Part2: Harmonize Ashindwa kuimba, Amwaga machozi kisa Wolper, Aimba wimbo wa Niambie,Nishachoka,Sina
Vložit
- čas přidán 7. 08. 2020
- Ahsante kwa kuwa mwana familia, kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ili usipitwe na habari zetu.
FOLLOW US
Follow on Instagram: / mwendokasitv
Follow on Facebook: / mwendokasimedia - Zábava
Pole kwayote ila zidisha mapenzi kwa Sala amini mungu amekuepushia mengi kwa wolper lile ni dunga embe ni chawote simtu wa kuolewa yule alikuwa unapotza mudatu
Pole konde mapenzi ndivyo yalivyo unaempenda yeye akupendi usiye mpenda yeye anakupnda kaa na mkeo sarah
wolper ulichomfanya harmonize hata Mimi nimeskia uchungu😢😢😢 kwa kweli harmonize alikupenda sana. Inasikitisha sana
Pole sn ndio uwanaume matatizo tumeumbiwa wanadam na misemo uwa inadumu kwenye miti akunaga wajenzi so ushampa bisarah dumu nae kwa uwezo WA Allah twakupenda pia 💪💯👌💃
Pole sana harmo wewe nakupenda ni mdogo lkn unajielewa sanaa 🙇
Sanaaaa
Pole harmo
Kuuma ilikuuma sana💔💔 😱😱,,lakini sioni huyo mrembo kama alifanya poa,,lakini tenda wema nenda zako bro❤🌹🌹
Sasa wewe matusi yani nn? Hata wewe hapo una mtukana mama yako acha kujisahau tuitupe dunia mgongo
Ulikua kwa haeakati ya kushinda shetani Sasa uko Sawa muc love from Kenya
Mwendokasi tv camera nzur sana pia sound mnachukua vizur kitu kinatoka Safi sana 🔥🔥🔥🔥
daah kweli mapenz nikitu ingine kabisa naamin ulikua namapenz yathat nandomaana ukaamua kuyaficha maovu yote usilie mshkuru mungu huenda kakuepusha jambo kubwa maana kilakitu hutokea kwasababu na m/mungu anampa mtu kitu anachostahili so anachokipenda
Kabsa
Poleee mdogoangu harmonize songa mbelee tuombe Mungu Inshallaah amjalie Sara ajifungue salamaaa
I'm sorry hrmoiz but you have a wife don't cry because you have a wife ok be happy right don't worry because Sarah she love you 😄😄👍🙏🙏🙏🙏
Jikaze we mwanaume mungu akupe nguvu kond boyi❤❤❤🇧🇮
Umurundi nawe yarariye ubuki🤣🤣
True love exists konde boy if it was meant you will just make it work again,,God's time is the best
Hornoniez we know that we love him so much but God loves him to much more than as rest in peace mafuguli we love u shall not forget u in our life tell we meet again . Ñàsh mõñtàñà from South Sudan
Mapenz ya wolper na Harmo ilivuma sana nlipenda that couple
Mahusiano yenu hayatuhusu but hongera kwa bonge la show zidi kupambana na Mungu akulinde❤👏👏👏👏👏
😂
Hayakuhusu kwako bc!
🤣🤣🤣
@@johnmwadime4590 hata ww hayakuhusu coz huna faida nayo
@@aishahussein3879 👌
Am so sorry for this painful situation especially when u main alot to somebody. Pia mimi am going through same suition siuwewe peke yako sijapenda kukuona kwa Machungu.turned in Qatar Doha but from Kenya. Pinga like ya pole
Job ikoje huko lv
Pole nawe pia
Icho kizungu chako si cha Kenya ndugu
Nimimi kabisa sipendi kumuona kwamacungu😭😭😭
@@kiletageoffrey7344 😂😂😂
Don't cry my brother. That is part of life. You did what any man can do to make his woman happy. You loved her with all your heart but she didn't know that you were important to her. You know what my brother, whipe your tears one day she is going to pay for everything she has done to you. What goes around comes around. There is some women who doesn't know what they want. Sorry my brother and be strong to welcome your beloved new born in your life!!!
sorry harmonize,,this is called heart breaking,,he truely loved wolper witj all his heart but i dont think he still loves her,this is just the pain that he underwent of which it do take time to heal,,cry,cry harmonize if thats the way you feel it good to release it,,,each and every person has her or his way to release the tension in life...who am i to point out on this....nakupenda tembo
Aa
😭😭😭😭
Usijali jeshi endeleza kazi zako
@@fanublasi9738 kabisaaa, haya ni mawingu tu
I cry with him😭😭 his tears give me back the pain of 2013 😭😭 love is painful love's hurt its 9yrs down the line but still trying to heal which I find it hard
Oooh !!!! Gentleman and ladies
Don't Play with love 💕.
Bro take heart
A noble humble wife results to Lord 🙏
Pol san kond boy nakupenda san na nina kukbali ✌✌✌
🤣🤣🤣🤣🤣
U are indeed one s💪trong man......shed tears and let it go !!!
Pole sana bro..it's life young man but God is always in a position .he's to faithful.
Liakabisa 🤼💔😹😹😹😹😹😹😁😁😁😁😁😁😁😭😭😭😭😭😭
Harmonize alimpenda kweli Wolper ila dada yetu kicheche
Alivyomkuta akiwa mtu mzima alijua kua wolper Hana mtu?ikiingia kichwa uliwa naye pia alishobokea urembo akasahau kua uzuri wa mwanamke sio urembo ni tabia
Wa rudiyane basi😓
But hamo ndio alianza kuwana sarah so nn analia
@@rahelmasiga1503 🤔🤔🤔🤔
@@furahamatano1993 Hamna worper mdangaji kabla ata hajawa na Sarah nishamshuhudia anamchit mwenzake kaenda kupiga show yeye anadanga alafu hana haya anajiachia tu
Very emotional,, ukweli inauma😥
pole mdg wangu mthamini sana mkeo🇴🇲🇴🇲💓💓💓
Wanawake ss mbingu tutaisikiaga tu😭😭
Unalilia mapenz ulizaliwa nae.Hayo machoz bora ungemlilia Mungu aturehemu na janga la corona
Sawa kaka polee Sana. Naomba tuwasiliane
Mpende sana mkeo yeye atayafuta machozi Yako kikubwa uhai.
I feel you 😰😭😭😭😭😭 pole sana 😭😭🇧🇮🇧🇮 we love you Harmonize 🤝
Jeshii,..Harmonize anafanya kazi njema zaidi,wee tia bidii aliyekucheza majonzi kwake@..Kenyans for JESHIIIII
Pole konde ❤️❤️🇧🇮
Umurundi nawe yaragonze😃😃😃
Harmo jikaza msee angu
Maman samiya Tembo,Magufuli Tembo 💪💪👍
We are proud to have you jeshiiiiiiii
Show iko juujuu zaidi Harmonize big up!
You're a real gentleman
Pole sana Konde......Maisha yanaendelea
Upendo wako ni wa kweli harmonize! When you love ❤ you truly love.
Jikazr kkngu ndio maisha kila binadamu lazima kun mitihan ataka pitia bsa yaeza kuw huo n mmoja wpo ila isiwe sababu ya kutomuongelesha huyu ama yule zaid n kumuomba allah akupe nguvu zaid uzidi kusonga mbele kimaisha🙏🙏🙏 inshallah.
😘
Pole ila mngu huwa anajibu ndoman anahangaika Mara Pete cku mbili inavuliwa
😁😁😁ni kweli alaf wolper amegundua amempoteza mtu anaempenda sasa akili imemuingia yuwajuta
Na,akome fala sana
Mapenzi haya Jmn harmo alimpenda Sana yuke kiruka njia kweli pole baba angu wanawake wamjini wanawashwa Sana k zao haziridhiki
🤔🤔
Pole sana bro
😱🙊🙊 Jamani alimupenda kweli
More respect Jeshi
Sasa naww harmo mamb yashapita bado unalia sasa si umeshaoa jmn maisha yaendeleee 💪💪kua strong
kiki tu hizo
Pole ndugu Harmonize manze umeyapitia ila usikate tamaa 💔😥tenda mema nenda zako💔Mola yuko.
Yaan huyo mchukua camera nae ameona akiwa analia ndio muda muafaka wa kuchukua video vizuri
😂😀😅😄😃🤣😁😜😛😜nashindwa mdaku pia yy
😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣😂
Yani huyumchukua camera hajaoa machozi?
😂😂 hivi ni kwel
Ulimpendaaa lkn hakujua thamani yako angalia Sarah wako my friend 🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️mapenzi nomaaaaa hadi kulia
Unae mpenda hakupend
@@kassimumgeni1614 kwel ila naye unakuta iko namwenye anapenda alafu naye hapendwi
Tembo twakusubiri kwa hamu na ghamu Kenya
Hii hairstyle harmonize imekupendeza eka nywele nyeusi achana na blonde
Harmonize anaigiza,ni muigizaji huyu,ni yeye ndiye alimsaliti wolper
Mr. pole pole is 🔥🔥🔥
Pole my brother inauma sana kiukweli ila usikatae tamaa siai tupo na wewe
Hamo jikaze bro malipo niapa apa duniani kwa mungu hesebu tu nandomana hadumu kweny mahusiyano yake
pole sana bro
2021 still coming back to this..✌ in the same situation
JAMANI najipata nasema "konde boy"
Harmonize ulivaa nguo iliyokupwaya jackrene lile pata sote
Pole sana konde kwa yote ila malipo ni hapa hapa duniani bt always love ua wife sarah
Love has its own side effects bt jus b brave as always n move own u r a real man rajabu bravo
Usijali maisha kaka nakupenda bure kaka 💑🙏
Allha akakupa mke sahihi kwako. Pole sana rajabu kesho konde boy
Take heart brow
Na hao watu wote,covid ungekuwa huko s ingeua wote.tunaish kwa neema tu.
😃😄😃😃
Kenya tu dio wakona huo ujinga😅😅😅
Africa amna corona ndomana....
Ndo maisha ayo kaka yangu ila mungu anamuona
Pole konde boy
Harmonize imba singeli upo vzr xan
It's painful to love someone who does not value your love back and love you too. Be strong man nimapito kilakitu kinamwisho dear nafeel it coz nayapitia na nimeyapitia too. True love is had to find. But never give up.
Dah pole my kak thats love
Duuu pole sana jeshiiííii
Calling your partner/wife SPONSOR 🤭😳😳😳😳pole ❤❤🇺🇬
Maisha ndo yalivyo konde we mwenyewe umesababisha Masai wa kiwegwa kulia sarah alikuwa anatoka na masai wa kiwegwa hapa Zanzibar
Haaaa
Pole sana konde tafuta hela 🐘🐘🐘🐘
Mimi najuwa kuimba unaimba sana tu shida yako ni moja tu hamornize ni kuwa unatamani kukubalika kwa lazima unatumia nguvu nyingi kumfunika Diamond na kutafuta uwe kama yeye ulitakiwa uende taratibu utapanda vizuri punguza purukushani za kujimwambafai
Nimekuelewa pendo kariro umesema kweli una akili sana umeona mbali
❤❤❤ kaka mpaka namwaga mashozi 😢😢
Pole sana ndugu yangu
Pole kaka mpende alie kupenda mzngu
Really?😂😂 Makubwa haya jamani 🤣🤣🤣
Yani mapenzi nikitu kingine kwl hata namimi yarinitokea kama nawew yarikutokea gonga like twende zetu
Appriciate brother kaz zako
Pole Sana
Imenigusa.pole Sana Kaka yangu
Daah ujue umeniliza brother
Jaman mapenzii yanaumaa xn
Pole sana harmo wanawake hawariziki
This is live bro just be 💪💪💪💪💪
Pole harmonize u deserve better...
Dah mapenz noma pole san kaka
Too baad...i really feel for him for real💔💔💔💔💔
Safi bro jikaze lakini kunambo nakupenda inajionyesha
I'm very sure he loves wolper not Sarah. ....mapenzi
Rearity
We only love once
But he doesn't want to admit that Sarah is a sponsor,,the guy still inlove with wolper
Show iko sawa
Pole Sana konde ila musamini Sana Sala wa ko
wolper anakaanga tu malaya,,,achana na yy move on with sarah,,,,hiyo camera man ataitaji kofi.
Poor
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Unajuta baba na uripenda muzungu murudishane basi🇧🇮
Pole sana Harmo
Pole brooo ushapoa
Pole sanaaa ni hali y’a dunia
If it still hurts....Hadi unampenda.....pole.
Pole xana mungu atakuxaidia
Pole sana msanii wangu yata pita
So heartbreaking,I feel you bro....kwa kweli ulimpenda Wolper
Daaaah mpz yanauma sana