikumalizia uo mtihani jamani naomba maomba pastor
Mtumishi nahitaji maombi najiunganisha
Nitoke kwenye mizimu inayonitesa na roho ya umaskini na laana
Mimi kila siku naota nipo shule yamsingi najana nimeota hivyo
Roho za madeni
TUTAFUTE MADHABAHU YENYE NGUVU NA MAFUNDISHO YANAYOTUTOA KWENYE MISINGI MIBOVU YA MAISHA YETU KARIBU KANISA LA UKOMBOZI AMBAKO KILA KITU KINAPATIKANA
Mie nasumbuliwa na Ndoto za Kuwa Sekondari kwa umri huu 55 ...!!!! Mii kila mradhi huvuna tu hasara/ nikimkopa mtu silipwi...Nairobi .!!!!
NAMBA ZA KUPATA MSAADA NDG TOM PATRICK ZIPO KWENYE SCREEN HAPO, UNAWEZA UKAPIGA NA UKASAIDIWA ENDELEA KUWASAMBAZIA UJUMBE HUU NA WATU WENGINE, MUNGU AKUBARIKI
Karibu ukombozi baba yetu wa kiroho atakupatia msahada
Amen
Nitainuka tena
Ameen
Amina mungu ni kumbuke na mm
Amina mm naota naogele
Amen
Amen