watanzania bana, we angalia content iliyopo sio kubagua, talents zamtu huyo dada yupo fresh, sema mnayataka yakilasiku, hkaaah, kazi nzuri sana Steve support wengine
Ahahahahaha😅😅Watanzania wanasema kabisa kama kapalata wa congo kabisa, sijawahi kusikiya watu wanaongeya kama wa tanzania kweli. Steve usimuache uyu dada kweli..
Huyu dada ana mdomo kabisa 😂😂😂😂😂😂
Wamama wa ki Africa😂😂 mama sele😂😂,,hii from congo 🇨🇩 pamoja 🤝sana nawapenda sana
Kusema ukweli huyu dada nampenda, toka enzi zile za MKOJO WA NGEDERE🤣🤣🤣😋
Huyoo dada simpendi anangea mpaka Ana boa yani Steve na ndaro mob love from kenya bros
Tatu unarangi nzur Mpenzi usijichubue jaman umependeza haswaaa❤❤❤
Uyo dada anaongea saaaaana jamani 😂😂
Uyu dada nime mpenda❤🇧🇮🇺🇸
Stivu , Nakuomba uyo Dada Usimuache, Anatuongezea ziku za kuishi kwa kweli'
Ndio kbs hata Mimi nimempenda
Huyu mama ni danger. 🇰🇪
ONE LOVE FROM KENYA 🇰🇪😅😅😅😅.
We dada kama uko ivo na maisha ya kawaida mume wako ana shida kweli kweli 😢😢mtu unaongea kama umewekwa batteries
😂😂
Such people they are so quiet in their normal life
🤣🤣🤣🤣
@@eugenenkandu1287 sio kweli
😂😂😂😂😂
dah apo kwa amadi kijicho apo ndo balaaaaaa...nmecheka sana aiseeee...you guys are so talented ..mnaishi sana na uyu amadi kijicho. Big time
Black is beautiful, being African is sweet.... What a beauty!! I love the Energy of Mama Sele😂😂. Onelove from Kenya
Tatu 😂😂😂 new signing ina mdomo😂😂😂😂😂 one love from kenyaa
Steve huyu dada ni kiboko usimuache😂😂
watanzania bana, we angalia content iliyopo sio kubagua, talents zamtu huyo dada yupo fresh, sema mnayataka yakilasiku, hkaaah, kazi nzuri sana Steve support wengine
Huyu dada yupo vzur sana,sana tu.
Nipeni jina la uyu mdada mama SELE, namkubali kabisa 💪💪💪💪💪💪💪💪 mama kazaa kokoto.
Zainabu
TATU KIPEPE🤣🤣
@@everlynkimaro40 🤣🤣🤣
Stive uyu dada usimwache jamani ana mambo uyu jamani ❤
Sana anajua
Stive unaongeaga sana lkn uyu mdada kiboko 😂😂😂
Uyo Dada anaboa... Inakuwa kama bongo movie
Master of ending ndaro😅😅
Wakwanza leooo Mimi 😂
Lakusema sina from 🇧🇮 nimeona mama Steven,steven unaongeanga leo umepatanaco ❤😅😅😅
😂😂😂.....yn kwa huyu dada moto mmeuona hadi sele. Kanywea
Uyu mama Ana weza sanna fundi asa❤❤❤
Mimi ndie wakwanza ku comment 🎉nipeni like zangu ❤❤
Likes hua inawasaidia nin
Nice
Kosa wa2 wasifie kwamba wa2 wana Fanya kaz nzur kazi kuomba like 2
@@PrinceBonnyTz8 wame kosa kaz hawa
Kazi wafanye wengine likes uombe wewe duuuh
We mama utamuuwa mtt wa preshaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂selee Leo amekamatikaaaaa hili sio gubu ni gubunoooooo la kwendaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂
uyu mama niatari daa 😂😂
Ndaro na Steve nawakubali sana
Mama kelele...African mums mdomo waah😂😂😂
mmetisha ndaro na steve
🤣🤣🤣🤣🤣 Huyu Dada nampendaga Sana Steve mweusi usimuache Nimecheka Kwakweli ety Sipendagi mtu anakaa kiboss kwa watu na Mdomo ufanye kazi ya kula 🤣😂😂😂
STEVN namtafta uyu dad
Unaweza mudog wangu
Huyu manzii hafaii atoke anapoteza dhamira tunayoitaka, analeta bong Movie😮
Wamtoe
Huyu dadaa weeh kiboko 😂😂😂 ukiingia kwenye kumi na nane zake umeishaa😂😂😂😂😂😅kudadeki 😂😂
Ata kasuku aseme kama dada huyu. Pole sana kama maisha yake ya kawaida ni hivo.🇨🇩
😂😂😂
Nainjoy Sana kutoka mbinga ruvuma tz
dada michambo ameuwa sanaaa unyama sanaa
SAFI SANA KAKA ❤ 0:35 😮 1:55 😂 2:14 4:54 😂😂 6:03 6:09 🤫 7:26 💪🏿
8:39 🤫 9:14 9:50 😂 10:13 🤫 10:40 💪🏿 11:02
Uyu Dada mm namwagiya manji
God job
Dada upo vzr ilaa waregelea maneno Sanaa
Shabiki mkuu from kenya. My likes please
nimependa sana ❤❤❤👊👊 👊👊 👊👊 👊
Kwa taarifa tu,, Atakae bahatika kuoa huyu dada Kaishaa
Aache kujirudia rudia ina boa. Akisema wenzangu wamezaa watoto mimi nimezaa kokoto aseme mara moja tu tosha.
U dada anaongea sana bwana atoke watu tunataka kucheka tu
Steve unaweza kaka
Steve kaimba hehe😂😂😂
Enyewe humu ndani kazi ipo
Hawa ndio wadada waswahili kinona bonge la muigizaji huyu dada
Kaz atujapata lkn hum ndan Kaz ipo
bumekuca sasa.mpaka steven kazima na akaziba😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
🥰🥰🥰🥰👊👊nice one🥰🥰🥰🥰
huyo dem anaongea Sana mpaka anaboa ,,,
Kabisa
Nilisema uyu dada kiboko yake ni kile kisauti Cha eliudiiiii😂😂😂
😂😂😂😂😂 mpaka waganga wanadhurumiwa 😱😱😱👉🔥🔥🔥🔥🔥
Waongea sana adi waboesha aalaa
Dah! Niatari...
😂😂😂😂Daaaah huyu dada!!!!!
Jamani like zina Liwa aya kula izo maana naona usipo pewa autashiba ❤❤❤❤❤
Uyu Dada sijamkubali
Hii vedeo huyu mama sele aongea na mda mrefu Hadi ameharibu ladha ya comedy
Yule yule dada wa mambo mengi huyu tena
Dada umetisha kama ni hivyo ni bora kukaa bila kuowa from 🇲🇿
Stive hyu dada smpend bas tu
Dada unasema kama chiriku
Duh! Nakukubali
Aseee uyu dad duuuh
Amesema sana mpaka masikio yamefungana
Anaharibu hatupat kucheka mtoe huyu mwache akaigize serius movie
Steve na ndaro saiv mtakoma Kwa uyo mdada
Uyu Dada mwisho aloooh dah no comenty
Nimempenda uyu dada anachamba😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Huyo demu sijui ni mama ana once kwa gufokafoka atoweke kwenye mucezo au afundishe na waking johali
Ahahahahaha😅😅Watanzania wanasema kabisa kama kapalata wa congo kabisa, sijawahi kusikiya watu wanaongeya kama wa tanzania kweli. Steve usimuache uyu dada kweli..
Inasinya hapa hapa dakika zote zimeisha kwake wala huoni point
Steve huyo dada atakupotezea wafuasi, maana sio komedian bali ni mlipokaji, , maana watu wanataka kucheka. .. huyo sio mchekeshaji. ...
Acha zarau ofsa
Yani huyu dada hachekishi utakuwa unaumwa ww
Asiongee mingi sana inaharibu
Ujaribu uweke ndani mke kama huu utatamani ujana urudiwe utongoze upya.
Leo noma sana 😂😂😂😂🇰🇪🇺🇬🇹🇿🇨🇩
nakubali sana Steve n'a ndaro kikofia
Kwani huyu HAMADI mwenyewe kasemaje
angalia video zake tibwili la asha ngedere utamuona ni wa kitambo mno sema stiv kamuamsha upya
Hahahaha umepata msaniiii bora 😂😂😂😷😐🤐🤐🤐
Hahahahaa nampenda uyo mdada akiongea hamezi mate
Huyu demu tusimuache 😂😂😂😂bhn
huyu dada anajua sana
Huyu dada anaongea Sana aaaah
Mumetisha saaaaana mwaaaaasmbaaaa
KHAA 😮 SELE kazi unayo dogo 😂😂😂 mmh ndaro nao Kaz bado hawajaanza kimenuka
Huyu daah😂😂😂😂
Kama unatazama,ukiwa Kenya ngonga ,,,,like,,,
Kazi ipo kidogo😂😂😂😂
Dogo sele tunakupenda iringa
Anaongea kupitiiza anaharibu😂😂
Duh huyu dada aje kwang nimpooze kama alivyompooza sele
Au ni mwehu ndalo lakin 😂😂
😂😂😂😂😂 huyu sister ni fireee
uyo dada ni moto 🔥